Pangani FM

Recent posts

11 February 2025, 11:25 am

Mabadiliko tabianchi yatajwa kuathiri mapato ya zao la pweza

Na Saa Zumo Mabadiliko ya Tabia Nchi yametajwa kuathiri makusanyo ya zao la PWEZA Kijiji cha Ushongo Wilayani Pangani mkoani Tanga. Hayo yanajiri baada ya viongozi wa Kijiji cha Ushongo kwa kushirikiana na wadau katika sekta ya uvuvi kuweka mkakati…

4 February 2025, 2:13 pm

Wakulima Pangani waaswa kuandaa mashamba mapema

Mvua za msimu wa kilimo cha mwaka zilitabiriwa kuanza wiki za mwanzoni mwa mwaka mwezi Machi mwaka huu 2025. Na Hamisi Makungu Wakulima katika Wilaya ya Pangani mkoani Tanga wametakiwa kuhakikisha wanaandaa mashamba yao mapema kabla ya kuanza kwa msimu…

4 February 2025, 1:36 pm

Pangani yajipanga kumpokea Dkt. Samia

Ni mara ya kwanza kwa Dr. Samia Suluhu Hasan kutembelea wilaya ya Pangani tangu alipoapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Na Maajabu Madiwa Watumishi Wilayani Pangani Mkoani Tanga wameaswa kutoa huduma kwa kukidhi maratajio ya wananchi. Rai…

22 November 2024, 12:09 pm

Taka ngumu zinavyoibua fursa ya ajira Pangani-Makala

Imezoeleka sana kuwa bidhaa inapotumika mabaki yake hutupwa kwa kuwa yanaonekana kuisha kwa thamani yake ya awali hivyo kuzagaa mtaani na kuifanya mitaa ya miji na hata katika vyanzo vya maji kujaa taka jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa…

13 November 2024, 12:16 pm

Wanawake waongoza kwa magonjwa yasiyoambukiza Pangani

Tumeona tuongelee magonjwa ya kisukari na pressure ya juu kutokana na magonjwa haya kuongezeka kwa kasi katika jamii yetu ya Pangani Na Hamis Makungu Mtindo wa Maisha usiofaa umeendele kuchangia ongezeko la Magonjwa yasiyoambukiza hasa kwa wanawake Wilayani Pangani. Akizungumza…

29 October 2024, 10:50 pm

Mabinti waliokatisha masomo kwa ujauzito wanavyorejea shule

Baadhi ya mabinti wakiendelea kufuatilia masomo. Picha na Majabu Madiwa Mabinti waliokatiza masomo yao kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ujauzito wanaonekana kuridhia kurejea kuendelea na masomo baada ya kutolewa fursa ya kurejea shule iliyotolewa na serikali chini ya Rais Dokta…

29 October 2024, 6:40 pm

Makala: Makato tozo miamala ya simu na huduma za afya Madanga

Wakazi wa kata ya Madanga ni miongoni mwa wanufaika wa huduma za afya zinazotolewa katika kituo cha afya Madanga kilichojengwa kwa fedha za makato ya tozo za miamala ya simu. Katika makala wananchi wanaelezea jinsi mpango huo wa serikali ulivyowasaidia.…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.