Sibuka FM
Sibuka FM
18 December 2024, 9:07 pm
“Kupatikana kwa huduma ya utengamao katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Simiyu kumepunguza gharama na muda kwa wananchi waliokuwa wanafuata huduma hiyo jijini Mwanza.” Na, Daniel Manyanga Zaidi ya wananchi 2900 mkoani Simiyu wamenufaika na huduma za utengamao kwenye …
17 December 2024, 9:30 pm
” Umbali na gharama za kufuata huduma ya mionzi katika wilaya jirani ulikuwa kikwazo kwa wananchi wenye kipato cha chini lakini kusogezwa kwa huduma hiyo karibu kwa wananchi kumeleta faraja.” Na, Daniel Manyanga Wananchi wilayani Maswa mkoani Simiyu wamefurahia ujio…
16 December 2024, 8:51 pm
“Mkoa wa Simiyu ni mmoja wapo wa mkoa unaozalisha Pamba nyingi hapa nchini hivyo kuwa zao mkuu la kibiashara na lakimkakati zaidi.” Na, Daniel Manyanga Katika kuhakikisha kilimo cha zao la Pamba kinawatoa wakulima kimaisha bodi ya Pamba Tanzania (TCB)…
12 December 2024, 8:59 pm
“Suala la lishe ni mtambuka bila ushirikiano wa jamii na wadau hatuwezi kumaliza utapiamlo kwenye jamii yetu”. Na, Daniel Manyanga Katika kupambana na utapiamlo mkoani Simiyu halmashauri za wilaya ya Maswa na Meatu zimepokea mbegu za mahindi na maharage lishe…
12 December 2024, 3:51 pm
Wadau na wanaharakati wa haki za binadamu Duniani na Nchini Tanzania wameendelea na harakati za kuhakikisha kuwa usawa kwa wote unafikiwa,licha yakuwepo na wimbi la taarifa za ukatili wa kijinsia unaoripotiwa kwenye maeneo mengi Nchini na Duniani kwa ujumla. Na,…
10 December 2024, 12:15 pm
“Tanzania siyo kisiwa hivyo hatuwezi kujitenga katika vita ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kama ambavyo dunia inataka ikiwemo matumizi ya nishati safi ya kupikia na upandaji wa miti”. Na, Nicholaus Machunda Katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi…
10 December 2024, 11:37 am
“Uongozi ni dhamana ambayo umepewa na wananchi wenye imani na wewe hivyo ukipata nafasi jitahidi sana kuwa kioo kizuri kwenye jamii unayoiongoza ili siku moja uweze kukumbukwa kwa mazuri kutokana na utendaji kazi wako”. Na, Daniel Manyanga Wanawake viongozi walioshinda…
1 December 2024, 11:10 am
Chuo hiki kinaenda kubadilika kabisa na kuwa kipya kwani Rais wenu ametoa Fedha zaidi ya Bilioni 2. 9 ili kufanya Ukarabati wa Miundombinu, Niwahakikishie tu nyie Wahitimu mkirudi hapa Mwezi Juni mwakani mtakuta Mazingira tofauti kabisa, mtatamani mrudi kusoma hapa…
28 November 2024, 7:34 pm
Niwapongeze kwa Ushindi mliopata hivyo saivi ni Wenyeviti wa Vitongoji rasmi, Nendeni mkawatumikie Wananchi kwani wanachangamoto nyingi katika maeneo yao – DED Maswa Maisha Mtipa https://maswadc.go.tz/ Jumla ya Wenyeviti wa Vitongoji 40 kutoka kata Nne zinazounda Mamlaka ya Mji Mdogo…
27 November 2024, 4:03 pm
Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu Wameipongeza Serikali kwa Mandalizi Mazuri ya zoezi la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika leo Nov, 17, 2024 Wakizungumza kwa nyakati tofauti baada ya kupiga kura wamesema kuwa wananchi wamehamasika kupiga kura kwa Wingi ili …
20 November 2024, 8:43 pm
“Usalama wa raia ni ajenda ya kwanza katika Taifa lolote hatuwezi kuzungumzia maendeleo wakati huo raia wake wanapitia changamoto za kiusalama wao na mazao hasa waishio kandokando ya mapori au hifadhi.” Na, Daniel Manyanga Viboko wawili waliokuwa wanahatarisha usalama wa…
19 November 2024, 8:53 pm
“Adui wa maendeleo ni maradhi hatuwezi kufanya kazi za kiuchumi wakati huo wananchi wanachangamoto ya kiafya hivyo jukumu letu ni usalama kwanza wa raia”. Na, Daniel Manyanga Shirika la Amref Heath of Africa chini ya mradi wa Afya Thabithi unatekelezwa…
19 November 2024, 3:36 pm
“Nchi yetu inafata misingi ya kidemokrasia hivyo linapofika swala la uchaguzi hatutaki siasa za chuki ambazo zitaliingiza Taifa kwenye migogoro ya kisiasa ambayo ni adui wa maendeleo ya wananchi.” Na, Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Kenani Kihongosi amevitaka vyama…
12 November 2024, 4:52 pm
“Katika kupambana na umasikini nchini kupitia asilimia kumi ya mapato ya ndani ya halmashauri kundi la wanawake,vijana na watu wenye ulemavu wameendelea kunufaika kiuchumi.” Na, Daniel Manyanga Zaidi ya milioni miatatu zitokanazo na makusanyo ya ndani zimetangwa na halmashauri ya…
8 November 2024, 4:00 pm
“Wakati dunia inapambana na mabadiliko ya tabia nchi utokanao na uharibifu wa mazingira haswa katika matumizi ya nishati ya kuni na mkaa kanda ya ziwa kinara kwa uharibifu wa mazingira”. Na, Daniel Manyanga Zaidi ya hekta laki nne hupotea nchini…
7 November 2024, 11:08 am
Matumizi ya nishati safi yakupikia inatajwa kuwa ni mwarobaini wa kukabiliana na uharibifu wa mazingira,huku ikitajwa kuwanufaisha wanawake Mkoani Simiyu kwakuokoa gharama,muda na maradhi yanayotokana na matumizi ya mkaa na kuni Na,Alex Sayi Wanawake na Samia mkoani Simiyu wameaswa kuunga…
7 November 2024, 9:23 am
Wakazi wilayani Maswa Mkoani Simiyu mbioni kunufaika na mikopo ya 10% inayotengwa na Halmashauri kutoka kwenye mapato yake ya ndani baada ya Serikali kusitisha zoezi hilo toka April,2023/2024. Na,Alex Sayi Wanawake na Samia wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamehamasishwa kuchangamkia fursa…
6 November 2024, 5:48 pm
“Uhai ni maji na wanasayansi wanasema robo tatu ya dunia na mwili wa binadamu ni maji kwa kulitambua hilo wananchi waipongeza serikali kwa miradi ya maji”. Na, Daniel Manyanga Wananchi mkoani Simiyu wanaopata maji kwa kusuasua kutokana na kukosa vyanzo …
24 October 2024, 11:04 pm
Jamii ya watanzania imeendelea kukumbushwa kuchukua tahadhari juu ya matukio ya ukatili wa kijinsia,kwakutoa taarifa nakuendelea kuwaelimisha watoto walio majumbani na wanafunzi ili kuwanusuru watoto hao na athari za ukatili wa kijinsia. Na,Alex Sayi. Wanafunzi wa shule ya sekondari Masela…
2 October 2024, 3:33 pm
“Watu kwenda kanisani kuombewa kutokana na changamoto zao siyo dhambi lakini hatuwezi kuwafumbia macho baadhi ya watumishi wa Mungu ambao wanageuka kuwa wachonganishi kama na wao waganga wa kienyeji ambao wanatumia ramli chonganishi, twendeni tukafanye kazi ya Mungu na siyo vinginevyo.”…
Establishment
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.
Region Coverage(Sibuka Fm)
Radio Sibuka FM hears about 95 percent of the Simiyu region through the frequency of 97.0 MHz from the Maswa district as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex