Recent posts
22 July 2021, 10:47 am
Maji ya Ziwa Victoria kuleta suruhisho la changamoto ya maji mji wa m…
Mkurugenzi Mtendaji wa mamlaka ya maji na Usafi wa mazingira Maswa- MAUWASA Mhandisi Nandi Mathias amesema kuwa kuanza kutekelezwa kwa mradi wa maji kutoka ziwa Victoria utaondoa changamoto ya Upatikanaji wa Maji katika katika Mji wa Malampaka uliopo wilayani Maswa …
17 July 2021, 5:18 pm
Ded Maswa hakuna upungufu wa panadol kama inavyosambaa katika mitandao ya kijami…
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Dr.Fredrick Sagamiko amewaomba watanzania kupuuza taarifa ambayo inasambaa kwenye mitandao ya kijamii juu ya ukosefu wa dawa aina ya Panadol katika hospitali ya wilaya ya Maswa . Taarifa ya kutokupatikana…
16 July 2021, 1:37 pm
RC Kafulila awahakikishia wakazi wa kijiji cha Malampaka kutatua Kero za…
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh David Kafulila amewahakikishia wananchi wa Malampaka na mkoa wa Simiyu kutatua Kero zote zinazowakabili ili kuendana na kasi ya Rais wa awamu ya Sita Mh, Samia Suluhu Hasani. Mh, Kafulila amesema hayo wakati akizungumza …
15 July 2021, 12:35 pm
Wananchi wilayani Maswa Mkoani Simiyu walalamikia upatikanaji wa huduma…
Mkuu wa mkoa wa simiyu Mh Davidi Zacharia Kafulila amemuagiza mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh ,  Aswege Kaminyoge Kufuatilia Changamoto ya mama wajawazito wanaoenda kujifungua katika Hospitali ya wilaya ya Maswa kutozwa Fedha. Maagizo hayo ameyatoa wakati wa Mkutano …
6 July 2021, 11:57 am
Simiyu yazindua Mkakati wa kuongeza Tija katika zao la Pamba.
Mkoa wa Simiyu Umezindua Kampeni ya kuongeza Tija katika zao la Pamba ili kuwainua wakulima Kiuchumi. Kampeni hiyo imezinduliwa na Waziri wa Kilimo Profesa Adolf Mkenda na kusema kuwa Serikali haiwezi kuamua Bei ya Pamba katika Soko la Dunia na …
24 June 2021, 10:05 am
RC Simiyu aagiza kusimamishwa kazi Daktari aliyesababisha kifo cha Mam…
Mkuu wa mkoa wa Simiyu  Mh David  Kafulila amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri  ya wilaya ya Maswa  kumsimamisha  kazi  mganga Mfawidhi wa  Zahati ya Senani  iliyopo kata ya Senani wilayani hapa   Ally Soud   kwa kusababisha  Kifo cha Mama na Mtoto …
23 June 2021, 10:15 am
Mradi wa Chujui la Maji Maswa wanufaisha wakazi zaidi ya Laki moja.
Zaidi ya wakazi Laki moja wa Mji wa Maswa na vijiji jirani wamenufaika na Mradi wa Mtambo wa kutibu na Kusafisha Maji. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Maswa-MAUWASA  Mhandisi   Nandi Mathias …
23 June 2021, 9:55 am
Wilaya ya Maswa yaadhimisha siku ya mtoto wa Afrika kipekee.
Jamii Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeaswa kushirikiana na vyombo vya kisheria katika kuhakikisha inatokomeza ukatili kwa watoto. Kauli hiyo imetolewa na  Afisa tarafa, tarafa ya Nughu Ndugu Venance Saria kwa  niaba  ya mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh, Aswege Kaminyoge …
28 May 2021, 11:30 am
Jumla ya Vijiji 45 vya Wilaya ya Maswa kunufaika na TASAF awamu…
Jumla ya vijiji Arobaini na tano vilivyopo Wilayani Maswa Mkoani Simiyu vinatarajiwa kunufaika na Mfuko wa maendeleo ya Jamii i – TASAF kwa awamu ya tatu kipindi cha Pili. Hayo yameelezwa na Mratibu wa TASAF wilaya ya Maswa Bi, Grace …
23 May 2021, 8:07 am
chama cha mapinduzi (ccm) mkoa wa simiyu chapata mwenyekiti mpya
Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Simiyu leo kimefanya uchaguzi wa kumpata mwenyekiti wa chama hicho ili kuziba nafasi ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho Enock Yakobo aliyefariki februari 23 ,2021. Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo msimamizi wa uchaguzi huo…
22 May 2021, 8:58 pm
jeshi la polisi lawashikilia watano kwa mauaji simiyu
Jeshi la polisi mkoa wa Simiyu linawashikilia watu watano kwa tuhuma za mauaji ya mtu mmoja. Hayo yamesemwa na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Simiyu ACP Richard Abwao wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari na kuongeza kuwa…
18 May 2021, 10:30 am
Waziri Mashimba Ndaki akabidhi viti na Meza Shule za Sekondari kwenye…
Waziri wa Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi mkoani Simiyu Mh, Mashimba Ndaki amekabidhi Viti na Meza kwa ajili ya wanafunzi vyenye thamani ya shilingi Milioni Kumi na nane ili kuondoa Changamoto ya Wanafunzi kukaa chini.…
13 May 2021, 10:25 am
DC Maswa awaasa madiwani kusimamia miradi ya Maendeleo inayotolewa na S…
Mkuu wa wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amewataka Madiwani kusimamia Miradi na kufuatilia maendeleo inayotolewa na Serikali katika maeneo yao.. Kauli hiyo ameitoa wakati akitoa Salamu za Serikali katika kikao cha Baraza la Madiwani lililofanyika katika ukumbi wa …
11 May 2021, 1:24 pm
Wananchi wapewa mbinu za kukabiliana na Tembo vamizi.
Wananchi wilayani Meatu Mkoani Simiyu wameaswa kushirikiana na wataalamu wa Wanyama pori ili kudhibiti Uharibifu unaofanywa na wanyama katika maeneo yanayozungukwa na Hifadhi za wanyama. Wito huo umetolewa na mwakilishi wa Mkurugenzi idara ya Wanyama Pori kutoka Wizara ya Maliasili …
11 May 2021, 8:13 am
TMDA UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU BADO NI CHANGAMOTO
Meneja wa mamlaka ya dawa na vifaa tiba (TMDA) Sofia Mziray amesema bado kuna changamoto ya utunzaji wa kumbukumbu dawa zenye madhara ya kulevya. Ameyasema hayo kwenye kikao kazi kilichowakutanisha watumishi wa sekta ya afya na mifugo ambacho kimefanyika kwa…
10 May 2021, 5:42 pm
ZAIDI YA WATOTO LAKI NNE KUPATIWA KINGATIBA SIMIYU
Zaidi ya watoto 400,000 wenye umri wa kwenda shule watapatiwa kingatiba mkoani Simiyu lengo likiwa kuwakinga na magonjwa ya kichocho na minyoo tumbo. Hayo yamesemwa na mratibu wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele kutoka mkoa wa Simiyu Dkt Ntugwa Nyorobi wakati…
27 April 2021, 8:47 pm
MARA:UTALII WA NDANI WAONGEZA LICHA YA COVID-19
Idadi ya watalii wa ndani kutembelea na kujionea vivutio mbalimbali imeendelea kuongezeka mwaka hadi mwaka katiaka hifadhi ya taifa ya Serengeti iliyopo mkoani Mara licha uwepo wa changamoto wa janga la Covid-19 ambapo nchi mbalimbali ulimwengu zinakabiliana na janga hili.…
20 April 2021, 10:28 am
Zaidi ya Ng’ombe laki tatu kuchanjwa wilayani Maswa
Zaidi ya Ng’ombe laki tatu wilayani Maswa mkoani Simiyu zinatarajiwa kuchanjwa ili kudhibiti Magonjwa ya Mifugo ikiwemo Ugonjwa wa Mapele ya ngozi ili kuboresha bidhaa ya ngozi na Ushindani wa Soko.. Akitoa taarifa kwa Mkuu wa wilaya ya Maswa  Mh…
19 April 2021, 5:09 pm
Vifo vitokanavyo na Uzazi vyapungua Wilayani Maswa
Vifo vitokanavyo na Uzazi wilayani Maswa mkoani Simiyu vimepungua kutoka vifo 12 kwa mwaka 2018 hadi kufikia vifo 3 kwa mwaka 2020. Takwimu hizo zimetolewa na Mratibu wa Huduma ya Mama ya mtoto kutoka Hospitali ya wilaya ya Maswa Angella …
16 April 2021, 11:28 am
MALALAMIKO YA WACHIMBAJI WA MADINI, MGODI WA BULUMBAKA BARIADI YASHUGHULIKIWE.
Uongozi wa mkoa wa Simiyu umetoa siku saba kwa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi na Ofisi ya Madini Mkoa wa Simiyu kupitia malalamiko na hoja zote za wachimbaji wadogo, wamiliki wa mashamba na wadau wengine katika mgodi wa…