Sibuka FM
Sibuka FM
8 January 2025, 8:05 pm
“Elimu ya utalii bado inahitajika kwa jamii ili kuwajengea uzoefu wa kupenda kutembelea vivutio mbalimbali kwa lengo la kujifunza pamoja na kuchangia pato la Taifa”. Na, Daniel Manyanga Imeelezwa kuwa elimu utalii bado inahitajika kwa wananchi mkoani Simiyu ili waweze…
7 January 2025, 8:34 pm
“Shughuli za kibinadamu ni changamoto nyingine katika kuhifadhi mapori ya akiba tunakila sababu jamii kwa ujumla kushiriki kikamilifu katika kulinda tuzu zetu”. Na, Daniel Manyanga Wananchi waishio pembezoni mwa pori la akiba Kijereshi lililopo katika wilaya za Bariadi na Busega…
6 January 2025, 8:43 pm
“Mifugo inachangia pato la Taifa lakini hatuwezi kuacha maeneo ya hifadhi hapa nchini yaharibiwe na wafugaji wasiotaka kufuata sheria,kanuni na taratibu za uhifadhi katika kulinda uoto wa asili ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.” Na, Daniel Manyanga Wafugaji waishio…
31 December 2024, 9:06 pm
“Dini ya kweli ni kuwakumbuka wenye uhitaji ili nao waweze kujisikia kuwa wanathaminiwa na jamii na kuwatambua katika kuijenga nchi bila kujali mapungufu waliyonayo”. Na, Daniel Manyanga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, amewakumbuka watoto yatima…
23 December 2024, 8:36 pm
“Pamoja na kwamba maandiko matakatifu yanasema kuwa mkamate sana elimu usimwache aende zake mshike maana yeye ni uzima wako Mithali 4:13 lakini wazazi wameendelea kuwa vikwazo kwa wanafunzi kutimiza ndoto zao”. Na, Daniel Manyanga Wanafunzi 213 walifanya mtihani wa kumaliza…
18 December 2024, 9:07 pm
“Kupatikana kwa huduma ya utengamao katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Simiyu kumepunguza gharama na muda kwa wananchi waliokuwa wanafuata huduma hiyo jijini Mwanza.” Na, Daniel Manyanga Zaidi ya wananchi 2900 mkoani Simiyu wamenufaika na huduma za utengamao kwenye …
17 December 2024, 9:30 pm
” Umbali na gharama za kufuata huduma ya mionzi katika wilaya jirani ulikuwa kikwazo kwa wananchi wenye kipato cha chini lakini kusogezwa kwa huduma hiyo karibu kwa wananchi kumeleta faraja.” Na, Daniel Manyanga Wananchi wilayani Maswa mkoani Simiyu wamefurahia ujio…
16 December 2024, 8:51 pm
“Mkoa wa Simiyu ni mmoja wapo wa mkoa unaozalisha Pamba nyingi hapa nchini hivyo kuwa zao mkuu la kibiashara na lakimkakati zaidi.” Na, Daniel Manyanga Katika kuhakikisha kilimo cha zao la Pamba kinawatoa wakulima kimaisha bodi ya Pamba Tanzania (TCB)…
12 December 2024, 8:59 pm
“Suala la lishe ni mtambuka bila ushirikiano wa jamii na wadau hatuwezi kumaliza utapiamlo kwenye jamii yetu”. Na, Daniel Manyanga Katika kupambana na utapiamlo mkoani Simiyu halmashauri za wilaya ya Maswa na Meatu zimepokea mbegu za mahindi na maharage lishe…
12 December 2024, 3:51 pm
Wadau na wanaharakati wa haki za binadamu Duniani na Nchini Tanzania wameendelea na harakati za kuhakikisha kuwa usawa kwa wote unafikiwa,licha yakuwepo na wimbi la taarifa za ukatili wa kijinsia unaoripotiwa kwenye maeneo mengi Nchini na Duniani kwa ujumla. Na,…
10 December 2024, 12:15 pm
“Tanzania siyo kisiwa hivyo hatuwezi kujitenga katika vita ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kama ambavyo dunia inataka ikiwemo matumizi ya nishati safi ya kupikia na upandaji wa miti”. Na, Nicholaus Machunda Katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi…
10 December 2024, 11:37 am
“Uongozi ni dhamana ambayo umepewa na wananchi wenye imani na wewe hivyo ukipata nafasi jitahidi sana kuwa kioo kizuri kwenye jamii unayoiongoza ili siku moja uweze kukumbukwa kwa mazuri kutokana na utendaji kazi wako”. Na, Daniel Manyanga Wanawake viongozi walioshinda…
1 December 2024, 11:10 am
Chuo hiki kinaenda kubadilika kabisa na kuwa kipya kwani Rais wenu ametoa Fedha zaidi ya Bilioni 2. 9 ili kufanya Ukarabati wa Miundombinu, Niwahakikishie tu nyie Wahitimu mkirudi hapa Mwezi Juni mwakani mtakuta Mazingira tofauti kabisa, mtatamani mrudi kusoma hapa…
28 November 2024, 7:34 pm
Niwapongeze kwa Ushindi mliopata hivyo saivi ni Wenyeviti wa Vitongoji rasmi, Nendeni mkawatumikie Wananchi kwani wanachangamoto nyingi katika maeneo yao – DED Maswa Maisha Mtipa https://maswadc.go.tz/ Jumla ya Wenyeviti wa Vitongoji 40 kutoka kata Nne zinazounda Mamlaka ya Mji  Mdogo…
27 November 2024, 4:03 pm
Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu Wameipongeza Serikali kwa Mandalizi Mazuri ya zoezi la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika leo Nov, 17, 2024 Wakizungumza kwa nyakati tofauti baada ya kupiga kura wamesema kuwa wananchi wamehamasika kupiga kura kwa Wingi ili …
20 November 2024, 8:43 pm
“Usalama wa raia ni ajenda ya kwanza katika Taifa lolote hatuwezi kuzungumzia maendeleo wakati huo raia wake wanapitia changamoto za kiusalama wao na mazao hasa waishio kandokando ya mapori au hifadhi.” Na, Daniel Manyanga Viboko wawili waliokuwa wanahatarisha usalama wa…
19 November 2024, 8:53 pm
“Adui wa maendeleo ni maradhi hatuwezi kufanya kazi za kiuchumi wakati huo wananchi wanachangamoto ya kiafya hivyo jukumu letu ni usalama kwanza wa raia”. Na, Daniel Manyanga Shirika la Amref Heath of Africa chini ya mradi wa Afya Thabithi unatekelezwa…
19 November 2024, 3:36 pm
“Nchi yetu inafata misingi ya kidemokrasia hivyo linapofika swala la uchaguzi hatutaki siasa za chuki ambazo zitaliingiza Taifa kwenye migogoro ya kisiasa ambayo ni adui wa maendeleo ya wananchi.” Na, Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Kenani Kihongosi amevitaka vyama…
12 November 2024, 4:52 pm
“Katika kupambana na umasikini nchini kupitia asilimia kumi ya mapato ya ndani ya halmashauri kundi la wanawake,vijana na watu wenye ulemavu wameendelea kunufaika kiuchumi.” Na, Daniel Manyanga Zaidi ya milioni miatatu zitokanazo na makusanyo ya ndani zimetangwa na halmashauri ya…
8 November 2024, 4:00 pm
“Wakati dunia inapambana na mabadiliko ya tabia nchi utokanao na uharibifu wa mazingira haswa katika matumizi ya nishati ya kuni na mkaa kanda ya ziwa kinara kwa uharibifu wa mazingira”. Na, Daniel Manyanga Zaidi ya hekta laki nne hupotea nchini…
Establishment Â
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.Â
Region Coverage(Sibuka Fm)
 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex