

7 January 2021, 5:04 pm
Madiwani wa kata 14 za wilaya ya Pangani Mkoani Tanga pamoja na viongozi wa Halmashauri (w) wameshiriki katika mafunzo ya ‘uongozi wa mguso yanayoratibiwa na shirika la UZIKWASA lililopo wilayani humo. Mafunzo hayo yanayolenga Kumwezesha kiongozi kujimulika mwenyewe,kutafakari na katika…
7 January 2021, 4:45 pm
Kufuatia mjadala uliogusa hisia za wadau wa Soka Wilayani Pangani baada ya kauli ya Kocha wa Timu ya Sakura Kids kuwa Moja ya vitu vinavyoua Soka la Pangani ni tabia ya Timu za Pangani kutumia Idadi kubwa ya Wachezaji toka…
7 January 2021, 9:16 am
Mwanamke mmoja mkazi wa kijiji cha Kwakibuyu Wilayani Pangani Mkoani Tanga amejifungua watoto mapacha watatu siku ya Januari Mosi 2021. Pangani FM imemfikia Mwanamke huyo na kufanya naye mahojiano akiwa katika wodi ya wazazi ya Hospitali ya Wilaya ya Pangani.…
5 January 2021, 3:22 pm
Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii imefanikiwa kutoa Mikopo ya zaidi ya Shilingi Milioni 65 kwa Wanawake, Vijana na Walemavu katika kipindi cha nusu ya Mwaka wa fedha 2020/21. Akizungumza katika mahojiano maalum…
4 January 2021, 2:09 pm
Suala la malezi pamoja wazazi kujitoa kwenye elimu linatajwa kama nyenzo katika kuhakikisha mtoto anafanya vizuri shuleni. Hayo yameelezwa na wazazi wa Mwanafunzi aliyeshika nafasi ya Kwanza katika Mtihani wa Darasa la Saba mwaka 2020 Wilayani Pangani. Sikiliza hapa taarifa…
4 January 2021, 1:25 pm
Jeshi la Polisi wilayani Pangani Mkoani Tanga linawashikilia Vijana watatu wakazi wa Pangani Mjini kwa kosa la kupiga Baruti usiku wa kuamkia 1/1/2021 katika eneo la Mnyongeni kwa Mfuga Mbwa Hayo yamezungumzwa na kamanda wa Polisi wilaya ya Pangani Mrakibu…
1 January 2021, 7:52 pm
Uongozi wa Kitongoji cha Kipumbwi Mji Mpya kilichopo Kijiji cha Kipumbwi Wilayani Pangani Mkoani Tanga wamepokea Kontena litakalotumika kama Ofisi ya bandari hiyo. Akithibitisha kupokea kontena hilo kwa niaba ya Mwenyekiti wa Kijiji hicho, Bwana JUMBE MRISHO ambaye ni Mwenyekiti…
1 January 2021, 7:04 pm
Uongozi wa Pangani FM umemtembelea mjane wa aliyekuwa mdau wake bwana Omari S. Mahamba ambaye amefariki mwishoni mwa mwaka 2020. Msafara huo wa umbali wa zaidi ya Kilomita 50 toka wilayani Pangani mpaka wilayani Handeni Mkoani Tanga umefanyika tarehe 31…
1 January 2021, 6:24 pm
Zoezi la utafiti wa awali kwa ajili ya Ujenzi wa Soko la Samaki katika kata ya Kipumbwi Wilayani Pangani Mkoani Tanga limeanza hapo jana kwa wataalam kutoka wizara ya Mifugo na Uvuvi kutembelea eneo linaloratajiwa kufanyika ujenzi wa mradi huo.…
3 December 2020, 12:58 pm
Jeshi la Polisi wilayani Pangani mkoani Tanga, limeitaka jamii kushiriki kikamilifu kutoa ushahidi pale ambapo mwananchi atakuwa ameshuhudia tukio fulani la ukatili au uhalifu wowote ili kesi ziweze kufikia mwisho. Wito huo umetolewa na Mkuu wa upelelezi wilaya ya Pangani…
Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.
Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.
To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.
“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”
Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.
Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.