26 September 2021, 11:15 am

Asilimia 40% ya vifo vya Watoto nchini vinatokana na watoto kuzaliwa&…

Imeelezwa  kuwa  asilimia  Arobaini  ya  vifo  vya  Watoto  nchini  vinatokana   na  watoto  kuzaliwa  kabla   ya  siku  zao   (Njiti). Hayo  yamesemwa  na  Mwenyekiti  wa  Kamati  ya  Kudumu   ya  Bunge  ya  Huduma  na  maendeleo  ya  Jamii  na  Mbunge  wa  Jimbo  la  Maswa …

Offline
Play internet radio

Recent posts

21 November 2025, 12:45 pm

ASP Abdallah maafisa usafirishaji jiepusheni na maandamano

“Amani ya nchi ndiyo msingi wa maendeleo katika taifa lolote lile amani ikikosekana hapo maendeleo hakuna maana hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kufanya shughuli za uchumi muda huo anawaza kukimbia machafuko mfano mzuri tu angalia miji kama Goma,Kivu ni miji…

19 November 2025, 11:00 am

DC Maswa ataka uzalendo kwa watumishi wa umma

“Kwa nini kila kukicha tunaimba uzalendo uzalendo kwa watumishi wa umma nini kimekosekana mpaka tunaanza kukumbushana kwani wao hawajui maana ya neno la uzalendo au wao wanalijuwa kulisoma tu lakini kwenye vitendo ni hakuna ukiona hivyo juwa kuna kitu hakipo…

18 November 2025, 12:25 pm

DC Anney watumishi wa halmashauri tunzeni jengo

“Uzuri wa jengo kipya la makao makuu ya halmashauri ya wilaya ya Maswa ukatoe utendaji mzuri kwa watumishi wa umma katika kuwahudumia wananchi ili kutoa tafsiri sahihi ya uzuri wa jengo na kuleta tabasamu kwa wakazi wa wilaya”. Na,Daniel Manyanga …

11 November 2025, 11:23 am

DC Anney watumishi wa afya fanyeni kazi kwa weledi

“Hakuna maendeleo ya vitu bila watu ndiyo maana sasa duniani kote wanapambana sana kuleta ustawi wa afya za watu wakijuwa kabisa kwamba watu wakiwa na afya imara hata uchumi nao utakuwa kwa kasi kwa sababu tu wananchi wake wako na…

11 November 2025, 10:43 am

Kondoo, mbuzi 33 wauliwa na chui Mkoani Simiyu

“Tulianza na matukio ya  Fisi kushambulia mifugo ya wananchi katika baadhi ya maeneo mkoani Simiyu na sasa hivi Chui nao wanapita mule mule kuwatia hasara wananchi kwa akili yangu tu ndogo najiuliza hizi hasara nani anazilipa maana kama kuna mamlaka…

26 October 2025, 3:30 pm

Makundi maalumu kupewa kipaumbele Uchaguzi mkuu

Siku ya uchaguzi tarehe 29 mwezi Oktoba 2025, nawasihi wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa vituo mkatoe vipaumbele kwa makundi maalumu ya watu wenye ulemavu, wazee, wajawazito na akina mama wanaonyonyesha “Julius Ikongora John Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Maswa” Na…

25 October 2025, 3:16 pm

Makarani 792  wa Uchaguzi Maswa wapewa Somo

Makarani  waongozaji  wapiga  Kura  katika  Jimbo la  Maswa  Mashariki na Jimbo la  Maswa Magharibi wameaswa  kuzingatia  Kanuni, Miongozo  na  Sheria  za  Uchaguzi   zilizotolewa na Tume Huru ya  Taifa ya Uchaguzi  ili kuepuka  migogoro isiyokuwa ya lazima Nasaha  hizo zimetolewa  na …

23 October 2025, 5:10 pm

Zaidi ya milioni 156 zimetolewa kwa wajasiliamali Itilima

“Tunataka kuwa na wananchi wenye uchumi himilivu katika taifa hili ili kusaidia kupunguza umasikini uliokithili,kupunguza vifo vitokanavyo na watu kukosa pesa ya kujikimu kimatibabu ikuwa pamoja na kuondoa changamoto ya wimbi la watoto mitaani”.  Na,Daniel Manyanga  Zaidi ya milioni 156…

22 October 2025, 2:46 pm

Leseni ya udereva, Paspoti na NIDA kumchagua kiongozi

“Kuchagua kiongozi unayemtaka ni takwa la kikatiba katika kuleta maendeleo kwenye eneo husika ndiyo maana sasa unapofika uchaguzi tunawataka wananchi waweze kuitumia hiyo haki ya kuchagua kiongozi wamtakao wenyewe”. Na,Daniel Manyanga  Wilayani Maswa mkoani Simiyu imeelezwa kuwa wale wote waliopoteza…

21 October 2025, 8:39 pm

Magumba wa Lali jela miaka 30 kwa kubaka mwanae

“Jamii inahitaji sasa elimu ya hali ya juu ya kulinda tamaa za kimwili maana pamoja na kuwa na sheria kali zilizotungwa lakini bado tu jamii inafanya vitendo vya ukatili kwa watoto.”  Na,Daniel Manyanga  Mahakama ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu…

20 October 2025, 9:02 pm

DC Maswa wezi wa vifaa vya trekta kupandishwa kotini

“Kuna misemo huko mtaani kuwa mali ya serikali haina mwenyewe nataka kuwaambia kuwa haya matrekta mwenyewe yupo ukifanya unavyojuwa wewe tutakuchukulia hatua kali za kisheria”.  Na,Daniel Manyanga  Mkuu wa wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, Dkt.Vicent Naano Anney ameitaka bodi Pamba…

8 October 2025, 8:48 am

DC Anney awaalika wananchi Maswa kupata huduma za kibingwa

Niwapongeze sana Hospitali ya Barikiwa kwa kutekeleza azima ya Serikali ya kusogeza huduma kwa wananchi hivyo niwasihi wananchi wa Maswa na viunga vyake waitumie vyema fulsa hii ya Ujio wa Kambi ya Madaktari Bingwa ” Dkt Vicent Naano Anney Mkuu…

7 October 2025, 2:02 pm

Kaka, dada wa Mandang’ombe jela miaka 20 na 30

“Duniani hapa watu ni wengi lakini binadamu ni wachache na ukishangaa ya hapa duniani basi unabidi pia ushangae ya Mussa Shija na Hollo Shija kuoana hali ya kwamba ni kaka na dada tena mama mmoja na baba mmoja sasa hapa…

Sibuka Media Profile

Establishment  

Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.

The Objective  

To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments. 

Region Coverage(Sibuka Fm)

 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex

National Coverage (Sibuka Fm) 

Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than  5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex