Sibuka FM

Recent posts

8 May 2024, 4:16 pm

RUWASA Maswa yatakiwa kusajili pikipiki kwa namba za serikali

Vyombo vya watoa huduma wa maji ngazi ya jamii wilayani Maswa vimesaidia upatikanaji wa maji vijijini kutoka asilimia 68.9 hadi 74 na ifikapo 2025 kufikia asilimia 85. Na, Daniel Manyanga  Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Aswege Kaminyoge amemtaka…

7 May 2024, 7:54 pm

DC Maswa akabidhi pikipiki kwa  CBWSOs

Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh. Aswege Kaminyoge amewataka viongozi wa CBWSOs zilizogawiwa pikipiki kuzitumia katika malengo yaliyokusudiwa ili kuleta mabadiliko katika utoaji wa huduma za maji na siyo shughuli binafsi zisizo na tija. Na Nicholaus Machunda Mkuu  wa  Wilaya …

7 May 2024, 7:33 pm

Zaidi ya kaya 413 hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko Busega

Faida ya kufuatilia taarifa za mamlaka ya hali ya hewa kumetajwa kusaidia kujikinga na kuepuka madhara yatokanayo na mafuriko yanayosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha hapa nchini. Na Daniel Manyanga  Kaya zaidi  413 kutoka vitongoji  vitatu vya Itongo, Lamadi na…

6 May 2024, 5:49 pm

Maswa queens na Raha queens hakuna mbabe Simiyu

Utamu wa ligi ya wanawake Simiyu wafikia pazuri huku vipaji  vya mpira wa miguu kwa wanawake vikiibuliwa na kupelekea wazazi na walezi wa vijana wa kike kuhamasisha mabinti zao kucheza mpira wa miguu Na,Paul Yohana Fainali ya kwanza  ligi ya…

6 May 2024, 11:22 am

Wazazi wa kidigitali ni chanzo cha ukatili kwa watoto Maswa

Kushiriki kikamilifu kwa wazazi na walezi kumetajwa kumaliza ukatili kwa watoto ambao wanafanyiwa ukatili katika jamii zao hasa mtoto kuanzia kipindi cha ujauzito hadi kufikia umri wa miaka (8). Na Alex.F.Sayi Imebainishwa kuwa wazazi na walezi wamekuwa chanzo cha ukatili…

3 May 2024, 3:58 pm

Mikopo umiza ni ugonjwa mwingine kwa watumishi wa umma Simiyu

Ubunifu wa kufanya kazi nyingine tofauti ile ambayo umeajiriwa ni njia pekee inayoweza kuwakomboa watumishi wa umma na kuondokana na mikopo umiza ambao ni ugonjwa mwingine hatari. Na,Daniel Manyanga Kaimu mkuu wa mkoa wa Simiyu Bi.Anna Gidarya amewataka watumishi wa…

30 April 2024, 7:04 pm

Miti million moja na nusu kurejesha uoto wa asili Maswa

Maswa kurejesha uoto wa asili kwa zoezi endelevu la upandaji miti ili kuhakikisha wilaya inatunza vyanzo vya maji nakuifanya Maswa kuwa ya kijani. Na,Poul Yohana Halmashauri ya wilayani Maswa mkoani Simiyu imepanda miti 252 katika jengo la wanafunzi wenye mahitaji…

29 April 2024, 5:41 pm

Mvua yageuka kilio kwa wakulima wa pamba Bariadi

Licha ya mvua kuwa na faida lakini kwa wakulima wa pamba Bariadi imegeuka kilio hadi kufikiria kulima mazao mengine ili kujikomboa kiuchumi kutokana na mavuno ya pamba kuwa chini msimu huu. Na, Daniel Manyanga  Wakulima wa zao la pamba halmashauri…

27 April 2024, 10:32 am

Wadau: Miaka 60 ya muungano, Maswa haikuwa hivi

Kongamano la Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuwa Tanzania limefanyika Katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa na Kuhudhuriwa na Wadau Mbalimbali Nicholaus Machunda Wadau  wa Maendeleo  Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  Wamesema  kuwa  Miaka  60 …

26 April 2024, 4:24 pm

TEHAMA mashuleni kuongeza ufaulu kwa wanafunzi Maswa

Vifaa vya tehama sasa kusaidia ujifunzaji kwa wanafunzi shuleni nakuwasaidia walimu kwendana na wakati uliopo kwa sasa wa sayansi na teknolojia hivyo kuongeza ufaulu kwa wanafunzi.Na,Paul Yohana  Mkuu wa wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amekabidhi vifaa vya tehema…

26 April 2024, 10:30 am

RUWASA Simiyu yatakiwa kulipa wakandarasi kwa wakati

Wakala wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira (RUWASA) mkoani Simiyu kuwalipa wakandarasi wanaotekeleza miradi mbalimbali kwa wakati ili kuondokana na kuisababishia serikali hasara itokanayo na ucheleweshaji wa malipo. Na,Daniel Manyanga Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa…

24 April 2024, 10:46 am

Maswa wanogesha muungano kwa kutoa madawati

Wakuu wa Idara Halmashauri ya Wilaya ya Maswa wamekabidhi Seti za Madawati Miatatu kwa ajili ya Shule za Msingi na Sekondari ili kupunguza Uhaba unaozikabiri shule hizo baada ya kujibana kwenye Bajeti za Matumizi ya Ofisi zao Na Nicholaus Machunda…

23 April 2024, 6:12 pm

Dc Maswa awashukia viongozi wazembe

Wananchi wakeleka na utendaji kazi wa wenyeviti wa vitongoji na vijiji kushindwa kuwasikiliza kero zinawakabili ambazo zipo kwenye uwezo wa viongozi hao hivyo kuondoa uaminifu kwao Na,Paul Yohana Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Aswege Kaminyoge awewataka wenyeviti wa…

23 April 2024, 8:58 am

Homa ya mapafu yatishia usalama wa mifugo Maswa

Zoezi la uchanjaji wa mifugo wilayani Maswa mkoani Simiyu  kuwasaidia wafugaji kufanya ufugaji wenye tija na kuongeza thamani ya mifugo yao hivyo kuondokana na umasikini. Na,Paul Yohana Zaidi ya ng’ombe laki tatu wilayani Maswa mkoani Simiyu kupatiwa chanjo ya homa…

22 April 2024, 11:36 am

Maswa usalama wa mtoto siyo jukumu la walimu pekee

Usalama wa mtoto siyo jukumu la walimu wala mamlaka zinazohusika na maswala hayo wazazi ni nguzo muhimu sana katika kuyatengeneza maisha ya mtoto na kumwandalia misingi iliyo bora ili kuweza kukomesha vitendo vya ukatili dhidi yao. Na, Daniel Manyanga  Katika…

19 April 2024, 11:49 am

Samwel na Godi mikononi mwa Dc Maswa kwa kukwepa kulipa kodi

Lazima tuwe wakali kwa wafanyabiashara ambao wamekuwa wanaihujumu Serikali yetu ya Tanzania kwa kukwepa kulipa kodi pale wanapouza na kununua bidhaa na kushindwa kutoa listi za mashine zenye thamani sawa na bidhaa husika. Na, Daniel Manyanga  Mkuu wa wilaya ya…

18 April 2024, 4:40 pm

Mpango wa chakula mashuleni kuongeza ufaulu wa wanafunzi Bariadi

Chakula mashuleni ni swala la muhimu sana katika kukuza maendeleo ya wanafunzi kwenye ufaulu wa mitihani yao kitaifa na hivyo itapunguza utoro kwa wanafunzi mashuleni. Na,Daniel Manyanga Wazazi na Walezi wa wanafunzi katika shule ya msingi Imalilo iliyopo halmashauri ya…

17 April 2024, 10:49 am

DC Maswa ataka ushirikishwaji wa sekta binafsi kuleta maendeleo

Sekta binafsi ni mdau muhimu sana wa maendeleo katika kuwaletea maendeleo wananchi wetu, nendeni mkashirikiane nao, sikilizeni changamoto zao na kuzitatua. Na, Daniel Manyanga  Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amezitaka sekta binafsi na sekta za umma…

16 April 2024, 7:32 pm

Itilima wakosa huduma ya maji safi na salama kwa wiki tatu

Watembea umbali wa kilomita 3 kufuata huduma ya maji safi na salama kufuatia mota ya kusukuma maji kuungua kijijini hapo. Na. Daniel Manyanga  Wananchi wa vijiji vya Mlimani na Zanzui vilivyopo  wilayani  Itilima mkoani Simiyu  wakosa huduma ya maji safi…

16 April 2024, 10:04 am

Mfumo wa stakabadhi ghalani kuwanufaisha wakulima Simiyu

  Na Nicholaus Machunda Wakulima Mkoani Simiyu wapata mwarobaini wa bei ya mazao baada ya kilio cha muda mrefu cha kukosa soko la uhakika Wananchi  Mkoani  Simiyu  Wameishukuru  Serikali  Kuruhusu  kuuza  Mazao  yao  ya  Nafaka  kupitia  Mfumo  wa  Stakabadhi  Ghalani …

Sibuka Media Profile

Establishment  

Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.

The Objective  

To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments. 

Region Coverage(Sibuka Fm)

 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex

National Coverage (Sibuka Fm) 

Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than  5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex