

21 January 2021, 2:51 pm
Wananchi wamehimizwa kujiunga kwa wingi katika Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii CHF iliyoboreshwa ili wapate vitambulisho vitakavyowasaidia kupata matibabu kwa mwaka mzima katika vituo vya kutolea huduma za Afya ikiwemo na Hospitali za Rufaa. Hayo yamesemwa leo na…
20 January 2021, 7:06 pm
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yuko ziarani Mkoani Tanga,ziara yenye lengo la kuhamasisha uendelezaji wa zao la Mkonge. ziara hii inakuaja kama sehemu ya ufuatiliaji wa maagizo aliyotoa katika ziara yake mnamo mwezi Juni 2020. Mwanahabari wetu…
20 January 2021, 3:36 pm
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema lengo la Serikali ni kuhakikisha zao la mkonge linaendelezwa na kuwanufaisha watu wote wanaoshughulika na zao hilo. Waziri Mkuu amesema hayo akiwa ziarani Mkoani Tanga wakati wa mkutano ulioshirikisha Wadau mbalimbali wa zao la mkonge,…
19 January 2021, 4:20 pm
Wadau mbalimbali wa zao la Mkonge Mkoani Tanga wamealikwa kushiriki katika kikao maalum kitakachofanyika Mkoani humo katika Ukumbi wa Regal Naivera Mkoani uliopo Tanga Jiji. Akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake leo Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigela…
18 January 2021, 12:37 pm
Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga imepiga Marufuku Matumizi yaViti na Madawati ya Shule kwenye Mikutano ya Viijiji. Katazo hilo limetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Bwana Isaya Mbenje wakati akizungumza na Kituo hiki, ambapo…
13 January 2021, 12:52 pm
Visiwa vya Zanzibar vimeadhimisha miaka 57 ya Mapinduzi ya mwaka 1964 Sikiliza Makala fupi aliyoandaa Mwandishi wetu Rajabu Mustapha.
10 January 2021, 2:06 pm
Jeshi la Polisi wilayani Pangani mkoani Tanga linamshikilia kijana mmoja anayejulikana kwa jina la Ramadhani Omari mwenye umri wa miaka 25 Mkazi wa Wilaya ya Pangani kwa tuhuma za kumbaka binti mdogo wa miaka sita. Akizungumza na Pangani FM ofisini…
10 January 2021, 12:15 pm
Huu ni mwaka mpya leo hii mwaka una siku 10 tu, waswahili wana methali isemayo hayawi hayawi huwa na sasa yamekuwa kesho Januari 11 umande utarudi kwenye viatu ,kengele zilizoanza kupata utandu zitapigwa,madarasa yaliyojawa na mwangwi nayo yajazawa na sauti…
8 January 2021, 7:58 pm
Baadhi ya wakulima wadogo wilayani Pangani mkoani Tanga wameeleza kuhamasika katika a kilimo cha Zao la Mkonge ili kujikwamua kiuchumi. Wakizungumza katika kipindi cha Jicho Pevu kinachoruka kupitia Pangani FM kila siku ya Ijumaa kuanzia saa 12 Kamili Jioni kilichoangazia…
7 January 2021, 6:12 pm
LEO KATIKA KONA YA KIJANJA Tunajadili juu ya vijana na matumizi ya Ugoro tukimulika uraibu (uteja) ,athari na suluhisho lake. Yapi maoni yako katika hili? Toa maoni yako kupitia mitandao yetu ya kijamii Facebook https://www.facebook.com/panganifm107.7 na Instagram https://www.instagram.com/panganifm107.7/ Ndani ya…
Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.
Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.
To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.
“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”
Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.
Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.