Sibuka FM
Sibuka FM
24 April 2024, 10:46 am
Wakuu wa Idara Halmashauri ya Wilaya ya Maswa wamekabidhi Seti za Madawati Miatatu kwa ajili ya Shule za Msingi na Sekondari ili kupunguza Uhaba unaozikabiri shule hizo baada ya kujibana kwenye Bajeti za Matumizi ya Ofisi zao Na Nicholaus Machunda…
23 April 2024, 6:12 pm
Wananchi wakeleka na utendaji kazi wa wenyeviti wa vitongoji na vijiji kushindwa kuwasikiliza kero zinawakabili ambazo zipo kwenye uwezo wa viongozi hao hivyo kuondoa uaminifu kwao Na,Paul Yohana Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Aswege Kaminyoge awewataka wenyeviti wa…
23 April 2024, 8:58 am
Zoezi la uchanjaji wa mifugo wilayani Maswa mkoani Simiyu kuwasaidia wafugaji kufanya ufugaji wenye tija na kuongeza thamani ya mifugo yao hivyo kuondokana na umasikini. Na,Paul Yohana Zaidi ya ng’ombe laki tatu wilayani Maswa mkoani Simiyu kupatiwa chanjo ya homa…
22 April 2024, 11:36 am
Usalama wa mtoto siyo jukumu la walimu wala mamlaka zinazohusika na maswala hayo wazazi ni nguzo muhimu sana katika kuyatengeneza maisha ya mtoto na kumwandalia misingi iliyo bora ili kuweza kukomesha vitendo vya ukatili dhidi yao. Na, Daniel Manyanga Katika…
19 April 2024, 11:49 am
Lazima tuwe wakali kwa wafanyabiashara ambao wamekuwa wanaihujumu Serikali yetu ya Tanzania kwa kukwepa kulipa kodi pale wanapouza na kununua bidhaa na kushindwa kutoa listi za mashine zenye thamani sawa na bidhaa husika. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya…
18 April 2024, 4:40 pm
Chakula mashuleni ni swala la muhimu sana katika kukuza maendeleo ya wanafunzi kwenye ufaulu wa mitihani yao kitaifa na hivyo itapunguza utoro kwa wanafunzi mashuleni. Na,Daniel Manyanga Wazazi na Walezi wa wanafunzi katika shule ya msingi Imalilo iliyopo halmashauri ya…
17 April 2024, 10:49 am
Sekta binafsi ni mdau muhimu sana wa maendeleo katika kuwaletea maendeleo wananchi wetu, nendeni mkashirikiane nao, sikilizeni changamoto zao na kuzitatua. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amezitaka sekta binafsi na sekta za umma…
16 April 2024, 7:32 pm
Watembea umbali wa kilomita 3 kufuata huduma ya maji safi na salama kufuatia mota ya kusukuma maji kuungua kijijini hapo. Na. Daniel Manyanga Wananchi wa vijiji vya Mlimani na Zanzui vilivyopo wilayani Itilima mkoani Simiyu wakosa huduma ya maji safi…
16 April 2024, 10:04 am
 Na Nicholaus Machunda Wakulima Mkoani Simiyu wapata mwarobaini wa bei ya mazao baada ya kilio cha muda mrefu cha kukosa soko la uhakika Wananchi Mkoani Simiyu Wameishukuru Serikali Kuruhusu kuuza Mazao yao ya Nafaka kupitia Mfumo wa Stakabadhi Ghalani …
10 April 2024, 6:00 pm
Hatuwezi kuwa na wakandarasi wazembe namna hii ambao hawafanyi kazi kwa mujibu wa mkataba na hawajui ni adha gani ambayo wananchi wanaipata nishauri serikali imfute mkandarasi na kampuni yake hiyo katika orodha ya Wakandarasi hapa nchini. Na ,Daniel Manyanga Mkuu…
4 April 2024, 5:31 pm
Jamii ya wafugaji na Wahadzabe wamenufaika na mafunzo ya Sheria ya Ardhi kwa lengo la kuzisaidia jamii hizo kujua hatua za utatuzi wa migogoro kwenye maeneo yao. Na,Alex Sayi Shirika la DANMISSION kwa ushirikiano na kanisa la KKKT Jimbo la…
4 April 2024, 3:02 pm
Watendaji wote waliotajwa kula fedha za maendeleo zitokanazo na michango ya Wananchi ndani ya siku kumi na Nne warudishwe Ili kuja kujibu tuhuma na kufanya makabidhiano Mbele ya Serikali ya Kijiji. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge ametoa siku…
3 April 2024, 10:20 am
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe, Aswege Enock Kaminyoge amewataka Wananchi wilaya hapo kujitokeza kwa Wingi katika Mikutano ya Hadhara inayoitishwa na Viongozi wao wa Vijiji na kata ili kutoa kero zao na changamoto mbalimbali zinazowakabiri. Mh Kaminyoge …
28 March 2024, 10:19 am
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa – LAAC imeipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kwa Usimamizi Mzuri wa Fedha za Miradi ya Maendeleo zinazoletwa Wilayani hapo. Akitoa Pongezi hizo mara baada ya kutembelea Jengo la …
21 March 2024, 7:05 pm
Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA)Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wanatarajia kuzifanyia marekebisho Barabara zenye mtandao wa Km,227.21 zilizoathiriwa na Mvua za msimu. Na. Alex Sayi Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini (TARURA) imeendelea na matengenezo ya barabara…
13 March 2024, 11:35 am
Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu Mh Aswege Kaminyoge  ametoa maagizo  kwa watendaji na viongozi wengine kusikiliza kero za za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi na siyo kusubiri viongozi wa ngazi za juu kuja kusikiliza kero ambazo zingetatuliwa na viongozi …
13 March 2024, 10:44 am
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh Aswege Kaminyoge  amemshukuru  Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa zana za kilimo kwa wakulima wa kata ya Senani ili kumsaidia mkulima katika kuongeza tija katika zao la pamba. DC Kaminyoge ametoa shukrani hizo wakati wa kuzindua zana…
11 March 2024, 5:43 pm
Na,Alex Sayi-Simiyu Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania TAWA Kanda ya Ziwa, wabainisha kuwa  uwepo wa mtawanyiko wa Maji kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha kwa hivi sasa kumechangia ongezeko la Mamba mto Simiyu hivyo kuhatarisha maisha ya wananchi wanaoishi karibu na…
10 March 2024, 8:38 am
Chama cha msalaba mwekundu mkoani Simiyu kimesherekea siku ya Wanawake duniani kwa kufanya usafi katika hospitali ya wilaya ya Maswa katika kutambua na kuthamini mchango wa Wanawake katika Nyanja mbalimbali za kimaendeleo nchini. Na,Paul Yohana Katika kuenzi na kuthamini mchango…
1 March 2024, 8:07 pm
Jumla ya maafisa usafirishaji 96 wamepatiwa  vyeti vya udereva na  leseni za uendeshaji vyombo vya moto ikiwemo pikipiki na magari madogo baada ya kufuzu mafunzo ya uendeshaji wa vyombo hivyo. Akikadhi vyeti  hivyo  na leseni , Mkuu wa Wilaya ya …
Establishment Â
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.Â
Region Coverage(Sibuka Fm)
 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex