Sibuka FM

Recent posts

4 July 2023, 5:18 pm

Waandishi Redio Jamii wapigwa msasa ushindani habari za mtandaoni

Na,Alex Sayi Waandishi wa habari na wahahiri wa Redio  Jamii mikoa ya Kanda ya Ziwa wameshauriwa kuendana na mabadiliko ya uandaaji wa habari zenye ushindani kwenye mitandao ya kijamii.  Paschal Malulu mshiriki wa mafunzo toka Kahama Shinyanga amezungumzia umuhimu wa…

4 July 2023, 3:00 pm

Mwezi wa Afya na Lishe

Wazazi wameaswa kuwapeleka watoto wote kupata dawa za minyoo na matone ili kuwakinga na magonjwa yanayotokana na upungufu wa lishe. Afisa lishe amesema hayo wakati akitoa elimu kwa Jamii katika mwezi wa Afya na lishe zoezi linalofanyika mara mbili kwa…

4 July 2023, 11:37 am

Mawakala wa usafirishaji  waitaka halmashauri kuboresha stendi Maswa

Na Nicholaus Machunda Mwenyekiti wa Umoja wa Mawakala wa Usafirishaji mjini hapa ameutaka uongozi wa halmashauri wilayani Maswa mkoani Simiyu kuhakikisha wanaboresha miundombinu maeneo ya stendi mpya. Suala la usafi ni wajibu wa  kila mtu Baadhi ya wafanyabiashara wanaofanya biashara…

1 July 2023, 3:54 pm

Maswa: Ng’ombe 126, kondoo 68 sadaka ya kuchinja Eid Al Hajj

Kwenye picha ni Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu(BAKWATA) wilayani Maswa, Maulid Mlete mwenye kanzu akimkabidhi Bi.Salima Kimazi sadaka ya nyama ya ng’ombe wakati wa utoaji wa sadaka ya kuchinja katika kusherekea sikukuu ya Eid Al Hajj Na Mwandishi, Daniel…

28 June 2023, 7:01 pm

Maswa: Wajane waaswa kuchangamkia fursa 10% mikopo ya halmashauri

Kwenye picha ni mkuu wa wilaya ya Maswa Mhe. Aswege Kaminyoge aliyesimama akizungumza na baadhi ya akina mama wajane walioshiriki maadhimisho ya wajane wilayani hapo kwenye ukumbi wa mikutano Na Mwandishi,Alex.F.Sayi WANAWAKE Wajane wilayani Maswa mkoani Simiyu wameaswa kuchangamkia fursa za…

24 June 2023, 6:24 pm

Simiyu: Watu 37 mikononi mwa jeshi la polisi kwa makosa mbalimbali

Kwenye picha ni Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu ACP,Edith.M.Swebe akizungumza na Waandishi wa habari mkoani hapo Na mwandishi,Daniel Manyanga Jeshi la  Polisi mkoa wa Simiyu limewatia mbaroni Watu (Watuhumiwa) 37 kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya Ulawiti,Wizi ,Uvunjaji…

22 June 2023, 7:13 pm

Maswa: RC aagiza hoja zote za CAG  zifungwe

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt Yahaya Nawanda ameuagiza uongozi wa wilaya ya Maswa kuhakikisha wanafunga hoja zote za Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) zilizotolewa baada ya kufanya ukaguzi wa fedha kwa mwaka wa fedha 2021/2022. Dkt…

2 June 2023, 7:16 pm

Miradi mitatu iliyochunguzwa na Takukuru  Simiyu  yakutwa   na  dosari

Taasisi  ya  Kuzuia na  Kupambana  na Rushwa  mkoa  wa  Simiyu   imebaini  kuwa  miradi  3  kati  ya  14  yenye  thamani  ya  zaidi ya  bilioni 1 iliyofuatitiliwa   imebainika  kuwa   na  dosari  katika  utekelezaji  wake . Akitoa  taarifa  katika  kipindi  cha  robo  ya …

22 May 2023, 12:30 pm

Halmashauri  Kuu CCM wilaya  Maswa  yaridhishwa utekelezaji ilani  ya  cham…

Halmashauri  Kuu  ya  CCM  wilaya  ya  Maswa  imeridhishwa  na  utekelezaji  wa  ilani  ya  CCM  ya   mwaka 2020-2025. Akitoa  taarifa  kwa  wajumbe  wa  Halmashauri  Kuu ya  CCM,  mkuu  wa  wilaya  ya  Maswa  Mhe,  Aswege  Kaminyoge  amesema  kuwa  katika  kutekeleza  ilani  ya …

18 May 2023, 4:16 pm

Maswa: Zaidi ya wananchi laki mbili wamepata chanjo ya covid-19

Kwenye ni mkuu wa kitengo cha Usafi na Mazingira wilaya ya Maswa ,Budodi Walwa akimpatia chanjo ya Covid-19 mmoja wa wananchi wilayani hapo Na Alex.F.Sayi. Zaidi ya Wananchi laki  mbili Wilayani Maswa Mkoani Simiyu  wamepata chanjo ya Covid-19 kufuatia mpango…

18 May 2023, 7:08 am

Maswa: Elimu ya chanjo ya Uviko-19 bado inahitajika sana kwa jamii

Kwenye picha ni mmoja wa wananachi wa wilaya ya Maswa akionesha cheti chake baada ya kupata chanjo ya Covid-19 Na Alex.F.Sayi Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu, wamewashukuru wadau wa afya  Internews na Tadio katika mapambano ya ugonjwa wa Korona kwa kuwakumbusha…

28 April 2023, 7:33 am

DC Maswa awataka wananchi kupisha mradi wa umeme

Alex F. Sayi Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe. Aswege Kaminyoge amewataka wakazi  Wilayani hapo  wanaopitiwa na Mradi wa umeme toka Ibadakuli Mkoani Shinyanga hadi Bariadi Simiyu wenye msongo wa Kilovoti 220 kuachia maeneo yao kwaajili ya utekelezaji…

20 April 2023, 9:34 am

Dc  Maswa  Aswege   Kaminyoge  atoa  Maagizo  Mazito  kuhusu  chanjo …

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mkoani  Simiyu  Mhe Aswege  Kaminyoge  ametoa  Maagizo  kwa  Wafugaji  Wote  kupeleka   Mifugo  yao  kwenda  kuchanja  Sehemu  ambazo  zimeandaliwa  na  kijiji  husika  ili  kujikinga  na  Magonjwa  hatari  ya  Mifugo.             Sauti ya DC  Maswa Aswege kaminyoge kuhusu …

13 April 2023, 4:44 pm

Maswa: Vikundi 82 kufikishwa mahakamani kwa kushindwa kurejesha mikopo.

NA,ALEX.F. SAYI Vikundi 82 vya Wanawake,Vijana na Walemavu vimeendelea kufikishwa Mahakamani na Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kwa kushindwa kurejesha zaidi ya Sh.Mil,129.9 walizokopeshwa na Halmashauri hiyo kwa  mwaka wa fedha 2021/2022 Akizungumza na Sibuka Fm, Mwenyekiti wa halmashauri ya…

13 April 2023, 4:23 pm

Maswa:RUWASA Wananchi tumieni maji yanayotoka kwenye vyanzo vilivyoboreshwa.

Na,Alex.F.Sayi Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini Wilayani Maswa Mkoani Simiyu (RUWASA)imewaasa wakazi Wilayani hapa kutumia Maji kwenye vyanzo vilivyoboreshwa ili kuepuka magonjwa ya mlipuko. Akizungumza na Sibuka fm, Meneja wa RUWASA Wilayani Maswa Mhandisi Lucas Madaha amesema…

Sibuka Media Profile

Establishment  

Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.

The Objective  

To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments. 

Region Coverage(Sibuka Fm)

 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex

National Coverage (Sibuka Fm) 

Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than  5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex