Sibuka FM
Sibuka FM
14 June 2025, 12:00 pm

Huduma za Afya zilivyoboreshwa katika Zahanati ya Bulima iliyopo Wilaya ya Kishapu Mkoa wa Shinyanga baada ya Wananchi Kuibua changamoto za Uhaba wa Watumishi, Masuala ya wagonjwa kuombwa Rushwa na Lugha chafu zilizokuwa zinatolewa na Watoa Huduma kwa Wagonjwa. Baadae Mwaka mmoja changamoto hizo zilitatuliwa
Na Nicholaus Machunda