

19 October 2021, 3:38 pm
Watu watatu wakazi wa Kijiji Mwabulimbu kata ya Mwan’gonoli tarafa ya Sengerema wilayani Maswa mkoani Simiyu wamejeruhiwa na mnyama aina ya chui sehemu mbalimbali za miili yao. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa Simiyu ACP Blasius…
19 October 2021, 3:25 pm
Mwanamke mmoja aitwae Pili Masonga mwenye umri wa miaka 28,msukuma mkazi wa Kijiji cha Kulimi wilayani Maswa mkoani Simiyu ameuwawa na mme wake kwa kukatwa mapanga sehemu mbali mbali za mwili wake. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi…
18 October 2021, 1:30 pm
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh,David Kafulila ameshangazwa na kitendo cha wahitimu wa wafunzo ya (JWTZ)kushindwa kujitegemea baada ya kuhitimu mafunzo yao licha ya Serikali kutumia gharama kubwa kwa ajili ya mafuzo hayo David Kafulila ameyasema hayo wakati wa kongamano…
13 October 2021, 2:30 pm
Katika kukabiliana na changamoto za watoto wa kike kutohudhuria kikamilifu masomo yao hakielimu kupitia mradi wa The Girls Retention and Transition Initiative (G.R.T.I ) imetoa vyerehani na mafunzo kwa wanafunzi kutegeneza taulo za kike ili waweze kujihifadhi kipindi cha hedhi…
12 October 2021, 9:44 am
Mkuu wa mkoa wa Simiyu David Kafulila amewaomba wadau mbalimbali wa zao la pamba mkoa hapo kuhakikisha mkakati wa zao hilo wa kuzalisha tani laki tano za pamba unatekelezwa kwa vitendo na siyo kwa makaratasi lengo nikuongeza thamani ya zao…
8 October 2021, 7:15 pm
Benki ya NMB imekabidhi vifaa vya Ujenzi kwa Shule za Msingi na Sekondari Wilayani Maswa Mkoani Simiyu vyenye thamani ya Shilingi Milioni Ishirini na Nne.. Akikabidhi vifaa hivyo mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh Aswege Kaminyoge , Meneja …
1 October 2021, 1:31 pm
Mtoto wa miaka 03 Agnes Charles Masanja mkazi wa Kijiji cha Mwanzangamba kata ya Mwanyahima wilaya ya Meatu mkoani Simiyu amefariki dunia baada ya kudondokewa na matofali ya udongo katika nyumba yao. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi…
26 September 2021, 11:15 am
Imeelezwa kuwa asilimia Arobaini ya vifo vya Watoto nchini vinatokana na watoto kuzaliwa kabla ya siku zao (Njiti). Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na maendeleo ya Jamii na Mbunge wa Jimbo la Maswa …
17 September 2021, 4:56 pm
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh, Davidi Zacharia Kafulila amesema kuwa bei ya Pamba kwa mwaka huu wa 2021 imevunja rekodi ya zaidi ya miaka Ishirini iliyopita kutokana na Usimamizi Bora wa mifumo ya ununuzi wa zao la Pamba.. Mh …
16 September 2021, 4:02 pm
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amewataka Wakuu wote wa shule za sekondari katika jimbo la Maswa Magharibi Mkoani Simiyu kuanzisha madarasa ya kompyuta ili wanafunzi kupata maarifa zaidi. Waziri Ndaki ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo amesema…
9 September 2021, 1:20 pm
Mtoto mwenye umri wa miaka 5 anayejulikana kwa jina la Masule. S. Cosmas mkazi wa kijiji cha zawa kata ya mwanghonori wilayani Maswa Mkoani Simiyu amefariki baada ya kujeruhiwa na fisi sehemu mbalimbali za mwili wake. Tukio hilo limetokea Siku…
28 August 2021, 8:36 pm
Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mjini Wilayani Maswa Mkoani Simiyu Mhandisi David Msechu amewaomba Madiwani Kushirikiana na kamati za maendeleo za kata ili kulinda Miundo mbinu ya Barabara zinazojengwa ili zidumu zaidi.. Hayo ameyasema katika kikao cha …
13 August 2021, 10:12 am
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Ndugu Saimoni Berege ameahidi kutoa ushirikiano kwa Madiwani na watumishi wa kada mbalimbali pamoja na kwakuendeleza miradi yote ambayo ilianzishwa na Mtangulizi wake Dr Fredrick Sagamiko ambaye kwa sasa amehamishiwa …
22 July 2021, 10:47 am
Mkurugenzi Mtendaji wa mamlaka ya maji na Usafi wa mazingira Maswa- MAUWASA Mhandisi Nandi Mathias amesema kuwa kuanza kutekelezwa kwa mradi wa maji kutoka ziwa Victoria utaondoa changamoto ya Upatikanaji wa Maji katika katika Mji wa Malampaka uliopo wilayani Maswa …
17 July 2021, 5:18 pm
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Dr.Fredrick Sagamiko amewaomba watanzania kupuuza taarifa ambayo inasambaa kwenye mitandao ya kijamii juu ya ukosefu wa dawa aina ya Panadol katika hospitali ya wilaya ya Maswa . Taarifa ya kutokupatikana…
16 July 2021, 1:37 pm
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh David Kafulila amewahakikishia wananchi wa Malampaka na mkoa wa Simiyu kutatua Kero zote zinazowakabili ili kuendana na kasi ya Rais wa awamu ya Sita Mh, Samia Suluhu Hasani. Mh, Kafulila amesema hayo wakati akizungumza …
15 July 2021, 12:35 pm
Mkuu wa mkoa wa simiyu Mh Davidi Zacharia Kafulila amemuagiza mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh , Aswege Kaminyoge Kufuatilia Changamoto ya mama wajawazito wanaoenda kujifungua katika Hospitali ya wilaya ya Maswa kutozwa Fedha. Maagizo hayo ameyatoa wakati wa Mkutano …
6 July 2021, 11:57 am
Mkoa wa Simiyu Umezindua Kampeni ya kuongeza Tija katika zao la Pamba ili kuwainua wakulima Kiuchumi. Kampeni hiyo imezinduliwa na Waziri wa Kilimo Profesa Adolf Mkenda na kusema kuwa Serikali haiwezi kuamua Bei ya Pamba katika Soko la Dunia na …
24 June 2021, 10:05 am
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh David Kafulila amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Maswa kumsimamisha kazi mganga Mfawidhi wa Zahati ya Senani iliyopo kata ya Senani wilayani hapa Ally Soud kwa kusababisha Kifo cha Mama na Mtoto …
23 June 2021, 10:15 am
Zaidi ya wakazi Laki moja wa Mji wa Maswa na vijiji jirani wamenufaika na Mradi wa Mtambo wa kutibu na Kusafisha Maji. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Maswa-MAUWASA Mhandisi Nandi Mathias …
Establishment
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.
Region Coverage(Sibuka Fm)
Radio Sibuka FM hears about 95 percent of the Simiyu region through the frequency of 97.0 MHz from the Maswa district as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex