26 September 2021, 11:15 am

40% ya vifo vya watoto hutokana na watoto kuzaliwa njiti

Imeelezwa  kuwa  asilimia  Arobaini  ya  vifo  vya  Watoto  nchini  vinatokana   na  watoto  kuzaliwa  kabla   ya  siku  zao   (Njiti). Hayo  yamesemwa  na  Mwenyekiti  wa  Kamati  ya  Kudumu   ya  Bunge  ya  Huduma  na  maendeleo  ya  Jamii  na  Mbunge  wa  Jimbo  la  Maswa …

Play internet radio

Recent posts

18 February 2026, 10:41 am

Watatu wanusurika kufa moto kufuatia nyumba kuungua Bariadi

“Kuna majanga ambayo hanaweza kuzuilika kama tu tukiwa na utamaduni wa kuangalia mara kwa mara mfumo wa umeme wa majumbani ili kutatua changamoto za kuunguliwa kwa nyumba.” Na,Daniel Manyanga  Watu watatu wa mtaa wa Kidinda wilayani Bariadi mkoani Simiyu wamenusurika…

17 February 2026, 3:45 pm

Baraza la madiwani Maswa lapitisha bil. 51 mwaka 2026/27

“Tunahitaji kuona miradi inayotekelezwa iwaguse moja kwa moja wananchi katika kuleta maendeleo kwenye maeneo yao ili kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja kutokana na shughuli anayoifanya”. Na,Daniel Manyanga  Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu…

16 February 2026, 1:14 pm

Maji ya kemikali ya kiwandani yaleta taaruki kwa wakazi wa Isanga

“Kwani sheria zetu zipo kwa ajili ya kumuhukumu nani kama kuna watu hadi leo wanatumia vibaya mamlaka na utajiri wao kuwaumiza wananchi wengine ambao hata hawana wanalolijuwa juu ya utajiri wako .” Na,Daniel Manyanga  Hali ya wasiwasi na hofu kubwa…

13 February 2026, 3:21 pm

Wandishi wa habari waombwa kuwa sehemu ya mabadiliko ya tabianchi

“Tunamatumaini makubwa kutoka kwenu ya kuleta chachu ya mabadiliko ya tabianchi jamii ifahamu madhara yake na namna ya kukabiliana na mabadiliko hayo”. Na,Anita Balingilaki Mabadiliko ya tabianchi ambayo yamekuwa chanzo kikubwa  cha kusababisha mafuriko na ukame kwenye maeneo mbalimbali yanatajwa…

13 February 2026, 12:52 pm

Zaidi bilioni 39 zapitishwa kwa matumizi mwaka wa fedha 2026/27 Bariadi DC

“Hatutakuwa na uvumilivu kwa watendaji wazembe ambao watakuwa sehemu ya kukwamisha ukusanyaji wa mapato ya halmashauri tunataka ufanisi zaidi katika kukusanya mapato ili kurahisisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi”. Na,Daniel Manyanga  Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya…

5 February 2026, 8:18 pm

Paulo Bunga wa Malita auliwa na mamba mto Simiyu

“Maendeleo bila watu hayo siyo maendeleo katika kujenga nchi yetu lazima kwanza tuhakikishe usalama wa wananchi maana hawa ndiyo walipa kodi za maendeleo ya taifa ukiona nchi inauchumi imara nyuma yake kuna watu na siyo wanyama”. Na,Daniel Manyanga  Mtoto mmoja…

3 February 2026, 9:09 am

Ofisi ya DC Maswa yaunda kamati ya kusikiliza  migogoro ya wananchi

Utawala wa sheria ndio nguzo muhimu katika kuleta Ustawi na  Maendeleo kwa Nchi, hivyo Mahakama ina mchango mkubwa ” Enos Missana Ofisi ya  Mkuu  wa  Wilaya ya Maswa, Mkoani  Simiyu  imeunda  kamati  maalumu  kwa ajili ya kusikiliza na kutatua  kero na  Migogoro mbalimbali ili…

26 January 2026, 2:13 pm

Maswa yatapakaa uchafu, wajumbe wacharuka

Mji wetu wa Maswa ni mkubwa unahitajika usafi wa mara kwa mara, unapoitoa treka site hasa kipindi hiki cha mvua tunaweza kusababisha mlipuko wa magonjwa yanayotokana na uchafu wa mazingira- “Caroline shayo Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo Maswa” Wajumbe…

21 January 2026, 5:58 am

DC Simalenga awa mbogo kwa wazazi wasiopeleka watoto shule

“Elimu ni urithi pekee kwa mwanadamu ambao huwezi kupokomywa na mtu yeyote lakini pia kwa dunia ya sasa usipokuwa na elimu walau kidogo ni ngumu sana kufanikiwa maana siku hizi kila kitu kinahitaji elimu hivyo tuwapeleke watoto wakapate elimu maana…

20 January 2026, 12:26 pm

34% ya vifo nchini ni magonjwa yasiyoambukiza

“Tuweni na tabia ya kupima afya zetu mara kwa mara ili kuweza kujuwa hali zetu katika kukabiliana na changamoto zozote za kiafya hali hii itasaidia sana kupunguza magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama kisukari,presha na mengine”. Na,Daniel Manyanga  Asilimia 34 ya…

14 January 2026, 8:04 pm

Anamringi: Zimamoto washirikishwe kabla ya ujenzi wa majengo kuanza

“Tunahitaji kumaliza au kupunguza majanga ya moto kuunguza nyumba elimu pekee tu haitoshi lazima sasa tuweke mashariti magumu kidogo lakini kwa manufaa ya badae tunaweza kujenga majengo bila ushauri wa jeshi la zimamoto na uokoaji ni muda sasa wa kubadilika…

12 January 2026, 3:36 pm

Kilimo cha umwagiliaji mkombozi mwenye tija Simiyu

“Haiwezekani kila kukicha wakandarasi wazama kuilalamikia serikali kutowapatia miradi na badala yake wanawapatia tu wageni swali tu dogo ni lini wakandarasi hao wameomba na hawakupata je vigezo wanatimiza na wanatekeleza kwa ubora bila ya kuwa chenga chenga.” Na,Daniel Manyanga  Naibu…

12 January 2026, 1:45 pm

Wabunge Simiyu walia na ubovu wa miundombinu ya barabara

“Ndiyo kusema wakandarasi wanaojenga barabara za lami hawajui ni aina gani ya magari yanayotakiwa kutumia hiyo miundombinu au ndiyo kusema wanatimiza wajibu tu maana haiwezekani kila baada ya muda mchache tunaanza kuweka viraka hata barabara haijamaliza hata mwaka mmoja hapa…

12 January 2026, 12:50 pm

Mil. 253 kuanzisha mashamba darasa 300 ya malisho nchini

“Kufuga mifugo siyo kufungo tunataka kuwaona wafugaji waone faida ya kuitwa mfugaji lazima sasa tutoke huko tuanze kufuga kwa tija ili waweze kuendesha maisha yao mazuri na familia zao ikiwemo elimu nzuri kwa watoto wao ,makazi mazuri .” Na,Daniel Manyanga …

18 December 2025, 12:34 pm

Jela miezi 9 kwa kuua kwa maneno baba yake Itilima

“Vijana vijana vijana nawaita mara tatu tafuteni mali zenu za halali kwa kutoa nguvu, akili, uwezo uliopewa na Mungu achaneni kuanza kutamani urithi angali wazazi wako bado wapo hai hapo ni kuliaibisha kundi la vijana taifa la leo na kesho…

15 December 2025, 10:22 pm

Hospitali ya BARIKIWA yaleta burudani kwa wakazi wa Maswa

Kwa sasa mpira ni ajira hivyo vijana mcheze kwa malengo kwa kujituma na nidhamu ili mfikie malengo yenu ya kucheza mbali zaidi, Lakini pia nikupongeze sana Mkurugenzi wa Hospitali ya Barikiwa kwa kutekeleza azma ya serikiali kuhusu Ushirikiano na sekta…

24 November 2025, 11:41 am

Wananchi Maswa wajitokeza kuchangia damu, watoa wito kwa jamii

Mahitaji ya damu katika Hospitali ya wilaya yetu ni makubwa ukilinganisha na upatikanaji wake, hivyo natoa wito kwa jamii kujitokeza kuchangia damu ili kuokoa maisha ya watanzania wenzetu. ” Peter Shimba Mratibu wa damu salama hospitali ya wilaya ya Maswa…

21 November 2025, 12:45 pm

ASP Abdallah maafisa usafirishaji jiepusheni na maandamano

“Amani ya nchi ndiyo msingi wa maendeleo katika taifa lolote lile amani ikikosekana hapo maendeleo hakuna maana hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kufanya shughuli za uchumi muda huo anawaza kukimbia machafuko mfano mzuri tu angalia miji kama Goma,Kivu ni miji…

Sibuka Media Profile

Establishment  

Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.

The Objective  

To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments. 

Region Coverage(Sibuka Fm)

 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex

National Coverage (Sibuka Fm) 

Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than  5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex