

8 November 2022, 8:52 am
SIMIYU: Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu Msoleni Dakawa, ameamuru kubomolewa kwa msingi wa madarasa manne, uliokuwa unaendelea kujengwa katika Shule ya Sekondari Sakasaka iliyopo wilayani hapo baada ya kubaini umejengwa chini ya kiwango. Aidha Mkurugenzi…
29 October 2022, 6:23 pm
Imeelezwa kuwa Mila kandamizi kwa baadhi ya Jamii ikiwemo kabila la Wasukuma zinachangia vifo vitokanavyo na Uzazi kwa Wanaume Kushindwa kushiriki na Wenza wao kikamilifu katika Huduma ya Afya ya Uzazi. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali …
11 October 2022, 5:03 pm
Wananchi wa kijiji cha Zebeya kilichopo Kata ya Senani Wilayani Maswa Mkoani Simiyu Wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suruhu Hasani kwa kutoa Fedha Zaidi ya Shilingi Bilioni 1.6 kwa Ajili ya Ujenzi na Ukarabati wa …
26 September 2022, 11:47 am
Mkakati wa kutambua wajawazito Wilayani Maswa umeleta mabadiliko makubwa ikiligaishwa na hapo awali ambapo wajawazito walikuwa hawatambuliki hali iliyokuwa inapelekea baadhi yao kujifungua majumbani na kuhatarisha Maisha yao.… Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh Aswege Kaminyoge wakati …
16 September 2022, 11:10 am
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amesema kuwa Wananchi wanatakiwa kuwa Wazalendo kwa Kulipa Kodi ya Serikali kwa Maendeleo ya Taifa. Mh Kaminyoge ametoa wito huo kwenye kikao kati ya Wafanyabiashara wilayani hapo na Maafisa wa Mamlaka …
2 September 2022, 5:44 pm
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mh Simoni Maige Amewataka Wafugaji kufuga Mifugo kwa Tija ili ilete Manufaa na kuwakwamua Kiuchumi.. Mh Maige ameyasema hayo wakati wa Uzinduzi wa Josho la kuogeshea Mifugo lililojengwa katika Kijiji cha Dodoma kilichopo …
23 August 2022, 3:15 pm
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh Aswege Kaminyoge ameshiriki Kuhesabiwa katika zoezi la Sensa ya Watu na Makazi Mapema hii leo.. Mh Kaminyoge amehesabiwa nyumbani kwake Kitongoji cha Mwantoja kata ya Nyalikungu Wilayani Maswa… Aidha Mh Kaminyoge ametoa wito kwa …
23 August 2022, 3:00 pm
Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki Mh Stanslaus Nyongo ameshiriki kuhesabiwa katika Zoezi la Sensa ya Watu na Makazi lililoanza leo Aug 23, 2022
22 August 2022, 2:47 pm
Wananchi wa Kijiji cha Ikungu kilichopo kata ya Badi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamejitolea kujenga Zahanati ili kupunguza vifo vitokanavyo na Uzazi na kusaidia upatikanaji wa Huduma za Afya kijijini hapo.. Wananchi hao wameamua kuchangishana michango kwa kila Kaya ili …
10 August 2022, 8:24 pm
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Enock Kaminyoge amesema atawasweka ndani wote wanaohujumu Miundo mbinu ya Maji huku akianza na Viongozi wa Serikali ya kijiji… Hayo ameyasema leo wakati akiongea katika mkutano na Watendaji wa Wakala wa Maji …
6 August 2022, 7:44 pm
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge ameliagiza Jeshi la Polisi kuwasaka na kuwakamata watu wote waliofanya hujuma za kutaka kuiba Mafuta aina ya Dieseli katika kituo cha Malampaka ambapo Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR Unaendelea. Mh …
27 July 2022, 11:41 am
Balozi wa Maji nchini Mrisho Mpoto maarufu kwa Jina la Mjomba Amewaasa Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu kutunza vyanzo vya Maji likiwemo Bwawa la New Sola lililopo katika kijiji cha Zanzui kata ya Zanzui.. Balozi Mpoto ametoa nasaha hizo alipotembelea …
25 July 2022, 6:51 pm
Waziri wa Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi Mh Mashimba Mashauri Ndaki amewaonya watendaji wa vijiji na Kata wanaotafuna Fedha za Michango ya Maendeleo ya Wananchi wanazowachangisha kisha kutowasomea Mapato na Matumizi na kuwapa Mrejesho. Waziri …
25 July 2022, 6:21 pm
Waziri wa Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi Mh Mashimba Ndaki ameagiza kukamatwa kwa Wanunuzi wa Pamba wanaonunua chini ya Bei Elekezi ya ya Serikali… Mh Ndaki ametoa maagizo hayo katika mkutano wa Hadhara wa kusikiliza …
1 July 2022, 4:28 pm
Wilaya ya Maswa imekuja na mkakati wa kuwa Dafutari maalumu la kuwatambua akina mama wajawazito wote kwenye maeneo wanayoishi ili kuepusha vifo vya mama wajawazito… Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh Aswege Enock Kaminyoge wakati akitoa Elimu …
25 May 2022, 6:52 pm
Idara ya Afya katika Wilaya ya Busega, mkoani Simiyu, kwa kipindi cha miaka mitano imefanikiwa kupunguza vifo vya mama na mtoto kutoka 145 mwaka 2017 hadi 41 mwaka 2021. Hayo yamesema na Mratibu wa Huduma ya Afya ya Mama Baba …
19 May 2022, 5:24 pm
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh David Zacharia Kafulila ameagiza kuondolewa Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini wilayani Maswa Lucas Madaha kwa Kushindwa kusimamia miradi ya Maji ambayo imekuwa ikitolewa na Serikali.. Mh kafulila ametoa maagizo …
27 April 2022, 9:15 am
Imeelezwa kuwa Wilaya ya Busega iliyopo Mkoani Simiyu imepunguza kwa kiasi kikubwa Vifo vitokanavyo na Uzazi kutokana na Upatikanaji wa Vituo vya kutolea Huduma za Afya na Elimu ambayo imekuwa ikitolewa kupitia njia mbalimbali ikiwemo Radio Sibuka Fm. Hayo yamesemwa …
28 March 2022, 10:19 am
Vijana wameaswa kujitokeza katika Vituo rafk vya kutolea huduma za Afya ili kupata Elimu zaidi kuhusu masuala mbalimbali ya Afya na Afya ya Uzazi. Hayo yamesemwa na Dr Godfrey Christopher kutoka Kituo cha Afya Muungano kilichopo Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu…
21 March 2022, 8:18 pm
Wenyeviti wa vitongoji zaidi ya Arobaini wanaounda Mamlaka ya Mji mdogo Maswa wamegoma kushiriki zoezi la Uandikishaji wa anuani za Makazi kutokana na Kupunjwa Posho katika Zoezi la Uandikishaji wa Anuani za Makazi hivyo kupelekea kuomba Mwongozo wa Halmashauri kuhusu …
Establishment
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.
Region Coverage(Sibuka Fm)
Radio Sibuka FM hears about 95 percent of the Simiyu region through the frequency of 97.0 MHz from the Maswa district as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex