Pangani FM
Pangani FM
3 October 2024, 3:20 pm
Watu huvuka ng’ambo moja na nyingine ya mto Pangani kwa ajili ya mahitaji ya kibiashara,shughuli za uzalishaji mali, huduma za kiofisi kama vile ofisi ya halmashauri ya wilaya ya Pangani,huduma za kibenki,hospitali ya wilaya,soko kuu la mkoa Tangamano au stendi…
8 September 2024, 4:08 pm
Baadhi ya wakulima wamelamizika kuazima mashamba ili kuendesha shughuli zao kutokana na mashamba yao kuvamiwa na maji ya mto Msangazi. Wakulima katika kijiji cha Mbulizaga wilayani Pangani wameiomba serikali kuwasaidia kutengeneza ukingo wa mto Msangazi uliopo kijijini hapo ambao ulivunja…
8 September 2024, 1:54 pm
Tangu shirika la UZIKWASA lilipoanza kutoa elimu ya utengenezaji wa majiko banifu jamii imeonesha uhitaji mkubwa wa majiko hayo kutokana na kutumia kuni chache hivyo kuanzisha fursa mpya ya ujira kwa wanajamii wilayani Pangani. Na Cosmas Clement Wajumbe wa kamati…
2 September 2024, 6:30 pm
Kijiji cha Kipumbwi miongoni mwa vijiji vinavyoongoza kwa ukusanyaji wa mapato katika halmashauri ya wilaya ya Pangani, ina choo kimoja cha wageni chenye matundu 11. Na Cosmas Clement Wananchi wa Kijiji cha Kipumbwi wilayani Pangani wameiomba serikali kujenga vyoo kwa…
30 August 2024, 10:10 pm
Shirika la Uzima kwa Sanaa (UZIKWASA) limekuwa likifanya kazi ya kuwezesha jamii juu ya masuala ya kijinsia ndani na nje ya wilaya ya Pangani. Na Majabu Madiwa Kikao cha mwaka cha mashirika yasiyo ya kiserikali chafanyika mkoani Tanga huku mashirika…
29 August 2024, 3:17 pm
Uhalifu wa kimtandao umekuwa ukichukua sura mpya siku hadi siku ingawa serikali imekuwa ikichukua hatua mbalimbali kukabiliana nao. Na Cosmas Clement Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) amewaasa wanajamii kuwa makini na matumizi ya mitandao ili kulinda usalama wa mali zao…
29 August 2024, 12:27 pm
Shirika la Uzima Kwa Sanaa (UZIKWASA) limekuwa likiwezesha kundi hilo la bodaboda wilayani Pangani hivyo kuwezesha kubadili tabia za vijana hao ambao awali baadhi yao walikuwa wakihusishwa na vitendo vya ukatili kwa wasichana. Na Majabu Ally Bodaboda wilayani Pangani mkoani…
16 August 2024, 1:57 pm
Kutoka kushoto mwenye shati la kijivu mikono mirefu ni afisa mazingira halmashauri ya wilaya ya Pangani akiwa katika kituo cha redio Pangani FM. Serikali imekuwa ikiendelea kutekeleza mkakati wa matumizi ya nishati safi kwa kushirikiana na mashirika na wadau mbalimbali…
8 August 2024, 6:21 pm
Mpaka sasa ni miaka kumi na tatu tangu Pangani FM ilipoanza kurusha matangazo mwaka 2011. Na Majabu Ally Waziri wa Maji na Mbunge wa jimbo la Pangani Mh. Jumaa Hamidu Aweso ameipongeza Pangani FM kwa kutimiza miaka kumi na tatu…
8 August 2024, 5:39 pm
Pangani FM ilianza kurusha matangazo yake rasmi tarehe 08 Agosti 2011 ikiwezesha jamii katika masuala ya kijamii, kiuchumi na kiutamaduni ikitumika kama daraja kati ya wanajamii na viongozi wao. Na Kokutona Banyikila Ikiwa leo kituo cha matangazo cha Pangani FM…
Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.
Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.
To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.
“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”
Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.
Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.