Sibuka FM

Recent posts

22 July 2021, 10:47 am

Maji ya Ziwa Victoria kuleta suruhisho la changamoto ya maji mji wa m…

Mkurugenzi  Mtendaji  wa  mamlaka  ya  maji  na  Usafi wa  mazingira  Maswa- MAUWASA   Mhandisi   Nandi  Mathias  amesema  kuwa   kuanza  kutekelezwa  kwa  mradi  wa  maji  kutoka  ziwa  Victoria  utaondoa  changamoto  ya  Upatikanaji  wa  Maji  katika  katika  Mji  wa  Malampaka  uliopo wilayani  Maswa  …

16 July 2021, 1:37 pm

RC Kafulila awahakikishia wakazi wa kijiji cha Malampaka kutatua Kero za…

Mkuu  wa  Mkoa  wa  Simiyu    Mh   David Kafulila amewahakikishia  wananchi  wa   Malampaka  na   mkoa   wa  Simiyu kutatua  Kero  zote  zinazowakabili   ili kuendana  na  kasi  ya  Rais   wa   awamu  ya  Sita  Mh, Samia   Suluhu   Hasani. Mh,   Kafulila  amesema  hayo  wakati  akizungumza …

15 July 2021, 12:35 pm

Wananchi wilayani Maswa Mkoani Simiyu walalamikia upatikanaji wa huduma…

Mkuu  wa  mkoa  wa  simiyu  Mh  Davidi  Zacharia  Kafulila  amemuagiza  mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mh ,   Aswege  Kaminyoge  Kufuatilia  Changamoto  ya  mama  wajawazito  wanaoenda  kujifungua  katika  Hospitali  ya  wilaya  ya  Maswa  kutozwa  Fedha. Maagizo  hayo  ameyatoa  wakati  wa  Mkutano …

6 July 2021, 11:57 am

Simiyu yazindua Mkakati wa kuongeza Tija katika zao la Pamba.

Mkoa  wa  Simiyu  Umezindua  Kampeni  ya  kuongeza  Tija  katika   zao  la  Pamba  ili   kuwainua  wakulima  Kiuchumi. Kampeni  hiyo   imezinduliwa  na  Waziri  wa  Kilimo    Profesa    Adolf  Mkenda  na  kusema  kuwa  Serikali  haiwezi  kuamua   Bei  ya  Pamba  katika  Soko  la  Dunia  na …

24 June 2021, 10:05 am

RC Simiyu aagiza kusimamishwa kazi Daktari aliyesababisha kifo cha Mam…

Mkuu  wa mkoa  wa  Simiyu   Mh  David   Kafulila  amemuagiza  Mkurugenzi  Mtendaji  wa  Halmashauri   ya  wilaya  ya  Maswa   kumsimamisha  kazi   mganga  Mfawidhi  wa   Zahati  ya  Senani   iliyopo  kata  ya  Senani  wilayani  hapa   Ally  Soud   kwa  kusababisha   Kifo  cha  Mama  na  Mtoto …

23 June 2021, 10:15 am

Mradi wa Chujui la Maji Maswa wanufaisha wakazi zaidi ya Laki moja.

Zaidi  ya   wakazi  Laki  moja  wa  Mji  wa  Maswa  na  vijiji  jirani  wamenufaika   na  Mradi  wa    Mtambo  wa  kutibu  na  Kusafisha   Maji. Hayo  yamesemwa  na  Mkurugenzi  Mtendaji  wa  Mamlaka  ya  Maji  na  Usafi  wa  Mazingira  Maswa-MAUWASA   Mhandisi    Nandi  Mathias …

23 June 2021, 9:55 am

Wilaya ya Maswa yaadhimisha siku ya mtoto wa Afrika kipekee.

Jamii  Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu   imeaswa  kushirikiana  na  vyombo  vya  kisheria  katika  kuhakikisha   inatokomeza  ukatili  kwa  watoto. Kauli  hiyo  imetolewa  na   Afisa  tarafa, tarafa  ya  Nughu  Ndugu Venance  Saria  kwa   niaba   ya  mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mh,  Aswege  Kaminyoge …

28 May 2021, 11:30 am

Jumla ya Vijiji 45 vya Wilaya ya Maswa kunufaika na TASAF awamu…

Jumla  ya  vijiji  Arobaini  na  tano  vilivyopo  Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  vinatarajiwa  kunufaika   na  Mfuko wa  maendeleo  ya  Jamii i – TASAF  kwa  awamu  ya  tatu  kipindi  cha  Pili. Hayo  yameelezwa  na  Mratibu  wa  TASAF  wilaya  ya  Maswa   Bi, Grace …

23 May 2021, 8:07 am

chama cha mapinduzi (ccm) mkoa wa simiyu chapata mwenyekiti mpya

Chama Cha Mapinduzi (CCM)  mkoa wa Simiyu leo kimefanya uchaguzi  wa kumpata mwenyekiti wa chama hicho ili kuziba nafasi ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho  Enock Yakobo aliyefariki februari 23 ,2021. Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo msimamizi wa uchaguzi huo…

22 May 2021, 8:58 pm

jeshi la polisi lawashikilia watano kwa mauaji simiyu

Jeshi la polisi mkoa wa Simiyu linawashikilia watu watano kwa tuhuma za  mauaji ya mtu mmoja. Hayo yamesemwa na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Simiyu ACP Richard Abwao wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari na kuongeza kuwa…

18 May 2021, 10:30 am

Waziri Mashimba Ndaki akabidhi viti na Meza Shule za Sekondari kwenye…

Waziri  wa  Mifugo  na  Uvuvi na  Mbunge  wa  Jimbo  la   Maswa  Magharibi  mkoani  Simiyu  Mh, Mashimba  Ndaki  amekabidhi  Viti  na  Meza  kwa  ajili  ya  wanafunzi  vyenye  thamani  ya  shilingi  Milioni  Kumi  na  nane  ili  kuondoa  Changamoto  ya  Wanafunzi  kukaa  chini.…

13 May 2021, 10:25 am

DC Maswa awaasa madiwani kusimamia miradi ya Maendeleo inayotolewa na S…

Mkuu  wa  wilaya  ya  Maswa  Mkoani  Simiyu  Aswege  Kaminyoge  amewataka  Madiwani  kusimamia  Miradi  na  kufuatilia   maendeleo  inayotolewa  na  Serikali  katika  maeneo  yao.. Kauli  hiyo  ameitoa  wakati  akitoa  Salamu  za  Serikali  katika  kikao  cha  Baraza  la  Madiwani  lililofanyika  katika  ukumbi  wa …

11 May 2021, 1:24 pm

Wananchi wapewa mbinu za kukabiliana na Tembo vamizi.

Wananchi  wilayani  Meatu  Mkoani   Simiyu  wameaswa  kushirikiana   na  wataalamu  wa   Wanyama pori  ili  kudhibiti  Uharibifu unaofanywa na  wanyama  katika  maeneo  yanayozungukwa  na  Hifadhi za  wanyama. Wito  huo  umetolewa  na  mwakilishi  wa  Mkurugenzi  idara  ya  Wanyama Pori  kutoka  Wizara  ya  Maliasili …

11 May 2021, 8:13 am

TMDA UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU BADO NI CHANGAMOTO

Meneja wa mamlaka ya dawa na vifaa tiba (TMDA) Sofia Mziray amesema bado kuna changamoto ya utunzaji wa kumbukumbu dawa zenye madhara ya kulevya. Ameyasema hayo  kwenye kikao kazi kilichowakutanisha watumishi wa sekta ya afya na mifugo  ambacho kimefanyika kwa…

10 May 2021, 5:42 pm

ZAIDI YA WATOTO LAKI NNE KUPATIWA KINGATIBA SIMIYU

Zaidi ya watoto 400,000 wenye umri wa kwenda shule watapatiwa kingatiba mkoani Simiyu lengo likiwa kuwakinga na magonjwa ya kichocho na minyoo tumbo. Hayo yamesemwa na mratibu wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele kutoka mkoa wa Simiyu Dkt Ntugwa Nyorobi wakati…

27 April 2021, 8:47 pm

MARA:UTALII WA NDANI WAONGEZA LICHA YA COVID-19

Idadi ya watalii wa ndani kutembelea na kujionea vivutio mbalimbali imeendelea kuongezeka mwaka hadi mwaka katiaka hifadhi ya taifa ya Serengeti iliyopo mkoani Mara licha uwepo wa changamoto wa janga la Covid-19 ambapo nchi mbalimbali ulimwengu zinakabiliana na janga hili.…

20 April 2021, 10:28 am

Zaidi ya Ng’ombe laki tatu kuchanjwa wilayani Maswa

Zaidi  ya   Ng’ombe  laki   tatu  wilayani  Maswa  mkoani  Simiyu   zinatarajiwa  kuchanjwa   ili  kudhibiti  Magonjwa  ya   Mifugo  ikiwemo  Ugonjwa  wa  Mapele  ya   ngozi  ili   kuboresha  bidhaa ya  ngozi  na  Ushindani  wa  Soko.. Akitoa  taarifa  kwa  Mkuu  wa  wilaya  ya  Maswa   Mh…

19 April 2021, 5:09 pm

Vifo vitokanavyo na Uzazi vyapungua Wilayani Maswa

Vifo  vitokanavyo  na  Uzazi  wilayani  Maswa  mkoani  Simiyu vimepungua  kutoka vifo  12  kwa  mwaka  2018  hadi  kufikia  vifo  3  kwa  mwaka  2020. Takwimu  hizo  zimetolewa  na  Mratibu  wa  Huduma  ya  Mama  ya  mtoto  kutoka  Hospitali  ya  wilaya ya  Maswa  Angella …

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!