26 September 2021, 11:15 am

Asilimia 40% ya vifo vya Watoto nchini vinatokana na watoto kuzaliwa&…

Imeelezwa  kuwa  asilimia  Arobaini  ya  vifo  vya  Watoto  nchini  vinatokana   na  watoto  kuzaliwa  kabla   ya  siku  zao   (Njiti). Hayo  yamesemwa  na  Mwenyekiti  wa  Kamati  ya  Kudumu   ya  Bunge  ya  Huduma  na  maendeleo  ya  Jamii  na  Mbunge  wa  Jimbo  la  Maswa …

Play internet radio

Recent posts

26 January 2026, 2:13 pm

Maswa yatapakaa uchafu, wajumbe wacharuka

Mji wetu wa Maswa ni mkubwa unahitajika usafi wa mara kwa mara, unapoitoa treka site hasa kipindi hiki cha mvua tunaweza kusababisha mlipuko wa magonjwa yanayotokana na uchafu wa mazingira- “Caroline shayo Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo Maswa” Wajumbe…

21 January 2026, 5:58 am

DC Simalenga awa mbogo kwa wazazi wasiopeleka watoto shule

“Elimu ni urithi pekee kwa mwanadamu ambao huwezi kupokomywa na mtu yeyote lakini pia kwa dunia ya sasa usipokuwa na elimu walau kidogo ni ngumu sana kufanikiwa maana siku hizi kila kitu kinahitaji elimu hivyo tuwapeleke watoto wakapate elimu maana…

20 January 2026, 12:26 pm

34% ya vifo nchini ni magonjwa yasiyoambukiza

“Tuweni na tabia ya kupima afya zetu mara kwa mara ili kuweza kujuwa hali zetu katika kukabiliana na changamoto zozote za kiafya hali hii itasaidia sana kupunguza magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama kisukari,presha na mengine”. Na,Daniel Manyanga  Asilimia 34 ya…

14 January 2026, 8:04 pm

Anamringi: Zimamoto washirikishwe kabla ya ujenzi wa majengo kuanza

“Tunahitaji kumaliza au kupunguza majanga ya moto kuunguza nyumba elimu pekee tu haitoshi lazima sasa tuweke mashariti magumu kidogo lakini kwa manufaa ya badae tunaweza kujenga majengo bila ushauri wa jeshi la zimamoto na uokoaji ni muda sasa wa kubadilika…

12 January 2026, 3:36 pm

Kilimo cha umwagiliaji mkombozi mwenye tija Simiyu

“Haiwezekani kila kukicha wakandarasi wazama kuilalamikia serikali kutowapatia miradi na badala yake wanawapatia tu wageni swali tu dogo ni lini wakandarasi hao wameomba na hawakupata je vigezo wanatimiza na wanatekeleza kwa ubora bila ya kuwa chenga chenga.” Na,Daniel Manyanga  Naibu…

12 January 2026, 1:45 pm

Wabunge Simiyu walia na ubovu wa miundombinu ya barabara

“Ndiyo kusema wakandarasi wanaojenga barabara za lami hawajui ni aina gani ya magari yanayotakiwa kutumia hiyo miundombinu au ndiyo kusema wanatimiza wajibu tu maana haiwezekani kila baada ya muda mchache tunaanza kuweka viraka hata barabara haijamaliza hata mwaka mmoja hapa…

12 January 2026, 12:50 pm

Mil. 253 kuanzisha mashamba darasa 300 ya malisho nchini

“Kufuga mifugo siyo kufungo tunataka kuwaona wafugaji waone faida ya kuitwa mfugaji lazima sasa tutoke huko tuanze kufuga kwa tija ili waweze kuendesha maisha yao mazuri na familia zao ikiwemo elimu nzuri kwa watoto wao ,makazi mazuri .” Na,Daniel Manyanga …

18 December 2025, 12:34 pm

Jela miezi 9 kwa kuua kwa maneno baba yake Itilima

“Vijana vijana vijana nawaita mara tatu tafuteni mali zenu za halali kwa kutoa nguvu, akili, uwezo uliopewa na Mungu achaneni kuanza kutamani urithi angali wazazi wako bado wapo hai hapo ni kuliaibisha kundi la vijana taifa la leo na kesho…

15 December 2025, 10:22 pm

Hospitali ya BARIKIWA yaleta burudani kwa wakazi wa Maswa

Kwa sasa mpira ni ajira hivyo vijana mcheze kwa malengo kwa kujituma na nidhamu ili mfikie malengo yenu ya kucheza mbali zaidi, Lakini pia nikupongeze sana Mkurugenzi wa Hospitali ya Barikiwa kwa kutekeleza azma ya serikiali kuhusu Ushirikiano na sekta…

21 November 2025, 12:45 pm

ASP Abdallah maafisa usafirishaji jiepusheni na maandamano

“Amani ya nchi ndiyo msingi wa maendeleo katika taifa lolote lile amani ikikosekana hapo maendeleo hakuna maana hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kufanya shughuli za uchumi muda huo anawaza kukimbia machafuko mfano mzuri tu angalia miji kama Goma,Kivu ni miji…

19 November 2025, 11:00 am

DC Maswa ataka uzalendo kwa watumishi wa umma

“Kwa nini kila kukicha tunaimba uzalendo uzalendo kwa watumishi wa umma nini kimekosekana mpaka tunaanza kukumbushana kwani wao hawajui maana ya neno la uzalendo au wao wanalijuwa kulisoma tu lakini kwenye vitendo ni hakuna ukiona hivyo juwa kuna kitu hakipo…

18 November 2025, 12:25 pm

DC Anney watumishi wa halmashauri tunzeni jengo

“Uzuri wa jengo kipya la makao makuu ya halmashauri ya wilaya ya Maswa ukatoe utendaji mzuri kwa watumishi wa umma katika kuwahudumia wananchi ili kutoa tafsiri sahihi ya uzuri wa jengo na kuleta tabasamu kwa wakazi wa wilaya”. Na,Daniel Manyanga …

11 November 2025, 11:23 am

DC Anney watumishi wa afya fanyeni kazi kwa weledi

“Hakuna maendeleo ya vitu bila watu ndiyo maana sasa duniani kote wanapambana sana kuleta ustawi wa afya za watu wakijuwa kabisa kwamba watu wakiwa na afya imara hata uchumi nao utakuwa kwa kasi kwa sababu tu wananchi wake wako na…

11 November 2025, 10:43 am

Kondoo, mbuzi 33 wauliwa na chui Mkoani Simiyu

“Tulianza na matukio ya  Fisi kushambulia mifugo ya wananchi katika baadhi ya maeneo mkoani Simiyu na sasa hivi Chui nao wanapita mule mule kuwatia hasara wananchi kwa akili yangu tu ndogo najiuliza hizi hasara nani anazilipa maana kama kuna mamlaka…

26 October 2025, 3:30 pm

Makundi maalumu kupewa kipaumbele Uchaguzi mkuu

Siku ya uchaguzi tarehe 29 mwezi Oktoba 2025, nawasihi wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa vituo mkatoe vipaumbele kwa makundi maalumu ya watu wenye ulemavu, wazee, wajawazito na akina mama wanaonyonyesha “Julius Ikongora John Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Maswa” Na…

Sibuka Media Profile

Establishment  

Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.

The Objective  

To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments. 

Region Coverage(Sibuka Fm)

 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex

National Coverage (Sibuka Fm) 

Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than  5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex