Sibuka FM
Sibuka FM
17 July 2024, 9:45 pm
“Katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za kijamii serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya sita imeendelea kutekeleza adhima ya kumtua Mama ndoo kichwani kwa vitendo” Na, Daniel Manyanga Zaidi ya billion 1.5 zinatarajiwa kutumika kupeleka huduma ya…
15 July 2024, 9:10 pm
“Katika kurahisisha wananchi wanapata maji safi na salama wakati wote mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Maswa MAUWASA imepokea vifaa vya usafiri ili kuongeza ufanisi wa kiutendaji”  Na, Daniel Manyanga Mamlaka ya maji safi na usafi wa…
11 July 2024, 4:49 pm
“Ujenzi wa mabweni mashuleni watajwa kuwa mwarobaini wa kukabiliana na mimba mashuleni haswa kwa wanafunzi wa kike Ili waweze kutimiza malengo yao” Na, Daniel Manyanga Naibu waziri ofisi ya Rais mipango na uwekezaji ambaye pia ni mbunge wa jimbo la…
10 July 2024, 3:59 pm
“Kupata ukimwi siyo mwisho wa maisha na wala siyo kiama vijana wawili wilayani Bariadi wa jinsia ya kiume na kike ambao ni waathirika wa ukimwi wamezaa mtoto ambaye hana virusi vya ukimwi’’ Na,Daniel Manyanga Watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi…
10 July 2024, 1:03 pm
“Maji ni uhai kwa binadamu lakini wananchi wa wilaya ya Meatu wapo hatarini kupata magonjwa yatokanayo na kutumia maji ya visima na mabwawa wao pamoja na mifugo ’’ Na,Daniel Manyanga Wakazi wa kata ya Mwandoya wilayani Meatu, mkoani Simiyu wameiomba…
6 July 2024, 9:56 am
Kila kabila wana utamaduni wao, wasukuma wana utamaduni wao pia, ni vema kila kabila likaenzi utamaduni wake unasaidia katika Kulinda maadili na kukuza uchumi wa Taifa kupitia Utalii “Dunstan Kitandula ” Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Tamasha la Utali na …
4 July 2024, 10:37 am
Niwapongeze sana RUWASA Mkoa wa Simiyu kwa kazi kubwa mnayofanya ya kumheshimisha Mhe Rais Samia, kwakweli Sekta ya Maji imekuwa na Mageuzi makubwa sana, Niwaombe Mtekeleze miradi kwa Wakati na kwa Ubora ili Wananchi waweze kunufaika ” RC Kihongosi “…
28 June 2024, 10:07 pm
Kutokana na wingi wa mvua zilizonyesha kwa mwaka huu imepelekea bwawa letu la New Sola kuwa na magugumaji mengi pamoja na shughuli za kibinadamu zinazofanyika zimesababisha maji kutokuwa angavu ” Kasimu Kado “ Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira …
28 June 2024, 10:43 am
“Elimu ya kujikinga na majanga kwa jamii inahitajika sana ili kusaidia kupunguza matukio ya moto hasa kwenye taasisi za umma na binafsi matukio ambayo yanatokea kwenye jamii zetu lakini inakosekana elimu ya kuzuia hayo majanga.” Na, Daniel Manyanga Watu wasiojulikana…
26 June 2024, 9:38 am
“Upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama katika maeneo ya vijijini utaongeza uchumi wa familia kutokana na kutumia muda mrefu kutafuta maji hivyo watajikita katika shughuli za kimaendeleo.” Na, Daniel Manyanga Wakala wa maji safi na usafi wa mazingira…
24 June 2024, 1:07 pm
Serikali imeleta fedha nyingi za miradi ya maji vijijini lakini mwitikio wa wananchi kutumia maji ya bomba ambayo ni safi na salama ni mdogo sana na badala yake wanatumia maji ya madimbwi ambayo siyo safi na salama hali inayopelekea kuwavunja…
24 June 2024, 12:33 pm
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe, Kenan Kihongozi ameahidi kuunda tume ya kufuatilia urejeshaji wa mikopo ya 10% kwa vikundi vya wanawake, vijana na makundi maalum inayotolewa na halmashauri ili watanzania wengine waweze kukopa. Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe  …
17 June 2024, 1:21 pm
“Elimu jumuishi kwa watoto na vijana itasaidia sana kupunguza wimbi la watoto mitaani na utegemezi wa ajira kutoka serikalini hivyo tusiogope kuwekeza kwenye elimu jumuishi.” Na Daniel Manyanga Wadau wa maendeleo kwa watoto na vijana wilayani Maswa mkoani Simiyu wameomba…
12 June 2024, 4:20 pm
“Ukatili wa kijinsia umetajwa vyanzo vya matatizo ya kisakolojia kwa wahanga hivyo sheria ziwe na makali kwa mtuhumiwa hali ambayo itaweza kupunguza au kumaliza ukatili.” Na, Daniel Manyanga Mahakama ya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemhukumu, Mboje Paul (28) mkazi…
10 June 2024, 5:47 pm
“Tunaomba sana elimu ya mlipa kodi kwa wafanyabiashara itolewe kwa upana wake na mara kwa mara ili tuweze kulipa kodi kwa hiari hali itakayoweza kujenga urafiki na TRA.” Na, Daniel Manyanga Wafanyabiarasha wa Mji mdogo Malampaka wilayani Maswa mkoani Simiyu…
7 June 2024, 11:15 am
“Msimu ujao wa kilimo hatutaruhusu mkulima yeyote kuchukua mbegu na viatilifu bila kuonesha shamba lake alilolima ili kuondoa wakulima makanjanja katika zao hilo” Na, Daniel Manyanga Serikali wilayani Bariadi mkoani Simiyu imebaini uwepo wa ekari elfu arobaini hewa za zao…
4 June 2024, 5:43 pm
“Serikali bila watu hakuna utakachokifanya hivyo niseme serikali ni watu ndiyo ni kweli tunahitaji mapato kutokana na shughuli za uchimbaji wa madini lakini linapokuja suala la afya za wananchi hakuna umuhimu wa madini.” Na, Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya…
3 June 2024, 5:34 pm
“Migogoro ya ndoa na mipalanganyiko yakimahusiano imeendelea kuwa na athari kwa malezi na makuzi ya mtoto nchini hali inayopelekea watoto wengi kukosa haki zao za msingi.” Na,Daniel Manyanga Wanawake na mabinti wametakiwa kuwaita watoto wao majina halisi ya baba zao…
31 May 2024, 7:16 pm
Utengaji wa bajeti ya ununuzi wa vifaa vya michezo mashuleni utaongeza wanamichezo hivyo kutengeneza ajira nyingi na kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. Na.Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa wa Simiyu Dkt.Yahaya Nawanda ameziagiza halmashauri zote mkoani…
29 May 2024, 3:04 pm
Ukikwepa kulipa kodi maana yake umekubali kuliingizia hasara Taifa lako na kupelekea kudumaza shughuli za kimaendeleo tulipeni kodi kwa hiari kwa kutoa EFD mashine kwa waliokidhi vigezo. Na,Daniel Manyanga Mamlaka ya mapato nchini TRA wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imetoa…
Establishment Â
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.Â
Region Coverage(Sibuka Fm)
 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex