Pangani FM
Pangani FM
4 September 2025, 10:06 pm

Shirika la We world linashirikiana kwa pamoja na 4H Tanzania kwa ajili ya kukuza uelewa kwa wanafunzi katika baadhi ya shule wilayani Pangani.
Na Abdilhalim Shukran
Shirika la we world kwakushirikiana na 4H Tanzania, wamekutanisha wanafunzi, walimu na baadhi ya tasisi zisizo za kiserikali kwalengo la kutoa Elimu ya kujenga Amani Pamoja mashuleni Wilayani Pangani Mkoani Tanga
Tuungane na Mwanahabari abdilhalim shukuran Abdallah kwa taarifa zaidi