Pangani FM
Pangani FM
11 February 2025, 11:57 am
Na Amina Sadick
11 February 2025, 11:25 am
Na Saa Zumo Mabadiliko ya Tabia Nchi yametajwa kuathiri makusanyo ya zao la PWEZA Kijiji cha Ushongo Wilayani Pangani mkoani Tanga. Hayo yanajiri baada ya viongozi wa Kijiji cha Ushongo kwa kushirikiana na wadau katika sekta ya uvuvi kuweka mkakati…
4 February 2025, 2:13 pm
Mvua za msimu wa kilimo cha mwaka zilitabiriwa kuanza wiki za mwanzoni mwa mwaka mwezi Machi mwaka huu 2025. Na Hamisi Makungu Wakulima katika Wilaya ya Pangani mkoani Tanga wametakiwa kuhakikisha wanaandaa mashamba yao mapema kabla ya kuanza kwa msimu…
4 February 2025, 1:36 pm
Ni mara ya kwanza kwa Dr. Samia Suluhu Hasan kutembelea wilaya ya Pangani tangu alipoapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Na Maajabu Madiwa Watumishi Wilayani Pangani Mkoani Tanga wameaswa kutoa huduma kwa kukidhi maratajio ya wananchi. Rai…
11 December 2024, 4:50 pm
Mhe. Aweso ametoa Fedha hizo Kwa ajili ya motisha na zawadi kwa waandishi wa habari wa Pangani FM Baada ya kufanya vema katika tuzo za EJAT. Na Mwandishi wetu Leo, December 11 2024, Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Pangani,…
22 November 2024, 12:09 pm
Imezoeleka sana kuwa bidhaa inapotumika mabaki yake hutupwa kwa kuwa yanaonekana kuisha kwa thamani yake ya awali hivyo kuzagaa mtaani na kuifanya mitaa ya miji na hata katika vyanzo vya maji kujaa taka jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa…
13 November 2024, 12:16 pm
Tumeona tuongelee magonjwa ya kisukari na pressure ya juu kutokana na magonjwa haya kuongezeka kwa kasi katika jamii yetu ya Pangani Na Hamis Makungu Mtindo wa Maisha usiofaa umeendele kuchangia ongezeko la Magonjwa yasiyoambukiza hasa kwa wanawake Wilayani Pangani. Akizungumza…
29 October 2024, 11:16 pm
katika makala hii utawasikiliza jinsi wanawake wanavyoimarisha shughuli zao za uzalushaji kutokana nishati kuwapunguzia muda wa kutafuta kuni hivyo kuongeza kipato Cha wakinamama Sikiliza hapa makala ilivyoandaliwa na Majabu Madiwa
29 October 2024, 10:50 pm
Baadhi ya mabinti wakiendelea kufuatilia masomo. Picha na Majabu Madiwa Mabinti waliokatiza masomo yao kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ujauzito wanaonekana kuridhia kurejea kuendelea na masomo baada ya kutolewa fursa ya kurejea shule iliyotolewa na serikali chini ya Rais Dokta…
29 October 2024, 6:40 pm
Wakazi wa kata ya Madanga ni miongoni mwa wanufaika wa huduma za afya zinazotolewa katika kituo cha afya Madanga kilichojengwa kwa fedha za makato ya tozo za miamala ya simu. Katika makala wananchi wanaelezea jinsi mpango huo wa serikali ulivyowasaidia.…
Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.
Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.
To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.
“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”
Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.
Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.