

4 July 2023, 5:18 pm
Na,Alex Sayi Waandishi wa habari na wahahiri wa Redio Jamii mikoa ya Kanda ya Ziwa wameshauriwa kuendana na mabadiliko ya uandaaji wa habari zenye ushindani kwenye mitandao ya kijamii. Paschal Malulu mshiriki wa mafunzo toka Kahama Shinyanga amezungumzia umuhimu wa…
4 July 2023, 3:00 pm
Wazazi wameaswa kuwapeleka watoto wote kupata dawa za minyoo na matone ili kuwakinga na magonjwa yanayotokana na upungufu wa lishe. Afisa lishe amesema hayo wakati akitoa elimu kwa Jamii katika mwezi wa Afya na lishe zoezi linalofanyika mara mbili kwa…
4 July 2023, 11:37 am
Na Nicholaus Machunda Mwenyekiti wa Umoja wa Mawakala wa Usafirishaji mjini hapa ameutaka uongozi wa halmashauri wilayani Maswa mkoani Simiyu kuhakikisha wanaboresha miundombinu maeneo ya stendi mpya. Suala la usafi ni wajibu wa kila mtu Baadhi ya wafanyabiashara wanaofanya biashara…
1 July 2023, 3:54 pm
Kwenye picha ni Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu(BAKWATA) wilayani Maswa, Maulid Mlete mwenye kanzu akimkabidhi Bi.Salima Kimazi sadaka ya nyama ya ng’ombe wakati wa utoaji wa sadaka ya kuchinja katika kusherekea sikukuu ya Eid Al Hajj Na Mwandishi, Daniel…
28 June 2023, 7:01 pm
Kwenye picha ni mkuu wa wilaya ya Maswa Mhe. Aswege Kaminyoge aliyesimama akizungumza na baadhi ya akina mama wajane walioshiriki maadhimisho ya wajane wilayani hapo kwenye ukumbi wa mikutano Na Mwandishi,Alex.F.Sayi WANAWAKE Wajane wilayani Maswa mkoani Simiyu wameaswa kuchangamkia fursa za…
24 June 2023, 6:24 pm
Kwenye picha ni Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu ACP,Edith.M.Swebe akizungumza na Waandishi wa habari mkoani hapo Na mwandishi,Daniel Manyanga Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu limewatia mbaroni Watu (Watuhumiwa) 37 kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya Ulawiti,Wizi ,Uvunjaji…
22 June 2023, 7:13 pm
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt Yahaya Nawanda ameuagiza uongozi wa wilaya ya Maswa kuhakikisha wanafunga hoja zote za Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) zilizotolewa baada ya kufanya ukaguzi wa fedha kwa mwaka wa fedha 2021/2022. Dkt…
22 June 2023, 6:50 pm
Na, Alex Sayi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Simiyu imesema kuwa tangu kuanzishwa kwa huduma ya mlango kwa mlipa kodi (Taxpayer Portal) imerahisisha upatikanaji wa namba ya mlipa kodi (TIN) kwa wananchi. Akizungumza na Sibuka Fm Benjamini John Afisa Elimu…
22 June 2023, 2:15 pm
Kwenye picha ni mkuu wa kitengo cha Usafi,Afya na Mazingira wilaya ya Maswa ,Budodi Walwa akimpatia chanjo ya Covid-19 mmoja wa wananchi wilayani hapo Na Alex.F.Sayi. Zaidi ya Wananchi Mia Tatu Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamepata chanjo ya Covid-19 kufuatia mpango…
2 June 2023, 7:16 pm
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mkoa wa Simiyu imebaini kuwa miradi 3 kati ya 14 yenye thamani ya zaidi ya bilioni 1 iliyofuatitiliwa imebainika kuwa na dosari katika utekelezaji wake . Akitoa taarifa katika kipindi cha robo ya …
22 May 2023, 12:30 pm
Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Maswa imeridhishwa na utekelezaji wa ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025. Akitoa taarifa kwa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, mkuu wa wilaya ya Maswa Mhe, Aswege Kaminyoge amesema kuwa katika kutekeleza ilani ya …
18 May 2023, 4:16 pm
Kwenye ni mkuu wa kitengo cha Usafi na Mazingira wilaya ya Maswa ,Budodi Walwa akimpatia chanjo ya Covid-19 mmoja wa wananchi wilayani hapo Na Alex.F.Sayi. Zaidi ya Wananchi laki mbili Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamepata chanjo ya Covid-19 kufuatia mpango…
18 May 2023, 7:08 am
Kwenye picha ni mmoja wa wananachi wa wilaya ya Maswa akionesha cheti chake baada ya kupata chanjo ya Covid-19 Na Alex.F.Sayi Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu, wamewashukuru wadau wa afya Internews na Tadio katika mapambano ya ugonjwa wa Korona kwa kuwakumbusha…
6 May 2023, 8:32 am
Na Alex.F.Sayi UMOJA wa Mawakala wa Usafirishaji Stund Mpya iliyopo wilayani Maswa Mkoani Simiyu wameulalamikia uongozi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa ubovu wa miundombinu katika stund hiyo licha ya kutozwa ushuru kwa kila gari inayoingia hapo. Akizungumza na Sibuka…
28 April 2023, 7:33 am
Alex F. Sayi Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe. Aswege Kaminyoge amewataka wakazi Wilayani hapo wanaopitiwa na Mradi wa umeme toka Ibadakuli Mkoani Shinyanga hadi Bariadi Simiyu wenye msongo wa Kilovoti 220 kuachia maeneo yao kwaajili ya utekelezaji…
20 April 2023, 9:34 am
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe Aswege Kaminyoge ametoa Maagizo kwa Wafugaji Wote kupeleka Mifugo yao kwenda kuchanja Sehemu ambazo zimeandaliwa na kijiji husika ili kujikinga na Magonjwa hatari ya Mifugo. Sauti ya DC Maswa Aswege kaminyoge kuhusu …
19 April 2023, 5:33 pm
Wananchi Mkoani Simiyu wameaswa kuchangamkia Fulsa za Udhamini wa Mikopo ya hadi Asilimia 80% katika Miradi inayochochea Ukuaji wa Uchumi wa Kijani katika Sekta ya Kilimo, Mifugo na Mazao ya Misitu. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mh,…
15 April 2023, 8:10 pm
Baba Paroko wa Parokia ya Malampaka Jimbo la Shinyanga Padre Renatus Mashenene ametoa msaada wa Baiskeli mbili za Walemavu kwa shule ya Msingi Malampaka iliyopo Wilayani Maswa Mkoani Simiyu ili kuunga mkono Jitihada za Serikali ya awamu ya sita ya …
13 April 2023, 4:44 pm
NA,ALEX.F. SAYI Vikundi 82 vya Wanawake,Vijana na Walemavu vimeendelea kufikishwa Mahakamani na Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kwa kushindwa kurejesha zaidi ya Sh.Mil,129.9 walizokopeshwa na Halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha 2021/2022 Akizungumza na Sibuka Fm, Mwenyekiti wa halmashauri ya…
13 April 2023, 4:23 pm
Na,Alex.F.Sayi Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini Wilayani Maswa Mkoani Simiyu (RUWASA)imewaasa wakazi Wilayani hapa kutumia Maji kwenye vyanzo vilivyoboreshwa ili kuepuka magonjwa ya mlipuko. Akizungumza na Sibuka fm, Meneja wa RUWASA Wilayani Maswa Mhandisi Lucas Madaha amesema…
Establishment
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.
Region Coverage(Sibuka Fm)
Radio Sibuka FM hears about 95 percent of the Simiyu region through the frequency of 97.0 MHz from the Maswa district as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex