Pangani FM
Pangani FM
22 February 2022, 7:03 pm
Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga imeendelea kushuhudia kupanda kwa bei za baadhi ya bidhaa ikiwemo za Nafaka na Vifaa vya Ujenzi huku ongezeko hilo likitajwa kuwa ni kutokana na hali ya uzalishaji nchini. Hayo yameelezwa hii leo na…
19 February 2022, 3:50 pm
Wamiliki na manahodha wa majahazi ya mizigo wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuzingatia sheria ya Usafirishaji kwa kuacha kubeba abiria katika vyombo vya mizigo. Hapo jana Mkuu wa Jeshi la Polisi wilayani Pangani Mkoani Tanga alifika katika studio za Pangani…
17 December 2021, 6:45 pm
Mafunzo ya kujitathimini kwa Wadau, Waandishi wa Habari na Viongozi wa Radio za Kijamii Nchini yafikia tamati hii leo. Washiriki wa Mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Shirika la Uzikwasa kwa Siku tatu mfululizo hapa Wilayani Pangani Mkoani Tanga, wameyataja Mafunzo hayo…
16 November 2021, 1:34 pm
Halmashauri ya Wilaya ya Pangani imepokea kiasi cha fedha Shilingi Milioni 250 kutoka katika mgao wa fedha zotokanazo na tozo za miamala ya simu. Akizungumza na Pangani FM Mkurugenzi wa Hlamshauri ya Wilaya ya Pangani Bw. Isaya Mbenje amesema kuwa…
16 November 2021, 1:11 pm
Halamshauri ya wilaya ya Pangani inajipanga kutumia kiasi cha fedha Shilingi Milioni 35 kujenga miundombinu ya kuwezesha wanafunzi kunawa mikono katika shuleni kama hatua ya ujikinga na maambukizi ya Virusi vya Corona. Katika mazungumzo aliyofanya na Pangani FM Mkurugenzi wa…
15 November 2021, 3:02 pm
Kuanzia October 31 hadi Novemba 13 mwaka huuu Viongozi mbalimbali wamekutana nchini Scotland Kushiriki katika Mkutano unaofahamika kwa jina COP ikiwa mwaka huu ni COP26. Tanzania ikiwakilishwa na VIONGOZI mbalimbali wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…
12 November 2021, 5:02 pm
Magonjwa ya Sukari na Shinikizo la Damu la Juu yanaongoza kuwa na idadi kubwa ya Wagonjwa Wilayani Pangani Mkoani Tanga. Takwimu zinaonyesha kuwa katika kipindi cha kuanzia Septemba 2020 hadi Septemba 2021 Jumla ya Wagonjwa wenye Shinikizo la Damu la…
11 November 2021, 10:43 am
Viongozi wa kata ya bushiri wilayani Pangani mkoani Tanga wamepanga kuanza ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa mwezi huu baada ya kupokea fedha kutoka Serikali. Fedha hizo zinatokana na mpango wa Serikali ya Tanzania wa kuinua Uchumi kwa kutumia mkopo…
9 November 2021, 1:17 pm
Halmashauri ya wilaya ya Pangani Mkoani Tanga imfanikiwa kutenga kiasi cha milioni 21.34 ikiwa ni asilimia kumi ya mapato ya halamshauri hiyo ndani ya robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2021/22 zitakazokopeshwa kwa vikundi mbalimbali vya vijana,wanawake na walemavu.…
Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.
Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.
To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.
“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”
Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.
Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.