Sibuka FM

Recent posts

19 October 2021, 3:38 pm

watu watatu wajeruhiwa na chui

Watu watatu wakazi wa Kijiji Mwabulimbu kata ya Mwan’gonoli tarafa ya Sengerema wilayani Maswa mkoani Simiyu wamejeruhiwa na mnyama aina ya chui sehemu mbalimbali za miili yao. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa Simiyu ACP Blasius…

19 October 2021, 3:25 pm

Wivu wa mapenzi wapelekea kumuua mke wake kwa kumkata mapanga.

Mwanamke mmoja aitwae  Pili Masonga mwenye  umri wa miaka 28,msukuma mkazi wa Kijiji cha Kulimi wilayani Maswa mkoani Simiyu ameuwawa na mme wake kwa kukatwa mapanga sehemu mbali mbali za mwili wake. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi…

8 October 2021, 7:15 pm

NMB yatoa Msaada wa vifaa vya ujenzi Shule za Msingi na Sekondari …

Benki  ya  NMB   imekabidhi  vifaa  vya  Ujenzi  kwa  Shule  za  Msingi  na  Sekondari  Wilayani  Maswa   Mkoani  Simiyu  vyenye  thamani  ya  Shilingi  Milioni  Ishirini  na  Nne.. Akikabidhi  vifaa  hivyo mbele  ya  Mkuu  wa Wilaya  ya  Maswa Mh   Aswege  Kaminyoge ,  Meneja  …

1 October 2021, 1:31 pm

afariki dunia baada ya kudondokewa na matofali ya udongo

Mtoto wa miaka 03 Agnes Charles Masanja mkazi wa Kijiji cha Mwanzangamba kata ya Mwanyahima wilaya ya Meatu mkoani Simiyu amefariki dunia baada ya kudondokewa na matofali ya udongo katika nyumba yao. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi…

26 September 2021, 11:15 am

Asilimia 40% ya vifo vya Watoto nchini vinatokana na watoto kuzaliwa…

Imeelezwa  kuwa  asilimia  Arobaini  ya  vifo  vya  Watoto  nchini  vinatokana   na  watoto  kuzaliwa  kabla   ya  siku  zao   (Njiti). Hayo  yamesemwa  na  Mwenyekiti  wa  Kamati  ya  Kudumu   ya  Bunge  ya  Huduma  na  maendeleo  ya  Jamii  na  Mbunge  wa  Jimbo  la  Maswa …

17 September 2021, 4:56 pm

RC Kafulila; Bei ya Pamba yavunja rekodi Msimu wa 2020/2021.

Mkuu wa  mkoa  wa  Simiyu  Mh,  Davidi  Zacharia  Kafulila  amesema  kuwa  bei  ya  Pamba  kwa  mwaka  huu  wa  2021  imevunja   rekodi  ya   zaidi  ya  miaka Ishirini  iliyopita  kutokana  na  Usimamizi  Bora wa mifumo  ya  ununuzi  wa   zao  la  Pamba.. Mh …

9 September 2021, 1:20 pm

Mtoto afariki baada ya kujeruhiwa na Fisi-Maswa.

Mtoto mwenye umri wa miaka 5 anayejulikana  kwa  jina  la  Masule. S. Cosmas mkazi wa kijiji cha  zawa   kata  ya  mwanghonori wilayani  Maswa  Mkoani Simiyu   amefariki baada ya kujeruhiwa na  fisi  sehemu mbalimbali za mwili wake. Tukio hilo limetokea  Siku…

28 August 2021, 8:36 pm

TARURA Maswa Kuboresha Barabara zote za Kiuchumi

Meneja  wa  Wakala  wa  Barabara  za Vijijini  na  Mjini  Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  Mhandisi  David  Msechu  amewaomba  Madiwani  Kushirikiana  na  kamati za  maendeleo  za  kata  ili  kulinda  Miundo  mbinu  ya  Barabara  zinazojengwa  ili zidumu  zaidi.. Hayo  ameyasema  katika  kikao  cha …

13 August 2021, 10:12 am

Mhe, BEREGE akabidhiwa Ofisi aahidi neema kwa wana Maswa

Mkurugenzi  Mtendaji  wa  Halmashauri  ya  wilaya  ya  Maswa   Mkoani  Simiyu   Ndugu  Saimoni  Berege  ameahidi  kutoa  ushirikiano  kwa  Madiwani  na  watumishi   wa kada  mbalimbali  pamoja  na   kwakuendeleza  miradi  yote  ambayo  ilianzishwa  na  Mtangulizi  wake  Dr  Fredrick   Sagamiko   ambaye  kwa  sasa  amehamishiwa …

22 July 2021, 10:47 am

Maji ya Ziwa Victoria kuleta suruhisho la changamoto ya maji mji wa m…

Mkurugenzi  Mtendaji  wa  mamlaka  ya  maji  na  Usafi wa  mazingira  Maswa- MAUWASA   Mhandisi   Nandi  Mathias  amesema  kuwa   kuanza  kutekelezwa  kwa  mradi  wa  maji  kutoka  ziwa  Victoria  utaondoa  changamoto  ya  Upatikanaji  wa  Maji  katika  katika  Mji  wa  Malampaka  uliopo wilayani  Maswa  …

16 July 2021, 1:37 pm

RC Kafulila awahakikishia wakazi wa kijiji cha Malampaka kutatua Kero za…

Mkuu  wa  Mkoa  wa  Simiyu    Mh   David Kafulila amewahakikishia  wananchi  wa   Malampaka  na   mkoa   wa  Simiyu kutatua  Kero  zote  zinazowakabili   ili kuendana  na  kasi  ya  Rais   wa   awamu  ya  Sita  Mh, Samia   Suluhu   Hasani. Mh,   Kafulila  amesema  hayo  wakati  akizungumza …

15 July 2021, 12:35 pm

Wananchi wilayani Maswa Mkoani Simiyu walalamikia upatikanaji wa huduma…

Mkuu  wa  mkoa  wa  simiyu  Mh  Davidi  Zacharia  Kafulila  amemuagiza  mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mh ,   Aswege  Kaminyoge  Kufuatilia  Changamoto  ya  mama  wajawazito  wanaoenda  kujifungua  katika  Hospitali  ya  wilaya  ya  Maswa  kutozwa  Fedha. Maagizo  hayo  ameyatoa  wakati  wa  Mkutano …

6 July 2021, 11:57 am

Simiyu yazindua Mkakati wa kuongeza Tija katika zao la Pamba.

Mkoa  wa  Simiyu  Umezindua  Kampeni  ya  kuongeza  Tija  katika   zao  la  Pamba  ili   kuwainua  wakulima  Kiuchumi. Kampeni  hiyo   imezinduliwa  na  Waziri  wa  Kilimo    Profesa    Adolf  Mkenda  na  kusema  kuwa  Serikali  haiwezi  kuamua   Bei  ya  Pamba  katika  Soko  la  Dunia  na …

24 June 2021, 10:05 am

RC Simiyu aagiza kusimamishwa kazi Daktari aliyesababisha kifo cha Mam…

Mkuu  wa mkoa  wa  Simiyu   Mh  David   Kafulila  amemuagiza  Mkurugenzi  Mtendaji  wa  Halmashauri   ya  wilaya  ya  Maswa   kumsimamisha  kazi   mganga  Mfawidhi  wa   Zahati  ya  Senani   iliyopo  kata  ya  Senani  wilayani  hapa   Ally  Soud   kwa  kusababisha   Kifo  cha  Mama  na  Mtoto …

23 June 2021, 10:15 am

Mradi wa Chujui la Maji Maswa wanufaisha wakazi zaidi ya Laki moja.

Zaidi  ya   wakazi  Laki  moja  wa  Mji  wa  Maswa  na  vijiji  jirani  wamenufaika   na  Mradi  wa    Mtambo  wa  kutibu  na  Kusafisha   Maji. Hayo  yamesemwa  na  Mkurugenzi  Mtendaji  wa  Mamlaka  ya  Maji  na  Usafi  wa  Mazingira  Maswa-MAUWASA   Mhandisi    Nandi  Mathias …

Sibuka Media Profile

Establishment  

Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.

The Objective  

To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments. 

Region Coverage(Sibuka Fm)

 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex

National Coverage (Sibuka Fm) 

Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than  5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex