Pangani FM

Recent posts

24/09/2025, 22:47

Wasira atembelea jimbo la Pangani

“Amani ni hewa unavuta bila ushuru lakini kwakuwa ipo unaweza kuona ni jambo lakawaida ni sawa na amani ikiwemo unaona kama haina haja ila ikitoweka ndiyo unona faida yake.” Wasira Na Cosmas Clement Makamu mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi bara…

04/09/2025, 22:06

We world, 4H Tanzania katika mradi wa kujenga amani

Shirika la We world linashirikiana kwa pamoja na 4H Tanzania kwa ajili ya kukuza uelewa kwa wanafunzi katika baadhi ya shule wilayani Pangani. Na Abdilhalim Shukran Shirika la we world kwakushirikiana na 4H Tanzania, wamekutanisha wanafunzi, walimu na baadhi ya…

02/09/2025, 18:58

Makala:Jinsi siafu wanavyotumika kutabiri msimu wa mvua

Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania imekuwa ikitoa taarifa utabiri wa hali ya hewa uliopimwa kwa njia za kisayansi kisha kusambazwa kwa wananchi katika maeneo husika. Hata hivyo katika jamii za wakulima na wafugaji na wavuvi wilayani Pangani, wapo wagunduzi…

29/08/2025, 11:31

Pangani watumia uraghbishi kuleta maendeleo

“Tunaona mambo makubwa yanakwenda kutokea kwa sababu lengo kubwa la huu Uraghbishi ni kuchochea uwajibikaji.” Na Cosmas Clement Utekelezwaji wa program ya uraghbishi inayoendeshwa na shirika la usaidizi wa kisheria (PACOPA) kwa kushirikiana na shirika la Twaweza wilayani Pangani umetajwa…

17/07/2025, 21:41

Mwalimu ahukumiwa miaka 30 kwa ubakaji

Awali imeelezwa mahakamani kuwa mtuhumiwa alitenda makosa hayo kwa nyakati tofauti kuanzia tarehe 16 Julai 2024 ambapo alifanya vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia kwa wanafunzi watano wa kike na mmoja wa kiume, wote wenye umri kati ya miaka 14 na…

16/07/2025, 11:25

‘Kuwatenga hakusaidii kuachana na madawa ya kulevya’

“Ni vyema jamii ikaacha kuwatenga vijana waliojiingiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya na kuwa karibu nao ili kuwawezesha kuacha kutumia dawa hizo na kubadili maisha yao.” Na Abdilhalim Shukran Jamii imeaswa kutowatenga vijana ambao wamejiingiza katika matumizi ya dawa…

16/07/2025, 10:45

Pangani wakiri kuchangia kupungua kwa kiwango cha mvua

“Kuna watu wanasema miti na binadamu inategemeana sasa tukiikata hii miti tutaishije?” Na Catherine Sekibaha Wananchi wilayani Pangani mkoani Tanga wametakiwa kutunza mazingira ili kunusuru hali ya uharibifu iliyopo kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho. Wakizungumza wakati wa…

06/07/2025, 02:06

Je, ni kwanini wanafungiwa ndani?

Elimu jumuishi itasaidia kutoa fursa kwa watoto wenye ulemavu kupata haki zao. Na Cosmas Clement Wazazi na walezi wa watoto wenye ulemavu wilayani Pangani Mkoani Tanga wameaswa kutoa ushirikiano kwa serikali katika kuwafichua watoto wao na kuwapa fursa ya kupata…

26/06/2025, 10:59

Washauriwa kutumia uzi kusafishia meno baada ya kula

“Matumizi ya vijiti visivyofaa kuondolea mabaki ya chakula huchangia maambukizi ya bakteria katika fizi ya binadamu.” JAMII yashauriwa kutumia uzi maalumu wa kusafishia mabaki ya chakula katika meno tofauti na matumizi ya Vijiti visivyofaa. Hayo yameelezwa na mtaalamu wa afya…

26/06/2025, 10:38

Fahamu faida watoto wenye mahitaji maalumu kupata elimu

“lengo la mafunzo hayo ni kuwaibua watoto wenye mahitaji maalumu ili kutambulika na kujumuishwa katika elimu sawa na watoto wengine.” Na Cosmas Clement Halmashauri ya wilaya ya Pangani imeanza utekelezaji wa mpango wa elimu jumuishi chini ya mradi wa Shule…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.