Pangani FM

Recent posts

10 January 2021, 12:15 pm

CHUMO LA WIKI

Huu ni mwaka mpya leo hii mwaka una siku 10 tu, waswahili wana methali isemayo hayawi hayawi huwa na sasa yamekuwa kesho Januari 11 umande utarudi kwenye viatu ,kengele zilizoanza kupata utandu zitapigwa,madarasa yaliyojawa na mwangwi nayo yajazawa na sauti…

8 January 2021, 7:58 pm

Kilimo cha Mkonge kwa Wakulima wadogo Pangani.

Baadhi ya wakulima wadogo wilayani Pangani mkoani Tanga wameeleza kuhamasika katika a  kilimo cha Zao la Mkonge ili kujikwamua kiuchumi. Wakizungumza katika kipindi cha Jicho Pevu kinachoruka kupitia Pangani FM kila siku ya Ijumaa kuanzia saa 12 Kamili Jioni kilichoangazia…

7 January 2021, 6:12 pm

KONA YA KIJANJA

LEO KATIKA KONA YA KIJANJA Tunajadili juu ya vijana na matumizi ya Ugoro tukimulika uraibu (uteja) ,athari na suluhisho lake. Yapi maoni yako katika hili? Toa maoni yako kupitia mitandao yetu ya kijamii Facebook https://www.facebook.com/panganifm107.7 na Instagram https://www.instagram.com/panganifm107.7/ Ndani ya…

7 January 2021, 5:04 pm

Madiwani wa Kata zote wilayani Pangani katika Mafunzo ya Uongozi wa ‘mgu…

Madiwani wa kata 14 za wilaya ya Pangani Mkoani Tanga pamoja na viongozi wa Halmashauri (w) wameshiriki katika mafunzo ya ‘uongozi wa mguso yanayoratibiwa na shirika la UZIKWASA lililopo wilayani humo. Mafunzo hayo yanayolenga Kumwezesha kiongozi kujimulika mwenyewe,kutafakari na katika…

7 January 2021, 9:16 am

Mama ajifungua Watoto Mapacha Watatu Pangani

Mwanamke  mmoja mkazi wa kijiji cha Kwakibuyu Wilayani Pangani Mkoani Tanga amejifungua watoto mapacha watatu siku ya  Januari Mosi 2021. Pangani FM imemfikia Mwanamke huyo na kufanya naye mahojiano akiwa katika wodi ya wazazi ya Hospitali ya Wilaya ya Pangani.…

4 January 2021, 1:25 pm

Polisi Pangani inawashikilia vijana hawa kwa kosa la Kupiga Baruti.

Jeshi la Polisi wilayani Pangani Mkoani Tanga linawashikilia Vijana watatu wakazi wa Pangani Mjini kwa kosa la kupiga Baruti usiku wa kuamkia 1/1/2021 katika eneo la Mnyongeni kwa Mfuga Mbwa Hayo yamezungumzwa na kamanda wa Polisi wilaya ya Pangani Mrakibu…

1 January 2021, 7:52 pm

Kipumbwi yapokea Kontena la Ofisi ya Bandari.

Uongozi wa Kitongoji cha Kipumbwi Mji Mpya kilichopo Kijiji cha Kipumbwi Wilayani Pangani Mkoani Tanga wamepokea Kontena litakalotumika kama Ofisi ya bandari hiyo. Akithibitisha kupokea kontena hilo kwa niaba ya Mwenyekiti wa Kijiji hicho, Bwana JUMBE MRISHO ambaye ni Mwenyekiti…