

8 May 2024, 4:16 pm
Vyombo vya watoa huduma wa maji ngazi ya jamii wilayani Maswa vimesaidia upatikanaji wa maji vijijini kutoka asilimia 68.9 hadi 74 na ifikapo 2025 kufikia asilimia 85. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Aswege Kaminyoge amemtaka…
7 May 2024, 7:54 pm
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh. Aswege Kaminyoge amewataka viongozi wa CBWSOs zilizogawiwa pikipiki kuzitumia katika malengo yaliyokusudiwa ili kuleta mabadiliko katika utoaji wa huduma za maji na siyo shughuli binafsi zisizo na tija. Na Nicholaus Machunda Mkuu wa Wilaya …
7 May 2024, 7:33 pm
Faida ya kufuatilia taarifa za mamlaka ya hali ya hewa kumetajwa kusaidia kujikinga na kuepuka madhara yatokanayo na mafuriko yanayosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha hapa nchini. Na Daniel Manyanga Kaya zaidi 413 kutoka vitongoji vitatu vya Itongo, Lamadi na…
6 May 2024, 5:49 pm
Utamu wa ligi ya wanawake Simiyu wafikia pazuri huku vipaji vya mpira wa miguu kwa wanawake vikiibuliwa na kupelekea wazazi na walezi wa vijana wa kike kuhamasisha mabinti zao kucheza mpira wa miguu Na,Paul Yohana Fainali ya kwanza ligi ya…
6 May 2024, 11:22 am
Kushiriki kikamilifu kwa wazazi na walezi kumetajwa kumaliza ukatili kwa watoto ambao wanafanyiwa ukatili katika jamii zao hasa mtoto kuanzia kipindi cha ujauzito hadi kufikia umri wa miaka (8). Na Alex.F.Sayi Imebainishwa kuwa wazazi na walezi wamekuwa chanzo cha ukatili…
3 May 2024, 3:58 pm
Ubunifu wa kufanya kazi nyingine tofauti ile ambayo umeajiriwa ni njia pekee inayoweza kuwakomboa watumishi wa umma na kuondokana na mikopo umiza ambao ni ugonjwa mwingine hatari. Na,Daniel Manyanga Kaimu mkuu wa mkoa wa Simiyu Bi.Anna Gidarya amewataka watumishi wa…
30 April 2024, 7:04 pm
Maswa kurejesha uoto wa asili kwa zoezi endelevu la upandaji miti ili kuhakikisha wilaya inatunza vyanzo vya maji nakuifanya Maswa kuwa ya kijani. Na,Poul Yohana Halmashauri ya wilayani Maswa mkoani Simiyu imepanda miti 252 katika jengo la wanafunzi wenye mahitaji…
29 April 2024, 5:41 pm
Licha ya mvua kuwa na faida lakini kwa wakulima wa pamba Bariadi imegeuka kilio hadi kufikiria kulima mazao mengine ili kujikomboa kiuchumi kutokana na mavuno ya pamba kuwa chini msimu huu. Na, Daniel Manyanga Wakulima wa zao la pamba halmashauri…
27 April 2024, 10:32 am
Kongamano la Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuwa Tanzania limefanyika Katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa na Kuhudhuriwa na Wadau Mbalimbali Nicholaus Machunda Wadau wa Maendeleo Wilayani Maswa Mkoani Simiyu Wamesema kuwa Miaka 60 …
26 April 2024, 4:24 pm
Vifaa vya tehama sasa kusaidia ujifunzaji kwa wanafunzi shuleni nakuwasaidia walimu kwendana na wakati uliopo kwa sasa wa sayansi na teknolojia hivyo kuongeza ufaulu kwa wanafunzi.Na,Paul Yohana Mkuu wa wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amekabidhi vifaa vya tehema…
26 April 2024, 10:30 am
Wakala wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira (RUWASA) mkoani Simiyu kuwalipa wakandarasi wanaotekeleza miradi mbalimbali kwa wakati ili kuondokana na kuisababishia serikali hasara itokanayo na ucheleweshaji wa malipo. Na,Daniel Manyanga Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa…
24 April 2024, 10:46 am
Wakuu wa Idara Halmashauri ya Wilaya ya Maswa wamekabidhi Seti za Madawati Miatatu kwa ajili ya Shule za Msingi na Sekondari ili kupunguza Uhaba unaozikabiri shule hizo baada ya kujibana kwenye Bajeti za Matumizi ya Ofisi zao Na Nicholaus Machunda…
23 April 2024, 6:12 pm
Wananchi wakeleka na utendaji kazi wa wenyeviti wa vitongoji na vijiji kushindwa kuwasikiliza kero zinawakabili ambazo zipo kwenye uwezo wa viongozi hao hivyo kuondoa uaminifu kwao Na,Paul Yohana Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Aswege Kaminyoge awewataka wenyeviti wa…
23 April 2024, 8:58 am
Zoezi la uchanjaji wa mifugo wilayani Maswa mkoani Simiyu kuwasaidia wafugaji kufanya ufugaji wenye tija na kuongeza thamani ya mifugo yao hivyo kuondokana na umasikini. Na,Paul Yohana Zaidi ya ng’ombe laki tatu wilayani Maswa mkoani Simiyu kupatiwa chanjo ya homa…
22 April 2024, 11:36 am
Usalama wa mtoto siyo jukumu la walimu wala mamlaka zinazohusika na maswala hayo wazazi ni nguzo muhimu sana katika kuyatengeneza maisha ya mtoto na kumwandalia misingi iliyo bora ili kuweza kukomesha vitendo vya ukatili dhidi yao. Na, Daniel Manyanga Katika…
19 April 2024, 11:49 am
Lazima tuwe wakali kwa wafanyabiashara ambao wamekuwa wanaihujumu Serikali yetu ya Tanzania kwa kukwepa kulipa kodi pale wanapouza na kununua bidhaa na kushindwa kutoa listi za mashine zenye thamani sawa na bidhaa husika. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya…
18 April 2024, 4:40 pm
Chakula mashuleni ni swala la muhimu sana katika kukuza maendeleo ya wanafunzi kwenye ufaulu wa mitihani yao kitaifa na hivyo itapunguza utoro kwa wanafunzi mashuleni. Na,Daniel Manyanga Wazazi na Walezi wa wanafunzi katika shule ya msingi Imalilo iliyopo halmashauri ya…
17 April 2024, 10:49 am
Sekta binafsi ni mdau muhimu sana wa maendeleo katika kuwaletea maendeleo wananchi wetu, nendeni mkashirikiane nao, sikilizeni changamoto zao na kuzitatua. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amezitaka sekta binafsi na sekta za umma…
16 April 2024, 7:32 pm
Watembea umbali wa kilomita 3 kufuata huduma ya maji safi na salama kufuatia mota ya kusukuma maji kuungua kijijini hapo. Na. Daniel Manyanga Wananchi wa vijiji vya Mlimani na Zanzui vilivyopo wilayani Itilima mkoani Simiyu wakosa huduma ya maji safi…
16 April 2024, 10:04 am
Na Nicholaus Machunda Wakulima Mkoani Simiyu wapata mwarobaini wa bei ya mazao baada ya kilio cha muda mrefu cha kukosa soko la uhakika Wananchi Mkoani Simiyu Wameishukuru Serikali Kuruhusu kuuza Mazao yao ya Nafaka kupitia Mfumo wa Stakabadhi Ghalani …
Establishment
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.
Region Coverage(Sibuka Fm)
Radio Sibuka FM hears about 95 percent of the Simiyu region through the frequency of 97.0 MHz from the Maswa district as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex