Pangani FM

Recent posts

31/07/2024, 16:33

Kura 17 za ndio zampitisha makamu mwenyekiti Pangani DC

Ni kawaida kila mwaka wa fedha baraza la madiwani hupiga kura kumchagua makamu mwenyekiti wa halmashauri anayeongoza kwa mwaka mmoja. Na Cosmas Clement Baraza la Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Pangani July 31 2024 limempitisha kwa mara nyingine Mheshimiwa…

27/07/2024, 13:19

Wilaya ya Pangani waaswa kutunza mikoko

Misitu ya mikoko ina uwezo mkubwa wa kuchuja hewa ya ukaa kwa wingi ukilinganisha na aina zingine za miti. Na Cosmas Clement Shirika la CAN Tanzania kupitia mradi wa uhifadhi na urejeshaji wa misitu kwa njia za asili na shirikishi,…

25/07/2024, 15:28

Zingatia haya kuimarisha afya yako

Siku ya Afya na Lishe inapaswa kufanyika kwa kila kijiji mara nne kwa mwaka kwa vipindi vya miezi mitatu ili kutoa elimu kwa jamii juu ya milo sahihi. Na Cosmas Clement Wananchi katika kijiji cha Pangani Mashariki wametakiwa kuzingatia lishe…

25/07/2024, 14:50

Wajawazito Pangani waaswa kuwahi kliniki

Mara nyingi wajawazito huchelewa kuanza kliniki ya ujauzito hali inayotajwa kuleta ugumu katika kukabiliana na changamoto zinazoweza kujitokeza. Na Cosmas Clement Wito umetolewa kwa mama wajawazito wilayani Pangani kuanza kliniki mapema ili kupunguza changamoto za kiafya zinazoweza kujitokeza. Akizungumza katika…

25/07/2024, 14:32

Vijana Pangani wakataa uvivu, wajitosa bandarini

Bandari ya mji wa Pangani imeajiri zaidi ya vijana 200 kwa kujihusisha na shughuli za kubeba mizigo. Uwepo wa bandari katika mji wa Pangani mkoani Tanga umetajwa kuongeza fursa ya ujira kwa vijana zaidi ya mia mbili wilayani humu. Wakizungumza…

22/07/2024, 18:00

Wazazi Pangani waaswa kusimamia maadili kwa watoto

Mmonyoko wa maadili kwa watoto imekuwa ni ajenda inayozungumzwa kila uchao kutokana na uwepo wa matukio mbalimbali yanayosababaishwa na mmomonyoko wa maadili katika jamii. Na Hamisi Makungu Mbunge wa Jimbo la Pangani Mhe. Jumaa Hamidu Aweso amewataka akina mama kulipa…

27/06/2024, 22:27

Kilio, fidia kwa baadhi ya wananchi waliopisha barabara

Ujenzi wa barabara ya lami kutoka Tanga yenye urefu wa Km 50 unagharimu shilingi za kitanzania bilioni 66.853 Na Hamisi Makungu Kilio cha Madai ya fidia kwa Wananchi waliochukuliwa maeneo yao kupisha Mradi wa Barabara Tanga-Pangani-Saadani-Bagamoyo bado Donda ndugu. Kilio…

27/06/2024, 21:58

TAKUKURU kuchunguza waliozima POSS wilayani Pangani

Awali katika kikao cha Baraza la Madiwani Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Batilda Buriani aliagiza kuchukuliwa hatua wote waliozima mashine hizo za ukusanyaji wa mapato. Na Hamisi Makungu Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Wilaya ya Pangani…

27/06/2024, 21:37

Shilingi milioni 600 kujenga shule ya Ufundi Pangani

Ujenzi wa shule ya ufundi unatarajiwa kuleta hamasa kwa wanafunzi wa Pangani kujifunza masomo ya sayansi. Na Hamisi Makungu Shule Mpya ya Sekondari ya UFUNDI itakayogharimu kiasi cha Shilingi Milioni 600 inatarajiwa kujengwa Wilayani Pangani katika Mwaka wa Fedha 2024/2025.…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.