

29 August 2024, 8:13 pm
Kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu 2025,Tume huru ya taifa ya uchaguzi imeendelea na zoezi la utoaji wa mafunzo kwa maafisa waandikishaji ngazi ya jimbo,maafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya jimbo na maafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya kata…
26 August 2024, 5:19 pm
Tume huru ya uchaguzi imewataka wananchi mkoani simiyu kujitokeza kwa wingi kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura, ili wawe na sifa za kushiriki uchaguzi ujao. Akizungumza katika Mkutano huo uliowakutanisha wadau mbalimbali mhe. Jaji mustaafu MBAROUK…
16 August 2024, 11:33 am
Wandzabe walia na Sheria za usimamizi wa wanyama pori na mapori tengefu kuwa zimechangia kuhafifisha usitawi wa jamii hizo na kusababisha hatari ya kutoweka kwa jamii hizo zinayoishi porini. Na,Alex Sayi. Jamii ya kihandzabe imebainisha kuwa kwa miaka nenda rudi…
15 August 2024, 10:40 am
Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamepaza sauti zao na kutoa Maoni juu ya Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2025 – 2050 wakati wa Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya – DCC kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya …
13 August 2024, 10:47 pm
Nicholaus Machunda – Simiyu Mbunge wa Jimbo la Kisesa lililopo wilayani Meatu mkoani Simiyu Mhe. Luhaga Joelson Mpina amekabidhi vifaa vya TEHAMA katika shule tisa za Sekondari jimboni kwake vyenye thamani ya Shilingi Milioni 22. 5 ili kusaidia Utendaji kazi na …
12 August 2024, 7:02 pm
Kufuatia uwepo wa changamoto zinazowakabili watoto wa kike Nchini za kushindwa kumaliza masomo yao kutokana na umbali wa Shule Serikali imendelea na Mpango wake wa kuhakikisha inajenga mabweni kwa ajili ya kuwanusuru watoto hao wa kike. Na,Alex Sayi. Kiongozi wa…
9 August 2024, 7:26 pm
Na Nicholaus Machunda Wananchi wa Vijiji vya Mabujiku, Malita na Zanzui vilivyopo kata ya Zanzui, Wilayani Maswa, Mkoani Simiyu wamemshukuru Mh Rais Samia Suluhu Hasani kwa kutoa Fedha kwa ajili ya Mradi wa maji utakaonufaisha Wakazi zaidi ya Elfu Tisa.…
8 August 2024, 9:54 pm
Na Nicholaus Machunda – Simiyu Wananchi wa Mikoa ya Shinyanga , Simiyu na Mara wameaswa kutumia teknolojia ya kisasa ya kilimo ili kujikwamua kiuchumi kwa kuongeza uzalishaji. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe, Kanali Evans Alfred Mtambi ambaye alikuwa Mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima maarufu kama Nanenane. Aidha Mh.…
1 August 2024, 5:13 pm
Mwendesha Mashtaka wa Takukuru ameeleza kuwa Mshtakiwa alifikishwa Mahakamani hapo Januari 05, 2023 kwa Makosa Mawili ya kutoa fedha kiasi Tsh. 1,228,000/= kwenye akaunti ya KIDEMA AMCOS na kuzitumia kwa matumizi yake binafsi badala ya kulipa ushuru kwenye akaunti ya chama kikuu Cha…
19 July 2024, 5:29 pm
“Katika kuzuia na kupambana na madereva wazembe wanaosababisha ajali zisizo za lazima zinazotokana na ubovu wa vyombo vya usafirishaji wanavyotumia jeshi la polisi mkoa wa Simiyu limekuja oparesheni la ukaguzi wa vyombo vya moto” Na,Daniel Manyanga Kamanda wa jeshi la…
19 July 2024, 2:27 pm
“Usalama wa maisha ni jambo muhimu ili kutimiza malengo ya wananchi wetu nchi bila kuhakikisha usalama wa maeneo wanapotoka wananchi hatuwezi kufikia azma ya maendeleo ngazi ya jamii na taifa kwa ujumla” Na Daniel Manyanga Wanafunzi wawili waliotambulika kwa majina…
17 July 2024, 9:45 pm
“Katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za kijamii serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya sita imeendelea kutekeleza adhima ya kumtua Mama ndoo kichwani kwa vitendo” Na, Daniel Manyanga Zaidi ya billion 1.5 zinatarajiwa kutumika kupeleka huduma ya…
15 July 2024, 9:10 pm
“Katika kurahisisha wananchi wanapata maji safi na salama wakati wote mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Maswa MAUWASA imepokea vifaa vya usafiri ili kuongeza ufanisi wa kiutendaji” Na, Daniel Manyanga Mamlaka ya maji safi na usafi wa…
11 July 2024, 4:49 pm
“Ujenzi wa mabweni mashuleni watajwa kuwa mwarobaini wa kukabiliana na mimba mashuleni haswa kwa wanafunzi wa kike Ili waweze kutimiza malengo yao” Na, Daniel Manyanga Naibu waziri ofisi ya Rais mipango na uwekezaji ambaye pia ni mbunge wa jimbo la…
10 July 2024, 3:59 pm
“Kupata ukimwi siyo mwisho wa maisha na wala siyo kiama vijana wawili wilayani Bariadi wa jinsia ya kiume na kike ambao ni waathirika wa ukimwi wamezaa mtoto ambaye hana virusi vya ukimwi’’ Na,Daniel Manyanga Watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi…
10 July 2024, 1:03 pm
“Maji ni uhai kwa binadamu lakini wananchi wa wilaya ya Meatu wapo hatarini kupata magonjwa yatokanayo na kutumia maji ya visima na mabwawa wao pamoja na mifugo ’’ Na,Daniel Manyanga Wakazi wa kata ya Mwandoya wilayani Meatu, mkoani Simiyu wameiomba…
6 July 2024, 9:56 am
Kila kabila wana utamaduni wao, wasukuma wana utamaduni wao pia, ni vema kila kabila likaenzi utamaduni wake unasaidia katika Kulinda maadili na kukuza uchumi wa Taifa kupitia Utalii “Dunstan Kitandula ” Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Tamasha la Utali na …
4 July 2024, 10:37 am
Niwapongeze sana RUWASA Mkoa wa Simiyu kwa kazi kubwa mnayofanya ya kumheshimisha Mhe Rais Samia, kwakweli Sekta ya Maji imekuwa na Mageuzi makubwa sana, Niwaombe Mtekeleze miradi kwa Wakati na kwa Ubora ili Wananchi waweze kunufaika ” RC Kihongosi “…
28 June 2024, 10:07 pm
Kutokana na wingi wa mvua zilizonyesha kwa mwaka huu imepelekea bwawa letu la New Sola kuwa na magugumaji mengi pamoja na shughuli za kibinadamu zinazofanyika zimesababisha maji kutokuwa angavu ” Kasimu Kado “ Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira …
28 June 2024, 10:43 am
“Elimu ya kujikinga na majanga kwa jamii inahitajika sana ili kusaidia kupunguza matukio ya moto hasa kwenye taasisi za umma na binafsi matukio ambayo yanatokea kwenye jamii zetu lakini inakosekana elimu ya kuzuia hayo majanga.” Na, Daniel Manyanga Watu wasiojulikana…
Establishment
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.
Region Coverage(Sibuka Fm)
Radio Sibuka FM hears about 95 percent of the Simiyu region through the frequency of 97.0 MHz from the Maswa district as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex