Recent posts
26 January 2026, 2:13 pm
Maswa yatapakaa uchafu, wajumbe wacharuka
Mji wetu wa Maswa ni mkubwa unahitajika usafi wa mara kwa mara, unapoitoa treka site hasa kipindi hiki cha mvua tunaweza kusababisha mlipuko wa magonjwa yanayotokana na uchafu wa mazingira- “Caroline shayo Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo Maswa” Wajumbe…
21 January 2026, 5:58 am
DC Simalenga awa mbogo kwa wazazi wasiopeleka watoto shule
“Elimu ni urithi pekee kwa mwanadamu ambao huwezi kupokomywa na mtu yeyote lakini pia kwa dunia ya sasa usipokuwa na elimu walau kidogo ni ngumu sana kufanikiwa maana siku hizi kila kitu kinahitaji elimu hivyo tuwapeleke watoto wakapate elimu maana…
20 January 2026, 12:26 pm
34% ya vifo nchini ni magonjwa yasiyoambukiza
“Tuweni na tabia ya kupima afya zetu mara kwa mara ili kuweza kujuwa hali zetu katika kukabiliana na changamoto zozote za kiafya hali hii itasaidia sana kupunguza magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama kisukari,presha na mengine”. Na,Daniel Manyanga Asilimia 34 ya…
14 January 2026, 8:04 pm
Anamringi: Zimamoto washirikishwe kabla ya ujenzi wa majengo kuanza
“Tunahitaji kumaliza au kupunguza majanga ya moto kuunguza nyumba elimu pekee tu haitoshi lazima sasa tuweke mashariti magumu kidogo lakini kwa manufaa ya badae tunaweza kujenga majengo bila ushauri wa jeshi la zimamoto na uokoaji ni muda sasa wa kubadilika…
12 January 2026, 3:36 pm
Kilimo cha umwagiliaji mkombozi mwenye tija Simiyu
“Haiwezekani kila kukicha wakandarasi wazama kuilalamikia serikali kutowapatia miradi na badala yake wanawapatia tu wageni swali tu dogo ni lini wakandarasi hao wameomba na hawakupata je vigezo wanatimiza na wanatekeleza kwa ubora bila ya kuwa chenga chenga.” Na,Daniel Manyanga Naibu…
12 January 2026, 1:45 pm
Wabunge Simiyu walia na ubovu wa miundombinu ya barabara
“Ndiyo kusema wakandarasi wanaojenga barabara za lami hawajui ni aina gani ya magari yanayotakiwa kutumia hiyo miundombinu au ndiyo kusema wanatimiza wajibu tu maana haiwezekani kila baada ya muda mchache tunaanza kuweka viraka hata barabara haijamaliza hata mwaka mmoja hapa…
12 January 2026, 12:50 pm
Mil. 253 kuanzisha mashamba darasa 300 ya malisho nchini
“Kufuga mifugo siyo kufungo tunataka kuwaona wafugaji waone faida ya kuitwa mfugaji lazima sasa tutoke huko tuanze kufuga kwa tija ili waweze kuendesha maisha yao mazuri na familia zao ikiwemo elimu nzuri kwa watoto wao ,makazi mazuri .” Na,Daniel Manyanga …
18 December 2025, 12:34 pm
Jela miezi 9 kwa kuua kwa maneno baba yake Itilima
“Vijana vijana vijana nawaita mara tatu tafuteni mali zenu za halali kwa kutoa nguvu, akili, uwezo uliopewa na Mungu achaneni kuanza kutamani urithi angali wazazi wako bado wapo hai hapo ni kuliaibisha kundi la vijana taifa la leo na kesho…
15 December 2025, 10:22 pm
Hospitali ya BARIKIWA yaleta burudani kwa wakazi wa Maswa
Kwa sasa mpira ni ajira hivyo vijana mcheze kwa malengo kwa kujituma na nidhamu ili mfikie malengo yenu ya kucheza mbali zaidi, Lakini pia nikupongeze sana Mkurugenzi wa Hospitali ya Barikiwa kwa kutekeleza azma ya serikiali kuhusu Ushirikiano na sekta…
24 November 2025, 11:41 am
Wananchi Wilayni Maswa wajitokeza kuchangia Damu, watoa wito kwa Jamii
Mahitaji ya damu katika Hospitali ya wilaya yetu ni makubwa ukilinganisha na upatikanaji wake, hivyo natoa wito kwa jamii kujitokeza kuchangia damu ili kuokoa maisha ya watanzania wenzetu. ” Peter Shimba Mratibu wa damu salama hospitali ya wilaya ya Maswa…
23 November 2025, 3:07 pm
Mradi wa mabadiliko ya tabia nchi  kuwaneemesha wakulima na wafugaji Simiyu
Tunatoa mafunzo kwa wakulima na wafugaji tuliowachagua kutoka wilaya tofauti za mkoa wa simiyu tunawafundisha namna ya kutunza uoto wa asili na kupanda miti (ngitili ) kwa ajili ya malisho ya mifugo yao.. “Raymond Makanga- SCRP “ Serikali Mkoa wa …
21 November 2025, 8:51 pm
Msimu wa kilimo cha Pamba wazinduliwa Maswa, Dc Anney atoa maagizo
Wataalamu wa kilimo sitaki kuwaona maofisini nataka niwakute mashambani mkiwasaidia wakulima kuzalisha kwa tija ili kuondokana na malalamiko ya kushuka kwa bei ya pamba angalau mkulima azalishe kilo elfu moja kwa ekari Moja ” DC Vicent Naano Anney ” Msimu…
21 November 2025, 12:45 pm
ASP Abdallah maafisa usafirishaji jiepusheni na maandamano
“Amani ya nchi ndiyo msingi wa maendeleo katika taifa lolote lile amani ikikosekana hapo maendeleo hakuna maana hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kufanya shughuli za uchumi muda huo anawaza kukimbia machafuko mfano mzuri tu angalia miji kama Goma,Kivu ni miji…
19 November 2025, 11:00 am
DC Maswa ataka uzalendo kwa watumishi wa umma
“Kwa nini kila kukicha tunaimba uzalendo uzalendo kwa watumishi wa umma nini kimekosekana mpaka tunaanza kukumbushana kwani wao hawajui maana ya neno la uzalendo au wao wanalijuwa kulisoma tu lakini kwenye vitendo ni hakuna ukiona hivyo juwa kuna kitu hakipo…
18 November 2025, 12:25 pm
DC Anney watumishi wa halmashauri tunzeni jengo
“Uzuri wa jengo kipya la makao makuu ya halmashauri ya wilaya ya Maswa ukatoe utendaji mzuri kwa watumishi wa umma katika kuwahudumia wananchi ili kutoa tafsiri sahihi ya uzuri wa jengo na kuleta tabasamu kwa wakazi wa wilaya”. Na,Daniel Manyanga …
11 November 2025, 11:23 am
DC Anney watumishi wa afya fanyeni kazi kwa weledi
“Hakuna maendeleo ya vitu bila watu ndiyo maana sasa duniani kote wanapambana sana kuleta ustawi wa afya za watu wakijuwa kabisa kwamba watu wakiwa na afya imara hata uchumi nao utakuwa kwa kasi kwa sababu tu wananchi wake wako na…
11 November 2025, 10:43 am
Kondoo, mbuzi 33 wauliwa na chui Mkoani Simiyu
“Tulianza na matukio ya Fisi kushambulia mifugo ya wananchi katika baadhi ya maeneo mkoani Simiyu na sasa hivi Chui nao wanapita mule mule kuwatia hasara wananchi kwa akili yangu tu ndogo najiuliza hizi hasara nani anazilipa maana kama kuna mamlaka…
28 October 2025, 11:55 am
INEC : Tunzeni siri za tume msiwe waropokaji kwenye mitandao
Jiepusheni na magroup songozi ya mitandaoni ili msije mkakosea na kutuma huko taarifa pia Jiepusheni na ushabiki wa vyama vya Siasa msije mkaleta tahaluki kwani nyie mnafanya kazi kwa niaba ya Tume huru ya Taifaya Uchaguzi ”Julius Ikongora John “…
28 October 2025, 11:35 am
 Dkt Lugomela ahitimisha kampeni za uchaguzi  kwa kishindo- Maswa
Nimezunguka kata zote 19 za Jimbo la Maswa mashariki nimesikiliza kero na kujionea changamoto mbalimbali hivyo mkinipa ridhaa ya kuwa mbunge wenu nitaenda kuzitatua ” Dkt George Lugomela” Mgombea Ubunge Jimbo la Maswa Mashariki Mkoani Simiyu kupitia chama cha mapinduzi…
26 October 2025, 3:30 pm
Makundi maalumu kupewa kipaumbele Uchaguzi mkuu
Siku ya uchaguzi tarehe 29 mwezi Oktoba 2025, nawasihi wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa vituo mkatoe vipaumbele kwa makundi maalumu ya watu wenye ulemavu, wazee, wajawazito na akina mama wanaonyonyesha “Julius Ikongora John Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Maswa” Na…