Pangani FM
Pangani FM
10 October 2023, 5:48 pm
“Fanyeni kazi mkiwa na amani, hayo mengine mlionieleza mimi ni mlezi wenu nitakwenda kuyashughulikia.“ Na Saa Zumo Halmashauri ya Pangani mkoani Tanga iko mbioni kupata uhakika wa usafiri wa majini baada ya kufanya mazungumzo na wawekezaji wa usafirishaji wa majini.…
10 October 2023, 2:50 pm
“Magonjwa ya afya ya akili yanatibika iwapo utabaini mapema na kuanza matibabu“ Na Mwandishi wetu Kukosekana kwa elimu ya kutosha kwenye jamii juu ya magonjwa ya afya ya akili kumechangia unyanyapaa kwa watu wanaougua magonjwa hayo. Hayo yamesemwa na mwanasaikologia…
9 October 2023, 2:36 pm
“Tungekuwa tumepata elimu mapema, tungejua wa kulia nae” Na Abdilhalim Shukran Wataalamu wa sekta ya Uvivi wilayani Pangani wametakiwa kushirikiana na wavuvi kuimarisha jitihada za kulinda rasilimali za bahari. Ushauri huo umetolewa na wadau wa sekta ya uvuvi katika wilaya…
8 October 2023, 2:24 pm
“Serikali haiwezi kuwanunulia pikipiki kama hamjajisajili kwenye vikundi” Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga Ndugu Rajabu Abrahaman amezitaka Halmashauri zilizopo ndani ya mkoa wa Tanga kusajili vikundi vya bodaboda ili kuviwezesha kunufaikia na fursa mbalimbali. Ndugu Rajabu ameyasema…
6 October 2023, 2:25 pm
Maji ya mvua yanakuwa salama iwapo tu yatakingwa moja kwa moja wakati wa mvua. Na Mariam Ally Wananchi wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuyatibu maji ya mnvua kabla ya kutumia na kuepukana na dhana kuwa maji hayo ni salama wakati…
6 October 2023, 1:34 pm
Ukimulika nyoka unaanzia miguuni, kwahiyo tumeanza kujenga barabara za mjini kisha tutaenda kujenga za vijijini. Na Maajabu Ally. Uongozi wa Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini TARURA wilaya ya Pangani mkoani Tanga umesema unaendelea kuufungua mji huo kwa kujenga…
21 September 2023, 12:46 pm
“nawaomba wananchi wanaoishi maeneo ambayo yanapitiwa na mafuriko kuhama kabla mvua hazijaanza” Na Maajabu Ally Wananchi wanaoishi katika maeneo ya bondeni Wilayani Pangani Mkoani TANGA wametakiwa kuchukua tahadhari kufuatia taarifa za uwepo wa mvua za El nino Tahadhari hiyo imetolewa…
21 September 2023, 12:10 pm
Ni nafasi pekee kwa wajasiriamali kutambulika na mabenki na fursa ya kupata mikopo. Na Mwandishi wetu. Wajasiriamali wameaswa kushiriki kwenye Maonesho ya Biashara yanayoendelea kwenye Viwanja vya Bomani katika Wilayani Pangani ili kutangaza biashara zao. Meneja wa Benki ya…
21 May 2023, 1:02 pm
Ni muhimu sana kuvaa nguo vizuri kulingana na mazingira yako, mimi navaa tofauti sana nikiwa Uingereza kuliko hapa, Tanzania hasa Pangani kuna waumini wengi wa dini ya Kiislamu, sio vizuri kuvaa kaptura ni muhimu sana kuwa na heshima kwa tamaduni…
19 May 2023, 2:57 pm
Na Saa Zumo Miradi tisa ya kimaendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 1.8 inatarajiwa kukaguliwa katika mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2023 wilayani Pangani mkoani Tanga. Akizungumza katika kikao cha tathmini ya mapokezi ya mwenge wilayani Pangani…
Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.
Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.
To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.
“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”
Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.
Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.