Pangani FM
Pangani FM
6 July 2025, 2:06 am
Elimu jumuishi itasaidia kutoa fursa kwa watoto wenye ulemavu kupata haki zao. Na Cosmas Clement Wazazi na walezi wa watoto wenye ulemavu wilayani Pangani Mkoani Tanga wameaswa kutoa ushirikiano kwa serikali katika kuwafichua watoto wao na kuwapa fursa ya kupata…
26 June 2025, 10:59 am
“Matumizi ya vijiti visivyofaa kuondolea mabaki ya chakula huchangia maambukizi ya bakteria katika fizi ya binadamu.” JAMII yashauriwa kutumia uzi maalumu wa kusafishia mabaki ya chakula katika meno tofauti na matumizi ya Vijiti visivyofaa. Hayo yameelezwa na mtaalamu wa afya…
26 June 2025, 10:38 am
“lengo la mafunzo hayo ni kuwaibua watoto wenye mahitaji maalumu ili kutambulika na kujumuishwa katika elimu sawa na watoto wengine.” Na Cosmas Clement Halmashauri ya wilaya ya Pangani imeanza utekelezaji wa mpango wa elimu jumuishi chini ya mradi wa Shule…
26 June 2025, 9:54 am
“Nalipongeza shirika la UZIKWASA kwa kutoa elimu kwa jamii juu ya masuala ya ukatili wa kwa wanawake na watoto, jamii kila mtu awajibike katika nafasi yake katika hili.“ Na Cosmas Clement Wazazi na walezi wilayani Pangani mkoani Tanga wametakiwa kusimama…
18 June 2025, 1:55 pm
Naipongeza RUWASA kwa utekelezaji wa mradi huu na ushirikiano mnaouonesha, kuweka jiwe la msingi katika mradi huu ni kama nauonea mimi nilitaka kuuzindua kabisa kwa sababu ni mradi uliofuata hatua za utekelezaji. Na Cosmas Clement Wakazi wa vijiji vya mikocheni…
18 June 2025, 1:41 pm
Tunaomba serikali na wadau mbalimbali kuwa na mikakati madhubuti ya pamoja itakayoimarisha ulinzi wa mtoto. Na Hamisi Makungu Watoto wilayani Pangani wameiomba serikali kushirikiana na wadau kuweka mikakati madhubuti ya pamoja katika kumlinda mtoto dhidi ya matukio ya kikatili ndani…
18 June 2025, 1:24 pm
Matukio ya ukatili kwa watoto ni miongoni mwa matukio yanayodidimiza mustakabali wa ustawi bora kwa watoto. Na Hamisi Makungu Wazazi na walezi wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuwa makini na kuwalinda watoto wao dhidi ya vitendo vya Ubakaji na ulawiti…
13 June 2025, 7:08 pm
“Napenda kuwaasa wananchi wa Pangani kujitokeza kwa wingi tarehe 14 juni kuupokea mwenge wa uhuru utakapopita katika maeneo yao” Na Cosmas Clement Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Mheshimiwa Gift Isaya Msuya, amewaasa wananchi wote wa Wilaya ya Pangani kujitokeza kwa…
9 June 2025, 9:21 pm
Matukio ya kufa majini hutokea katika bahari ya hindi mjini Pangani nyakati za sikukuu, na mara nyingi vifo hivyo hutokea kwa wageni wanaojaribu kuogelea kwa mara ya kwanza katika eneo hilo. Na Rajabu Mrope Kijana mmoja mwenye umri wa miaka…
8 June 2025, 7:08 pm
‘Sisi tuna uzoefu wa minada ya korosho hapa Tanga lakini baadae korosho zikawa zinatoroshwa kwenda nje ya mkoa wetu, ni kwa sababu tulifanya mnada mara moja haukuendelea.’ Na Cosmas Clement Mkuu wa mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batilda Buriani leo…
Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.
Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.
To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.
“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”
Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.
Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.