Sibuka FM

Recent posts

30 March 2023, 5:39 pm

Maswa: Wakazi wa mji wa Malampaka walalamikia mgao wa maji

Na Alex.F.Sayi Wakazi zaidi ya elfu ishirini na nne wa Mji wa Malampaka Wilayani Maswa Mkoani Simiyu,wanakabiliwa na adha  ya mgao wa maji unaotokana na upungufu wa maji safi na salama mjini hapo. Akizungumza na Sibuka fm redio Diwani wa…

25 March 2023, 9:26 pm

Waziri Mkuu Majaliwa aonya Matumizi ya Fedha mbichi kwenye Halmashauri

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Kasimu Majaliwa amezionya Halmashauri zinazotumia Fedha za Makusanyo ya ndani kabla ya kuziweka kwenye Mifumo ya Kibenki. Mhe Majaliwa ametoa Onyo hilo leo mjini Bariadi wakati akiongea na baadhi ya Watumishi…

21 March 2023, 12:47 pm

Wanaoishi maisha duni hatarini kupata ugonjwa wa kifua kikuu

Imeelezwa  kuwa  Jamii  inayoishi  katika  Makazi  Duni   ipo hatarini  kuugua  Ugonjwa   wa  Kifua  kikuu  kutokana  na  hali  zao za  Maisha   na  Mfumo  wa  Maisha  wanayoishi.. Hayo  yameelezwa  na   Mratibu  wa Mapambano  dhidi  ya  Kifua  Kikuu  kutoka Muungano  wa  Wadau wa…

14 March 2023, 5:20 pm

WAKAZI ZAIDI YA  120,000 WILAYANI MASWA MKOANI SIMIYU HAWAJACHANJA CHANJO YA CO…

Na Alex Faida Sayi. Halimashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu kupitia wataalamu wa Afya na waratibu wa chanjo Wilayani hapo imejipanga kuhakikisha inawafikia  wakazi zaidi ya   (120,000) ambao hawakuweza kuchanja chanjo ya  Covid 19,tangu zoezi hilo lilipoanza kutekelezwa Augost.21.2021,huku ikiwaasa…

4 March 2023, 10:18 am

Simiyu: DC Maswa apiga marufuku wanafunzi kufukuzwa shuleni

Na Alex Sayi Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ,Mhe.Aswege Kaminyoge ,amepiga marufuku tabia ya Wakuu wa shule wilayani hapo kuwafukuza wanafunzi kwa sababu  ya kutokukamilisha michango ya shule au kwa sababu zingine zile. Hayo ameyasema wakati akizungumza na…

17 February 2023, 1:48 pm

Simiyu: Askari aliyejeruhi mwanae afikishwa mahakamani

Askari wa jeshi la polisi mkoa wa Simiyu mwenye no H.4178 PC Abati Benedicto Nkalango miaka (27) aliyempiga  mwanae  mwenye miaka( 7) mwanafunzi wa darasa la kwanza katika  shule ya Herbeth Gappa English Mediam  na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili…

17 February 2023, 12:01 pm

DC Itilima: Wizara tupeni Mamlaka ya Kusimamia Miradi.

Mkuu wa Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu Mhe. Faidha Salim ameishauri Wizara ya Kilimo Kuzipa Halmashauri Mamlaka za Kusimamia Miradi Ili kuondokana na kusuasua Kwa Miradi inayotekelezwa na Wakandarasi. Mh Faidha ametoa Ushauri huo akiwa Mgeni Rasmi katika Hafla ya…

15 February 2023, 3:08 pm

Wananchi Waaswa kula mlo wenye Makundi 5 ya Chakula.

Wananchi Wilayani Maswa wameaswa kula chakula chenye Makundi Matano ya chakula Bora ili Kuimarisha Afya. Hayo yamesemwa mapema hii leo na Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Ndugu Abel Gyunda Wakati akitoa Elimu ya Masuala ya Lishe…

10 February 2023, 10:15 am

Programu ya Takukuru  Rafiki  kuondoa  Mianya  ya  Rushwa  Simiyu.

Taasisi ya  kuzuia  na  Kupambana  na  Rushwa -TAKUKURU Mkoani  Simiyu  imeanza kutekeleza kampeni  ya  Takukuru  Rafiki lengo kupunguza na  kuzuia vitendo vya rushwa katika  ngazi ya kata na Vijiji. Akitoa Elimu  hiyo  kwa Jamii kupitia Sibuka  fm Mkuu wa TAKUKURU…

1 February 2023, 2:38 pm

Bilioni 4.2 Kutengeneza  na  Kukarabati  Barabara wilayani Maswa

Wakala  wa   Barabara  za  Mjini  na  Vijijini ( TARURA)  Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  imepanga  kutumia   Zaidi  ya  Tsh, Bilioni 4.22  kwa  mwaka  wa  Fedha 2023/ 2024  katika   Kukarabati na  Kutengeneza  Mtandao  wa  Barabara.. Akiwasilisha  Taarifa  ya  Makadirio  hayo  ya  Fedha…

30 January 2023, 4:29 pm

Takukuru yatambulisha Programu ya ”TAKUKURU-Rafiki’

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Wilayani Maswa Imezidua na Kutambalisha kwa Madiwani Programu ya TAKUKURU- RAFIKI ikiwa na lengo la Kuongeza Ushiriki wa Kila Mwananchi na Wadau mbalimbali katika kukabiliana na tatizo la Rushwa katika Utoaji wa Huduma…

14 January 2023, 4:54 pm

TARURA KUJENGA BARABARA ZA LAMI MJINI MASWA

Na mwandishi wetu,Samuel Mwanga. Wakala wa Barabara wa Mjini na Vijijini (TARURA)katika wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu kujenga barabara za kiwango cha lami katika mitaa mitatu  mjini  Maswa katika mwaka wa fedha 2023/2024. Hayo yameelezwa na Kaimu Meneja wa…

15 December 2022, 4:47 pm

Wilaya ya Maswa kuandikisha Watoto wa Darasa la Awali 13,000 kwa Mwaka…

Imeelezwa  kuwa  Wilaya  ya  Maswa   Mkoa  wa  Simiyu  hadi  kufikia   mwezi  Novemba , 2022  Imefanikiwa Kuandikisha  Watoto  wa  Darasa  la  Awali   Elfu  Saba (7000)  Sawa  na  Asilimia  Hamsini  na  Mbili (52%)  ya  Makisio  yote  ya  Watoto   Elfu  kumi  na  tatu…

29 November 2022, 6:24 pm

UZAZI WA MPANGO UNASAIDIA KUPUNGUZA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI.

Imeelezwa  kuwa   matumizi  ya  Uzazi  wa Mpango yanasaidia kupunguza  kwa   asilimia  kubwa  vifo  vitokanavyo  na  Uzazi  kwa  akina  mama.. Hayo  yameelezwa  na  Dr  Boniface  Mabonesho  Mtaalamu  wa  Masuala  ya   Afya  ya  Uzazi  kutoka  Zahati  ya  Mwagala  iliyopo Wilayani  Maswa  Mkoani …

Sibuka Media Profile

Establishment  

Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.

The Objective  

To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments. 

Region Coverage(Sibuka Fm)

 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex

National Coverage (Sibuka Fm) 

Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than  5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex