Pangani FM

Recent posts

23 April 2021, 8:53 pm

Malipo ya fidia kwa Wananchi Barabara ya Tanga-Pangani.

Serikali imeidhinisha malipo ya fidia kwa Wananchi wanaopisha ujenzi wa Barabara ya Tanga-Pangani Saadan- Bagamoyo kwa kiwango cha lami. Katika mahojiano maalum Mbunge wa Jimbo la Pangani ambaye pia ni Waziri wa Maji wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh…

23 April 2021, 8:34 pm

Je wewe ni Mkulima? hii ni muhimu sana kwako.

Dalili za wazi na athari za kiuchumi na kijamii zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi zinazoongezeka kote duniani , huku sekta ya kilimo nayo ikionekana kuelemewa kwa kuwa   misimu ya mvua haitabiriki na nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania zimekuwa zikitegemea kilimo cha…

14 April 2021, 12:34 pm

Sheikh Mkuu Pangani atoa neno bei za vyakula msimu wa Ramadhani

Baraza kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) kupitia kwa Sheikh Mkuu wa Wilaya ya Pangani limetoa wito kwa Wafanyabiashara wa bidhaa za vyakula Wilayani Pangani kutopandisha bei za bidhaa za hizo katika kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.. Akizungumza na Pangani…

13 April 2021, 1:41 pm

Ujenzi Kituo cha Polisi Mivumoni

Kamishina wa Polisi Jamii Tanzania Mussa Ali Mussa  amefanya ziara wilayani Pangani mkoani Tanga na kuweka jiwe la msingi katika kituo kidogo cha Polisi kilichopo kijiji cha Mivumonini wilayani humo. Akizungumza wakati wa tukio la uwekaji jiwe kwa ajili ya…

6 April 2021, 7:33 pm

Pumzika kwa amani JPM tunaonana baadaye.

Leo Aprili 6 ndio tamati ya siku 21 za maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr. John Joseph Pombe Magufuli. sikiliza hapa chini ujumbe maalum wa Pangani FM katika kutamatisha maombolezo ya msiba…

6 April 2021, 6:51 pm

Kumuenzi Magufuli kwa kuandikisha Wanafunzi shule.

Wananchi Wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kumuenzi Hayati Dkt Magufuli kwa kuweka Malengo ya kuongeza idadi ya Uandikishaji wa wanafunzi na kuongeza ufaulu kutokana na Sera ya Elimu Bila Malipo iliyoachwa na muasisi huyo. Sikiliza hapa taarifa iliyoadaliwa na mwandishi…

30 March 2021, 6:41 pm

Mpango kuapishwa kesho

Makamu wa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango kesho tarehe 31 Machi, 2021 ataapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hafla ya kuapishwa kwa Dkt. Mpango itafanyika Ikulu, Chamwino Mkoani Dodoma…

19 March 2021, 11:42 am

Historia mpya.

Leo, Machi 19, 2021 saa nne asubuhi aliyekuwa Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameapishwa na Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Hamis Juma, Ikulu mkoani Dar es Salaam kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Historia Mpya:…

19 March 2021, 10:52 am

Wasifu wa Mh. Rais Samia Suluhu Hassan

Mama Samia Suluhu Hassan alizaliwa Januari 27 mwaka 1960 huko visiwani Zanzibar. Alipata elimu ya msingi katika shule za msingi za Chawaka huko Unguja, Ziwani huko Pemba na Mahonda iliyopo Unguja  kati ya mwaka  1966 na 1972. Alisoma katika shule ya Sekondari  Ngambo iliyopo Unguja…

17 March 2021, 7:02 pm

Wasafirishaji wa Mchanga watakiwa kuchukua tahadhari za mazingira.

Wachimbaji wa vifusi vya Mchanga na Mawe Wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuhakikisha kuwa shughuli za uchimbaji zinazingatia usalama wa mazingira na afya za binadamu ili kuepusha madhara yanayoweza kuepukika. Wito huo umetolewa na Kaimu Afisa Mazingira Wilaya ya Pangani…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.