

26 June 2024, 9:38 am
“Upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama katika maeneo ya vijijini utaongeza uchumi wa familia kutokana na kutumia muda mrefu kutafuta maji hivyo watajikita katika shughuli za kimaendeleo.” Na, Daniel Manyanga Wakala wa maji safi na usafi wa mazingira…
24 June 2024, 1:07 pm
Serikali imeleta fedha nyingi za miradi ya maji vijijini lakini mwitikio wa wananchi kutumia maji ya bomba ambayo ni safi na salama ni mdogo sana na badala yake wanatumia maji ya madimbwi ambayo siyo safi na salama hali inayopelekea kuwavunja…
24 June 2024, 12:33 pm
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe, Kenan Kihongozi ameahidi kuunda tume ya kufuatilia urejeshaji wa mikopo ya 10% kwa vikundi vya wanawake, vijana na makundi maalum inayotolewa na halmashauri ili watanzania wengine waweze kukopa. Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe …
17 June 2024, 1:21 pm
“Elimu jumuishi kwa watoto na vijana itasaidia sana kupunguza wimbi la watoto mitaani na utegemezi wa ajira kutoka serikalini hivyo tusiogope kuwekeza kwenye elimu jumuishi.” Na Daniel Manyanga Wadau wa maendeleo kwa watoto na vijana wilayani Maswa mkoani Simiyu wameomba…
12 June 2024, 4:20 pm
“Ukatili wa kijinsia umetajwa vyanzo vya matatizo ya kisakolojia kwa wahanga hivyo sheria ziwe na makali kwa mtuhumiwa hali ambayo itaweza kupunguza au kumaliza ukatili.” Na, Daniel Manyanga Mahakama ya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemhukumu, Mboje Paul (28) mkazi…
10 June 2024, 5:47 pm
“Tunaomba sana elimu ya mlipa kodi kwa wafanyabiashara itolewe kwa upana wake na mara kwa mara ili tuweze kulipa kodi kwa hiari hali itakayoweza kujenga urafiki na TRA.” Na, Daniel Manyanga Wafanyabiarasha wa Mji mdogo Malampaka wilayani Maswa mkoani Simiyu…
7 June 2024, 11:15 am
“Msimu ujao wa kilimo hatutaruhusu mkulima yeyote kuchukua mbegu na viatilifu bila kuonesha shamba lake alilolima ili kuondoa wakulima makanjanja katika zao hilo” Na, Daniel Manyanga Serikali wilayani Bariadi mkoani Simiyu imebaini uwepo wa ekari elfu arobaini hewa za zao…
4 June 2024, 5:43 pm
“Serikali bila watu hakuna utakachokifanya hivyo niseme serikali ni watu ndiyo ni kweli tunahitaji mapato kutokana na shughuli za uchimbaji wa madini lakini linapokuja suala la afya za wananchi hakuna umuhimu wa madini.” Na, Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya…
3 June 2024, 5:34 pm
“Migogoro ya ndoa na mipalanganyiko yakimahusiano imeendelea kuwa na athari kwa malezi na makuzi ya mtoto nchini hali inayopelekea watoto wengi kukosa haki zao za msingi.” Na,Daniel Manyanga Wanawake na mabinti wametakiwa kuwaita watoto wao majina halisi ya baba zao…
31 May 2024, 7:16 pm
Utengaji wa bajeti ya ununuzi wa vifaa vya michezo mashuleni utaongeza wanamichezo hivyo kutengeneza ajira nyingi na kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. Na.Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa wa Simiyu Dkt.Yahaya Nawanda ameziagiza halmashauri zote mkoani…
29 May 2024, 3:04 pm
Ukikwepa kulipa kodi maana yake umekubali kuliingizia hasara Taifa lako na kupelekea kudumaza shughuli za kimaendeleo tulipeni kodi kwa hiari kwa kutoa EFD mashine kwa waliokidhi vigezo. Na,Daniel Manyanga Mamlaka ya mapato nchini TRA wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imetoa…
28 May 2024, 5:03 pm
Wafanyabiashara wilayani Maswa wamepewa elimu ya ulipaji kodi kwa hiari ili kujenga uchumi wa nchi, pia kikao hicho kimehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mhe Aswege Kaminyoge na maafisa wa TRA kutoka wilayani hapo na mkoa. Mamlaka ya Mapato …
26 May 2024, 10:27 am
Zoezi la chanjo ya mifugo ni muhimu sana kwa wafugaji hivyo kila diwani akawe balozi kwenye eneo lake ili kuhamasisha waitikie kuchanja Mifugo yao ili kujikinga na Ugonjwa wa Mapafu “Maisha Mtipa Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Maswa” Halmashauri …
21 May 2024, 12:34 pm
Usafi siyo kuvaa nguo nzuri tu bali usafi ni kuwa na choo kizuri ambapo kinakufanya uweze kuwa salama na magonjwa ya mlipuko leo hii kesi nyingi za kuhara na kutapika ni kukosa vyoo sasa hatutawavumilia wale wasiokuwa na vyoo. Na,…
19 May 2024, 5:52 pm
Hatutasita kukuchukulia hatua kali za kisheria kwa wale ambao wanajihusisha na uhalifu maana mkono wa serikali ni mrefu hivyo njia sahihi ni kuachana na vitendo vya uhalifu Na, Daniel Manyanga Jeshi la polisi mkoani Simiyu linawashikilia watu wanane kwa tuhuma…
18 May 2024, 6:20 pm
Mpango wa kuwapatia maji safi na salama ni sera ya wizara ya maji hivyo jukumu la kukosekana kwa huduma ya maji kwa wananchi pindi usafi au kutibu maji ni kuboresha huduma hiyo. Na, Daniel Manyanga Wananchi mjini Maswa na vijiji…
17 May 2024, 11:56 am
Kutokana na mvua kuwa kubwa kunyesha msimu huu wa kilimo kwa mwaka 2023/2024 zilizopelekea mavuno ya pamba kushuka wilaya ya Maswa inatarajia kukusanya mapato chini ya makadirio ya awali. Na, Daniel Manyanga Zaidi ya tani elfu ishirini na mbili za…
15 May 2024, 8:57 pm
Mkuu wa Wilaya ya Maswa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Mazao amezindua msimu wa ununuzi wa pamba 2024/2025 Wilayani hapa na kuzitaka kampuni zote zinayodaiwa ushuru wa musimu uliopita hazitaruhusiwa kuanza kununua kabla ya kulipa madeni yao. Msimu wa Ununuzi …
14 May 2024, 5:30 pm
Barabara ya mzunguko ilichelewa sana kuwepo na huenda ajali za barabarani zisingekuwepo au kuwepo lakini kwa kiwango cha chini tofauti na hivi sasa. Na, Daniel Manyanga Kukamilika kwa barabara ya mzunguko (roundabout) inayounganisha barabara za Lamadi Bariadi,Mwanza na Mara kunatajwa…
14 May 2024, 9:34 am
Kutokana na bei ya pamba kuwa ndogo katika msimu wa kilimo wa mwaka 2024/25 iliyotangazwa mkoani Shinyanga wakulima wameanza kuangalia namna ya kuachana na kilimo hicho. Na, Daniel Manyanga Baraza la Madiwani la halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu…
Establishment
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.
Region Coverage(Sibuka Fm)
Radio Sibuka FM hears about 95 percent of the Simiyu region through the frequency of 97.0 MHz from the Maswa district as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex