Sibuka FM

Recent posts

13 November 2023, 9:24 am

Serengeti safari marathon kuunga mkono royal tour

Mamia ya watanzania wajitokeza kushiriki mbio za Serengeti Safari Marathon kuunga mkono juhudi za Rais Samia za Royal Tour. Na Alex Sayi Mkuu wa wilaya ya Bunda mkoani Mara Vicent Naano amesema kuwa mbio za Serengeti Marathon zinaendelea kuunga mkono…

1 November 2023, 11:52 am

18 wagundulika na kipindupindu Maswa,  mmoja afariki dunia

Na Nicholaus Machunda Watu  18 wamegundulika  na  ugonjwa  wa  kipindupindu wilayani  Maswa  mkoani  Simiyu  huku  mmoja akifariki dunia  kutokana  na  ugonjwa  huo. Hayo  yamesemwa  na  Mratibu  wa  Elimu  ya  Afya  kwa  Umma   Halmashauri  ya  Wilaya  ya  Maswa  Bi, Salma  Mahizi  wakati …

30 October 2023, 5:19 pm

Rc  Simiyu  aonya  Wanaume  wanaonyemelea  Wanafunzi  wa  Kike  na kukat…

Na Nicholaus Machunda Mkuu  wa  Mkoa  wa  Simiyu  Dkt  Yahaya  Nawanda  amewaonya  Wanaume  wote  wanaotongoza Wanafunzi  na  kuwapatia  Ujauzito   unaopelekea  kukatisha ndoto  zao  za  Masomo. RC   Nawanda  amesema   hayo  katika  Ziara  yake  Wilayani  Maswa  ya  kukagua    Miradi mbalimbali   ya  Maendeleo …

26 October 2023, 5:48 pm

Maswa:Kinamama waaswa kuchangamkia fursa za ufugaji wa samaki

Kinamama toka jamii za wafugaji wameaswa kujiunga na chama cha wafugaji ili waweze kujikwamua kiuchumi. Na Alex Sayi. Chama cha wafugaji Wilayani Maswa Mkoani Simiyu kimetoa wito kwa wanawake wanaoishi kwenye jamii za wafugaji kuchangamkia fursa za ufugaji wa Samaki…

8 October 2023, 9:24 am

CCWT, benki kuingia makubaliano ya kukopesha wakulima, wafugaji

Vijana wasomi nchini wametakiwa kubadili fikra za kuendelea kusubiri kuajiriwa serikalini na badala yake wachangamkie fursa za ajira  zaidi ya 500,000 zilizopo kwenye sekta ya kilimo na ufugaji. Na Alex Sayi Chama Cha Wafugaji Tanzania CCWT kimebainisha kuwa kinaendelea na…

6 October 2023, 7:30 am

Mwashegeshi wamkataa afisa mtendaji wa kijiji

Maafisa watendaji wa kata wilayani Maswa wametakiwa kuitisha vikao vya vitongoji, vijiji na kata vilivyopo kisheria ili kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Na Alex Sayi Maswa Simiyu Wananchi na wakazi wa kijiji cha Mwashegeshi kata ya Nguliguli wamemuomba mkuu…

9 September 2023, 6:50 pm

Wilaya ya Maswa  yaja  na  mkakati  wa  uzalishaji  zao  la  pamba  msi…

Na Nicholaus Machunda Halmashauri  ya  Wilaya  ya  Maswa,  Mkoani  Simiyu  imejipanga  kuja  na  Mbinu  na  Mikakati itakayoongeza  Uzalishaji  wa  zao  la  Pamba  kwa  Msimu  ujao. Hayo  yamesemwa  na  Mkurugenzi  Mtendaji  wa  Halmashauri  ya  Wilaya  ya  Maswa  Ndugu  Maisha Mtipa  wakati …

18 August 2023, 10:05 am

Takukuru  Simiyu  yaokoa  milioni 500 za  mfanyabiashara

TAKUKURU mkoa wa Simiyu imeokoa mamilioni ya fedha za mfanyabiashara ambaye mali zake zingepigwa mnada kwa bei ya kutupwa. Na Nicholaus Machunda Taasisi  ya  Kuzuia  na  Kupambana  na  Rushwa nchini TAKUKURU mkoa  wa  Simiyu  imefanikiwa  kudhibiti  upotevu  wa  zaidi ya  Shilingi …

15 August 2023, 3:30 pm

Maswa: Wafugaji waaswa kushiriki  utunzaji mazingira, vyanzo vya maji

Wafugaji Wilayani Maswa Mkoani Simiyu watakiwa wawe sehemu ya uhifadhi wa mazingira na utunzaji wa vyanzo vya Maji. Na,Alex Sayi. Wafugaji Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wameaswa kushiriki utunzaji wa Mazingira na  vyanzo vya Maji kwa kutokupeleka mifugo  kwenye chanzo kikuu…

11 August 2023, 7:38 pm

Watatu wakutwa wamekufa kwa kunyongwa wakiwemo watoto wawili Itilima

Jeshi la polisi mkoa wa Simiyu linamtafuta mke wa marehemu kufuatia vifo vya watu watatu akiwemo mme wa marehemu na watoto wawili vifo hivyo vimetokana na kunyongwa. Na,Daniel Manyanga Watu watatu wamekutwa wamekufa kwa kujinyonga katika kata ya Kinamweli kijiji…

9 August 2023, 4:03 pm

Wakulima Maswa waaswa kutumia mbegu bora zilizofanyiwa utafiti

Wakulima Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wahamasishwa kutumia mbegu bora zilizofanyiwa utafiti ili kuongeza uzalishaji kwenye sekta ya kilimo. Na,Alex Sayi. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Maisha Mtipa amewaasa Wakulima Wilayani hapa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti ili…

7 August 2023, 12:48 pm

Maswa: Walimu Simiyu kunufaika na mafunzo ya elimu jumuishi

Wizara ya Elimu,Sayansi na Technolojia  kupitia Taasisi ya Elimu Nchini imewawezesha Walimu wapatao (50) kutoka shule za msingi 50 kupata mafunzo ya ufundishaji na ujifunzaji jumuishi. Na,Alex Sayi. Mafunzo hayo yamefanyika kwa muda wa siku 4 ukumbi wa Halmashauri ya…

3 August 2023, 6:26 pm

Shughuli za kibinadamu chanzo uharibifu wa mazingira Maswa

Ongezeko la mifugo na ufugaji wa kienyeji,ukataji miti kwaajili ya ujenzi,kilimo,uchimbaji madini,kuni na mkaa umetajwa kuwa chanzo cha uharibifu wa mazingira. Na,Alex Sayi. Imebainishwa kuwa shughuli za kibinadamu zimeendelea kuchangia uharibifu wa mazingira Wilayani Maswa Mkoani Simiyu. Akizungumza na Radio…

14 July 2023, 11:21 am

Maswa: Ummy afurahishwa uwekezaji binafsi sekta ya afya

Waziri ahamasisha wawekezaji binafisi sekta ya Afya Mkoani Simiyu ili kusaidiana na Serikali huwahudumia wananchi Mkoania hapa. Na,Alex Sayi. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amefurahishwa na uwekezaji binasfi kwenye Sekta ya Afya uliofanywa na mwekezaji binafsi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu.…

14 July 2023, 9:14 am

Mpango uboreshaji matumizi ya ardhi, milki kuondoa  migogoro ya ardhi Masw…

Uboreshaji  Usalama  wa  Milki  za  Ardhi  na  Mpango  wa  Matumizi  bora ya  Ardhi  Wilayani  Maswa, Mkoani  Simiyu  Utaenda  kuondoa  Changamoto  ya  Migogoro ya  Ardhi  kwa  Wananchi Na Nicholaus Machunda Imeelezwa  kuwa  Uboreshaji  Usalama  wa  Milki  za  Ardhi  na  Mpango  wa …

13 July 2023, 4:02 pm

Waziri Ummy: Sitarajii kusikia wananchi wanalalamikia dawa

Serikali mkoani Simiyu kuendelea kuboresha utoaji wa huduma za afya ili kupunguza malalamiko ya wananchi na wagonjwa mkoani hapa. Na Alex Sayi Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa hatarajii kuona wananchi na wagonjwa wakilalamikia uhaba wa dawa  kwa…

10 July 2023, 3:22 pm

Sibuka Fm: Kongole TADIO, Vikes kwa elimu ya kutangaza kidijitali

Waandishi wa habari wa kituo cha Radio Sibuka Fm wamepatiwa mafunzo ya kuandaa na kutangaza habari za mtandao ili kuendana na kasi ya ushindani wa teknolojia, mafunzo yaliyofanyika katika ofisi za Sibuka Fm zilizopo mjini Maswa mkoani Simiyu. Na Nicholaus…

Sibuka Media Profile

Establishment  

Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.

The Objective  

To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments. 

Region Coverage(Sibuka Fm)

 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex

National Coverage (Sibuka Fm) 

Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than  5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex