Chai FM

Mtaala mpya wa elimu imepokelewa kwa furaha Busokelo

2 March 2025, 11:55 am

Afisa uthibiti ubora wa shule Halmashauri ya Busokelo Bi,Asha Kibiki akiwa ofisini kweke [picha na Peter Tungu]

katika kwendana na mabadiliko ya sanyasi na teknolojia jamii imetakiwa kuendana na mabadiliko hayo ili kuweza kuanda watoto kuweza kujiajili

BUSOKELO- MBEYA

Na Lennox Mwamakula

Wadau wa elimu nchini wametakiwa kutumia fursa  za uwekezaji zilizopo katika maeneo mbalimbali ili kupanua wingo mpana wa elimu kwa jamii

Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa idara ya uthibiti ubora ya shule wilaya ya Busokelo Bi,ASHA KIBIKI kwenye kipindi cha Amka na chaifm amesema kutokana na uwepo wa ardhi ya kuosha wadau waende kwenye halmashauri hiyo kwani kuna uhitaji  mkubwa wa shule kutokana na wazazi na walezi  kutaka kuona shule za amali zinakuwepo ndani Busokelo ili kuwaondolea adhaa ya kutafuta shule hizo kwenye halmashauri za jirani

Wathibiti ubora wa shule kutoka idara ya elimu wilaya ya Bbusokelo wakitoa elimu kuhusu mtaala mpya wa elimu kwa njia ya redio [Picha na Peter Tungu]

Sauti ya Mkuu wa idara uthibiti ubora wa shule wilaya ya Busokelo Bi,Asha kibiki

Kwa upande wake AMOS KALOLO afisa mthibiti ubora washule halmashauri ya Busokelo amebainisha masomo atakayo soma mwanafunzi kwa shule za msingi

Sauti ya mthibiti ubora shule Mwalimu Amos kalolo 1

Hata hivyo  amesema uwepo wa wa mtaala mpya unamwanda mtoto amweze kujiajili  pindi atakapo hitimu masomo yake hivyo wazazi na walezi waache tabia ya kuwachagulia masomo watoto kwani wanasabisha kufifisha ndoto za wazo

Sauti ya mthibiti ubora shule Mwalimu Amos kalolo 2

Naye mwalimu Maria Msambule amewaomba wazazi  kuwa na tabia ya kufuatilia watoto tangu wakiwa wadogo ili kuweza kutambua kipaji chake

sauti ya mwalimu Maria Msambule