Chai FM
Chai FM
10 September 2022, 7:47 am
RUNGWE-MBEYA NA:WANDE BUSHU Mratibu Wa Chanjo Katika Halmashauri Ya Wilaya Rungwe Mkoani Mbeya Ezekiel Mvile Amewaomba Wazazi Kuwapeleka Watoto Wao Katika Vituo Vya Afya Waweze Kukamilisha Dozi Ya Polio ili Iweze Kuwakinga Na Ugonjwa Huo. Ameyasema Hayo Wakati Akizungumza Na…
10 September 2022, 7:43 am
RUNGWE-MBEYA. NA:JUDITH MWAKIBIBI Wananchi wilayani RUNGWE MKOANI MBEYA wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika kuupokea mwenge wa uhuru utakaofika 10sept 2022 ilikuweza kuzindua miradi mbalimbali katika halmashauri. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya ya Rungwe Dk Vicent Anney alipokuwa ametembelea…
9 September 2022, 10:15 am
RUNGWE-MBEYA NA:WANDE BUSHU Wananchi wa Kitongoji cha Kawetele chini Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya wameiomba serikali kuwatatulia changamoto ya huduma ya maji iliyo dumu kwa muda mrefu licha la kulipia bili ya maji kila mwezi Wakizungumza na Chai Fm wamesema …
9 September 2022, 9:57 am
RUNGWE-MBEYA. NA:LETHISIA SHIMBI Baadhi ya Wanawake Wilayani Rungwe mkoani Mbeya wameeleza namna wanavyoshiriki kutoa taarifa za vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii ili kuweza kutokomeza vitendo hivyo. Wakizungumza na chai fm BAHATI SIMON na MAIDASI NDAMU wamesema endapo vitendo…
9 September 2022, 9:51 am
RUNGWE-MBEYA NA:LETHISIA SHIMBI Wakulima wilayani rungwe Mkoani mbeya wametakiwa kufuata taratibu wa kujisajili kwenye mfumo Ili kuweza kupata Ruzuku za pembejeo. Akizungumza na kituo Chai FM afisa kilimo wilayani hapa JUMA MZARA amesema katika halmashauri ya Rungwe wamesajiri wakulima elfu…
26 May 2022, 9:49 am
RUNGWE-MBEYA NA:LETHISIA SHIMBI Jamii wilayani Rungwe mkoani Mbeya imetakiwa kuachana na mtazamo hasi kuhusu watu wenye ulemavu badala yake wametakiwa kujumuika kwa pamoja na kushirikiana katika mambo mbalimbali. Rai hiyo imetolewa na Meneja wa shirika la TRAIDCRAFT EXCHARGE Ndg Ledis…
25 May 2022, 10:24 am
RUNGWE-MBEYA NA:BETRIDA ANYEGILE Wafanyabiashara elfu moja na mia nane kutoka kata takribani kumi Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya wamepatiwa mafunzo ya urasimishaji biashara na Mpango wa kurasimisha rasirimali na biashara Tanzania ( MKURABITA). Akizungumza na vyombo vya habari katika kufunga…
22 May 2022, 5:57 am
RUNGWE-MBEYA. NA:EZEKIEL KAPONELA Mradi wa pamoja wa Wakulima wa Chai Rungwe na Busokelo (RBTC-JE) Tarehe 20.5. 2022 kimefanya uchaguzi wa wajumbe wa bodi, mwenyekiti na makamu mwenyekiti baada ya uongozi uliokuwa madarakani kumaliza muda wake wa miaka mitatu tangu walipochaguliwa…
19 May 2022, 2:22 pm
Wafanyabiashara Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya wametakiwa kurasimisha shughuli zao za biashara ili kupanua wigo wa kuzifikia fursa mbalimbali ikiwa ni pamoja na urahisi wa kupata mikopo na leseni za biashara. Hayo yamejiri katika ufunguzi wa mafunzo ya kurasimisha biashara za…
12 May 2022, 1:03 pm
RUNGWE-MBEYA Mpango wa kurasimisha rasirimali na biashara Tanzania (MKURABITA) umekuja na mpango wenye lengo kuwawezesha wamiliki wote wenye biashara nje ya mfumo rasmi ili waweze kurasimishwa Wilayani Rungwe hali itakayo saidia kupata mitaji na kuendeleza shughuli zao za kiuchumi. Hayo…
Chai FM radio ni radio inayomilikiwa na Umoja wa wakulima wa Chai Rungwe, Ilianzishwa kwa lengo la kuhakikisha mkulima wa Chai wilaya ya Rungwe anapata taarifa sahihi ambazo zitasaidia kuendeleza zao la Chai pamoja na shughuli zake za kiuchumi, Elimu na Kijamii.
Uwepo wa radio Chai FM umesaidia mkulima wa zao la Chai wilaya ya Rungwe kupata taarifa kwa wakati zinazohusu zao la chai na mwenendo wake pamoja na elimu juu ya kilimo biashara kwa zao la chai na mazao mengine pamoja na ufugaji.
Hii ni kutokana na uguu wa kufikisha taarifa ya masuala ya kilimo kwa wakulima wa chai jiografia ya wilaya ikiwa ni kikwazo kwa wakulima kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya wilaya pamoja na mpango wa kilimo endelevu.
Dira
Kuona jamii ya wakulima na wafugaji wa wilaya ya Rungwe wanakuwa na maisha bora
Dhamira
Kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wa ndani na nje ya Wilaya ya Rungwe kuelimisha na kutoa taarifa za kilimo, mifugo, biashara,viwanda na habari za kijamii kupitia vipindi vya redio.
Chai Fm Radio inasikika maeneo tofauti kama ifuatavyo
Mkoa wa Mbeya – Wilaya za Rungwe, Busokelo, Kyela, na Mbeya Vijijini kwa baadhi ya maeneo
Mkoa wa Njombe – Wilaya za Makete, Ludewa
Mkoa wa Songwe – Wilaya za Ileje na Songwe kwa baadhi ya maeneo
Mkoa wa Ruvuma – Wilaya za Mbinga na Nyasa.
Lakini pia chai Fm inapatikana ukiwa popote duniani kupitia radiotadio.co.tz/chaifm/