24 February 2026, 11:38 am

Kituo cha kupozea umeme suluhisho sahihi kwa wakazi wa Simiyu

“Tunahitaji kuwa na umeme wa uhakika ili kuvutia wawekezaji wakubwa kwenye viwanda maana hatuwezi kuwa na wawekezaji wakubwa wakati huo hatuna umeme wetu wa uhakika lazima sasa juhudi zifanyike kwa namna yoyote ile”. Na,Daniel Manyanga  Wakazi wa mkoa wa Simiyu…

Offline
Play internet radio

Recent posts

18 March 2026, 4:43 pm

TANROADS Simiyu waanza ujenzi wa barabara ya heavy weight

“Tunahitaji kuwa na miundombinu imara ya barabara ili kulinda usalama wa vyombo vya usafiri pamoja na watumiaji wake maana siku hizi kelele zimekuwa nyingi sana kutoka kwa watumiaji wa barabara juu ya ubovu wake na namna ambavyo unachangia kuhari vyombo…

17 March 2026, 1:22 pm

RC Macha amaliza mgogoro wa fidia kwa wananchi

“Ni kweli hakuna mtu asiyependa maendeleo ya nchi yake kila wananchi anatamani kuona miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa wingi bila changamoto zozote zile za kimaslahi kwa wale wanaopaswa kulipwa fidia zao kutokana na kupisha miradi hiyo katika maeneo hayo”. Na,Daniel…

17 March 2026, 6:19 am

RC Macha ataka elimu ya matumizi ya barabara

“Mkuu wa mkoa wa Simiyu Anamringi Macha ameagiza watu wote wanoharibu miundombinu ya barabara kwa namna mbalimbali ikiwemo kupitisha mifugo kwenye barabara za lami mkoani humo wapatiwe elimu juu ya matumizi ya barabara na baada ya kuelemishwa wale wote watakaoendelea kufanya shughuli zinazoharibu miundombinu…

16 March 2026, 7:13 am

DC Simalenga ahimiza wajawazito kuhudhuria kliniki

“Twendeni kliniki mara kwa mara kwenye vituo vyetu vya afya wakinamama wajawazito ili kujuwa hali zenu za mimba na namna ya kuwasaidia wakati wa kujifungua ili kupunguza changamoto zinazoweza kutokea wakati wa kujifungua.” Na Daniel Manyanga  Mkuu wa Wilaya ya…

11 March 2026, 2:21 pm

DC Anney atangaza msako kwa wadaiwa sugu wa mikopo ya 10%

“Hatuwezi kupoteza fedha za walipa kodi kwa watu wasiokuwa waaminifu wanaokuja kwa kuomba mikopo kwenye halmashauri zetu wanapewa ikifika wakati wa marejesho wanaingia mitini lazima tuwe na sheria kali katika kulinda kodi za wananchi kwa ajili ya maendeleo ya Taifa.”…

24 February 2026, 11:38 am

Kituo cha kupozea umeme suluhisho sahihi kwa wakazi wa Simiyu

“Tunahitaji kuwa na umeme wa uhakika ili kuvutia wawekezaji wakubwa kwenye viwanda maana hatuwezi kuwa na wawekezaji wakubwa wakati huo hatuna umeme wetu wa uhakika lazima sasa juhudi zifanyike kwa namna yoyote ile”. Na,Daniel Manyanga  Wakazi wa mkoa wa Simiyu…

19 February 2026, 1:03 pm

Jeshi la zimamoto na uokoaji lapata mtambo wa kisasa

“Kuna wilaya zingine hazina hata gari la zimamoto la kisasa kama hili lenye uwezo mkubwa wa kubeba tani tano lakini sisi tumepata lazima tukatunze sana huo mtambo ili uwasaidie wananchi panapotokea changamoto ya moto tuweze kuzima ili kuzuia madhara kwa…

18 February 2026, 10:41 am

Watatu wanusurika kufa moto kufuatia nyumba kuungua Bariadi

“Kuna majanga ambayo hanaweza kuzuilika kama tu tukiwa na utamaduni wa kuangalia mara kwa mara mfumo wa umeme wa majumbani ili kutatua changamoto za kuunguliwa kwa nyumba.” Na,Daniel Manyanga  Watu watatu wa mtaa wa Kidinda wilayani Bariadi mkoani Simiyu wamenusurika…

17 February 2026, 3:45 pm

Baraza la madiwani Maswa lapitisha bil. 51 mwaka 2026/27

“Tunahitaji kuona miradi inayotekelezwa iwaguse moja kwa moja wananchi katika kuleta maendeleo kwenye maeneo yao ili kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja kutokana na shughuli anayoifanya”. Na,Daniel Manyanga  Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu…

16 February 2026, 1:14 pm

Maji ya kemikali ya kiwandani yaleta taaruki kwa wakazi wa Isanga

“Kwani sheria zetu zipo kwa ajili ya kumuhukumu nani kama kuna watu hadi leo wanatumia vibaya mamlaka na utajiri wao kuwaumiza wananchi wengine ambao hata hawana wanalolijuwa juu ya utajiri wako .” Na,Daniel Manyanga  Hali ya wasiwasi na hofu kubwa…

13 February 2026, 3:21 pm

Wandishi wa habari waombwa kuwa sehemu ya mabadiliko ya tabianchi

“Tunamatumaini makubwa kutoka kwenu ya kuleta chachu ya mabadiliko ya tabianchi jamii ifahamu madhara yake na namna ya kukabiliana na mabadiliko hayo”. Na,Anita Balingilaki Mabadiliko ya tabianchi ambayo yamekuwa chanzo kikubwa  cha kusababisha mafuriko na ukame kwenye maeneo mbalimbali yanatajwa…

13 February 2026, 12:52 pm

Zaidi bilioni 39 zapitishwa kwa matumizi mwaka wa fedha 2026/27 Bariadi DC

“Hatutakuwa na uvumilivu kwa watendaji wazembe ambao watakuwa sehemu ya kukwamisha ukusanyaji wa mapato ya halmashauri tunataka ufanisi zaidi katika kukusanya mapato ili kurahisisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi”. Na,Daniel Manyanga  Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya…

5 February 2026, 8:18 pm

Paulo Bunga wa Malita auliwa na mamba mto Simiyu

“Maendeleo bila watu hayo siyo maendeleo katika kujenga nchi yetu lazima kwanza tuhakikishe usalama wa wananchi maana hawa ndiyo walipa kodi za maendeleo ya taifa ukiona nchi inauchumi imara nyuma yake kuna watu na siyo wanyama”. Na,Daniel Manyanga  Mtoto mmoja…

3 February 2026, 9:09 am

Ofisi ya DC Maswa yaunda kamati ya kusikiliza  migogoro ya wananchi

Utawala wa sheria ndio nguzo muhimu katika kuleta Ustawi na  Maendeleo kwa Nchi, hivyo Mahakama ina mchango mkubwa ” Enos Missana Ofisi ya  Mkuu  wa  Wilaya ya Maswa, Mkoani  Simiyu  imeunda  kamati  maalumu  kwa ajili ya kusikiliza na kutatua  kero na  Migogoro mbalimbali ili…

26 January 2026, 2:13 pm

Maswa yatapakaa uchafu, wajumbe wacharuka

Mji wetu wa Maswa ni mkubwa unahitajika usafi wa mara kwa mara, unapoitoa treka site hasa kipindi hiki cha mvua tunaweza kusababisha mlipuko wa magonjwa yanayotokana na uchafu wa mazingira- “Caroline shayo Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo Maswa” Wajumbe…

21 January 2026, 5:58 am

DC Simalenga awa mbogo kwa wazazi wasiopeleka watoto shule

“Elimu ni urithi pekee kwa mwanadamu ambao huwezi kupokomywa na mtu yeyote lakini pia kwa dunia ya sasa usipokuwa na elimu walau kidogo ni ngumu sana kufanikiwa maana siku hizi kila kitu kinahitaji elimu hivyo tuwapeleke watoto wakapate elimu maana…

20 January 2026, 12:26 pm

34% ya vifo nchini ni magonjwa yasiyoambukiza

“Tuweni na tabia ya kupima afya zetu mara kwa mara ili kuweza kujuwa hali zetu katika kukabiliana na changamoto zozote za kiafya hali hii itasaidia sana kupunguza magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama kisukari,presha na mengine”. Na,Daniel Manyanga  Asilimia 34 ya…

14 January 2026, 8:04 pm

Anamringi: Zimamoto washirikishwe kabla ya ujenzi wa majengo kuanza

“Tunahitaji kumaliza au kupunguza majanga ya moto kuunguza nyumba elimu pekee tu haitoshi lazima sasa tuweke mashariti magumu kidogo lakini kwa manufaa ya badae tunaweza kujenga majengo bila ushauri wa jeshi la zimamoto na uokoaji ni muda sasa wa kubadilika…

Sibuka Media Profile

Establishment  

Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.

The Objective  

To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments. 

Region Coverage(Sibuka Fm)

 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex

National Coverage (Sibuka Fm) 

Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than  5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex