Pangani FM
Pangani FM
10 February 2023, 10:37 am
Katika ngazi ya kijiji mamlaka inayohusika na maandalizi ya mpango wa matumizi ya ardhi ya kijiji ni halmashauri ya Kijiji ambayo inaweza kufanya utekelezaji wake kupitia kamati ya usimamizi na matumizi ya ardhi. Na Erick Mallya Serikali ya kijiji cha…
8 February 2023, 12:08 pm
Soko la Pangani liko kwenye maboresho makubwa yaliyoplekea kituo cha mabasi ya Pangani-Tanga na Pangani-Muheza kilichokuwa ndani ya Soko hilo kuhamishwa ili kupisha maboresho hayo. Kwa miaka mingi soko hilo limekuwa taswira ya mji wa Pangani na kituo maarufu kwa…
2 February 2023, 9:01 pm
Na Saa Zumo kushirikiana na Erick Mallya Kauli mbiu ya wiki ya Sheria mwaka 2023 ni ‘Umuhimu wa Utatuzi wa Migogoro kwa Njia ya Usuluhishi Katika Kukuza Uchumi Endelevu: Wajibu wa Mahakama na Wadau.’ Mkuu wa wilaya ya Pangani Bi.…
31 January 2023, 11:56 am
Jumla ya wanafunzi 280 walifanya mitihani ya Darasa la Saba mwaka 2022 katika shule ya msingi Kipumbwi. Waliochaguliwa kujiunga na Elimu ya Sekondari ni 219 na ambao hawakufanikiwa kupata alama za kutosha kuendelea na elimu ya Sekondari ni 61. Na…
30 January 2023, 12:29 pm
Mabadiliko ya tabianchi yameleta changamoto nyingi katika mifumo ya uzalishaji na hata maisha ya kila siku. Hali hii inafanya upatikanaji wa taarifa na huduma za hali ya hewa kuwa suala la msingi na la dharura. Na Erick Mallya Wataalamu wamethibitisha…
30 January 2023, 10:25 am
Hujambo na Karibu kusikiliza Makala maalumu inayoangazia namna wanawake wanavyoweza kutumia nishati safi ya kupikia ili kutunza mazingira.
14 December 2022, 9:44 pm
Hatimaye kufuatia hitaji la muda mrefu leo hii Serikali Wilayani Pangani Mkoani Tanga imetangaza kuwa Kivuko cha Pangani-Bweni kimeongezewa muda wa saa 2 za kufanya kazi tofauti na muda wa awali ambapo klikuwa kikifanya kazi kuanzia saa 12 Asubuh mpaka…
22 November 2022, 4:35 pm
Watumishi wa kada mbalimbali za Halmashauri ya wilaya ya Pangani waloshiriki kwenye mafunzo ya Siku tatu ya uongozi wa mguso yanayotolewa na Shirika la UZIKWASA wamelishukuru shirika hilo na kuahidi kuyafanyia kazi ili kuongeza ufanisi katika utoaji huduma pamoja na…
25 October 2022, 12:18 pm
Taasisi ya Foundation for Trees Tanzania iliyopo Jijini Tanga imetoa Mizinga 40 ya Nyuki kwa Kikundi cha Ufugaji Nyuki cha MSETO kilichopo Wilayani Pangani ili kuwezesha wananchi hao kufanya shughuli za ufugaji na kuachana na uharibifu wa Mazingira. Akizungumza wakati…
19 October 2022, 2:50 pm
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekusudia kuanzisha Ofisi ya umwagiliaji wilayani Pangani ili kusaidia sekta ya kilimo wilayani humo ambayo imeonekana kuathiriwa na mabadiliko ya tabia nchi huku wahanga wakubwa wakitajwa kuwa ni wakulima wadogo Katika mahojiano…
Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.
Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.
To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.
“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”
Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.
Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.