Sibuka FM

Recent posts

9 August 2023, 4:03 pm

Wakulima Maswa waaswa kutumia mbegu bora zilizofanyiwa utafiti

Wakulima Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wahamasishwa kutumia mbegu bora zilizofanyiwa utafiti ili kuongeza uzalishaji kwenye sekta ya kilimo. Na,Alex Sayi. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Maisha Mtipa amewaasa Wakulima Wilayani hapa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti ili…

7 August 2023, 12:48 pm

Maswa: Walimu Simiyu kunufaika na mafunzo ya elimu jumuishi

Wizara ya Elimu,Sayansi na Technolojia  kupitia Taasisi ya Elimu Nchini imewawezesha Walimu wapatao (50) kutoka shule za msingi 50 kupata mafunzo ya ufundishaji na ujifunzaji jumuishi. Na,Alex Sayi. Mafunzo hayo yamefanyika kwa muda wa siku 4 ukumbi wa Halmashauri ya…

3 August 2023, 6:26 pm

Shughuli za kibinadamu chanzo uharibifu wa mazingira Maswa

Ongezeko la mifugo na ufugaji wa kienyeji,ukataji miti kwaajili ya ujenzi,kilimo,uchimbaji madini,kuni na mkaa umetajwa kuwa chanzo cha uharibifu wa mazingira. Na,Alex Sayi. Imebainishwa kuwa shughuli za kibinadamu zimeendelea kuchangia uharibifu wa mazingira Wilayani Maswa Mkoani Simiyu. Akizungumza na Radio…

14 July 2023, 11:21 am

Maswa: Ummy afurahishwa uwekezaji binafsi sekta ya afya

Waziri ahamasisha wawekezaji binafisi sekta ya Afya Mkoani Simiyu ili kusaidiana na Serikali huwahudumia wananchi Mkoania hapa. Na,Alex Sayi. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amefurahishwa na uwekezaji binasfi kwenye Sekta ya Afya uliofanywa na mwekezaji binafsi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu.…

13 July 2023, 4:02 pm

Waziri Ummy: Sitarajii kusikia wananchi wanalalamikia dawa

Serikali mkoani Simiyu kuendelea kuboresha utoaji wa huduma za afya ili kupunguza malalamiko ya wananchi na wagonjwa mkoani hapa. Na Alex Sayi Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa hatarajii kuona wananchi na wagonjwa wakilalamikia uhaba wa dawa  kwa…

10 July 2023, 3:22 pm

Sibuka Fm: Kongole TADIO, Vikes kwa elimu ya kutangaza kidijitali

Waandishi wa habari wa kituo cha Radio Sibuka Fm wamepatiwa mafunzo ya kuandaa na kutangaza habari za mtandao ili kuendana na kasi ya ushindani wa teknolojia, mafunzo yaliyofanyika katika ofisi za Sibuka Fm zilizopo mjini Maswa mkoani Simiyu. Na Nicholaus…

4 July 2023, 5:18 pm

Waandishi Redio Jamii wapigwa msasa ushindani habari za mtandaoni

Na,Alex Sayi Waandishi wa habari na wahahiri wa Redio  Jamii mikoa ya Kanda ya Ziwa wameshauriwa kuendana na mabadiliko ya uandaaji wa habari zenye ushindani kwenye mitandao ya kijamii.  Paschal Malulu mshiriki wa mafunzo toka Kahama Shinyanga amezungumzia umuhimu wa…

4 July 2023, 3:00 pm

Mwezi wa Afya na Lishe

Wazazi wameaswa kuwapeleka watoto wote kupata dawa za minyoo na matone ili kuwakinga na magonjwa yanayotokana na upungufu wa lishe. Afisa lishe amesema hayo wakati akitoa elimu kwa Jamii katika mwezi wa Afya na lishe zoezi linalofanyika mara mbili kwa…

4 July 2023, 11:37 am

Mawakala wa usafirishaji  waitaka halmashauri kuboresha stendi Maswa

Na Nicholaus Machunda Mwenyekiti wa Umoja wa Mawakala wa Usafirishaji mjini hapa ameutaka uongozi wa halmashauri wilayani Maswa mkoani Simiyu kuhakikisha wanaboresha miundombinu maeneo ya stendi mpya. Suala la usafi ni wajibu wa  kila mtu Baadhi ya wafanyabiashara wanaofanya biashara…

1 July 2023, 3:54 pm

Maswa: Ng’ombe 126, kondoo 68 sadaka ya kuchinja Eid Al Hajj

Kwenye picha ni Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu(BAKWATA) wilayani Maswa, Maulid Mlete mwenye kanzu akimkabidhi Bi.Salima Kimazi sadaka ya nyama ya ng’ombe wakati wa utoaji wa sadaka ya kuchinja katika kusherekea sikukuu ya Eid Al Hajj Na Mwandishi, Daniel…

28 June 2023, 7:01 pm

Maswa: Wajane waaswa kuchangamkia fursa 10% mikopo ya halmashauri

Kwenye picha ni mkuu wa wilaya ya Maswa Mhe. Aswege Kaminyoge aliyesimama akizungumza na baadhi ya akina mama wajane walioshiriki maadhimisho ya wajane wilayani hapo kwenye ukumbi wa mikutano Na Mwandishi,Alex.F.Sayi WANAWAKE Wajane wilayani Maswa mkoani Simiyu wameaswa kuchangamkia fursa za…

24 June 2023, 6:24 pm

Simiyu: Watu 37 mikononi mwa jeshi la polisi kwa makosa mbalimbali

Kwenye picha ni Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu ACP,Edith.M.Swebe akizungumza na Waandishi wa habari mkoani hapo Na mwandishi,Daniel Manyanga Jeshi la  Polisi mkoa wa Simiyu limewatia mbaroni Watu (Watuhumiwa) 37 kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya Ulawiti,Wizi ,Uvunjaji…

22 June 2023, 7:13 pm

Maswa: RC aagiza hoja zote za CAG  zifungwe

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt Yahaya Nawanda ameuagiza uongozi wa wilaya ya Maswa kuhakikisha wanafunga hoja zote za Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) zilizotolewa baada ya kufanya ukaguzi wa fedha kwa mwaka wa fedha 2021/2022. Dkt…

2 June 2023, 7:16 pm

Miradi mitatu iliyochunguzwa na Takukuru  Simiyu  yakutwa   na  dosari

Taasisi  ya  Kuzuia na  Kupambana  na Rushwa  mkoa  wa  Simiyu   imebaini  kuwa  miradi  3  kati  ya  14  yenye  thamani  ya  zaidi ya  bilioni 1 iliyofuatitiliwa   imebainika  kuwa   na  dosari  katika  utekelezaji  wake . Akitoa  taarifa  katika  kipindi  cha  robo  ya …

Sibuka Media Profile

Establishment  

Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.

The Objective  

To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments. 

Region Coverage(Sibuka Fm)

 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex

National Coverage (Sibuka Fm) 

Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than  5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex