Sibuka FM
Sibuka FM
29 September 2024, 10:16 am
Niwaombe sana wananchi wa Maswa msikubali kuhamasishwa na watu wenye nia ovu ya kuvuruga na uchochezi ili kuharibu amani kwani amani ikipotea wa kwanza kuumia ni watoto, akina mama na wazee. Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh Kenani Laban Kihongosi…
27 September 2024, 11:06 pm
“Unakuta meme umefika maeneo ya sentani tu halafu sisi tuliopo pembezoni hatupati tunaambiwa tu mradi unaishia hapo kwani sisi wa pembezoni hatustahili kupata huduma ya umeme?“ Wananchi wa kijiji cha Mwakabeya kata ya Ipililo Wilayani Maswa Wamelalamikia Huduma ya Umeme kufika kwenye Senta …
27 September 2024, 8:49 pm
Wananchi wilayani Maswa zipuuzeni taarifa za watoto kutekwa na kutolewa figo, hao ni wapotoshaji tu wenye lengo la kuondoa amani ya taifa letu. Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh Kenani Laban Kihongosi ameonya watu wanaoeneza taarifa za Taharuki za Watoto …
19 September 2024, 5:25 pm
“Katika kuhakikisha madeni yote yanalipwa kwa wadai wote halmashauri ya wilaya ya Maswa imesubiria ripoti ya mkaguzi wa hesabu za ndani ili wenyeviti wapate haki zao”. Na, Daniel Manyanga Wajumbe wa mamlaka ya mji mdogo wa Maswa mkoani Simiyu ambao…
18 September 2024, 4:55 pm
“Mchango wa maendeleo na kupunguza wimbi la ajira umekuwa mkubwa sana kwa Taifa kutokana na baadhi ya vijana kujiajiri wao wenyewe kupitia bodaboda hivyo kujiongezea kipato“. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa wa Simiyu,Kenani Kihongosi ametoa kiasi cha fedha milioni…
16 September 2024, 7:00 pm
“Katika kukabiliana na maafa mbalimbali hapa nchini shirika lisilo la kiserikali la World vision limeendesha mafunzo kwa kamati za maafa ili kuongeza ufanisi wa kiutendaji wakati ,kabla na baada ya maafa”. Na, Daniel Manyanga Kamati za Maafa za wilaya zimetakiwa…
9 September 2024, 5:48 pm
“Uboreshaji wa taarifa katika daftari la kudumu la wapiga kura ndiyo dira halisi na mwanzo wa kupata viongozi bora wanaochaguliwa na wananchi kwa maendeleo ya Taifa letu hivyo hatuwezi kuvumilia vitendo vya kuvuruga zoezi hilo”. Na, Daniel Manyanga Ikiwa leo…
4 September 2024, 4:08 pm
“Uboreshaji wa taarifa katika daftari la kudumu la wapiga kura ni msingi mmoja wapo wa kupata viongozi bora kwa mustakabali wa Taifa letu hivyo ni muhimu kushiriki zoezi hilo.” Na , Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu…
1 September 2024, 6:11 pm
Na Nicholaus Machunda Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru Mkoa wa Simiyu imefanikiwa kurejesha furaha ya Wananchi wa Wilaya Itilima baada ya kufuatilia Mradi wa Maji katika kijiji cha Ng’wang’wita uliotoa Huduma ya Maji kwa Mwezi mmoja tu …
29 August 2024, 8:13 pm
Kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu 2025,Tume huru ya taifa ya uchaguzi imeendelea na zoezi la utoaji wa mafunzo kwa maafisa waandikishaji ngazi ya jimbo,maafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya jimbo na maafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya kata…
26 August 2024, 5:19 pm
Tume huru ya uchaguzi imewataka wananchi mkoani simiyu kujitokeza kwa wingi kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura, ili wawe na sifa za kushiriki uchaguzi ujao. Akizungumza katika Mkutano huo uliowakutanisha wadau mbalimbali mhe. Jaji mustaafu MBAROUK…
16 August 2024, 11:33 am
Wandzabe walia na Sheria za usimamizi wa wanyama pori na mapori tengefu kuwa zimechangia kuhafifisha usitawi wa jamii hizo na kusababisha hatari ya kutoweka kwa jamii hizo zinayoishi porini. Na,Alex Sayi. Jamii ya kihandzabe imebainisha kuwa kwa miaka nenda rudi…
15 August 2024, 10:40 am
Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamepaza sauti zao na kutoa Maoni juu ya Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2025 – 2050 wakati wa Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya – DCC kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya …
13 August 2024, 10:47 pm
Nicholaus Machunda – Simiyu Mbunge wa Jimbo la Kisesa lililopo wilayani Meatu mkoani Simiyu Mhe. Luhaga Joelson Mpina amekabidhi vifaa vya TEHAMA katika shule tisa za Sekondari jimboni kwake vyenye thamani ya Shilingi Milioni 22. 5 ili kusaidia Utendaji kazi na …
12 August 2024, 7:02 pm
Kufuatia uwepo wa changamoto zinazowakabili watoto wa kike Nchini za kushindwa kumaliza masomo yao kutokana na umbali wa Shule Serikali imendelea na Mpango wake wa kuhakikisha inajenga mabweni kwa ajili ya kuwanusuru watoto hao wa kike. Na,Alex Sayi. Kiongozi wa…
9 August 2024, 7:26 pm
Na Nicholaus Machunda Wananchi wa Vijiji vya Mabujiku, Malita na Zanzui vilivyopo kata ya Zanzui, Wilayani Maswa, Mkoani Simiyu wamemshukuru Mh Rais Samia Suluhu Hasani kwa kutoa Fedha kwa ajili ya Mradi wa maji utakaonufaisha Wakazi zaidi ya Elfu Tisa.…
8 August 2024, 9:54 pm
Na Nicholaus Machunda – Simiyu Wananchi wa Mikoa ya Shinyanga , Simiyu na Mara wameaswa kutumia teknolojia ya kisasa ya kilimo ili kujikwamua kiuchumi kwa kuongeza uzalishaji. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe, Kanali Evans Alfred Mtambi ambaye alikuwa Mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima maarufu kama Nanenane. Aidha Mh.…
1 August 2024, 5:13 pm
Mwendesha Mashtaka wa Takukuru ameeleza kuwa Mshtakiwa alifikishwa Mahakamani hapo Januari 05, 2023 kwa Makosa Mawili ya kutoa fedha kiasi Tsh. 1,228,000/= kwenye akaunti ya KIDEMA AMCOS na kuzitumia kwa matumizi yake binafsi badala ya kulipa ushuru kwenye akaunti ya chama kikuu Cha…
19 July 2024, 5:29 pm
“Katika kuzuia na kupambana na madereva wazembe wanaosababisha ajali zisizo za lazima zinazotokana na ubovu wa vyombo vya usafirishaji wanavyotumia jeshi la polisi mkoa wa Simiyu limekuja oparesheni la ukaguzi wa vyombo vya moto” Na,Daniel Manyanga Kamanda wa jeshi la…
19 July 2024, 2:27 pm
“Usalama wa maisha ni jambo muhimu ili kutimiza malengo ya wananchi wetu nchi bila kuhakikisha usalama wa maeneo wanapotoka wananchi hatuwezi kufikia azma ya maendeleo ngazi ya jamii na taifa kwa ujumla” Na Daniel Manyanga Wanafunzi wawili waliotambulika kwa majina…
Establishment
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.
Region Coverage(Sibuka Fm)
Radio Sibuka FM hears about 95 percent of the Simiyu region through the frequency of 97.0 MHz from the Maswa district as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex