Pangani FM

Recent posts

04/06/2024, 14:34

Pangani kuja na mkakati kabambe wa usafi

Ni zaidi ya muongo mmoja umepita bila ya uwepo wa utatibu wa mdhabuni wa ukusanyaji taka hivyo kupelekea changamoto ya taka kuzaga katika mji wa Pangani kujaa. Na Saa Zumo Halmashauri ya wilaya ya Pangani imesema inaandaa mpango wa kudhibiti…

04/06/2024, 14:03

Je, unaijua hatari ya kuchoka kwa bana ya jiko lako?

Matumizi ya jiko la gesi lenye bana iliyochoka inaweza kusababisha gesi kuvuja na kusambaa ndani ya chumba au nyumba kama mtumiaji akiwasha bila kuacha nafasi ya gesi kuondoka inaweza kusababisha moto kuwaka. Na Hamisi Makungu Jamii imetakiwa kuzingatia matumizi salama…

04/06/2024, 10:08

Ni hatari kutozima chombo cha moto ukiwa sheli

Usalama dhidi ya moto ni pamoja na madereva wa vyombo vya moto kujua na kuzingatia maelekezo yakuzima vyombo vyao vya moto wanapokuwa katika vituo vya kuongezea mafuta. Na Majabu Madiwa Waendeshaji wa Vyombo vya Moto Wilaya ya Pangani wametakiwa kuzima…

03/06/2024, 10:00

Majiko banifu yatolewe kwa familia duni

Majiko banifu itawasaidia familia duni kuchangia katika mapambano ya mabadiliko ya tabia nchi kwakuwa uwezo wao ni mdogo katika kumudu gharama za aina nyingine za nishati safi ya kupikia. Na Abdilhalim Shukuran Kamati ya MTAKUWWA na mazingira katika Kijiji cha…

01/06/2024, 22:05

Wafugaji, jifunzeni kupitia tafiti za TALIRI

Wafugaji wengi wamekuwa wakivuna maziwa machache kwa mifugo yao, lakini kwa sasa kuna teknolojia itakayowezesha mfugaji kuvuna maziwa mengi kutoka kwenye mifugo yake. Na Cosmas Clement Wafugaji wa ng’ombe mkoani Tanga wametakiwa kujenga utamaduni wa kutembelea na kujifunza katika kituo…

31/05/2024, 23:54

Doria zaimarisha uhai wa misitu Muheza

Watu wameacha kuharibu misitu kutokana na sheria tulizoweka pamoja na doria, kwa sasa hata kama ni baba au ndugu yako akiharibu msitu utampeleka mbele ya sheria. Na Hamisi Makungu Doria za mara kwa mara katika hifadhi ya misitu wilayani Muheza…

31/05/2024, 23:37

Wenza msiwekeane vikwazo kufanya kazi

Migogoro mingi imekuwa ikiibuka kutokana na changamoto ya wenza wa kike wanapopangiwa zamu za kulinda usiku katika kampuni ya mkonge. Na Saa Zumo Jamii ya Kijiji cha Mtango Wilayani Pangani mkoani Tanga imetakiwa kuona umuhimu wa wenza wao kufanya kazi…

31/05/2024, 23:07

Muheza wajadili, mikakati kuboresha elimu

Ili kufanikiwa katika kuboresha elimu inatuhitaji kuwa na nguvu ya pamoja na mikakati ya kutuvusha hapa tulipo. Na Hamisi Makungu Serikali ya Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga imefanya kikao kazi chenye lengo la kuongeza ufanisi wa wilaya hiyo katika sekta…

17/05/2024, 17:12

Pangani DC yafikia 77% ya mapato 2023/24

Ukusanyaji wa mapato ndiyo msingi wa huduma bora kwa wananchi, watendaji wa halmashauri ongezeni nguvu katika makusanyo. Na Cosmas Clement Halmashauri ya wilaya ya Pangani imesema imefanikiwa kukusanya asilimia 77 ya bajeti ya mapato ya ndani, kupitia mapato lindwa na…

08/05/2024, 22:26

Tenki lazuia michango ya chakula shuleni

Kabla ya mwezi wa pili zoezi la kuchangia chakula cha shule ya msingi Bushiri lilikuwa likiendelea vizuri na kufikia idadi ya wazazi 200 lakini baada ya kuibwa kwa tenki hilo idadi imepungua kufikia 40. Na Cosmas Clement Baadhi ya wazazi…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.