Pangani FM
Pangani FM
17 May 2024, 5:12 pm
Ukusanyaji wa mapato ndiyo msingi wa huduma bora kwa wananchi, watendaji wa halmashauri ongezeni nguvu katika makusanyo. Na Cosmas Clement Halmashauri ya wilaya ya Pangani imesema imefanikiwa kukusanya asilimia 77 ya bajeti ya mapato ya ndani, kupitia mapato lindwa na…
8 May 2024, 10:26 pm
Kabla ya mwezi wa pili zoezi la kuchangia chakula cha shule ya msingi Bushiri lilikuwa likiendelea vizuri na kufikia idadi ya wazazi 200 lakini baada ya kuibwa kwa tenki hilo idadi imepungua kufikia 40. Na Cosmas Clement Baadhi ya wazazi…
8 May 2024, 9:39 am
Miradi ya ujenzi wa barabara na majengo ya zahanati vituo vya afya na hospitali na maji yanalenga kutoa huduma bora kwa wananchi. Na Cosmas Clement Chama cha Mapinduzi mkoa wa Tanga kimesema serikali ya chama hicho inaendelea kutekeleza miradi mbalimbalii…
7 May 2024, 11:50 pm
Shirika la Uzima Kwa Sanaa (UZIKWASA) limeendesha mafunzo ya utengezaji wa majiko banifu kwa wajumbe 6 wa kamati za mazingira zisizopungua saba za wilaya ya Pangani ikiwa ni moja ya afua zake katika mradi wa mazingira na mabadiliko ya tabia…
6 May 2024, 7:36 am
Mnapofanya kazi zenu kwa uhalali serikali inawaona na itawawezesha kukabiliana na changamoto mnazokutana nazo. Na Cosmas Clement Vijana mkoani Tanga wametakiwa kujituma kwa kufanya kazi halali za kujiingizia kipato ili kuwawezesha kusonga mbele kimaendeleo na kupunguza tatizo la vijana kukosa…
27 April 2024, 2:21 pm
Mafanikio ya miradi ya kimkakati miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yanafaa kujivunia. Na Hamisi Makungu Wananchi wa Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuisherehekea Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kujivunia Mafanikio na Miradi…
27 April 2024, 1:09 pm
UZIKWASA imeanza kufanya maboresho ya usikivu wa redio Pangani FM kufuatia athari za mvua zinazoendelea kunyesha. Na Hamisi Makungu Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya jiji la Tanga zimechangia kuathiri mitambo ya Kituo cha Radio Pangani FM iliyopo Mkanyageni…
16 December 2023, 1:58 pm
kukaa kwa pamoja imekuwa ni fursa ya kujifunza kutoka kwa wengine namna ambavyo waliweza kukabiliana na changamoto mbali mbali hali inayowezesha wengine kujifunza jinsi wenzao walivyofanikiwa. Na Catherine Sekibaha. Wadau wa washirika la UZIKWASA wamejivunia kubadilishana uzoefu kupitia mbinu wezeshi…
13 December 2023, 11:26 am
Katika msimu wa uvuvi naweza kupata hata shilingi laki tatu kwa siku kwa kuuza dagaa, pia changamoto ya vijana kuiba yamepungua. Na Cosmas Clement. Kuanza kwa msimu wa uvuvi wa dagaa katika mji wa Pangani kumetajwa kuwa ni fursa nzuri…
13 December 2023, 11:03 am
Matukio mengi ya ukatili kwa wanafunzi hutokea kipindi cha likizo hivyo wazazi wawe makini kuwalinda watoto wao. Na Cosmas Clement. Wazazi na walezi wa wanafunzi wilayani Pangani mkoani Tanga wameaswa kuwa makini na kuimarisha usimamizi kwa watoto wao katika kipindi…
Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.
Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.
To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.
“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”
Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.
Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.