

27 November 2024, 4:03 pm
Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu Wameipongeza Serikali kwa Mandalizi Mazuri ya zoezi la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika leo Nov, 17, 2024 Wakizungumza kwa nyakati tofauti baada ya kupiga kura wamesema kuwa wananchi wamehamasika kupiga kura kwa Wingi ili …
20 November 2024, 8:43 pm
“Usalama wa raia ni ajenda ya kwanza katika Taifa lolote hatuwezi kuzungumzia maendeleo wakati huo raia wake wanapitia changamoto za kiusalama wao na mazao hasa waishio kandokando ya mapori au hifadhi.” Na, Daniel Manyanga Viboko wawili waliokuwa wanahatarisha usalama wa…
19 November 2024, 8:53 pm
“Adui wa maendeleo ni maradhi hatuwezi kufanya kazi za kiuchumi wakati huo wananchi wanachangamoto ya kiafya hivyo jukumu letu ni usalama kwanza wa raia”. Na, Daniel Manyanga Shirika la Amref Heath of Africa chini ya mradi wa Afya Thabithi unatekelezwa…
19 November 2024, 3:36 pm
“Nchi yetu inafata misingi ya kidemokrasia hivyo linapofika swala la uchaguzi hatutaki siasa za chuki ambazo zitaliingiza Taifa kwenye migogoro ya kisiasa ambayo ni adui wa maendeleo ya wananchi.” Na, Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Kenani Kihongosi amevitaka vyama…
12 November 2024, 4:52 pm
“Katika kupambana na umasikini nchini kupitia asilimia kumi ya mapato ya ndani ya halmashauri kundi la wanawake,vijana na watu wenye ulemavu wameendelea kunufaika kiuchumi.” Na, Daniel Manyanga Zaidi ya milioni miatatu zitokanazo na makusanyo ya ndani zimetangwa na halmashauri ya…
8 November 2024, 4:00 pm
“Wakati dunia inapambana na mabadiliko ya tabia nchi utokanao na uharibifu wa mazingira haswa katika matumizi ya nishati ya kuni na mkaa kanda ya ziwa kinara kwa uharibifu wa mazingira”. Na, Daniel Manyanga Zaidi ya hekta laki nne hupotea nchini…
7 November 2024, 11:08 am
Matumizi ya nishati safi yakupikia inatajwa kuwa ni mwarobaini wa kukabiliana na uharibifu wa mazingira,huku ikitajwa kuwanufaisha wanawake Mkoani Simiyu kwakuokoa gharama,muda na maradhi yanayotokana na matumizi ya mkaa na kuni Na,Alex Sayi Wanawake na Samia mkoani Simiyu wameaswa kuunga…
7 November 2024, 9:23 am
Wakazi wilayani Maswa Mkoani Simiyu mbioni kunufaika na mikopo ya 10% inayotengwa na Halmashauri kutoka kwenye mapato yake ya ndani baada ya Serikali kusitisha zoezi hilo toka April,2023/2024. Na,Alex Sayi Wanawake na Samia wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamehamasishwa kuchangamkia fursa…
6 November 2024, 5:48 pm
“Uhai ni maji na wanasayansi wanasema robo tatu ya dunia na mwili wa binadamu ni maji kwa kulitambua hilo wananchi waipongeza serikali kwa miradi ya maji”. Na, Daniel Manyanga Wananchi mkoani Simiyu wanaopata maji kwa kusuasua kutokana na kukosa vyanzo …
24 October 2024, 11:04 pm
Jamii ya watanzania imeendelea kukumbushwa kuchukua tahadhari juu ya matukio ya ukatili wa kijinsia,kwakutoa taarifa nakuendelea kuwaelimisha watoto walio majumbani na wanafunzi ili kuwanusuru watoto hao na athari za ukatili wa kijinsia. Na,Alex Sayi. Wanafunzi wa shule ya sekondari Masela…
2 October 2024, 3:33 pm
“Watu kwenda kanisani kuombewa kutokana na changamoto zao siyo dhambi lakini hatuwezi kuwafumbia macho baadhi ya watumishi wa Mungu ambao wanageuka kuwa wachonganishi kama na wao waganga wa kienyeji ambao wanatumia ramli chonganishi, twendeni tukafanye kazi ya Mungu na siyo vinginevyo.”…
29 September 2024, 10:16 am
Niwaombe sana wananchi wa Maswa msikubali kuhamasishwa na watu wenye nia ovu ya kuvuruga na uchochezi ili kuharibu amani kwani amani ikipotea wa kwanza kuumia ni watoto, akina mama na wazee. Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh Kenani Laban Kihongosi…
27 September 2024, 11:06 pm
“Unakuta meme umefika maeneo ya sentani tu halafu sisi tuliopo pembezoni hatupati tunaambiwa tu mradi unaishia hapo kwani sisi wa pembezoni hatustahili kupata huduma ya umeme?“ Wananchi wa kijiji cha Mwakabeya kata ya Ipililo Wilayani Maswa Wamelalamikia Huduma ya Umeme kufika kwenye Senta …
27 September 2024, 8:49 pm
Wananchi wilayani Maswa zipuuzeni taarifa za watoto kutekwa na kutolewa figo, hao ni wapotoshaji tu wenye lengo la kuondoa amani ya taifa letu. Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh Kenani Laban Kihongosi ameonya watu wanaoeneza taarifa za Taharuki za Watoto …
19 September 2024, 5:25 pm
“Katika kuhakikisha madeni yote yanalipwa kwa wadai wote halmashauri ya wilaya ya Maswa imesubiria ripoti ya mkaguzi wa hesabu za ndani ili wenyeviti wapate haki zao”. Na, Daniel Manyanga Wajumbe wa mamlaka ya mji mdogo wa Maswa mkoani Simiyu ambao…
18 September 2024, 4:55 pm
“Mchango wa maendeleo na kupunguza wimbi la ajira umekuwa mkubwa sana kwa Taifa kutokana na baadhi ya vijana kujiajiri wao wenyewe kupitia bodaboda hivyo kujiongezea kipato“. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa wa Simiyu,Kenani Kihongosi ametoa kiasi cha fedha milioni…
16 September 2024, 7:00 pm
“Katika kukabiliana na maafa mbalimbali hapa nchini shirika lisilo la kiserikali la World vision limeendesha mafunzo kwa kamati za maafa ili kuongeza ufanisi wa kiutendaji wakati ,kabla na baada ya maafa”. Na, Daniel Manyanga Kamati za Maafa za wilaya zimetakiwa…
9 September 2024, 5:48 pm
“Uboreshaji wa taarifa katika daftari la kudumu la wapiga kura ndiyo dira halisi na mwanzo wa kupata viongozi bora wanaochaguliwa na wananchi kwa maendeleo ya Taifa letu hivyo hatuwezi kuvumilia vitendo vya kuvuruga zoezi hilo”. Na, Daniel Manyanga Ikiwa leo…
4 September 2024, 4:08 pm
“Uboreshaji wa taarifa katika daftari la kudumu la wapiga kura ni msingi mmoja wapo wa kupata viongozi bora kwa mustakabali wa Taifa letu hivyo ni muhimu kushiriki zoezi hilo.” Na , Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu…
1 September 2024, 6:11 pm
Na Nicholaus Machunda Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru Mkoa wa Simiyu imefanikiwa kurejesha furaha ya Wananchi wa Wilaya Itilima baada ya kufuatilia Mradi wa Maji katika kijiji cha Ng’wang’wita uliotoa Huduma ya Maji kwa Mwezi mmoja tu …
Establishment
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.
Region Coverage(Sibuka Fm)
Radio Sibuka FM hears about 95 percent of the Simiyu region through the frequency of 97.0 MHz from the Maswa district as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex