Sibuka FM
Sibuka FM
9 August 2023, 4:03 pm
Wakulima Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wahamasishwa kutumia mbegu bora zilizofanyiwa utafiti ili kuongeza uzalishaji kwenye sekta ya kilimo. Na,Alex Sayi. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Maisha Mtipa amewaasa Wakulima Wilayani hapa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti ili…
8 August 2023, 7:24 pm
Mahakama ya wilaya ya Itilima imemuhukumu ,Malimi Masunga kwenda jela miaka 30 kwa makosa matatu,Kubaka ,Kumtorosha na kumshawishi kumuoa mwanafunzi chini ya miaka 16. Na,Daniel Manyanga Mahakama ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela, Malimi…
7 August 2023, 12:48 pm
Wizara ya Elimu,Sayansi na Technolojia kupitia Taasisi ya Elimu Nchini imewawezesha Walimu wapatao (50) kutoka shule za msingi 50 kupata mafunzo ya ufundishaji na ujifunzaji jumuishi. Na,Alex Sayi. Mafunzo hayo yamefanyika kwa muda wa siku 4 ukumbi wa Halmashauri ya…
3 August 2023, 6:26 pm
Ongezeko la mifugo na ufugaji wa kienyeji,ukataji miti kwaajili ya ujenzi,kilimo,uchimbaji madini,kuni na mkaa umetajwa kuwa chanzo cha uharibifu wa mazingira. Na,Alex Sayi. Imebainishwa kuwa shughuli za kibinadamu zimeendelea kuchangia uharibifu wa mazingira Wilayani Maswa Mkoani Simiyu. Akizungumza na Radio…
14 July 2023, 11:21 am
Waziri ahamasisha wawekezaji binafisi sekta ya Afya Mkoani Simiyu ili kusaidiana na Serikali huwahudumia wananchi Mkoania hapa. Na,Alex Sayi. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amefurahishwa na uwekezaji binasfi kwenye Sekta ya Afya uliofanywa na mwekezaji binafsi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu.…
14 July 2023, 9:14 am
Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi na Mpango wa Matumizi bora ya Ardhi Wilayani Maswa, Mkoani Simiyu Utaenda kuondoa Changamoto ya Migogoro ya Ardhi kwa Wananchi Na Nicholaus Machunda Imeelezwa kuwa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi na Mpango wa …
13 July 2023, 4:02 pm
Serikali mkoani Simiyu kuendelea kuboresha utoaji wa huduma za afya ili kupunguza malalamiko ya wananchi na wagonjwa mkoani hapa. Na Alex Sayi Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa hatarajii kuona wananchi na wagonjwa wakilalamikia uhaba wa dawa  kwa…
11 July 2023, 8:08 pm
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu imeweza kuvuka lengo la uzalishaji wa zao la Pamba kwa msimu wa mwaka 2022/2023 kwa kuzalisha kwa zaidi ya 106.35% ya uzalishaji uliotarajiwa. Na,Alex Sayi. Balozi wa zao la Pamba Nchini Agrey Mwanri…
10 July 2023, 3:22 pm
Waandishi wa habari wa kituo cha Radio Sibuka Fm wamepatiwa mafunzo ya kuandaa na kutangaza habari za mtandao ili kuendana na kasi ya ushindani wa teknolojia, mafunzo yaliyofanyika katika ofisi za Sibuka Fm zilizopo mjini Maswa mkoani Simiyu. Na Nicholaus…
4 July 2023, 5:18 pm
Na,Alex Sayi Waandishi wa habari na wahahiri wa Redio Jamii mikoa ya Kanda ya Ziwa wameshauriwa kuendana na mabadiliko ya uandaaji wa habari zenye ushindani kwenye mitandao ya kijamii. Paschal Malulu mshiriki wa mafunzo toka Kahama Shinyanga amezungumzia umuhimu wa…
4 July 2023, 3:00 pm
Wazazi wameaswa kuwapeleka watoto wote kupata dawa za minyoo na matone ili kuwakinga na magonjwa yanayotokana na upungufu wa lishe. Afisa lishe amesema hayo wakati akitoa elimu kwa Jamii katika mwezi wa Afya na lishe zoezi linalofanyika mara mbili kwa…
4 July 2023, 11:37 am
Na Nicholaus Machunda Mwenyekiti wa Umoja wa Mawakala wa Usafirishaji mjini hapa ameutaka uongozi wa halmashauri wilayani Maswa mkoani Simiyu kuhakikisha wanaboresha miundombinu maeneo ya stendi mpya. Suala la usafi ni wajibu wa kila mtu Baadhi ya wafanyabiashara wanaofanya biashara…
1 July 2023, 3:54 pm
Kwenye picha ni Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu(BAKWATA) wilayani Maswa, Maulid Mlete mwenye kanzu akimkabidhi Bi.Salima Kimazi sadaka ya nyama ya ng’ombe wakati wa utoaji wa sadaka ya kuchinja katika kusherekea sikukuu ya Eid Al Hajj Na Mwandishi, Daniel…
28 June 2023, 7:01 pm
Kwenye picha ni mkuu wa wilaya ya Maswa Mhe. Aswege Kaminyoge aliyesimama akizungumza na baadhi ya akina mama wajane walioshiriki maadhimisho ya wajane wilayani hapo kwenye ukumbi wa mikutano Na Mwandishi,Alex.F.Sayi WANAWAKEÂ Wajane wilayani Maswa mkoani Simiyu wameaswa kuchangamkia fursa za…
24 June 2023, 6:24 pm
Kwenye picha ni Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu ACP,Edith.M.Swebe akizungumza na Waandishi wa habari mkoani hapo Na mwandishi,Daniel Manyanga Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu limewatia mbaroni Watu (Watuhumiwa) 37 kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya Ulawiti,Wizi ,Uvunjaji…
22 June 2023, 7:13 pm
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt Yahaya Nawanda ameuagiza uongozi wa wilaya ya Maswa kuhakikisha wanafunga hoja zote za Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) zilizotolewa baada ya kufanya ukaguzi wa fedha kwa mwaka wa fedha 2021/2022. Dkt…
22 June 2023, 6:50 pm
Na, Alex Sayi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Simiyu imesema kuwa tangu kuanzishwa kwa huduma ya mlango kwa mlipa kodi (Taxpayer Portal) imerahisisha upatikanaji wa namba ya mlipa kodi (TIN) kwa wananchi. Akizungumza na Sibuka Fm  Benjamini John Afisa Elimu…
22 June 2023, 2:15 pm
Kwenye picha  ni mkuu wa kitengo cha Usafi,Afya na Mazingira wilaya ya Maswa ,Budodi Walwa akimpatia chanjo ya Covid-19 mmoja wa wananchi wilayani hapo Na Alex.F.Sayi. Zaidi ya Wananchi Mia Tatu Wilayani Maswa Mkoani Simiyu  wamepata chanjo ya Covid-19 kufuatia mpango…
2 June 2023, 7:16 pm
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mkoa wa Simiyu  imebaini kuwa miradi 3 kati ya 14 yenye thamani ya zaidi ya bilioni 1 iliyofuatitiliwa  imebainika kuwa  na dosari katika utekelezaji  wake . Akitoa taarifa katika kipindi cha robo ya …
22 May 2023, 12:30 pm
Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Maswa imeridhishwa na utekelezaji wa ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025. Akitoa taarifa kwa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, mkuu wa wilaya ya Maswa Mhe, Aswege Kaminyoge amesema kuwa katika kutekeleza ilani ya …
Establishment Â
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.Â
Region Coverage(Sibuka Fm)
 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex