

30 March 2023, 5:39 pm
Na Alex.F.Sayi Wakazi zaidi ya elfu ishirini na nne wa Mji wa Malampaka Wilayani Maswa Mkoani Simiyu,wanakabiliwa na adha ya mgao wa maji unaotokana na upungufu wa maji safi na salama mjini hapo. Akizungumza na Sibuka fm redio Diwani wa…
26 March 2023, 7:20 pm
Na Alex.F.Sayi Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Kassim Majaliwa amewataka watumishi wa Serikali ngazi ya Mkoa na Wilaya kutumia siku nne za kazi kuwahudumia wananchi hasa wa Vijijini na sio kukaa maofisini wakisubiria ziara za viongozi wa…
25 March 2023, 9:26 pm
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Kasimu Majaliwa amezionya Halmashauri zinazotumia Fedha za Makusanyo ya ndani kabla ya kuziweka kwenye Mifumo ya Kibenki. Mhe Majaliwa ametoa Onyo hilo leo mjini Bariadi wakati akiongea na baadhi ya Watumishi…
24 March 2023, 7:49 pm
Na Alex.F.Sayi. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kasimu Majaliwa Majaliwa amesema kuwa kwa siku wagonjwa (71)hufariki kwa Ugonjwa wa Kifua Kikuu kati ya vifo (25,800) vilivyogundulika kwa mjibu wa Takwimu za mwaka 2022. Hayo ameyasema kwenye Maadhimisho ya siku…
24 March 2023, 8:04 am
Na Alex .F.Sayi Imeelezwa kuwa kati ya vifo miamoja Wilayani Maswa Mkoani Simiyu ,vifo Saba kati ya hivyo vinatokana na Magonjwa yasiyokuwa ya kuambukiza ikiwa ni sawa na asilimia (6.7%) ya vifo vyote Wilayani hapa. Hayo yamesemwa na Afisa Lishe…
21 March 2023, 12:47 pm
Imeelezwa kuwa Jamii inayoishi katika Makazi Duni ipo hatarini kuugua Ugonjwa wa Kifua kikuu kutokana na hali zao za Maisha na Mfumo wa Maisha wanayoishi.. Hayo yameelezwa na Mratibu wa Mapambano dhidi ya Kifua Kikuu kutoka Muungano wa Wadau wa…
14 March 2023, 5:20 pm
Na Alex Faida Sayi. Halimashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu kupitia wataalamu wa Afya na waratibu wa chanjo Wilayani hapo imejipanga kuhakikisha inawafikia wakazi zaidi ya (120,000) ambao hawakuweza kuchanja chanjo ya Covid 19,tangu zoezi hilo lilipoanza kutekelezwa Augost.21.2021,huku ikiwaasa…
4 March 2023, 10:18 am
Na Alex Sayi Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ,Mhe.Aswege Kaminyoge ,amepiga marufuku tabia ya Wakuu wa shule wilayani hapo kuwafukuza wanafunzi kwa sababu ya kutokukamilisha michango ya shule au kwa sababu zingine zile. Hayo ameyasema wakati akizungumza na…
17 February 2023, 1:48 pm
Askari wa jeshi la polisi mkoa wa Simiyu mwenye no H.4178 PC Abati Benedicto Nkalango miaka (27) aliyempiga mwanae mwenye miaka( 7) mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya Herbeth Gappa English Mediam na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili…
17 February 2023, 12:01 pm
Mkuu wa Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu Mhe. Faidha Salim ameishauri Wizara ya Kilimo Kuzipa Halmashauri Mamlaka za Kusimamia Miradi Ili kuondokana na kusuasua Kwa Miradi inayotekelezwa na Wakandarasi. Mh Faidha ametoa Ushauri huo akiwa Mgeni Rasmi katika Hafla ya…
15 February 2023, 3:08 pm
Wananchi Wilayani Maswa wameaswa kula chakula chenye Makundi Matano ya chakula Bora ili Kuimarisha Afya. Hayo yamesemwa mapema hii leo na Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Ndugu Abel Gyunda Wakati akitoa Elimu ya Masuala ya Lishe…
10 February 2023, 10:15 am
Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa -TAKUKURU Mkoani Simiyu imeanza kutekeleza kampeni ya Takukuru Rafiki lengo kupunguza na kuzuia vitendo vya rushwa katika ngazi ya kata na Vijiji. Akitoa Elimu hiyo kwa Jamii kupitia Sibuka fm Mkuu wa TAKUKURU…
1 February 2023, 2:38 pm
Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini ( TARURA) Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imepanga kutumia Zaidi ya Tsh, Bilioni 4.22 kwa mwaka wa Fedha 2023/ 2024 katika Kukarabati na Kutengeneza Mtandao wa Barabara.. Akiwasilisha Taarifa ya Makadirio hayo ya Fedha…
30 January 2023, 4:29 pm
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Wilayani Maswa Imezidua na Kutambalisha kwa Madiwani Programu ya TAKUKURU- RAFIKI ikiwa na lengo la Kuongeza Ushiriki wa Kila Mwananchi na Wadau mbalimbali katika kukabiliana na tatizo la Rushwa katika Utoaji wa Huduma…
14 January 2023, 4:54 pm
Na mwandishi wetu,Samuel Mwanga. Wakala wa Barabara wa Mjini na Vijijini (TARURA)katika wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu kujenga barabara za kiwango cha lami katika mitaa mitatu mjini Maswa katika mwaka wa fedha 2023/2024. Hayo yameelezwa na Kaimu Meneja wa…
12 January 2023, 4:31 pm
Na mwandishi wetu,Daniel Manyanga. Mkuu wa wilaya ya Maswa, Aswege Kaminyoge ameziagiza taasisi zote za serikali wilayani hapo kuhakikisha zinatenga bajeti ya utunzaji wa mazingira wakati wa uandaaji wa bajeti kuu ya serikali kwa mwaka fedha 2023/2024 ili kuweza kukabiliana…
11 January 2023, 12:27 pm
Na mwandishi wetu, Daniel Manayanga Zaidi ya Millioni thelatheni ambayo ni michango ya wananchi,mfuko wa jimbo la Maswa Magharibi zimeshatumika katika ujenzi wa Shule ya Sekondari Sayusayu iliyopo Kata ya Buchambi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu ili kupunguza adha wa wanafunzi…
16 December 2022, 8:00 pm
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Dkt.Yahaya Nawanda ametoa siku saba (wiki moja) kwa uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Maswa kuweka milango mingine imara katika kituo cha afya cha Shishiyu kufuatia iliyokuwa imewekwa kutokidhi ubora. Dkt.Nawanda akiwa katika ziara yake…
15 December 2022, 4:47 pm
Imeelezwa kuwa Wilaya ya Maswa Mkoa wa Simiyu hadi kufikia mwezi Novemba , 2022 Imefanikiwa Kuandikisha Watoto wa Darasa la Awali Elfu Saba (7000) Sawa na Asilimia Hamsini na Mbili (52%) ya Makisio yote ya Watoto Elfu kumi na tatu…
29 November 2022, 6:24 pm
Imeelezwa kuwa matumizi ya Uzazi wa Mpango yanasaidia kupunguza kwa asilimia kubwa vifo vitokanavyo na Uzazi kwa akina mama.. Hayo yameelezwa na Dr Boniface Mabonesho Mtaalamu wa Masuala ya Afya ya Uzazi kutoka Zahati ya Mwagala iliyopo Wilayani Maswa Mkoani …
Establishment
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.
Region Coverage(Sibuka Fm)
Radio Sibuka FM hears about 95 percent of the Simiyu region through the frequency of 97.0 MHz from the Maswa district as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex