Sibuka FM

Recent posts

29 October 2022, 6:23 pm

Mila Kandamizi Zatajwa kuchangia Vifo vitokanavyo na Uzazi Wilayani Mas…

Imeelezwa  kuwa  Mila  kandamizi  kwa   baadhi  ya  Jamii  ikiwemo  kabila  la  Wasukuma  zinachangia  vifo vitokanavyo  na  Uzazi  kwa  Wanaume Kushindwa  kushiriki  na Wenza  wao kikamilifu  katika  Huduma  ya  Afya  ya  Uzazi. Hayo  yameelezwa  na   Mkurugenzi  wa  Shirika  lisilo  la  kiserikali …

11 October 2022, 5:03 pm

Wananchi wa kijiji cha Zebeya Wamemshukuru Rais Samia kwa kutoa Fedha Za…

Wananchi  wa  kijiji   cha  Zebeya  kilichopo  Kata  ya  Senani  Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  Wamemshukuru    Rais  wa  Jamhuri  ya  Muungano  wa   Tanzania   Mh  Samia  Suruhu  Hasani  kwa  kutoa  Fedha  Zaidi  ya  Shilingi  Bilioni  1.6    kwa  Ajili  ya  Ujenzi  na  Ukarabati  wa  …

26 September 2022, 11:47 am

MKAKATI WA KUTAMBUA MAMA WAJAWAZITO WOTE KUPITIA DATARI MAALUMU WALE…

Mkakati  wa  kutambua wajawazito Wilayani  Maswa  umeleta mabadiliko  makubwa ikiligaishwa  na  hapo  awali ambapo  wajawazito walikuwa hawatambuliki hali iliyokuwa inapelekea  baadhi yao kujifungua  majumbani na kuhatarisha  Maisha  yao.… Hayo  yamesemwa  na  Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mh  Aswege  Kaminyoge   wakati …

16 September 2022, 11:10 am

TRA YATOA ELIMU KWA WAFANYA BIASHARA WILAYANI MASWA JUU YA ULIPAJI KOD…

Mkuu  wa  Wilaya  ya Maswa  Mkoani  Simiyu  Aswege  Kaminyoge  amesema  kuwa   Wananchi  wanatakiwa  kuwa  Wazalendo  kwa  Kulipa  Kodi  ya Serikali kwa  Maendeleo  ya  Taifa. Mh  Kaminyoge  ametoa  wito  huo  kwenye  kikao kati  ya  Wafanyabiashara wilayani  hapo   na  Maafisa  wa  Mamlaka …

2 September 2022, 5:44 pm

WAFUGAJI WILAYANI MASWA WAASWA KUFUGA MIFUGO KISASA ZAIDI ILI KULET…

Mwenyekiti  wa  Halmashauri  ya  Wilaya  ya   Maswa   Mh   Simoni   Maige   Amewataka   Wafugaji  kufuga   Mifugo   kwa  Tija  ili  ilete   Manufaa  na  kuwakwamua   Kiuchumi.. Mh  Maige   ameyasema  hayo   wakati  wa  Uzinduzi  wa  Josho  la  kuogeshea   Mifugo  lililojengwa  katika  Kijiji  cha  Dodoma  kilichopo …

23 August 2022, 3:15 pm

MKUU WA WIKAYA YA MASWA ASWEGE KAMINYOGE AHESABIWA KATIKA ZOEZI L…

Mkuu  wa   Wilaya  ya   Maswa   Mh   Aswege   Kaminyoge   ameshiriki   Kuhesabiwa   katika   zoezi   la   Sensa   ya   Watu  na  Makazi   Mapema   hii   leo.. Mh Kaminyoge   amehesabiwa   nyumbani   kwake   Kitongoji   cha   Mwantoja  kata  ya   Nyalikungu  Wilayani   Maswa… Aidha   Mh   Kaminyoge   ametoa wito kwa …

23 August 2022, 3:00 pm

MBUNGE WA MASWA MASHARIKI STANSLAUS NYONGO AHESABIWA

Mbunge    wa  Jimbo  la  Maswa   Mashariki  Mh  Stanslaus   Nyongo   ameshiriki   kuhesabiwa  katika   Zoezi  la   Sensa  ya   Watu  na  Makazi  lililoanza  leo  Aug  23,  2022    

22 August 2022, 2:47 pm

WANANCHI WA IKUNGU WILAYANI MASWA WAJITOLEA KUJENGA ZAHANATI KUPUNGUZA VI…

Wananchi  wa  Kijiji  cha  Ikungu  kilichopo  kata  ya  Badi  Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  wamejitolea  kujenga   Zahanati   ili  kupunguza  vifo  vitokanavyo  na  Uzazi  na  kusaidia  upatikanaji  wa  Huduma  za  Afya  kijijini  hapo.. Wananchi   hao  wameamua  kuchangishana  michango  kwa  kila   Kaya  ili …

10 August 2022, 8:24 pm

Dc Maswa Aswege Kaminyoge- “Nitawasukuma ndani wote wanaohujumu Mi…

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mkoani   Simiyu  Aswege  Enock  Kaminyoge   amesema   atawasweka  ndani  wote  wanaohujumu  Miundo mbinu  ya  Maji  huku  akianza   na   Viongozi  wa  Serikali  ya  kijiji… Hayo  ameyasema  leo  wakati   akiongea katika  mkutano   na   Watendaji  wa  Wakala wa  Maji …

6 August 2022, 7:44 pm

DC MASWA AOKOA ZAIDI YA LITA 30,000 ZA MAFUTA YA DIESELI ZILIZOTAKA …

Mkuu wa  Wilaya  ya  Maswa  Mkoani  Simiyu  Aswege  Kaminyoge  ameliagiza  Jeshi  la Polisi  kuwasaka  na  kuwakamata  watu  wote  waliofanya  hujuma  za  kutaka  kuiba  Mafuta  aina  ya  Dieseli  katika  kituo  cha  Malampaka  ambapo  Ujenzi  wa  Reli  ya  Kisasa   SGR  Unaendelea. Mh  …

27 July 2022, 11:41 am

WANANCHI WILAYANI MASWA WAASWA KUTUNZA VYANZO VYA MAJI.

Balozi  wa  Maji nchini  Mrisho  Mpoto maarufu  kwa  Jina  la  Mjomba  Amewaasa  Wananchi Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  kutunza  vyanzo   vya  Maji  likiwemo  Bwawa  la  New  Sola   lililopo  katika   kijiji  cha  Zanzui  kata  ya  Zanzui.. Balozi  Mpoto  ametoa   nasaha  hizo alipotembelea …

25 July 2022, 6:51 pm

MASHIMBA NDAKI AWAONYA WATENDAJI WANAOTAFUNA FEDHA ZA MICHANGO YA MAE…

Waziri  wa  Mifugo  na  Uvuvi   na  Mbunge  wa  Jimbo  la  Maswa  Magharibi  Mh  Mashimba  Mashauri  Ndaki  amewaonya  watendaji  wa  vijiji  na  Kata  wanaotafuna  Fedha  za  Michango  ya   Maendeleo  ya  Wananchi wanazowachangisha  kisha  kutowasomea  Mapato  na  Matumizi na   kuwapa  Mrejesho. Waziri  …

25 July 2022, 6:21 pm

MASHIMBA NDAKI AAGIZA KUKAMATWA KWA WANUNUZI WOTE WA PAMBA WANAONUNU…

Waziri   wa  Mifugo  na  Uvuvi   na  Mbunge   wa  Jimbo  la  Maswa  Magharibi  Mh  Mashimba  Ndaki  ameagiza  kukamatwa  kwa   Wanunuzi   wa  Pamba  wanaonunua  chini  ya  Bei  Elekezi  ya  ya  Serikali… Mh   Ndaki  ametoa  maagizo   hayo  katika  mkutano  wa   Hadhara  wa  kusikiliza …

1 July 2022, 4:28 pm

WILAYA YA MASWA YAJA NA MKAKATI WA KUTAMBUA WAJAWAZITO WOTE ILI KUP…

Wilaya  ya  Maswa  imekuja  na  mkakati  wa  kuwa  Dafutari  maalumu  la  kuwatambua  akina  mama  wajawazito  wote   kwenye  maeneo  wanayoishi  ili  kuepusha  vifo  vya  mama  wajawazito… Hayo  yamesemwa  na  Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mh  Aswege  Enock  Kaminyoge   wakati  akitoa  Elimu …

19 May 2022, 5:24 pm

RC KAFULILA AAGIZA KUONDOLEWA KWA MENEJA WA WAKALA WA MAJI NA USAFI…

Mkuu  wa  Mkoa  wa  Simiyu  Mh  David  Zacharia  Kafulila  ameagiza  kuondolewa  Meneja  wa  Wakala wa  Maji   na  Usafi  wa  Mazingira  vijijini   wilayani   Maswa   Lucas  Madaha  kwa  Kushindwa   kusimamia  miradi  ya   Maji  ambayo  imekuwa  ikitolewa  na  Serikali.. Mh  kafulila  ametoa   maagizo …

27 April 2022, 9:15 am

UPATIKANAJI WA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA NA ELIMU YA MASUALA YA…

Imeelezwa  kuwa  Wilaya  ya  Busega  iliyopo  Mkoani  Simiyu  imepunguza  kwa  kiasi  kikubwa  Vifo  vitokanavyo  na  Uzazi  kutokana  na   Upatikanaji  wa  Vituo  vya  kutolea  Huduma   za  Afya  na  Elimu  ambayo  imekuwa  ikitolewa  kupitia  njia  mbalimbali  ikiwemo  Radio  Sibuka  Fm. Hayo  yamesemwa …

28 March 2022, 10:19 am

Vijana  Jitokezeni  katika  Vituo vya  Huduma  Rafiki  ya Afya  ya  Uzaz…

Vijana  wameaswa  kujitokeza  katika  Vituo  rafk  vya  kutolea  huduma  za  Afya  ili  kupata  Elimu  zaidi kuhusu  masuala mbalimbali  ya  Afya  na   Afya  ya  Uzazi. Hayo  yamesemwa  na  Dr Godfrey Christopher kutoka Kituo  cha  Afya  Muungano  kilichopo Wilayani  Bariadi  Mkoani  Simiyu…

21 March 2022, 8:18 pm

WENYEVITI  WA  VITONGOJI  ZAIDI  YA  40 WILAYANI  MASWA  WAGOMEA  POSHO�…

Wenyeviti  wa  vitongoji   zaidi ya   Arobaini  wanaounda  Mamlaka  ya  Mji  mdogo  Maswa  wamegoma   kushiriki  zoezi  la  Uandikishaji  wa  anuani za  Makazi  kutokana  na Kupunjwa   Posho  katika  Zoezi  la  Uandikishaji  wa  Anuani za  Makazi  hivyo kupelekea  kuomba   Mwongozo  wa  Halmashauri  kuhusu …

Sibuka Media Profile

Establishment  

Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.

The Objective  

To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments. 

Region Coverage(Sibuka Fm)

 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex

National Coverage (Sibuka Fm) 

Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than  5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex