Sibuka FM
Sibuka FM
26 February 2025, 11:46 am
DC mpya Wilayani Maswa Mkoani Simiyu awataka watumishi na watendaji kutafsiri maono ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa vitendo,hali itakayoisaidia Wilaya hiyo kupiga hatua za kimaendeleo. Na,Paul Yohana-Maswa-Simiyu Mkuu mpya wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Dkt,Vincent…
26 February 2025, 10:34 am
Watumishi wilayani Maswa mkoani Simiyu wakumbushwa kuwajibika kwa weledi ili kuendana na kasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na,Alex Sayi-Maswa Simiyu Mkuu mpya wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Dkt, Vincent Anney amewakumbusha watumishi Wilayani hapa kuhakikisha…
25 February 2025, 6:17 pm
Kiwanda cha kuzalisha chaki kilichopo wilayani Maswa mkoani Simiyu mbioni kuzalisha chaki zitakazokuwa mwarobaini kwa mahitaji ya chaki nchini kwa shule za msingi na sekondari. Na, Alex Sayi Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu iko mbioni kuanza uzalishaji wa…
24 February 2025, 3:51 pm
‘‘Hakuna mtu yeyote atakayetoka nje ya nchi kuja hapa nchini kwetu kutuambia namna bora ya kulifanya taifa letu liweze kusonga mbele katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ili kufikia malengo mama ya taifa kama sisi wenyewe hatutaweza kulipa kodi kwa…
19 February 2025, 8:30 pm
“Uongozi siyo kupiga kelele ni kuleta mabadiliko chanya katika eneo lako la kiutawala kama kuna changamoto zozote zile kwa wananchi tuanataka utuambie umefanya nini kuzitatua hizo shida ili jamii iseme kweli hapa tunakiongozi na siyo msindikizaji viongozi”. Na, Daniel Manyanga …
16 February 2025, 10:52 pm
Na Nicholaus Machunda Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Mhe. Kassim Majaliwa amesema kuwa serikali imejiimarisha katika kuinua zao la pamba ili …
15 February 2025, 12:40 pm
‘‘Kilimo ni moja wapo ya sekta ambayo imeajiri watu wengi sana na nimuhimu sana katika ujenzi wa taifa maana hatuwezi kuwa na uchumi imara wakati watu wake wanalia njaa hiyo siyo ajenda ya taifa lazima wakulima tuwalinde na kuwapa thamani…
14 February 2025, 6:15 pm
Hapa chini ni taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu iliyotolewa leo Feb, 14, 2025
14 February 2025, 4:55 pm
“Hatuwezi kuendelea kuona wakulima wanakosa thamani pindi wanapouza mazao yao wakati wanahangaika kulima alikuwa mwenyewe bila ya usaidizi wowote wa wanunuzi”. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoni Simiyu Aswege Kaminyoge amesema kuwa serikali ya wilaya hiyo haitasita…
10 February 2025, 6:30 pm
“Kama taifa limeweka kuwepo na mitihani ya kupima uwezo wa uelewa kwa wanafunzi juu ya kile wanachofundishwa na walimu shuleni sasa inatoka wapi tena nguvu ya walimu kuwasaidia wanafunzi hatuoni kwamba tunatengeneza taifa la wanafunzi tegemezi wa akili”. Na, Daniel…
5 February 2025, 5:06 pm
“Usalama wa raia na mali zake siyo jukumu pekee la jeshi la polisi nchini lakini tukishirikiana na jamii kwa ukaribu kupitia jeshi la jadi sungusungu tunaweza kumaliza vitendo vya kiahilifu katika maeneo yetu ya bila kutegemea hata jeshi la polisi…
4 February 2025, 12:00 pm
Wananchi wanapaswa Kujifunza na kuelewa haki zao za Kisheria ili waweze kushiriki kikamilifu katika Mchakato wa haki na Dira ya Maendeleo hii itajenga Uwajibikaji kwa taasisi na wadau wa kutoka Haki -“Mhe Martha Mahumbuga” Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya…
4 February 2025, 11:19 am
‘‘Hivi hatuwezi kumaliza migogoro ya ardhi,mirathi na ndoa kwenye jamii zetu sheria zinasemaje kwa mtu ambaye atafanya kesi za aina kama hiyo kama changamoto ni sheria zetu basi tuziboreshe  na kama ni elimu ndogo ya kisheria kwa wananchi wetu vyombo vinavyohusika…
24 January 2025, 7:40 pm
“Matukio ya fisi kuvamia na kushambulia wananchi hadi kupoteza maisha hatuwezi kuyaacha tu yaendelee lazima tuone namna nzuri ya kushughulikia ili kuondoa maswali mengi kwa wananchi kujiona kama wao wametengwa katika usalama na ulinzi “. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa…
23 January 2025, 3:45 pm
‘‘Wanyamapori tunawahitaji sana hapa nchini kwa ajili ya utalii hali ambayo inaliingizia fedha za kigeni Taifa letu kupitia utalii kwa hifadhi zetu lakini hatuwezi kuwaacha kuwalinda watu wetu dhidi ya mashambulio ya wanyama pori wakali ambao wanatishia amani ya wananchi…
20 January 2025, 10:57 am
Bajeti hii imezingatia Miongozo na Sera mbalimbali pamoja na Vipaumbele Muhimu kwa wananchi wa Maswa “DED Maswa Ndugu Maisha Mtipa” Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoa Simiyu limepitisha Bajeti ya Shilingi Bilioni 47. 2 kwa ajili …
17 January 2025, 8:14 pm
“Kilimo ni uti wa mgongo katika taifa letu ambapo zaidi ya asilimia 75 ya wananchi wake wanahusika na kilimo hivyo lazima tuwekeze nguvu kubwa ili kuzalisha kwa tija”. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Bariadi  mkoani Simiyu,Simon Simalenga amewataka viongozi…
15 January 2025, 1:50 pm
Kwakweli inashangaza sana kuona watu hadi karne hii hawana vyoo na badala yake wanaenda kujisaidia Vichakani. ” Mrisho Mpoto balozi wa kampeni ya Mtu ni afya “ Wananchi wa kata za Sangamwalugesha, Malampaka na Shanwa zilizopo Wilaya ya Maswa Mkoa …
11 January 2025, 11:50 am
“Baraza la madiwani ni sehemu moja muhimu sana kwa wananchi kujuwa diwani wao anapeleka shida zao na kutafutiwa ufumbuzi sasa wananchi wanasubiri maendeleo leo wanasikia diwani kapigana na diwani sidhani kama ndiyo agenda ya Taifa.” Na, Daniel Manyanga Diwani wa…
8 January 2025, 8:53 pm
“Uroho wa viongozi kutaka maendeleo katika maeneo yao ya kiutawala ni chachu moja wapo ya kutambua kiongozi mwenye kujali wananchi anaowaongoza”. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, Simon Simalenga amewashauri madiwani wa halmashauri ya wilaya ya…
Establishment Â
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.Â
Region Coverage(Sibuka Fm)
 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex