Pangani FM
Pangani FM
27/05/2025, 11:44
“Tumeanzisha ufugaji wa nyuki ili kulinda msitu wetu, nyuki ana kipato kuliko kukata mti na kuchana mbao au mkaa.” Na Cosmas Clement Kijiji cha Mtonga kilichopo wilayani Pangani ni miongoni mwa vijiji vilivyoathiriwa na shughuli za ukataji wa misitu kwa…
12/05/2025, 11:59
Miaka mitatu iliyopita kijiji cha Kigurusimba kilichopo wilayani Pangani, kilikuwa ni miongoni mwa vijiji vilivyokuwa hatarini kwa magonjwa ya mlipuko kutokana na kaya nyingi kutokuwa na vyoo bora. Na Cosmas Clement Wajumbe wa kamati ya MTAKUWWA ya kijiji cha Kigurusimba…
08/05/2025, 14:32
Na Cosmas Mwamposa & Catherine Sekibaha Mpango wa matumizi bora ya ardhi, ni miongoni mwa sheria zinazogawa kwa usawa maeneo ya kijiji, ama mji kulingana na mahitaji ya eneo husika. Mpango husaidia matumizi endeleevu ya rasilimali zilizopo katika eneo husika.…
14/04/2025, 12:04
Asilimia kubwa ya wanafunzi katika maeneo yanayopakana na bahari hususan kijiji cha Kipumbwi wanaacha shule ili kutafuta maisha kwa shughuli za kupara samaki na uvuvi hivyo kuchangia mdondoko katika baadhi ya shule wanazosomea. Mwandishi wetu Saa Zumo ametuandalia makala ifuatayo.…
24/02/2025, 15:44
Katika Wilaya ya Pangani Mheshimiwa Rais pamoja na mambo mengine ataongea na wananchi katika uwanja wa Kumba kuanzia saa mbili kamili asubuhi hivyo wananchi mnaaswa kufika mapema kuumlaki mgeni wetu Mkuu wa (W) Pangani Bi Gift Msuya Na Maajab Ally…
22/02/2025, 19:57
Tunapofanya shughuli ambazo si rafiki kwa mazingira kandokando ya vyanzo vya maji tunaweza kusababisha maji kukauka au vyanzo hivyo kupotea. Na Catherine Sekibaha Wananchi wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuacha kufanya shughuli zinazochangia uharibifu wa vyanzo maji pembezoni mwa Mito…
21/02/2025, 15:38
mama tunakukaribisha sana Pangani, lakini tunaomba utukamilishie barabara ya Tanga-Pangani -Saadan na Daraja la mto Pangani NA abdillahim Shukran Washuku Baadhi ya wakazi wa wilaya ya Pangani Mkoani Tanga wameelezea shauku yao kufuatia ziara ya Rais wa Tanzania Dokta Samia…
21/02/2025, 10:55
Nitoe wito kwa vijana kujitokeza kwa wingi kuudhuria mafunzo haya kwasababu mpaka sasa wenzetu kutoka nje ya wilaya ya Pangani wameishafika kwa ajili ya kuudhuria mafunzo haya Na Abdillahim Shukran Washuku Waumini wa dini ya kiislam katika wialaya Pangani mkoani…
20/02/2025, 15:36
Awali tulikuwa watumishi wawili Dakatari na Nesi lakini kwasasa serikali imeongeza watumishi na tupo wanne angalau changamoto ya kutoa huduma imepungua. Na Maajabu Ally Wananchi wa kata ya Kimang’a Wilayani Pangani Mkoani Tanga wamelishukuru shirika la UZIKWASA kwa kuwezesha uwajibikaji…
20/02/2025, 13:30
Viongozi tuendelee katika zoezi hilo ili kuendelea kuwa mfano bora ndani ya jamii Na Hamis Makungu Wananchi na viongozi katika Kata ya Mkalamo Wilayani Pangani wametakiwa kushiriki zoezi la usafi wa mazingira unaofanyika kila siku ya Jumamosi Wito huo umetolewa…
Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.
Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.
To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.
“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”
Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.
Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.