Sibuka FM
Sibuka FM
1 March 2024, 5:03 pm
Jamii ya kihadzabe inayoishi pembezoni mwa pori la hifadhi Makao Wilayani Meatu Mkoani Simiyu yahofia kutoweka kutokana na mabadiliko ya tabia ya Nchi. Na,Alex Sayi Wanawake wa jamii ya kihadzabe wamuomba Rais Dkt,Samia kulinusuru kabila hilo ili lisiweze kutoweka kutokana…
28 February 2024, 11:15 am
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mh, Aswege Kaminyoge ametoa ufafanuzi kuhusu Changamoto ya Kupanda kwa bei ya Sukari na kutoa maelekezo ya Serikali kuhusu upatikanaji wa Bidhaa hiyo. Kaminyoge amesema hayo wakati akizungumza na Wafanyabiashara wa Maswa na …
25 February 2024, 6:29 pm
Na Nicholaus Machunda Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mkoa wa Simiyu imefanikiwa kuokoa fedha  zaidi ya shilingi milioni sabini zilizotaka kufanyiwa ubadhirifu katika Chuo cha Maafisa Tabibu wilayani  Maswa. Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari, Naibu Mkuu wa Takukuru mkoani …
25 February 2024, 6:14 pm
Chama cha Demokrasia na Maendeleo  Chadema Mkoa wa Simiyu kimesema kuwa kimejipanga kuingia kwa kishindo katika uchaguzi wa serikali za mitaa utaofanyika mwishoni mwa mwaka huu wa 2024. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa wa Simiyu  Musa …
18 February 2024, 3:43 pm
Na Nicholaus Machunda Baraza la Madiwani la Halmashauri ya  Wilaya ya Maswa kwa Kauli moja limeridhia kuvunjwa kwa Mamlaka ya Mji mdogo Maswa kwakushindwa kukidhi vigezo na Kuazimia kuanzisha Mchakato wa Kupata Halmashauri mbili.https://maswadc.go.tz/ Azimio hilo lilitolewa na Mkrugenzi Mtendaji …
8 February 2024, 8:50 pm
Watoto wenye  umri wa kuanzia miezi tisa hadi chini ya miezi hamsini na tisa kupatiwa chanjo ya ugonjwa wa Surua na Rubela katika kampeni ya kitaifa ya siku nne. Na,Daniel Manyanga Zaidi ya Watoto Laki Moja walio na umri chini…
7 February 2024, 1:56 pm
Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu Mhe  Aswege Kaminyoge amewatahadharisha Wafanyabiashara wa Mazao ya Nafaka utoroshaji na kukwepa kulipa Ushuru wa Mazao hayo. Mhe Kaminyoge amesema hayo katika kikao cha Wadau wa Kilimo na Mazao Mchanganyiko kilichofanyika Katika ukumbi wa …
5 February 2024, 11:58 am
Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Mkoani Simiyu Mhe, Aswege Kaminyoge amekanusha taarifa iliyotolewa kwenye vyombo vya habari  kuwa  nyumba 112 zilibomolewa na  mvua kubwa iliyonyesha Tarehe 27/01/ 2024 katika kata ya Mbaragane   na kusema kuwa   ni nyumba 5 tu zilizobomoka…
1 February 2024, 8:09 pm
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe, Aswege Kaminyoge amewataka wadau wa Sheria kuendelea kutoa Elimu kwa Wananchi kwani wanawategemea sana katika Utoaji wa Haki. Hayo ameyasema katika kilele cha Wiki ya Sheria katika Viwanja vya Mahakama ya Wilaya …
1 February 2024, 2:15 pm
Wahadzabe wapatao  (360 ) waishio kwenye kaya (46) kijiji cha Sungu Kata ya Mwabuzo Wilayani Meatu Mkoani Simiyu hawana makazi rasmi. Na, Alex Sayi. Wahadzabe waishio pembezoni mwa pori la akiba la Makao lililopo Wilayani Meatu Mkoani Simiyu wameiomba Serikali…
27 January 2024, 7:29 pm
“Wananchi waitumie wiki na siku ya sheria kupata elimu ya kisheria ili kupunguza migogoro isiyo ya lazima hasa migogoro ya ardhi na mirathi kwa sasa hairipotowi kwa wingi katika vyombo vya kutoa haki.” Na,Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Maswa…
26 January 2024, 6:03 pm
Dalali na Nyerere Wahukumiwa  Jela miaka 30 kila mmoja kwa makosa ya kubaka binti wa miaka 7 mwanafunzi wa darasa la kwanza  na kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi kilo 35 zikiwa zimehifadhiwa nyumbani. Na,Daniel Manyanga Watu wawili…
14 January 2024, 12:42 pm
Tumefanikiwa kuokoa miili ishirini na mbili ya wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika mgodi wa Ikinabushu kufuatia kuporomoka kwa duara wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji Na,Daniel Manyanga Watu ishirini na mbili wamefariki dunia kwa kufukiwa (kuporomokewa) na kifusi…
12 January 2024, 10:21 am
Huduma za Maji Safi na Salama zinazotolewa na Mamlaka ya maji na usafi wa mazingira mjini Maswa(MAUWASA) na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini(RUWASA) zitolewe bure kwa wananchi katika maeneo yaliyoathirika na mlipuko. Na,Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa…
9 January 2024, 1:17 pm
Marufuku uuzaji wa vyakula mashuleni pamoja na kula vyakula maeneo yenye mikusanyiko ya watu ili kujikinga na kuenea kwa mlipuko wa magonjwa ya Kuhara na Kutapika. Na,Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa wa Simiyu Dkt.Yahaya Nawanda amepiga marufuku uuzaji wa vyakula…
26 December 2023, 6:16 pm
Sikukuu za mwisho wa mwaka zimepoteza mwamko kwa Wananchi kutokana na kupanda kwa gharama za maisha ya kila hivyo kukosa fedha za ziada kwa ajili ya kugharamia sherehe hizo Na Alex Sayi-Simiyu Imebainishwa kuwa mabadiliko ya tabia ya Nchi na…
18 December 2023, 9:40 am
Zoezi la uandikishaji wa wanafunzi wanaoanza masomo katika mwaka masomo 2024 kwa elimu ya msingi na sekondari lipo chini ya afisa tarafa, watendaji wa kata na vijiji kwa kushirikiana kwa ukaribu na wenyeviti wa vijiji na vitongoji. Na Daniel Manyanga…
16 December 2023, 12:01 pm
Wadau wa maji na Wananchi watakiwa kutunza vyanzo vya maji ili kuweza kukabiliana na ukame unaosababishwa na shughuli za kijamii pamoja na mabadiliko ya tabia nchi Na Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Mhe.Aswege Kaminyoge amewataka Wananchi…
13 December 2023, 1:37 pm
Zaidi ya  Sh.Mil,15 kutumika kufanya Ujenzi wa Karavati(3)kwenye baadhi ya mitaa  Wilayani Maswa Mkoani Simiyu. Na Alex Sayi Kanisa la Repentence Pentacost Mission Church of Tanzania (RPMT) limekabidhi karavati moja lenye gharama ya zaidi ya Sh.Mil 5 kati ya madaraja…
11 December 2023, 6:56 pm
Takwimu zimeonyesha kuwa bado kuna idadi kubwa ya wanawake wanaofanyiwa ukatili wa kijinsia Wilayani Maswa Mkoani Simiyu. Na Alex Sayi. Imebainishwa kuwa Wanawake Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wameendelea kuwa waathirika wa vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa mujibu wa Takwimu…
Establishment Â
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.Â
Region Coverage(Sibuka Fm)
 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex