Pangani FM

Recent posts

8 June 2025, 6:48 pm

Wananchi waaswa kulinda amani ya nchi kuelekea uchaguzi mkuu

‘Bila amani hatutaweza kufanya kazi za kujiingizia kipato, hakuna kitu kikubwa kama amani’ Na Cosmas Clement Wananchi wilayani Pangani Mkoani Tanga wameaswa kulinda Amani ya nchi iliyopo ili kuwawezesha kuendesha shughuli zao za kujipatia kipato katika hali ya usalama. Wito…

5 June 2025, 7:13 pm

BMU kijiji cha Ushongo yapaa kivingine

“Kamati zilizopita zilikuwa hazina mahusiano mazuri na wavuvi hivyo ilikuwa ni ngumu kufikia lengo“ Na Majabu Madiwa Kamati ya BMU ya Kijiji cha Ushongo Wilayani Pangani Mkoani Tanga  imeeleza kujivunia kuwezesha mahusiano Chanya baina kamati na wavuvi tofauti na hapo…

5 June 2025, 6:41 pm

MKUBA yaivuruga mikopo ya kausha damu

MKUBA ni kifupi cha neno Mfuko wa Kutunza Bahari inawawezesha wananchi wa kikundi cha mfuko huo kutunza akiba na kukopa na kurejesha. Na Cosmas Clement Uwepo wa vikundi vya Mfuko wa kutunza Bahari (MKUBA) katika vijiji vya Bweni na Ushongo…

27 May 2025, 11:44 am

Jinsi nyuki wanavyolinda misitu wilayani Pangani

“Tumeanzisha ufugaji wa nyuki ili kulinda msitu wetu, nyuki ana kipato kuliko kukata mti na kuchana mbao au mkaa.” Na Cosmas Clement Kijiji cha Mtonga kilichopo wilayani Pangani ni miongoni mwa vijiji vilivyoathiriwa na shughuli za ukataji wa misitu kwa…

12 May 2025, 11:59 am

Kigurusimba yaaga hatari ya magonjwa ya mlipuko

Miaka mitatu iliyopita kijiji cha Kigurusimba kilichopo wilayani Pangani, kilikuwa ni miongoni mwa vijiji vilivyokuwa hatarini kwa magonjwa ya mlipuko kutokana na kaya nyingi kutokuwa na vyoo bora. Na Cosmas Clement Wajumbe wa kamati ya MTAKUWWA ya kijiji cha Kigurusimba…

24 February 2025, 3:44 pm

Dokta Samia kufanya ziara Pangani, februari 26 2025

Katika Wilaya ya Pangani Mheshimiwa Rais pamoja na mambo mengine ataongea na wananchi katika uwanja wa Kumba kuanzia saa mbili kamili asubuhi hivyo wananchi mnaaswa kufika mapema kuumlaki mgeni wetu Mkuu wa (W) Pangani Bi Gift Msuya Na Maajab Ally…

22 February 2025, 7:57 pm

Pangani washauriwa kuacha shughuli zinazochangia uharibifu wa vyanzo maji

Tunapofanya shughuli ambazo si rafiki kwa mazingira kandokando ya vyanzo vya maji tunaweza kusababisha maji kukauka au vyanzo hivyo kupotea. Na Catherine Sekibaha Wananchi wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuacha kufanya shughuli zinazochangia uharibifu wa vyanzo maji pembezoni mwa Mito…

21 February 2025, 3:38 pm

Pangani tayari kumpokea Dkt. Samia

mama tunakukaribisha sana Pangani, lakini tunaomba utukamilishie barabara ya Tanga-Pangani -Saadan na Daraja la mto Pangani NA abdillahim Shukran Washuku Baadhi ya wakazi wa wilaya ya Pangani Mkoani Tanga wameelezea shauku yao kufuatia ziara ya Rais wa Tanzania Dokta Samia…

21 February 2025, 10:55 am

Vijana washauriwa kuhudhuria EJITIMAI

Nitoe wito kwa vijana kujitokeza kwa wingi kuudhuria mafunzo haya kwasababu mpaka sasa wenzetu kutoka nje ya wilaya ya Pangani wameishafika kwa ajili ya kuudhuria mafunzo haya Na Abdillahim Shukran Washuku Waumini wa dini ya kiislam katika wialaya Pangani mkoani…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.