Sibuka FM

Recent posts

23 January 2025, 3:45 pm

Mtoto wa miaka 3 afariki kwa kushambuliwa na Fisi Itilima

‘‘Wanyamapori tunawahitaji sana hapa nchini kwa ajili ya utalii hali ambayo inaliingizia fedha za kigeni Taifa letu kupitia utalii kwa hifadhi zetu lakini hatuwezi kuwaacha kuwalinda watu wetu dhidi ya mashambulio ya wanyama pori wakali ambao wanatishia amani ya wananchi…

20 January 2025, 10:57 am

Maswa kutumia 47.2b mwaka wa fedha  2025/2026

Bajeti hii imezingatia Miongozo na Sera mbalimbali pamoja na Vipaumbele Muhimu kwa wananchi wa Maswa “DED Maswa Ndugu Maisha Mtipa” Baraza  la  Madiwani  katika  Halmashauri  ya  Wilaya  ya  Maswa  Mkoa   Simiyu  limepitisha  Bajeti  ya  Shilingi   Bilioni 47. 2  kwa  ajili …

17 January 2025, 8:14 pm

DC Simalenga ataka uwazi ugawaji wa viuatilifu vya Pamba

“Kilimo ni uti wa mgongo katika taifa letu ambapo zaidi ya asilimia 75 ya wananchi wake wanahusika na kilimo hivyo lazima tuwekeze nguvu kubwa ili kuzalisha kwa tija”. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Bariadi  mkoani Simiyu,Simon Simalenga amewataka viongozi…

15 January 2025, 1:50 pm

Wananchi Maswa wawekeana mikakati kumaliza Ugonjwa wa Kipindupindu

Kwakweli inashangaza sana kuona watu hadi karne hii hawana vyoo na badala yake wanaenda kujisaidia Vichakani. ” Mrisho Mpoto balozi wa kampeni ya Mtu ni afya “ Wananchi  wa  kata  za  Sangamwalugesha,  Malampaka  na  Shanwa   zilizopo  Wilaya  ya  Maswa  Mkoa …

11 January 2025, 11:50 am

Maswa:Witness, Dwese mahakamani kwa kumshambulia diwani wa Zanzui

“Baraza la madiwani ni sehemu moja muhimu sana kwa wananchi kujuwa diwani wao anapeleka shida zao na kutafutiwa ufumbuzi sasa wananchi wanasubiri maendeleo leo wanasikia diwani kapigana na diwani sidhani kama ndiyo agenda ya Taifa.” Na, Daniel Manyanga Diwani wa…

8 January 2025, 8:53 pm

Bariadi DC yaomba kutumia bilioni 34 mwaka 2025/26

“Uroho wa viongozi kutaka maendeleo katika maeneo yao ya kiutawala ni chachu moja wapo ya kutambua kiongozi mwenye kujali wananchi anaowaongoza”. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, Simon Simalenga amewashauri madiwani wa halmashauri ya wilaya ya…

8 January 2025, 8:05 pm

Idadi ya watalii wa ndani imeshuka pori la akiba Kijereshi

“Elimu ya utalii bado inahitajika kwa jamii ili kuwajengea uzoefu wa kupenda kutembelea vivutio mbalimbali kwa lengo la kujifunza pamoja na kuchangia pato la Taifa”. Na, Daniel Manyanga Imeelezwa kuwa elimu utalii bado inahitajika kwa wananchi mkoani Simiyu ili waweze…

7 January 2025, 8:34 pm

Binadamu waathiri pori la akiba Kijereshi

“Shughuli za kibinadamu ni changamoto nyingine katika kuhifadhi mapori ya akiba tunakila sababu jamii kwa ujumla kushiriki kikamilifu katika kulinda tuzu zetu”. Na, Daniel Manyanga Wananchi waishio pembezoni mwa pori la akiba Kijereshi lililopo katika wilaya za Bariadi na Busega…

6 January 2025, 8:43 pm

Wafugaji Itilima watakiwa kutoingiza mifugo hifadhini

“Mifugo inachangia pato la Taifa lakini hatuwezi kuacha maeneo ya hifadhi hapa nchini yaharibiwe na wafugaji wasiotaka kufuata sheria,kanuni na taratibu za uhifadhi katika kulinda uoto wa asili ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.”  Na, Daniel Manyanga  Wafugaji waishio…

31 December 2024, 9:06 pm

Rais Samia apeleka furaha kwa yatima mkoani Simiyu

“Dini ya kweli ni kuwakumbuka wenye uhitaji ili nao waweze kujisikia kuwa wanathaminiwa na jamii na kuwatambua katika kuijenga nchi bila kujali mapungufu waliyonayo”. Na, Daniel Manyanga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, amewakumbuka watoto yatima…

23 December 2024, 8:36 pm

Wazazi wafelisha wanafunzi 213 elimu ya msingi mkoani Simiyu

“Pamoja na kwamba maandiko matakatifu yanasema kuwa mkamate sana elimu usimwache aende zake mshike maana yeye ni uzima wako Mithali 4:13 lakini wazazi wameendelea kuwa vikwazo kwa wanafunzi kutimiza ndoto zao”. Na, Daniel Manyanga Wanafunzi 213 walifanya mtihani wa kumaliza…

18 December 2024, 9:07 pm

2900 wapata huduma ya utengamao mkoani Simiyu

“Kupatikana kwa huduma ya utengamao katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Simiyu kumepunguza gharama na muda kwa wananchi waliokuwa wanafuata huduma hiyo jijini Mwanza.” Na, Daniel Manyanga Zaidi ya wananchi  2900 mkoani  Simiyu wamenufaika na huduma za utengamao kwenye …

17 December 2024, 9:30 pm

X-ray yapunguza gharama na muda wa matibabu wilayani Maswa

” Umbali na gharama za kufuata huduma ya mionzi katika wilaya jirani ulikuwa kikwazo kwa wananchi wenye kipato cha chini lakini kusogezwa kwa huduma hiyo karibu kwa wananchi kumeleta faraja.” Na, Daniel Manyanga Wananchi wilayani Maswa mkoani Simiyu wamefurahia ujio…

16 December 2024, 8:51 pm

TCB yagawa baiskeli 218 kwa wakulima wezeshi wa pamba Maswa

“Mkoa wa Simiyu ni mmoja wapo wa mkoa unaozalisha Pamba nyingi hapa nchini hivyo kuwa zao mkuu la kibiashara na lakimkakati zaidi.” Na, Daniel Manyanga Katika kuhakikisha kilimo cha zao la Pamba kinawatoa wakulima kimaisha bodi ya Pamba Tanzania (TCB)…

12 December 2024, 8:59 pm

Reacts In kumaliza utapiamlo wilaya za Maswa, Meatu

“Suala la lishe ni mtambuka bila ushirikiano wa jamii na wadau hatuwezi kumaliza utapiamlo kwenye jamii yetu”. Na, Daniel Manyanga Katika kupambana na utapiamlo mkoani Simiyu halmashauri za wilaya ya Maswa na Meatu zimepokea mbegu za mahindi na maharage lishe…

12 December 2024, 3:51 pm

Maswa:Ukatili wa kijinsia watajwa kupungua

Wadau na wanaharakati wa haki za binadamu Duniani  na Nchini Tanzania wameendelea na harakati za kuhakikisha kuwa usawa kwa wote unafikiwa,licha yakuwepo na wimbi la taarifa za ukatili wa kijinsia unaoripotiwa kwenye maeneo mengi Nchini na Duniani kwa ujumla. Na,…

10 December 2024, 12:15 pm

DC Kaminyoge aongoza wananchi wa Isageng’he kupanda miti

“Tanzania siyo kisiwa hivyo hatuwezi kujitenga katika vita ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kama ambavyo dunia inataka ikiwemo matumizi ya nishati safi ya kupikia na upandaji wa miti”. Na, Nicholaus Machunda Katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi…

1 December 2024, 11:10 am

Bil 2.9 zatolewa na serikali kukarabati chuo cha maafisa tabibu Maswa

Chuo hiki kinaenda kubadilika kabisa na kuwa kipya kwani Rais wenu ametoa Fedha zaidi ya Bilioni 2. 9 ili kufanya Ukarabati wa Miundombinu, Niwahakikishie tu nyie Wahitimu mkirudi hapa Mwezi Juni mwakani mtakuta Mazingira tofauti kabisa, mtatamani mrudi kusoma hapa…

28 November 2024, 7:34 pm

Wenyeviti wa vitongoji Mamlaka ya Mji Maswa  waapishwa, tayari kwa majukumu

Niwapongeze kwa Ushindi mliopata hivyo saivi ni Wenyeviti wa Vitongoji rasmi, Nendeni mkawatumikie Wananchi kwani wanachangamoto nyingi katika maeneo yao – DED Maswa Maisha Mtipa https://maswadc.go.tz/ Jumla  ya  Wenyeviti  wa  Vitongoji  40  kutoka  kata  Nne  zinazounda  Mamlaka  ya  Mji   Mdogo…

Sibuka Media Profile

Establishment  

Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.

The Objective  

To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments. 

Region Coverage(Sibuka Fm)

 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex

National Coverage (Sibuka Fm) 

Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than  5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex