Sibuka FM
Sibuka FM
7 November 2024, 11:08 am
Matumizi ya nishati safi yakupikia inatajwa kuwa ni mwarobaini wa kukabiliana na uharibifu wa mazingira,huku ikitajwa kuwanufaisha wanawake Mkoani Simiyu kwakuokoa gharama,muda na maradhi yanayotokana na matumizi ya mkaa na kuni Na,Alex Sayi Wanawake na Samia mkoani Simiyu wameaswa kuunga…
7 November 2024, 9:23 am
Wakazi wilayani Maswa Mkoani Simiyu mbioni kunufaika na mikopo ya 10% inayotengwa na Halmashauri kutoka kwenye mapato yake ya ndani baada ya Serikali kusitisha zoezi hilo toka April,2023/2024. Na,Alex Sayi Wanawake na Samia wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamehamasishwa kuchangamkia fursa…
6 November 2024, 5:48 pm
“Uhai ni maji na wanasayansi wanasema robo tatu ya dunia na mwili wa binadamu ni maji kwa kulitambua hilo wananchi waipongeza serikali kwa miradi ya maji”. Na, Daniel Manyanga Wananchi mkoani Simiyu wanaopata maji kwa kusuasua kutokana na kukosa vyanzo …
24 October 2024, 11:04 pm
Jamii ya watanzania imeendelea kukumbushwa kuchukua tahadhari juu ya matukio ya ukatili wa kijinsia,kwakutoa taarifa nakuendelea kuwaelimisha watoto walio majumbani na wanafunzi ili kuwanusuru watoto hao na athari za ukatili wa kijinsia. Na,Alex Sayi. Wanafunzi wa shule ya sekondari Masela…
2 October 2024, 3:33 pm
“Watu kwenda kanisani kuombewa kutokana na changamoto zao siyo dhambi lakini hatuwezi kuwafumbia macho baadhi ya watumishi wa Mungu ambao wanageuka kuwa wachonganishi kama na wao waganga wa kienyeji ambao wanatumia ramli chonganishi, twendeni tukafanye kazi ya Mungu na siyo vinginevyo.”…
29 September 2024, 10:16 am
Niwaombe sana wananchi wa Maswa msikubali kuhamasishwa na watu wenye nia ovu ya kuvuruga na uchochezi ili kuharibu amani kwani amani ikipotea wa kwanza kuumia ni watoto, akina mama na wazee. Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh Kenani Laban Kihongosi…
27 September 2024, 11:06 pm
“Unakuta meme umefika maeneo ya sentani tu halafu sisi tuliopo pembezoni hatupati tunaambiwa tu mradi unaishia hapo kwani sisi wa pembezoni hatustahili kupata huduma ya umeme?“ Wananchi wa kijiji cha Mwakabeya kata ya Ipililo Wilayani Maswa Wamelalamikia Huduma ya Umeme kufika kwenye Senta …
27 September 2024, 8:49 pm
Wananchi wilayani Maswa zipuuzeni taarifa za watoto kutekwa na kutolewa figo, hao ni wapotoshaji tu wenye lengo la kuondoa amani ya taifa letu. Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh Kenani Laban Kihongosi ameonya watu wanaoeneza taarifa za Taharuki za Watoto …
19 September 2024, 5:25 pm
“Katika kuhakikisha madeni yote yanalipwa kwa wadai wote halmashauri ya wilaya ya Maswa imesubiria ripoti ya mkaguzi wa hesabu za ndani ili wenyeviti wapate haki zao”. Na, Daniel Manyanga Wajumbe wa mamlaka ya mji mdogo wa Maswa mkoani Simiyu ambao…
18 September 2024, 4:55 pm
“Mchango wa maendeleo na kupunguza wimbi la ajira umekuwa mkubwa sana kwa Taifa kutokana na baadhi ya vijana kujiajiri wao wenyewe kupitia bodaboda hivyo kujiongezea kipato“. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa wa Simiyu,Kenani Kihongosi ametoa kiasi cha fedha milioni…
16 September 2024, 7:00 pm
“Katika kukabiliana na maafa mbalimbali hapa nchini shirika lisilo la kiserikali la World vision limeendesha mafunzo kwa kamati za maafa ili kuongeza ufanisi wa kiutendaji wakati ,kabla na baada ya maafa”. Na, Daniel Manyanga Kamati za Maafa za wilaya zimetakiwa…
9 September 2024, 5:48 pm
“Uboreshaji wa taarifa katika daftari la kudumu la wapiga kura ndiyo dira halisi na mwanzo wa kupata viongozi bora wanaochaguliwa na wananchi kwa maendeleo ya Taifa letu hivyo hatuwezi kuvumilia vitendo vya kuvuruga zoezi hilo”. Na, Daniel Manyanga Ikiwa leo…
4 September 2024, 4:08 pm
“Uboreshaji wa taarifa katika daftari la kudumu la wapiga kura ni msingi mmoja wapo wa kupata viongozi bora kwa mustakabali wa Taifa letu hivyo ni muhimu kushiriki zoezi hilo.” Na , Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu…
1 September 2024, 6:11 pm
Na Nicholaus Machunda Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru Mkoa wa Simiyu imefanikiwa kurejesha furaha ya Wananchi wa Wilaya Itilima baada ya kufuatilia Mradi wa Maji katika kijiji cha Ng’wang’wita uliotoa Huduma ya Maji kwa Mwezi mmoja tu …
29 August 2024, 8:13 pm
Kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu 2025,Tume huru ya taifa ya uchaguzi imeendelea na zoezi la utoaji wa mafunzo kwa maafisa waandikishaji ngazi ya jimbo,maafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya jimbo na maafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya kata…
26 August 2024, 5:19 pm
Tume huru ya uchaguzi imewataka wananchi mkoani simiyu kujitokeza kwa wingi kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura, ili wawe na sifa za kushiriki uchaguzi ujao. Akizungumza katika Mkutano huo uliowakutanisha wadau mbalimbali mhe. Jaji mustaafu MBAROUK…
16 August 2024, 11:33 am
Wandzabe walia na Sheria za usimamizi wa wanyama pori na mapori tengefu kuwa zimechangia kuhafifisha usitawi wa jamii hizo na kusababisha hatari ya kutoweka kwa jamii hizo zinayoishi porini. Na,Alex Sayi. Jamii ya kihandzabe imebainisha kuwa kwa miaka nenda rudi…
15 August 2024, 10:40 am
Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamepaza sauti zao na kutoa Maoni juu ya Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2025 – 2050 wakati wa Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya – DCC kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya …
13 August 2024, 10:47 pm
Nicholaus Machunda – Simiyu Mbunge wa Jimbo la Kisesa lililopo wilayani Meatu mkoani Simiyu Mhe. Luhaga Joelson Mpina amekabidhi vifaa vya TEHAMA katika shule tisa za Sekondari jimboni kwake vyenye thamani ya Shilingi Milioni 22. 5 ili kusaidia Utendaji kazi na …
12 August 2024, 7:02 pm
Kufuatia uwepo wa changamoto zinazowakabili watoto wa kike Nchini za kushindwa kumaliza masomo yao kutokana na umbali wa Shule Serikali imendelea na Mpango wake wa kuhakikisha inajenga mabweni kwa ajili ya kuwanusuru watoto hao wa kike. Na,Alex Sayi. Kiongozi wa…
Establishment
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.
Region Coverage(Sibuka Fm)
Radio Sibuka FM hears about 95 percent of the Simiyu region through the frequency of 97.0 MHz from the Maswa district as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex