Sibuka FM
Sibuka FM
28 May 2024, 5:03 pm
Wafanyabiashara wilayani Maswa wamepewa elimu ya ulipaji kodi kwa hiari ili kujenga uchumi wa nchi, pia kikao hicho kimehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mhe Aswege Kaminyoge na maafisa wa TRA kutoka wilayani hapo na mkoa. Mamlaka ya Mapato …
26 May 2024, 10:27 am
Zoezi la chanjo ya mifugo ni muhimu sana kwa wafugaji hivyo kila diwani akawe balozi kwenye eneo lake ili kuhamasisha waitikie kuchanja Mifugo yao ili kujikinga na Ugonjwa wa Mapafu “Maisha Mtipa Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Maswa” Halmashauri …
21 May 2024, 12:34 pm
Usafi siyo kuvaa nguo nzuri tu bali usafi ni kuwa na choo kizuri ambapo kinakufanya uweze kuwa salama na magonjwa ya mlipuko leo hii kesi nyingi za kuhara na kutapika ni kukosa vyoo sasa hatutawavumilia wale wasiokuwa na vyoo. Na,…
19 May 2024, 5:52 pm
Hatutasita kukuchukulia hatua kali za kisheria kwa wale ambao wanajihusisha na uhalifu maana mkono wa serikali ni mrefu hivyo njia sahihi ni kuachana na vitendo vya uhalifu Na, Daniel Manyanga Jeshi la polisi mkoani Simiyu linawashikilia watu wanane kwa tuhuma…
18 May 2024, 6:20 pm
Mpango wa kuwapatia maji safi na salama ni sera ya wizara ya maji hivyo jukumu la kukosekana kwa huduma ya maji kwa wananchi pindi usafi au kutibu maji ni kuboresha huduma hiyo. Na, Daniel Manyanga Wananchi mjini Maswa na vijiji…
17 May 2024, 11:56 am
Kutokana na mvua kuwa kubwa kunyesha msimu huu wa kilimo kwa mwaka 2023/2024 zilizopelekea mavuno ya pamba kushuka wilaya ya Maswa inatarajia kukusanya mapato chini ya makadirio ya awali. Na, Daniel Manyanga Zaidi ya tani elfu ishirini na mbili za…
15 May 2024, 8:57 pm
Mkuu wa Wilaya ya Maswa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Mazao amezindua msimu wa ununuzi wa pamba 2024/2025 Wilayani hapa na kuzitaka kampuni zote zinayodaiwa ushuru wa musimu uliopita hazitaruhusiwa kuanza kununua kabla ya kulipa madeni yao. Msimu wa Ununuzi …
14 May 2024, 5:30 pm
Barabara ya mzunguko ilichelewa sana kuwepo na huenda ajali za barabarani zisingekuwepo au kuwepo lakini kwa kiwango cha chini tofauti na hivi sasa. Na, Daniel Manyanga Kukamilika kwa barabara ya mzunguko (roundabout) inayounganisha barabara za Lamadi Bariadi,Mwanza na Mara kunatajwa…
14 May 2024, 9:34 am
Kutokana na bei ya pamba kuwa ndogo katika msimu wa kilimo wa mwaka 2024/25 iliyotangazwa mkoani Shinyanga wakulima wameanza kuangalia namna ya kuachana na kilimo hicho. Na, Daniel Manyanga Baraza la Madiwani la halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu…
8 May 2024, 4:16 pm
Vyombo vya watoa huduma wa maji ngazi ya jamii wilayani Maswa vimesaidia upatikanaji wa maji vijijini kutoka asilimia 68.9 hadi 74 na ifikapo 2025 kufikia asilimia 85. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Aswege Kaminyoge amemtaka…
7 May 2024, 7:54 pm
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh. Aswege Kaminyoge amewataka viongozi wa CBWSOs zilizogawiwa pikipiki kuzitumia katika malengo yaliyokusudiwa ili kuleta mabadiliko katika utoaji wa huduma za maji na siyo shughuli binafsi zisizo na tija. Na Nicholaus Machunda Mkuu wa Wilaya …
7 May 2024, 7:33 pm
Faida ya kufuatilia taarifa za mamlaka ya hali ya hewa kumetajwa kusaidia kujikinga na kuepuka madhara yatokanayo na mafuriko yanayosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha hapa nchini. Na Daniel Manyanga Kaya zaidi 413 kutoka vitongoji vitatu vya Itongo, Lamadi na…
6 May 2024, 5:49 pm
Utamu wa ligi ya wanawake Simiyu wafikia pazuri huku vipaji vya mpira wa miguu kwa wanawake vikiibuliwa na kupelekea wazazi na walezi wa vijana wa kike kuhamasisha mabinti zao kucheza mpira wa miguu Na,Paul Yohana Fainali ya kwanza ligi ya…
6 May 2024, 11:22 am
Kushiriki kikamilifu kwa wazazi na walezi kumetajwa kumaliza ukatili kwa watoto ambao wanafanyiwa ukatili katika jamii zao hasa mtoto kuanzia kipindi cha ujauzito hadi kufikia umri wa miaka (8). Na Alex.F.Sayi Imebainishwa kuwa wazazi na walezi wamekuwa chanzo cha ukatili…
3 May 2024, 3:58 pm
Ubunifu wa kufanya kazi nyingine tofauti ile ambayo umeajiriwa ni njia pekee inayoweza kuwakomboa watumishi wa umma na kuondokana na mikopo umiza ambao ni ugonjwa mwingine hatari. Na,Daniel Manyanga Kaimu mkuu wa mkoa wa Simiyu Bi.Anna Gidarya amewataka watumishi wa…
30 April 2024, 7:04 pm
Maswa kurejesha uoto wa asili kwa zoezi endelevu la upandaji miti ili kuhakikisha wilaya inatunza vyanzo vya maji nakuifanya Maswa kuwa ya kijani. Na,Poul Yohana Halmashauri ya wilayani Maswa mkoani Simiyu imepanda miti 252 katika jengo la wanafunzi wenye mahitaji…
29 April 2024, 5:41 pm
Licha ya mvua kuwa na faida lakini kwa wakulima wa pamba Bariadi imegeuka kilio hadi kufikiria kulima mazao mengine ili kujikomboa kiuchumi kutokana na mavuno ya pamba kuwa chini msimu huu. Na, Daniel Manyanga Wakulima wa zao la pamba halmashauri…
27 April 2024, 10:32 am
Kongamano la Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuwa Tanzania limefanyika Katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa na Kuhudhuriwa na Wadau Mbalimbali Nicholaus Machunda Wadau wa Maendeleo Wilayani Maswa Mkoani Simiyu Wamesema kuwa Miaka 60 …
26 April 2024, 4:24 pm
Vifaa vya tehama sasa kusaidia ujifunzaji kwa wanafunzi shuleni nakuwasaidia walimu kwendana na wakati uliopo kwa sasa wa sayansi na teknolojia hivyo kuongeza ufaulu kwa wanafunzi.Na,Paul Yohana  Mkuu wa wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amekabidhi vifaa vya tehema…
26 April 2024, 10:30 am
Wakala wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira (RUWASA) mkoani Simiyu kuwalipa wakandarasi wanaotekeleza miradi mbalimbali kwa wakati ili kuondokana na kuisababishia serikali hasara itokanayo na ucheleweshaji wa malipo. Na,Daniel Manyanga Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa…
Establishment Â
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.Â
Region Coverage(Sibuka Fm)
 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex