Pangani FM
Pangani FM
15 October 2023, 13:32
“Ni vyema wananchi wakachukua tahadhari wanapoona viashiria vya majanga na pia kuepuka kujenga nyumba kiholela.” Na Catheline Sekibaha Wananchi wilayani Pangani mkoani Tanga wametakiwa kuchukua tahadhari wanapopewa taarifa za uwepo wa viashiria vya matukio ya majanga ya asili ili kuepusha…
13 October 2023, 17:17
“Tumeanza na Wanafunzi wa Shule za Msingi kwasasa tatizo hilo limepungutunajipanga kukabiliana na tatizo la utoro kwa wanafunzi wa sekondari” Diwani kata ya Kimang’a Mheshimiwa SALIMU MWANDARO Na Saa Zumo Wanafunzi tisa wanaosoma elimu ya Sekondari katika Kijiji cha Kimang’a…
12 October 2023, 16:00
Wenza wametakiwa kuzungumza kwa pamoja changamoto wanazokutana nazo kwenye mahusiano ili waweze kupata msaada wa kutatua changamoto hizo. Na Mariam Ally Wakiongea na kituo hiki kupitia kipindi cha Busati la wenza wawezeshaji ngazi ya jamii kutoka katika kijiji cha Mwera…
11 October 2023, 16:49
Picha kwa hisani ya mitandao ya kijamii “Watoto wetu wamekuwa wakibakwa, wamekuwa wakipata mimba za utotoni hili ni eneo ambalo tunataka kusimamia kwa miguu miwili kupaza sauti kwa kushirikiana na wadau wengine ili elimu iwafikie watu wengi na hivi vitendo…
11 October 2023, 16:08
” Siku hii inalipa nguvu Jeshi la Polisi kupaza sauti ya kukabiliana ukatili kwa mtoto wa kike” Na Saa Zumo Jeshi la polisi katika Wilayani Pangani Mkoani Tanga limetoa ahadi ya kuendelea kupaza sauti kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia…
10 October 2023, 17:48
“Fanyeni kazi mkiwa na amani, hayo mengine mlionieleza mimi ni mlezi wenu nitakwenda kuyashughulikia.“ Na Saa Zumo Halmashauri ya Pangani mkoani Tanga iko mbioni kupata uhakika wa usafiri wa majini baada ya kufanya mazungumzo na wawekezaji wa usafirishaji wa majini.…
10 October 2023, 14:50
“Magonjwa ya afya ya akili yanatibika iwapo utabaini mapema na kuanza matibabu“ Na Mwandishi wetu Kukosekana kwa elimu ya kutosha kwenye jamii juu ya magonjwa ya afya ya akili kumechangia unyanyapaa kwa watu wanaougua magonjwa hayo. Hayo yamesemwa na mwanasaikologia…
9 October 2023, 14:36
“Tungekuwa tumepata elimu mapema, tungejua wa kulia nae” Na Abdilhalim Shukran Wataalamu wa sekta ya Uvivi wilayani Pangani wametakiwa kushirikiana na wavuvi kuimarisha jitihada za kulinda rasilimali za bahari. Ushauri huo umetolewa na wadau wa sekta ya uvuvi katika wilaya…
8 October 2023, 14:24
“Serikali haiwezi kuwanunulia pikipiki kama hamjajisajili kwenye vikundi” Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga Ndugu Rajabu Abrahaman amezitaka Halmashauri zilizopo ndani ya mkoa wa Tanga kusajili vikundi vya bodaboda ili kuviwezesha kunufaikia na fursa mbalimbali. Ndugu Rajabu ameyasema…
6 October 2023, 14:25
Maji ya mvua yanakuwa salama iwapo tu yatakingwa moja kwa moja wakati wa mvua. Na Mariam Ally Wananchi wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuyatibu maji ya mnvua kabla ya kutumia na kuepukana na dhana kuwa maji hayo ni salama wakati…
Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.
Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.
To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.
“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”
Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.
Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.