Sibuka FM
Sibuka FM
20 May 2025, 5:08 pm
‘‘Vijana ni nguvu kazi ya taifa hili hatupaswi kabisa kuwa tunalalamika kulingana na viongozi wetu ambao tuliwaamini tukawapa kura za kuwa wawakilishi wetu kwenye vyombo vya maamuzi kwa sheria za nchi hii unaruhusiwa kugombea udiwani,ubunge kuanzia miaka 21 hivyo vijana…
20 May 2025, 4:27 pm
Lengo la Kongamano hili la Baraza la Amani ni kuwakutanisha Viongozi mbalimbali wa Dini na kukumbushana nafasi ya Viongozi hao katika kuleta amani hasa kuelekea uchaguzi mkuu utaofanyika mwaka huu pamoja na kuombea Rais Samia anapoongoza taifa kubwa kama Tanzania…
12 May 2025, 1:37 pm
Tume huru ya Uchaguzi imetangaza Orodha ya Majimbo Mapya ya Uchaguzi na mengine kubadilishwa majina.
12 May 2025, 1:05 pm
‘‘Kuchangia  uchumi wa nchi kupitia utalii siyo jukumu la watilii wa kigeni kama ambavyo watu wengine wanafikiri sote tunajukumu hilo kama wananchi wazalendo ambao tunazunguka katika maeneo ya hifadhi au mapori ya akiba ili sisi tuwe mabalozi wazuri hata kuwajuza…
8 May 2025, 1:35 pm
Niwaombe maafisa Usafirishaji muwe na tabia ya kujiwekea akiba kutokana na kipato chenu mnachopata kwani hii Kazi ya bodaboda huwezi kuifanya katika Maisha yako yote itafika wakati umri utagoma kuendesha pikipiki ” Dc Dkt Vicent Anney “ Mkuu wa Wilaya …
6 May 2025, 6:17 pm
‘‘Hatuwezi kuwa na taifa lenye uchumi mkubwa kama watu wake wako wanapambana na changamoto ya miundombinu ya afya lazima kwanza tujali afya za watu ambao ndiyo nguvu kazi ya kuyafikia hayo maendeleo ni kweli tumefanya mageuzi makubwa sana katika sekta…
5 May 2025, 5:24 pm
“Tusikilize hoja za wakulima wa pamba na tuzifanyie kazi maana kuna siku uzalishaji wa zao hilo utakuja kushuka na mwisho tutaanza kumtafuta mchawi ni nani wakati sisi ndiyo tulikuwa watu wa kwanza kufifisha juhudi za wakulima wetu kwa kitu kidogo…
5 May 2025, 2:46 pm
Ninatangaza rasmi kugombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Bariadi Vijijini endapo Rais ataridhia kupitia Tume huru ya Uchaguzi Jimbo kugawanywa na kuwa mawili (Bariadi Mjini na Bariadi Vijijini) basi mimi nitagombea vijijini “Mhandisi Kundo Mathew “ Mbunge wa Jimbo …
4 May 2025, 9:29 pm
Ukanda huu wa Wilaya za Maswa na Meatu unachangamoto ya kuwa na Maji ya Chumvi hivyo nitatuma wataalamu waje kufanya utafiti wa namna ya kupata maji Mazuri maana kwa sasa Wizara ya Maji ina Mitambo ya kisasa “Dkt George Lugomela…
3 May 2025, 8:14 pm
‘‘Nani atamfunga Paka kengele? Je nani ambaye ataziona nguvu za wakulima wa zao la pamba wanapohangaika wakati wa kilimo hivi hatuwezi kuwa na soko huria ili kuipa thamani pamba yetu maana naona kabisa vita vya Panzi furaha ya Kunguru anayeumia…
1 May 2025, 5:47 pm
“Jumuiya ya wafanyabiashara(TTCIA)wilayani Maswa mkoani Simiyu wameonya nakutotaka jina lao kutumiwa na watu kwa maslahi yao binafsi,hali inayowachonganisha wao na watendaji wa Serikali Wilayani hapo”. Na,Alex Sayi-Maswa Simiyu Jumuiya ya wafanyabiashara wilayani Maswa mkoani Simiyu(TTCIA) wamekanusha taarifa zilizotolewa mitandaoni kwenye…
30 April 2025, 2:34 pm
“Kuna kila sababu sasa kwa mamlaka za kutunga sheria kukubali kuwa sheria walizotunga siyo kali na wala wananchi waovu hawaziogopi tena hizo adhabu maana kila kukicha matukio ya ukatili wa kinjisia yanatokea sasa ipo haja ya kurudi tena darasani tuje…
30 April 2025, 9:08 am
Niwaagize wakandarasi wanaotekeleza Miradi ya Maji katika Wilaya hii waongeze Kasi ili Wananchi wapate huduma ya Maji kama Serikali ilivyokusudia kusogeza huduma karibu na Wananchi Pia nitoe Onyo kwa Wananchi wanaoharibu Miundombinu ya Maji waache mara moja kwani tutawakamata na…
26 April 2025, 6:40 pm
Muungano ni Tunu ya Taifa hivyo hatuna budi kuulinda na kuudumisha na kuwapuuza wale wachache wanaoleta chokochoko juu ya Jamhuri ya Muungano wetu wa Tanzania ” DC Maswa Mh Dkt Vicent Naano wakati akifungua Bonanza la Maadhimisho ya sherehe za…
24 April 2025, 6:40 pm
“Nafikiri bado kuna kila sababu kwa mamlaka zilizopewa kutunga sheria kukaa tena chini kuziangalia upya hizi sheria zetu maana haiwezekani kila kukicha matukio ya ukatili wa kinjisia yanatokea licha ya wahusika kuhukumiwa kutumikia adhabu ya kifungo kama itawezekana adhabu ya…
16 April 2025, 3:23 pm
“Tuna kila sababu ya kuupongeza uongozi wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe,Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa nanma ambayo umeweza kutekeleza dhana ya kumtua mama ndoo kichwani kwa vitendo na siyo kwa maneno leo hii maji safi na salama…
15 April 2025, 8:42 pm
“Matukio ya ubakaji yamekuwa yakiongezeka kila siku, je, jamii yetu haina uelewa wa madhara kwa mhanga au sheria zetu hazina ukali wa kumaliza kesi hizi kama ni hivyo basi kuna kila sababu sasa kwa mamlaka husika kukaa chini na kuziangalia…
14 April 2025, 12:56 pm
Katika Maeneo yote tuliyopita ya Mkoa wa Simiyu, Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mmeitendea haki Ilani ya ccm maana Miradi yote tuliyokagua ipo vizuri, Usimamizi Mzuri wa fedha unaonekana, kwakweli DC na DED Rais hakukosea kuwaleta hapa, Hongereni sana na…
13 April 2025, 1:31 pm
“Sisi wananchi wa Kitongoji cha Mnadani tumehamasika kupanda miti hasa kipindi hiki ambapo mvua zinaendelea kunyesha kwa sababu miti ina manufaa makubwa sana kwetu sisi binadamu pamoja na kulinda uoto wa asili wa ardhi yetu“ Wananchi wa Kitongoji cha Mnadani …
9 April 2025, 3:41 pm
“Bado tunakila sababu kwa mamlaka husika kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya madhara ya kujenga kwenye mikondo ya maji maana kila kiongozi yakitokea maafa kama ya mafuriko tunaanza kuwaambia wananchi madhara ya kujenga bondeni Je? Kipindi wanaanza ujenzi mamlaka…
Establishment Â
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.Â
Region Coverage(Sibuka Fm)
 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex