Pangani FM

Recent posts

29 June 2021, 12:28 pm

MIA za Rais Samia Pangani-Wazee

Baadhi ya wazee Wilayani Pangani Mkoani Tanga wameuzungumzia Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan tangu aingie Madarakani, huku wakieleza kufurahishwa na uongozi wake alio uonyesha kwa Siku 100 tangu aapishwe kuiongoza Nchi hii. Wakizungumza na Pangani fm, wazee hao wamesema…

29 June 2021, 12:26 pm

MIA za Rais Samia Pangani-Umeme

Shirika la Umeme TANESCO Wilayani Pangani Mkoani Tanga layaelezea Mafanikio yake katika kuwahudumia wananchi ndani ya Siku 100 za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan. Akizungumza na Pangani FM leo Meneja wa TANESCO Wilayani humo…

29 June 2021, 11:42 am

MIA za Rais Samia Pangani-Barabara

Wakala wa huduma za barabara mjini na vijijini TARURA Wilayani Pangani Mkoani Tanga wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kufikisha Siku 100 Madarakani tangu aapishwe kuwa Rais wa awamu ya Sita JMT TARURA Pangani…

23 June 2021, 7:27 pm

Machozi ya wajane katika jamii za wafugaji .

Wakati leo Juni 23, 2021 Tanzania ikiungana na Mataifa mbalimbali kuadhimisha Siku ya Wajane Duniani, Wanawake Wajane kutoka Jamii za kifugaji Wilayani Pangani Mkoani Tanga wanaeleza changamoto wanazokabiliana nazo katika maisha yao ya ujane. Mwanamke katika Jamii hizo sio tu…

23 June 2021, 4:59 pm

Malima aagiza kuboreshwa upatikanaji wa mbegu za Korosho na minazi.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga  Adam Kigoma Malima amemuagiza afisa kilimo wa halmashauri ya wilaya ya Pangani kuandaa mikakati ya upatikanaji wa mbegu za mazao ya minazi na korosho ili kuboresha mazao  hayo wilayani humo. Malima ameyasema hayo katika kikao…

23 June 2021, 4:25 pm

Zainab Abdallah awaaga Wananchi wa Pangani.

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Pangani Bi. Zainab Abdallah Issa ambaye sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, amewaaga rasmi wananchi na viongozi wa Pangani, pamoja na wadau Wilayani humo kupitia kituo cha Pangani FM. Akizungumza kupitia Pangani FM Bi.Zainab…

10 May 2021, 7:14 pm

ANGALIZO la upepo mkali maeneo ya ukanda wa Pwani

Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwasaa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2.0limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwaniya bahari ya Hindi (mikoa ya Lindi, Mtwara, Tanga,Dar es Salaam…

10 May 2021, 7:04 pm

MTAKUWWA Ubangaa waandaa eneo la Ujenzi wa Zahanati

Kamati ya MTAKUWWA ya Kijiji cha Ubangaa wilayani Pangani Mkoani Tanga kwa kushirikina na Serikali ya kijiji hicho inandaa eneo kwa ajili ya ujenzi wa zahanati. Wakizungumza na Pangani FM wakati wa zoezi la kufyeka eneo lililotengwa kwa ajili ya…

7 May 2021, 7:57 pm

Jamii inawajibika vipi kupunguza hewa Ukaa

Maisha ya Binadamu na viumbe wengine ulimwenguni yanategemea sana hali nzuri ya hewa safi na salama, kadhalika na mgawanyo mzuri wa hewa hizo. Anga ya dunia inatoa mchango muhimu katika hali ya hewa ya siku husika. Iwapo tunakuwa na joto…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.