
Recent posts

28 March 2025, 10:11 am
Maswa: Walioshindwa kurejesha mikopo kufikishwa mahakamani
“Hatuwezi kukaa kimya kwa wale ambao walichukua fedha za halmashauri na kwenda kujikwamua kiuchumi lakini linapokuja swala la kurejesha wanaingia mitini haiwezekani halmashauri ibane matumizi kwa ajili ya mikopo halafu watu wasirudishe ifike sehemu wajuwe hizi ni fedha za walipa…

27 March 2025, 9:28 am
Mil.173.6 zatolewa kwa vikundi vya uzalishaji mali wilayani Maswa
Lengo la Mikopo hii ni kuwakomboa watanzania kiuchumi na hivyo muwe waaminifu katika Marejesho ya Mikopo yenu mliyopewa ili watanzania wengine waendelee kukopa na siyo kwenda kunywea Pombe na kununua Vitenge “Dc Maswa Dkt Vicent Naano “ Zaidi ya shilingi …

20 March 2025, 6:03 pm
Maswa: Wananchi meno 32 nje baada yakufikiwa na mradi wa maji
Serikali kupitia Wizara ya Maji imeendea na adhima yake ya kuhakikisha inamtua mwanamke ndoo kichwani kwakuhakikisha inasogeza kuduma ya maji kwa wananchi. Na,Alex Sayi-Maswa Simiyu Wananchi na wakazi wa kijiji cha Ipililo kata ya Ipililo wilayani Maswa Mkoani Simiyu wameishukuru…

20 March 2025, 1:23 pm
DC Gidarya: Wananchi wa Ipililo tunzeni huu mradi wa maji
Baada ya Serikali kujenga Mradi na kuukadhi kwenu, Jukumu la kuulinda na Kuutunza ni lakwenu wananchi wenyewe , hivyo niwaomba wananchi wa Ipililo lindeni miundombinu ya Maji katika Mradi huu, asitokee mwananchi mmoja akaja kukata mabomba halafu nyie mnamuangalia tu.…

20 March 2025, 12:21 pm
DC Gidarya awafunda CWT Maswa, awataka wasitengenezeane ‘ajali’
Nendeni mkasimamie haki na Stahiki za walimu wenzenu huko vijijini, kuna walimu wengi wananyanyasika na kudhurumiwa haki zao nyie viongozi mkawe chachu na siyo kikwazo na Kuwanyanyasa wenzenu walio chini yenu. ” Dc Anna Gidarya” Kaimu Mkuu wa Wilaya ya …

19 March 2025, 4:55 pm
IPOSA yatajwa kuwakwamua vijana kiuchumi mkoani Simiyu
‘‘Aliyesema kuwa elimu ni ufunguo wa maisha ni kweli hakukosea ndiyo tunawatu wengi sana ambao hawakuweza kupata elimu ndani ya mfumo rasmi lakini haimaanishi kuwa watu hawa wasiweze kupata fursa ya elimu hata ya ufundi stadi ili kuondoa utegemezi kwenye…

18 March 2025, 9:20 pm
Wanafunzi mabalozi wazuri wa usalama barabarani Bariadi
“Elimu ya usalama barabarani bado haikwepeki hivyo mamlaka husika zinao wajibu wa kutoa elimu hasa kwa makundi ambayo yanaweza kuwa msaada mkubwa wa kufikisha elimu kwa jamii kubwa”. Na, Daniel Manyanga Katika kuhakikisha ajali za barabarani zinaisha au kupungua mkoani…

13 March 2025, 1:04 pm
Bariadi: Chifu wa Kilulu jela miaka 20, viboko 12 kwa kumiliki fisi
“Je sheria zetu zinasemaje mtu mpaka kuanza kumiliki nyara za serikali bila kuwa na kibali chochote kutoka kwa mamlaka za uhifadhi wanyamapori huyo mnyama mpaka anaanza kumilikiwa je ! mamlaka za uhifadhi tulikuwa wapi kuzuia vitendo hivyo ni fikra zangu…

12 March 2025, 6:07 pm
Madereva wa magari madogo ya abiria wagoma kufanya usafirishaji Bariadi
“Hoja za madereva wa daladala mkoa wa Simiyu naomba zisikilizwe maana kuna hoja kubwa sana ni kweli serikali yangu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania imejenga stund tena nzuri kweli ya kisasa lakini sasa hatuwezi kuwachanganya hawa tunaenda kuua biashara…

12 March 2025, 12:19 pm
Masunga, Daudi jela miaka 5 kwa wizi wa nguruwe wilayani Maswa
“Hatuwezi kuendelea kuona watu ambao wanapambana katika kujikwamua kiuchumi kwa kufanya shughuli mbalimbali wanarudishwa nyuma na watu ambao hawana nia njema ya kujenga uchumi wa mtu mmoja mmoja hadi Taifa kwa ujumla lazima tuwajibishane kwa kufuata sheria ili kukomesha tabia…

3 March 2025, 12:36 pm
Maswa:Halmashauri maswa yazindua mnada mpya
Halmashauri Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeendelea na adhima yake ya kuhakikisha inaongeza ukusanyaji wa mapato kwa kuanzisha vyanzo vipya vya mapato kwa lengo la kuharakisha maendeleo Wilayani hapo Na, Alex Sayi-Maswa Simiyu. Halmashauri wilayani Maswa mkoani Simiyu imeanzisha gulio na…

2 March 2025, 6:38 pm
Maswa:wajawazito (400-450)hujifungua ndani ya mwezi mmoja
Jamii Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeaswa kujenga tabia ya kuwatembelea wajawazito na wazazi wanaojifungua ili kusaidia mahitaji muhimu ya uzazi kwa wazazi hao. Na,Alex Sayi Maswa-Simiyu Uongozi wa Hospitali ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu umebainisha kuwa ndani ya mwezi…

2 March 2025, 11:16 am
Mnada mpya wazinduliwa Maswa, Watajwa kuongeza Mapato ya Halmashauri
Malengo ya kuanzishwa kwa Mnada huo ni kusogeza huduma kwa Ukaribu ya uuzaji wa Mifugo, Upatikanaji wa Mahitaji mbalimbali ya kila siku kwa Wananchi wa Wigelekelo na maeneo jirani pamoja na kuongeza wigo wa Ukusanyaji wa Mapato katika Halmashauri Na…

26 February 2025, 11:46 am
DC Maswa asisitiza ushirikiano kwa watumishi wa umma
DC mpya Wilayani Maswa Mkoani Simiyu awataka watumishi na watendaji kutafsiri maono ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa vitendo,hali itakayoisaidia Wilaya hiyo kupiga hatua za kimaendeleo. Na,Paul Yohana-Maswa-Simiyu Mkuu mpya wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Dkt,Vincent…

26 February 2025, 10:34 am
DC mpya Maswa atoa angalizo kwa watumishi wazembe
Watumishi wilayani Maswa mkoani Simiyu wakumbushwa kuwajibika kwa weledi ili kuendana na kasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na,Alex Sayi-Maswa Simiyu Mkuu mpya wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Dkt, Vincent Anney amewakumbusha watumishi Wilayani hapa kuhakikisha…

25 February 2025, 6:17 pm
Maswa mbioni kuzalisha chaki zitakazouzwa nchi nzima
Kiwanda cha kuzalisha chaki kilichopo wilayani Maswa mkoani Simiyu mbioni kuzalisha chaki zitakazokuwa mwarobaini kwa mahitaji ya chaki nchini kwa shule za msingi na sekondari. Na, Alex Sayi Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu iko mbioni kuanza uzalishaji wa…

24 February 2025, 3:51 pm
TRA mkoa wa Simiyu yakusanya bilioni 14.2 kwa miezi sita
‘‘Hakuna mtu yeyote atakayetoka nje ya nchi kuja hapa nchini kwetu kutuambia namna bora ya kulifanya taifa letu liweze kusonga mbele katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ili kufikia malengo mama ya taifa kama sisi wenyewe hatutaweza kulipa kodi kwa…

19 February 2025, 8:30 pm
Simiyu:Chatanda viongozi wanawake tendeni haki bila kujali vyama
“Uongozi siyo kupiga kelele ni kuleta mabadiliko chanya katika eneo lako la kiutawala kama kuna changamoto zozote zile kwa wananchi tuanataka utuambie umefanya nini kuzitatua hizo shida ili jamii iseme kweli hapa tunakiongozi na siyo msindikizaji viongozi”. Na, Daniel Manyanga …

16 February 2025, 10:52 pm
Serikali kuimarisha kilimo cha pamba Simiyu
Na Nicholaus Machunda Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Mhe. Kassim Majaliwa amesema kuwa serikali imejiimarisha katika kuinua zao la pamba ili …

15 February 2025, 12:40 pm
Stakabadhi ghalani yarudisha thamani kwa wakulima Maswa
‘‘Kilimo ni moja wapo ya sekta ambayo imeajiri watu wengi sana na nimuhimu sana katika ujenzi wa taifa maana hatuwezi kuwa na uchumi imara wakati watu wake wanalia njaa hiyo siyo ajenda ya taifa lazima wakulima tuwalinde na kuwapa thamani…