Sibuka FM

Recent posts

23 June 2021, 9:55 am

Wilaya ya Maswa yaadhimisha siku ya mtoto wa Afrika kipekee.

Jamii  Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu   imeaswa  kushirikiana  na  vyombo  vya  kisheria  katika  kuhakikisha   inatokomeza  ukatili  kwa  watoto. Kauli  hiyo  imetolewa  na   Afisa  tarafa, tarafa  ya  Nughu  Ndugu Venance  Saria  kwa   niaba   ya  mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mh,  Aswege  Kaminyoge …

28 May 2021, 11:30 am

Jumla ya Vijiji 45 vya Wilaya ya Maswa kunufaika na TASAF awamu…

Jumla  ya  vijiji  Arobaini  na  tano  vilivyopo  Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  vinatarajiwa  kunufaika   na  Mfuko wa  maendeleo  ya  Jamii i – TASAF  kwa  awamu  ya  tatu  kipindi  cha  Pili. Hayo  yameelezwa  na  Mratibu  wa  TASAF  wilaya  ya  Maswa   Bi, Grace …

23 May 2021, 8:07 am

chama cha mapinduzi (ccm) mkoa wa simiyu chapata mwenyekiti mpya

Chama Cha Mapinduzi (CCM)  mkoa wa Simiyu leo kimefanya uchaguzi  wa kumpata mwenyekiti wa chama hicho ili kuziba nafasi ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho  Enock Yakobo aliyefariki februari 23 ,2021. Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo msimamizi wa uchaguzi huo…

22 May 2021, 8:58 pm

jeshi la polisi lawashikilia watano kwa mauaji simiyu

Jeshi la polisi mkoa wa Simiyu linawashikilia watu watano kwa tuhuma za  mauaji ya mtu mmoja. Hayo yamesemwa na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Simiyu ACP Richard Abwao wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari na kuongeza kuwa…

18 May 2021, 10:30 am

Waziri Mashimba Ndaki akabidhi viti na Meza Shule za Sekondari kwenye…

Waziri  wa  Mifugo  na  Uvuvi na  Mbunge  wa  Jimbo  la   Maswa  Magharibi  mkoani  Simiyu  Mh, Mashimba  Ndaki  amekabidhi  Viti  na  Meza  kwa  ajili  ya  wanafunzi  vyenye  thamani  ya  shilingi  Milioni  Kumi  na  nane  ili  kuondoa  Changamoto  ya  Wanafunzi  kukaa  chini.…

13 May 2021, 10:25 am

DC Maswa awaasa madiwani kusimamia miradi ya Maendeleo inayotolewa na S…

Mkuu  wa  wilaya  ya  Maswa  Mkoani  Simiyu  Aswege  Kaminyoge  amewataka  Madiwani  kusimamia  Miradi  na  kufuatilia   maendeleo  inayotolewa  na  Serikali  katika  maeneo  yao.. Kauli  hiyo  ameitoa  wakati  akitoa  Salamu  za  Serikali  katika  kikao  cha  Baraza  la  Madiwani  lililofanyika  katika  ukumbi  wa …

11 May 2021, 1:24 pm

Wananchi wapewa mbinu za kukabiliana na Tembo vamizi.

Wananchi  wilayani  Meatu  Mkoani   Simiyu  wameaswa  kushirikiana   na  wataalamu  wa   Wanyama pori  ili  kudhibiti  Uharibifu unaofanywa na  wanyama  katika  maeneo  yanayozungukwa  na  Hifadhi za  wanyama. Wito  huo  umetolewa  na  mwakilishi  wa  Mkurugenzi  idara  ya  Wanyama Pori  kutoka  Wizara  ya  Maliasili …

11 May 2021, 8:13 am

TMDA UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU BADO NI CHANGAMOTO

Meneja wa mamlaka ya dawa na vifaa tiba (TMDA) Sofia Mziray amesema bado kuna changamoto ya utunzaji wa kumbukumbu dawa zenye madhara ya kulevya. Ameyasema hayo  kwenye kikao kazi kilichowakutanisha watumishi wa sekta ya afya na mifugo  ambacho kimefanyika kwa…

10 May 2021, 5:42 pm

ZAIDI YA WATOTO LAKI NNE KUPATIWA KINGATIBA SIMIYU

Zaidi ya watoto 400,000 wenye umri wa kwenda shule watapatiwa kingatiba mkoani Simiyu lengo likiwa kuwakinga na magonjwa ya kichocho na minyoo tumbo. Hayo yamesemwa na mratibu wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele kutoka mkoa wa Simiyu Dkt Ntugwa Nyorobi wakati…

27 April 2021, 8:47 pm

MARA:UTALII WA NDANI WAONGEZA LICHA YA COVID-19

Idadi ya watalii wa ndani kutembelea na kujionea vivutio mbalimbali imeendelea kuongezeka mwaka hadi mwaka katiaka hifadhi ya taifa ya Serengeti iliyopo mkoani Mara licha uwepo wa changamoto wa janga la Covid-19 ambapo nchi mbalimbali ulimwengu zinakabiliana na janga hili.…

20 April 2021, 10:28 am

Zaidi ya Ng’ombe laki tatu kuchanjwa wilayani Maswa

Zaidi  ya   Ng’ombe  laki   tatu  wilayani  Maswa  mkoani  Simiyu   zinatarajiwa  kuchanjwa   ili  kudhibiti  Magonjwa  ya   Mifugo  ikiwemo  Ugonjwa  wa  Mapele  ya   ngozi  ili   kuboresha  bidhaa ya  ngozi  na  Ushindani  wa  Soko.. Akitoa  taarifa  kwa  Mkuu  wa  wilaya  ya  Maswa   Mh…

19 April 2021, 5:09 pm

Vifo vitokanavyo na Uzazi vyapungua Wilayani Maswa

Vifo  vitokanavyo  na  Uzazi  wilayani  Maswa  mkoani  Simiyu vimepungua  kutoka vifo  12  kwa  mwaka  2018  hadi  kufikia  vifo  3  kwa  mwaka  2020. Takwimu  hizo  zimetolewa  na  Mratibu  wa  Huduma  ya  Mama  ya  mtoto  kutoka  Hospitali  ya  wilaya ya  Maswa  Angella …

16 April 2021, 11:09 am

WANAFUNZI SIMIYU WAOMBA KAMBI ZA KITAALUMA ZIWE ENDELEVU

Wanafunzi wa shule ya sekondari Bariadi mkoani Simiyu wameomba viongozi wa mkoa na wadau wote wa elimu kuwa kambi za kitaaluma ziwe endelevu kwa kuwa zina matokeo chanya kwa katika ufaulu wa wanafunzi na ili mkoa uendelee kufanya vizuri katika…

14 April 2021, 5:08 pm

WANNE WAFA MGODINI,MMOJA AKIJERUHIWA

Wachimbaji wadogo  wanne wa dhahabu wafariki dunia na mwingine kujeruhiwa baada ya kuporomoka kwa kuta wakati wakiendelea na uchimbaji wa dhahabu kwenye duara zao katika mgodi wa dhahabu na 2 uliopo Imalamate wilayani Busega mkoani Simiyu. Akizungumza na waandishi wa…

31 March 2021, 4:48 pm

Jeshi la polisi mkoani Simiyu linamshikilia mtu mmoja kwa kosa la kupatikana na nyara za serikali. Haya yamesemwa   na kamanda wa jeshi hilo mkoani hapo ACP Richard Abwao wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari na kuongeza kuwa mtuhumiwa…

31 March 2021, 3:42 pm

RADI YAUA MTU MMOJA NA KUJERUHI MMOJA

Akizungumza na waandishi wa habari mkoani hapo kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Simiyu ,kamishina msaidizi wa polisi,Richard Abwa amesema kuwa tukio hilo limetokea  mnamo majira ya saa 01:00 usiku wa kuamkia tarehe 29.03.2021 huko katika kitongoji cha cha…

31 March 2021, 12:55 pm

Milioni 160 kununua Dira za maji Maswa

Zaidi  ya  shilingi  Milioni  160 zimetolewa  na  serikali  ya jamhuri  ya  muunga no  wa  tanzania  kwa   ajili  ya  ununuzi  wa  dira  za  maji  ili  kila  mtu  anayetumia   alipe  kwa  kadri  ya  matumizi  yake. Hayo  yamesema  na  mkuu  wa  wilaya   ya  …

25 March 2021, 3:58 pm

Maelfu ya wananchi Mkoa Simiyu wamlilia JPM

Maelfu ya wananchi mkoani Simiyu wamejitokeza kwa wingi katika misa takatifu ya kumuombea aliyekuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania hayati Dkt.John Pombe Magufuli ikiwa na lengo la kumuombea kwa MUNGU apumzike kwa amani milele. Akiongoza maelfu ya wananchi…

24 March 2021, 12:24 pm

Wananchi wilayani maswa wamlilia Dr Magufuli

Wananchi wilayani Maswa mkoani Simiyu wameeleza kuhuzunishwa na kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati mh Dokta John Joseph Pombe Magufuli.. Wakiongea na Sibuka fm kwa nyakati tofauti wamesema kuwa Hayati Magufuli amefanya mambo mengi kwa…

Sibuka Media Profile

Establishment  

Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.

The Objective  

To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments. 

Region Coverage(Sibuka Fm)

 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex

National Coverage (Sibuka Fm) 

Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than  5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex