Chai FM
Chai FM
21 October 2025, 1:55 pm
Uwepo wa amani nchini Tanzania imekua chanzo cha kutokuwepo kwa matabaka ya udini, Ukabila walionacho na wasionacho, badala yake waTanzania wote wamekua na maisha ya kuchangamana bila kubaguana kwa hali yoyote.

Karibu kusikiliza mahojiano ya moja kwa moja