
Recent posts

13 March 2025, 1:04 pm
Bariadi: Chifu wa Kilulu jela miaka 20, viboko 12 kwa kumiliki fisi
“Je sheria zetu zinasemaje mtu mpaka kuanza kumiliki nyara za serikali bila kuwa na kibali chochote kutoka kwa mamlaka za uhifadhi wanyamapori huyo mnyama mpaka anaanza kumilikiwa je ! mamlaka za uhifadhi tulikuwa wapi kuzuia vitendo hivyo ni fikra zangu…

12 March 2025, 6:07 pm
Madereva wa magari madogo ya abiria wagoma kufanya usafirishaji Bariadi
“Hoja za madereva wa daladala mkoa wa Simiyu naomba zisikilizwe maana kuna hoja kubwa sana ni kweli serikali yangu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania imejenga stund tena nzuri kweli ya kisasa lakini sasa hatuwezi kuwachanganya hawa tunaenda kuua biashara…

12 March 2025, 12:19 pm
Masunga, Daudi jela miaka 5 kwa wizi wa nguruwe wilayani Maswa
“Hatuwezi kuendelea kuona watu ambao wanapambana katika kujikwamua kiuchumi kwa kufanya shughuli mbalimbali wanarudishwa nyuma na watu ambao hawana nia njema ya kujenga uchumi wa mtu mmoja mmoja hadi Taifa kwa ujumla lazima tuwajibishane kwa kufuata sheria ili kukomesha tabia…

3 March 2025, 12:36 pm
Maswa:Halmashauri maswa yazindua mnada mpya
Halmashauri Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeendelea na adhima yake ya kuhakikisha inaongeza ukusanyaji wa mapato kwa kuanzisha vyanzo vipya vya mapato kwa lengo la kuharakisha maendeleo Wilayani hapo Na, Alex Sayi-Maswa Simiyu. Halmashauri wilayani Maswa mkoani Simiyu imeanzisha gulio na…

2 March 2025, 6:38 pm
Maswa:wajawazito (400-450)hujifungua ndani ya mwezi mmoja
Jamii Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeaswa kujenga tabia ya kuwatembelea wajawazito na wazazi wanaojifungua ili kusaidia mahitaji muhimu ya uzazi kwa wazazi hao. Na,Alex Sayi Maswa-Simiyu Uongozi wa Hospitali ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu umebainisha kuwa ndani ya mwezi…

2 March 2025, 11:16 am
Mnada mpya wazinduliwa Maswa, Watajwa kuongeza Mapato ya Halmashauri
Malengo ya kuanzishwa kwa Mnada huo ni kusogeza huduma kwa Ukaribu ya uuzaji wa Mifugo, Upatikanaji wa Mahitaji mbalimbali ya kila siku kwa Wananchi wa Wigelekelo na maeneo jirani pamoja na kuongeza wigo wa Ukusanyaji wa Mapato katika Halmashauri Na…

26 February 2025, 11:46 am
DC Maswa asisitiza ushirikiano kwa watumishi wa umma
DC mpya Wilayani Maswa Mkoani Simiyu awataka watumishi na watendaji kutafsiri maono ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa vitendo,hali itakayoisaidia Wilaya hiyo kupiga hatua za kimaendeleo. Na,Paul Yohana-Maswa-Simiyu Mkuu mpya wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Dkt,Vincent…

26 February 2025, 10:34 am
DC mpya Maswa atoa angalizo kwa watumishi wazembe
Watumishi wilayani Maswa mkoani Simiyu wakumbushwa kuwajibika kwa weledi ili kuendana na kasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na,Alex Sayi-Maswa Simiyu Mkuu mpya wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Dkt, Vincent Anney amewakumbusha watumishi Wilayani hapa kuhakikisha…

25 February 2025, 6:17 pm
Maswa mbioni kuzalisha chaki zitakazouzwa nchi nzima
Kiwanda cha kuzalisha chaki kilichopo wilayani Maswa mkoani Simiyu mbioni kuzalisha chaki zitakazokuwa mwarobaini kwa mahitaji ya chaki nchini kwa shule za msingi na sekondari. Na, Alex Sayi Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu iko mbioni kuanza uzalishaji wa…

24 February 2025, 3:51 pm
TRA mkoa wa Simiyu yakusanya bilioni 14.2 kwa miezi sita
‘‘Hakuna mtu yeyote atakayetoka nje ya nchi kuja hapa nchini kwetu kutuambia namna bora ya kulifanya taifa letu liweze kusonga mbele katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ili kufikia malengo mama ya taifa kama sisi wenyewe hatutaweza kulipa kodi kwa…

19 February 2025, 8:30 pm
Simiyu:Chatanda viongozi wanawake tendeni haki bila kujali vyama
“Uongozi siyo kupiga kelele ni kuleta mabadiliko chanya katika eneo lako la kiutawala kama kuna changamoto zozote zile kwa wananchi tuanataka utuambie umefanya nini kuzitatua hizo shida ili jamii iseme kweli hapa tunakiongozi na siyo msindikizaji viongozi”. Na, Daniel Manyanga …

16 February 2025, 10:52 pm
Serikali kuimarisha kilimo cha pamba Simiyu
Na Nicholaus Machunda Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Mhe. Kassim Majaliwa amesema kuwa serikali imejiimarisha katika kuinua zao la pamba ili …

15 February 2025, 12:40 pm
Stakabadhi ghalani yarudisha thamani kwa wakulima Maswa
‘‘Kilimo ni moja wapo ya sekta ambayo imeajiri watu wengi sana na nimuhimu sana katika ujenzi wa taifa maana hatuwezi kuwa na uchumi imara wakati watu wake wanalia njaa hiyo siyo ajenda ya taifa lazima wakulima tuwalinde na kuwapa thamani…

14 February 2025, 6:15 pm
Adakwa akijifanya mwanajeshi JWTZ Simiyu
Hapa chini ni taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu iliyotolewa leo Feb, 14, 2025

14 February 2025, 4:55 pm
DC Kaminyoge awa mbogo watakaoharibu stakabadhi ghalani
“Hatuwezi kuendelea kuona wakulima wanakosa thamani pindi wanapouza mazao yao wakati wanahangaika kulima alikuwa mwenyewe bila ya usaidizi wowote wa wanunuzi”. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoni Simiyu Aswege Kaminyoge amesema kuwa serikali ya wilaya hiyo haitasita…

10 February 2025, 6:30 pm
Itilima: Mwalimu mkuu jela miaka 3 kwa udanganyifu wa mtihani
“Kama taifa limeweka kuwepo na mitihani ya kupima uwezo wa uelewa kwa wanafunzi juu ya kile wanachofundishwa na walimu shuleni sasa inatoka wapi tena nguvu ya walimu kuwasaidia wanafunzi hatuoni kwamba tunatengeneza taifa la wanafunzi tegemezi wa akili”. Na, Daniel…

5 February 2025, 5:06 pm
Ulinzi shirikishi wapunguza vitendo vya uhalifu Simiyu
“Usalama wa raia na mali zake siyo jukumu pekee la jeshi la polisi nchini lakini tukishirikiana na jamii kwa ukaribu kupitia jeshi la jadi sungusungu tunaweza kumaliza vitendo vya kiahilifu katika maeneo yetu ya bila kutegemea hata jeshi la polisi…

4 February 2025, 12:00 pm
Wananchi jifunzeni kuhusu haki zenu za kisheria–Mahumbuga
Wananchi wanapaswa Kujifunza na kuelewa haki zao za Kisheria ili waweze kushiriki kikamilifu katika Mchakato wa haki na Dira ya Maendeleo hii itajenga Uwajibikaji kwa taasisi na wadau wa kutoka Haki -“Mhe Martha Mahumbuga” Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya…

4 February 2025, 11:19 am
Maswa:kesi za mirathi,ardhi na ndoa zatawala wiki ya sheria
‘‘Hivi hatuwezi kumaliza migogoro ya ardhi,mirathi na ndoa kwenye jamii zetu sheria zinasemaje kwa mtu ambaye atafanya kesi za aina kama hiyo kama changamoto ni sheria zetu basi tuziboreshe na kama ni elimu ndogo ya kisheria kwa wananchi wetu vyombo vinavyohusika…

24 January 2025, 7:40 pm
Maswa: Mtoto wa miaka 4 afariki kwa kushambuliwa na fisi
“Matukio ya fisi kuvamia na kushambulia wananchi hadi kupoteza maisha hatuwezi kuyaacha tu yaendelee lazima tuone namna nzuri ya kushughulikia ili kuondoa maswali mengi kwa wananchi kujiona kama wao wametengwa katika usalama na ulinzi “. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa…