Chai FM

CHADEMA yaungana na wakulima kilio cha bei ya parachichi Rungwe

28 March 2025, 9:16 am

serikali imetakiwa kutatua changamoto ya bei ya zao la parachichi wilayani Rungwe ili mkulima aweze kunufaika na zao hilo

RUNGWE-MBEYA

Na Erick Gwakisa

Makamu mwenyekiti  wa  Demokrasia na maendeleo CHADEMA bara Mh.John Heche amemtaka waziri wa kilimo Mh.Hussein Bashe kueleza ukweli kuhusu Bei ya Parachichi kuporomoka wilayani Rungwe tofauti na maeneo mengine yanayo lima zao hilo

Ametoa kauli hiyo mapema wiki hii katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa michezo wa Tandale uliopo Tukuyu mjini wilayani Rungwe mkoani Mbeya wakati wa ziara ya chama hicho

sauti ya Makamu mwenyekiti CHADEMA taifa 1

Hata hivyo Mh. Heche ameshangazwa na Suala la  mashamba ya chai kutelekezwa na wakulima kushindwa  cha kufanya juu ya zao

sauti ya Makamu mwenyekiti CHADEMA taifa 2

Hata hivyo  Heche amesema  nchi inatakiwa kuweka mazingira mazuri ya  kujenga viwanda vitasaidia vijana kupata ajira kuinua chumi wa taifa

wanachi wakiwa viwanja vya tandale wakimsiliza Makamu mwenyekiti wa CHADEMA taifa

sauti ya Makamu mwenyekiti CHADEMA taifa