Pangani FM

Recent posts

27 June 2024, 9:58 pm

TAKUKURU kuchunguza waliozima POSS wilayani Pangani

Awali katika kikao cha Baraza la Madiwani Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Batilda Buriani aliagiza kuchukuliwa hatua wote waliozima mashine hizo za ukusanyaji wa mapato. Na Hamisi Makungu Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Wilaya ya Pangani…

27 June 2024, 9:37 pm

Shilingi milioni 600 kujenga shule ya Ufundi Pangani

Ujenzi wa shule ya ufundi unatarajiwa kuleta hamasa kwa wanafunzi wa Pangani kujifunza masomo ya sayansi. Na Hamisi Makungu Shule Mpya ya Sekondari ya UFUNDI itakayogharimu kiasi cha Shilingi Milioni 600 inatarajiwa kujengwa Wilayani Pangani katika Mwaka wa Fedha 2024/2025.…

27 June 2024, 8:01 pm

Historia kutawala ‘Kozo’ kuhusishwa mauaji Bweni

Kijiji cha Bweni kilichopo wilaya ya Pangani, kina historia ya maadili ya kuvutia tangu enzi za mababu, lakini kwa miaka ya hivi karibuni kimeingia katika wingu la hofu kwa kuwa tukio hilo ni la pili la mauaji baada ya tukio…

25 June 2024, 9:59 am

DC Pangani, ni marufuku masomo ya usiku

Uchunguzi wabaini watoto 26 wa shule moja kulatiwa. Na Hamisi Makungu Mkuu wa Wilaya ya Pangani Musa Ramadhan Kilakala amepiga Marufu Wanafunzi kurudi Shuleni usiku, huku akitaka  muda wa masomo uzingatiwe. DC Kilakala ametoa Marufuku hiyo baada ya hivi karibuni…

22 June 2024, 10:37 am

RC Tanga: Hakikisheni mpaka June 28 hoja 19 zimejibiwa

Pamoja na kupata hati safi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 halmashauri ya wilaya ya Pangani imekuwa na hoja nyingi ambazo hazijajibiwa ikiwemo kumi na tisa za kamati ya kudumu ya Bunge. Na Cosmas Clement Halmashauri ya wilaya ya Pangani imepewa…

22 June 2024, 9:56 am

Wapeni watoto haki zao

Kutokana na matukio ya ukatili kuongeza wazazi na walezi wengi wamekuwa wakiwazuia watoto wao kucheza ama kuwapa muda mchache wa kucheza. Na mwandishi wetu. Wazazi na walezi wilayani panagani wametakiwa kuwapa uhuru watoto wao ikiwemo uhuru wa kucheza na kusikilizwa.…

17 June 2024, 9:20 am

DC Kilakala: Mzee anayetongoza wavulana akamatwe

Matukio ya ulawiti kwa watoto wa kiume yamekuwa yakitajwa kuongezeka na yakitajwa kutekelezwa na watu wakubwa, huku vijana wakijifunza kutoka kwa wakubwa. Na Hamisi Makungu Vyombo vya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga vimeagizwa kumkamata Mzee mmoja anayetuhumiwa…

10 June 2024, 9:51 pm

Talaka sababu ya ulawiti kwa watoto Pangani

Matukio ya ukatili ikiwemo ulawiti, inatajwa kuendelea kutokea ingawa jitihada za wadau zikifanyika dhidi ya matukio hayo huku utelekezaji familia, ushirikina na wazazi kutengana zikitajwa kuwa ni sababu. Na Cosmas Clement Shirika la Uzima kwa Sanaa (UZIKWASA) lililopo wilayani Pangani…

10 June 2024, 9:28 pm

Pangani kuanza mradi, nishati safi ya kupikia

Mradi wa nishati safi ya kupikia utawawezesha wananchi wa Pangani kunufaika na biashara ya hewa ya ukaa. Na Majabu Madiwa Shirika la kuhifadhi misitu ya asili nchini Tanzania (TFCG) limeanza kutambulisha mradi wa nishati safi katika halmashauri ya Wilaya ya…

6 June 2024, 11:23 am

Tuirithishe elimu ya mazingira kwa watoto wetu

Watoto na vijana wakipata elimu ya utunzaji na uhifadhi misitu watakuwa mabalozi wazuri kuhakikisha misitu inakuwepo. Na Hamisi Makungu Jamii imeshauriwa kurithisha elimu ya utunzaji na uhifadhi wa misitu kwa kizazi kichanga ili kuwezesha uendelevu wa hifadhi na misitu hapa…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.