Sibuka FM
Sibuka FM
11 September 2025, 11:59 am
Mfumo huu wa NeST ni mzuri maana mchakato wake wa kupata mzabuni unafanyika kwa uwazi na haki hivyo niwasihi wana Maswa na vikundi vya wajasiliamali kujiunga katika mfumo huu ili waweze kunufaika na fulsa zinazotangazwa na halmashauri na taasisi zingine…
10 September 2025, 8:31 am
“Kuna kila sababu sasa kwa mamlaka za kutunga sheria kukubali kuwa sheria walizotunga siyo kali na wala wananchi waovu hawaziogopi tena hizo adhabu maana kila kukicha matukio ya ukatili wa kinjisia yanatokea sasa ipo haja ya kurudi tena darasani tuje…
5 September 2025, 2:44 pm
“Hatuwezi kuendelea kuona wanafunzi wa kike wanashindwa kufikia malengo yao kisa tu kunamwanaume mmoja mwenye tamaaa zake na wanafunzi lazima sheria ifuate mkondo wake serikali yetu imeweka mazingira ya elimu ili kila mtanzania apate elimu”. Na,Anitha Balingilaki Mahakama ya wilaya…
2 September 2025, 5:21 pm
Nendeni mkasimamie shughuli za maendeleo kwenye vijiji vyenu, muone uchungu wa fedha za miradi zinazotolewa na Serikali kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo, mzuie wizi wa fedha na vifaa kwenye Miradi ya maendeleo ” DC Maswa Dkt Vicent Anney ”…
31 August 2025, 10:39 am
“Zoezi la chanjo ya mifugo siyo la hiari bali la lazima maana lipo kisheria na linasaidia kupunguza magonjwa ya mlipo kwa mifugo hivyo wafugaji wote muone umuhimu wa zoezi hili kwa kuipeleka mifugo yenu ikapate chanjo” DC Maswa Dkt. Vicent…
27 August 2025, 11:23 pm
Maswa imekuwa nyuma kimaendeleo kuna mambo hayako sawa ikiwemo suala la changamoto ya zao la pamba ambalo ndio zao kuu la biashara kwa mkoa wetu wa Simiyu lakini inashangaza Bei inaendelea Kushuka kila msimu na wakulima kukopwa pamba yao hivyo…
26 August 2025, 12:06 pm
Uraghbishi siyo mradi, Uraghbishi ni Maisha ya kila siku yakubadilisha fikira na mitazamo ya Jamii katika ushiriki na utatuzi wa changamoto zinazowakabili katika Jamii maana hamna siku changamoto zitaisha katika hivyo wananchi wawe na uwezo wa kuzitatua wao wenyewe, lengo…
25 August 2025, 1:01 pm
“Walezi/Wazazi tunalo jukumu kubwa la kuwalinda watoto wetu wakati wote bila kujali mazingira waliyopo ili kuwakinga na vitu vinyoweza kuzuilika maana watoto ni tunu ya taifa lijalo”. Na,Anitha Balingilaki Watoto watatu wa kutoka kwenye familia tatu wawili wakiwa wa kitongoji…
23 August 2025, 3:37 pm
“Matukio ya wanyama pori wakali kuvamia makazi ya watu na kuua mifugo kuna kila namna ya kufanya kwa mamlaka za wanyama pori ili kuleta usalama kwa wananchi na mali zao lengo ni kuondoa umasikini kwa jamii kutokana na nguvu kubwa…
18 August 2025, 10:23 am
“Kufanya matendo ya huruma kwa wahitaji siyo utajiri bali ni kuwakumbuka wenye uhitaji kama vitabu vitakatifu vya dini vinavyosema kuwa dini ya kweli ni kuwakumbuka wenye uhitaji hivyo basi jamii yenye uwezo ni bora ikawa na moyo wa kuwakumbuka wenzetu…
14 August 2025, 5:26 pm
Chama cha Ukombozi wa Umma siyo chama kigeni, ni chama kikongwe ila kilikuwa kinatambulika zaidi ngazi za Juu lakini kwa sasa tumeamua kukishusha ngazi za chini kabisa kwa wananchi wakitambue na kukipa ridhaa “Gimbi Masaba -Mratibu wa Uchaguzi Chaumma kanda…
4 July 2025, 4:18 pm
“Hakuna maendeleo ya vitu bila watu lazima tuendelee kutoa elimu ya usalama kwa wachimbaji wadogo wa madini ili kupunguza au kumaliza matukio ya wachimbaji wadogo maana kila kukicha tunaona vifo,majeruhi na ulemavu wa kudumu hivyo mamlaka husika zinao wajubu mkubwa…
3 July 2025, 8:25 pm
“Hatuwezi kufikia malengo kwa sitaili hii lazima tuheshimiane kwa kuzingatia sheria,miongozo na miiko ya kazi hivyo lazima katika safari ya mafanikio kuna watu tunapaswa tuachane nao kabisa ili safari hii iweze kwenda mbele kwa kasi tunayotakiwa ili kufikia malengo ya…
1 July 2025, 5:12 pm
“Bado tunasafari kubwa sana katika kuelimisha jamii ya watoa huduma wa dawa muhimu za binadamu maana wengi wao wanakiuka mashariti ya leseni zao bahati mbaya sana hata wanaohudumiwa nao wanaingia kwenye makosa yale yale”. Na, Daniel Manyanga Mamlaka ya dawa…
30 June 2025, 6:52 pm
“Twendeni tukatende haki kwa kuzingatia miiko ya taaluma zetu pale ambapo tunatekeleza majukumu ya ubora wa bidhaa ambazo zipo sokoni bila kukandamiza wafanyabiashara wanaolalamikia utendaji kazi wakati wa ukaguzi”. Na, Daniel Manyanga Wafamasia, wataalam wa maabara na maafisa mifugo katika…
21 June 2025, 5:36 pm
“Tuendelee kuwakumba wenye uhutaji katika kurudisha faraja kutokana na familia hizo kupitia kwenye changamoto kwa kipindi hicho na hii ni ibada kubwa sana kwa Mungu wetu kwa kutoa sadaka kwa wenye changamoto mbalimbali”. Na, Daniel Manyanga Jamii wilayani Maswa mkoani…
19 June 2025, 4:54 pm
“Elimu ni urithi pekee ambao mtu hawezi kuporwa na mtu yeyote hivyo tuwekeze elimu kwa watoto wetu bila kujali kuna ajira au hakuna ajira maana huu ni ujuzi wake ambao utakuja kumsaidia katika maisha ya hapa duniani”. Na, Daniel Manyanga …
18 June 2025, 9:43 pm
Hamasa ya ulimaji wa zao la Pamba wilayani Maswa mkoani Simiyu huenda ukaongezeka kufuatia ongezeko la uwekezaji wa viwanda vya kuchakata na kuchambua mali ghafi ya zao la Pamba mkoani hapa. Na,Alex Sayi Bank ya Eguity imejitanabahisha kufanya mapinduzi…
18 June 2025, 2:43 pm
Maombi hayo kuyaleta mbele ya Rais ni kujitafutia umaarufu na kudhibitisha mbunge hakulifanyia haki jimbo lake ” Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa wilayani Meatu-Simiyu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia suluhu Hassani ameonyesha kukerwa na…
17 June 2025, 5:34 pm
Maelekezo ya Mh Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha Wizara inatengeneza Mazingira mazuri ya Uwekezaji na ufanyaji Biashara Imeelezwa kuwa zaidi ya ajira 350  za moja kwa moja kwa wazawa na zingine 800 zisizo za moja kwa moja zitazalishwa kutoka kiwanda …
Establishment Â
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.Â
Region Coverage(Sibuka Fm)
 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex