Pangani FM

Ukeketaji vigoli, jinamizi linaloitesa Kilindi

24 November 2025, 12:54 pm

Picha kutoka mtandaoni

Na Saa Zumo

Ukeketaji kwa wasichana vigoli wilayani kilindi mkoani Tanga Unafanyika kipindi ambacho Msichana amevunja ungo, na anakutana na shughuli ya awali ya kukeketwa, kisha kuchezewa sherehe ya unyago kwa ajili ya maandalizi ya kuingia katika hatua ya ukubwa na baada ya hapo aingie katika ndoa.

Fuatilia makala hii hapa iliyoandaliwa na Saa Zumo