Pangani FM
Pangani FM
20/10/2024, 20:49
Miaka ya nyuma katika wilaya ya Pangani vijana wengi wanaohitimu elimu ya msingi ama secondary na kutochaguliwa kuendelea na elimu nje ya Pangani walijikuta wakijiingiza katika shughuli za uvuvi, kilimo, biashara ya mkaa ambayo imepelekea vijana wengi kuachana na familia zao…
15/10/2024, 08:31
Zamani nilikuwa napanda tu mbegu za mazao bila kuzingatia hali ya hewa lakini sasa nimeelewa namna ya kupanda mbegu zinazoendana na hali ya hewa. Na Rajab Mrope Wajumbe wa kamati za huduma za hali ya hewa wilayani Pangani wanatarajia kuendesha…
11/10/2024, 16:27
Mtoto wa kike anapaswa kutambua kwamba jamii inampambania kutimiza malengo yake Na Hamis Makungu Wito umetolewa kwa Mtoto wa kike kupigania haki na malengo aliyojiwekea na kutambua kwamba jamii inamtegemea na iko tayari kumpambania kutimiza malengo yake Wito huo umetolewa…
11/10/2024, 16:09
“Wito wangu kwa wadau ni kutunga sera ambazo zitakuwa na manufaa kwa kizazi cha sasa na baadae” Mwezeshaji kutoka Shirika la UZIKWASA Bwana Nickson Lutenda Na Kokutona Banyikila Jamii imeshauriwa kuendelea kushirikiana na serikali kutengeneza mifumo iliyo salama kwa ajili…
11/10/2024, 15:03
“Changamoto ya afya ya akili inaweza kumkuta mtu yeyote bila kujali cheo au nafasi yake” Mtaalam wa afya ya akili kutoka Hospitali ya Wilaya ya Pangani Vicent Tarimo Na Hamis Makungu Changamoto za kijamii ikiwemo hali ya kimaisha zimetajwa kuchangia…
11/10/2024, 14:43
“Samia wa kesho anajengwa na mzazi, mwalimu na mwanafunzi mwenyewe hivyo tuache tabia ya kutumia lugha ambazo zitawakatisha tamaa watoto wetu kuifikia kesho yenye mafanikio” Dokta Biteko Na Kokutona Banyikila Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dokta Dotto Biteko…
09/10/2024, 15:42
“Nitaendelea kufuatilia matukio ya ukatili na kuhakikisha wahusika wanachukuliwa hatua hatua” Diwani kata ya Madanga Mheshimwa Jumaa Haji Juma“ Na Kokutona Banyikila Wajumbe wa Kamati ya MTAKUWWA kata ya Madanga Wilayani Pangani Mkoani Tanga wameahidi kuendelea kuielimisha jamii juu ya…
08/10/2024, 15:53
Walimu wawaangukia wazazi michango ya chakula shuleni Na Hamis Makungu Michango hafifu ya chakula kwa wanafunzi shuleni na mahudhurio madogo ya wazazi na walezi katika vikao shuleni, kunatajwa kuathiri ujufunzaji wa watoto kitaaluma. Ameyasema hayo Mwalimu Mkuu wa Shule ya…
03/10/2024, 15:20
Watu huvuka ng’ambo moja na nyingine ya mto Pangani kwa ajili ya mahitaji ya kibiashara,shughuli za uzalishaji mali, huduma za kiofisi kama vile ofisi ya halmashauri ya wilaya ya Pangani,huduma za kibenki,hospitali ya wilaya,soko kuu la mkoa Tangamano au stendi…
08/09/2024, 16:08
Baadhi ya wakulima wamelamizika kuazima mashamba ili kuendesha shughuli zao kutokana na mashamba yao kuvamiwa na maji ya mto Msangazi. Wakulima katika kijiji cha Mbulizaga wilayani Pangani wameiomba serikali kuwasaidia kutengeneza ukingo wa mto Msangazi uliopo kijijini hapo ambao ulivunja…
Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.
Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.
To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.
“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”
Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.
Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.