

13 November 2023, 9:24 am
Mamia ya watanzania wajitokeza kushiriki mbio za Serengeti Safari Marathon kuunga mkono juhudi za Rais Samia za Royal Tour. Na Alex Sayi Mkuu wa wilaya ya Bunda mkoani Mara Vicent Naano amesema kuwa mbio za Serengeti Marathon zinaendelea kuunga mkono…
1 November 2023, 11:52 am
Na Nicholaus Machunda Watu 18 wamegundulika na ugonjwa wa kipindupindu wilayani Maswa mkoani Simiyu huku mmoja akifariki dunia kutokana na ugonjwa huo. Hayo yamesemwa na Mratibu wa Elimu ya Afya kwa Umma Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Bi, Salma Mahizi wakati …
30 October 2023, 5:19 pm
Na Nicholaus Machunda Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt Yahaya Nawanda amewaonya Wanaume wote wanaotongoza Wanafunzi na kuwapatia Ujauzito unaopelekea kukatisha ndoto zao za Masomo. RC Nawanda amesema hayo katika Ziara yake Wilayani Maswa ya kukagua Miradi mbalimbali ya Maendeleo …
26 October 2023, 5:48 pm
Kinamama toka jamii za wafugaji wameaswa kujiunga na chama cha wafugaji ili waweze kujikwamua kiuchumi. Na Alex Sayi. Chama cha wafugaji Wilayani Maswa Mkoani Simiyu kimetoa wito kwa wanawake wanaoishi kwenye jamii za wafugaji kuchangamkia fursa za ufugaji wa Samaki…
8 October 2023, 9:24 am
Vijana wasomi nchini wametakiwa kubadili fikra za kuendelea kusubiri kuajiriwa serikalini na badala yake wachangamkie fursa za ajira zaidi ya 500,000 zilizopo kwenye sekta ya kilimo na ufugaji. Na Alex Sayi Chama Cha Wafugaji Tanzania CCWT kimebainisha kuwa kinaendelea na…
6 October 2023, 7:30 am
Maafisa watendaji wa kata wilayani Maswa wametakiwa kuitisha vikao vya vitongoji, vijiji na kata vilivyopo kisheria ili kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Na Alex Sayi Maswa Simiyu Wananchi na wakazi wa kijiji cha Mwashegeshi kata ya Nguliguli wamemuomba mkuu…
27 September 2023, 8:11 am
Wasichana wapatao (222) Mkoani Simiyu wamefanikiwa kuendelea na masomo yao ya Elimu ya Sekondary Mbadala baada ya kujifungua. Na Alex Sayi Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt,Yahaya Nawanda amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote Mkoani hapa kuhakikisha wanatenga bajeti kwa ajili…
9 September 2023, 6:50 pm
Na Nicholaus Machunda Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, Mkoani Simiyu imejipanga kuja na Mbinu na Mikakati itakayoongeza Uzalishaji wa zao la Pamba kwa Msimu ujao. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndugu Maisha Mtipa wakati …
18 August 2023, 10:05 am
TAKUKURU mkoa wa Simiyu imeokoa mamilioni ya fedha za mfanyabiashara ambaye mali zake zingepigwa mnada kwa bei ya kutupwa. Na Nicholaus Machunda Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU mkoa wa Simiyu imefanikiwa kudhibiti upotevu wa zaidi ya Shilingi …
15 August 2023, 3:30 pm
Wafugaji Wilayani Maswa Mkoani Simiyu watakiwa wawe sehemu ya uhifadhi wa mazingira na utunzaji wa vyanzo vya Maji. Na,Alex Sayi. Wafugaji Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wameaswa kushiriki utunzaji wa Mazingira na vyanzo vya Maji kwa kutokupeleka mifugo kwenye chanzo kikuu…
11 August 2023, 7:38 pm
Jeshi la polisi mkoa wa Simiyu linamtafuta mke wa marehemu kufuatia vifo vya watu watatu akiwemo mme wa marehemu na watoto wawili vifo hivyo vimetokana na kunyongwa. Na,Daniel Manyanga Watu watatu wamekutwa wamekufa kwa kujinyonga katika kata ya Kinamweli kijiji…
9 August 2023, 4:03 pm
Wakulima Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wahamasishwa kutumia mbegu bora zilizofanyiwa utafiti ili kuongeza uzalishaji kwenye sekta ya kilimo. Na,Alex Sayi. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Maisha Mtipa amewaasa Wakulima Wilayani hapa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti ili…
8 August 2023, 7:24 pm
Mahakama ya wilaya ya Itilima imemuhukumu ,Malimi Masunga kwenda jela miaka 30 kwa makosa matatu,Kubaka ,Kumtorosha na kumshawishi kumuoa mwanafunzi chini ya miaka 16. Na,Daniel Manyanga Mahakama ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela, Malimi…
7 August 2023, 12:48 pm
Wizara ya Elimu,Sayansi na Technolojia kupitia Taasisi ya Elimu Nchini imewawezesha Walimu wapatao (50) kutoka shule za msingi 50 kupata mafunzo ya ufundishaji na ujifunzaji jumuishi. Na,Alex Sayi. Mafunzo hayo yamefanyika kwa muda wa siku 4 ukumbi wa Halmashauri ya…
3 August 2023, 6:26 pm
Ongezeko la mifugo na ufugaji wa kienyeji,ukataji miti kwaajili ya ujenzi,kilimo,uchimbaji madini,kuni na mkaa umetajwa kuwa chanzo cha uharibifu wa mazingira. Na,Alex Sayi. Imebainishwa kuwa shughuli za kibinadamu zimeendelea kuchangia uharibifu wa mazingira Wilayani Maswa Mkoani Simiyu. Akizungumza na Radio…
14 July 2023, 11:21 am
Waziri ahamasisha wawekezaji binafisi sekta ya Afya Mkoani Simiyu ili kusaidiana na Serikali huwahudumia wananchi Mkoania hapa. Na,Alex Sayi. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amefurahishwa na uwekezaji binasfi kwenye Sekta ya Afya uliofanywa na mwekezaji binafsi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu.…
14 July 2023, 9:14 am
Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi na Mpango wa Matumizi bora ya Ardhi Wilayani Maswa, Mkoani Simiyu Utaenda kuondoa Changamoto ya Migogoro ya Ardhi kwa Wananchi Na Nicholaus Machunda Imeelezwa kuwa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi na Mpango wa …
13 July 2023, 4:02 pm
Serikali mkoani Simiyu kuendelea kuboresha utoaji wa huduma za afya ili kupunguza malalamiko ya wananchi na wagonjwa mkoani hapa. Na Alex Sayi Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa hatarajii kuona wananchi na wagonjwa wakilalamikia uhaba wa dawa kwa…
11 July 2023, 8:08 pm
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu imeweza kuvuka lengo la uzalishaji wa zao la Pamba kwa msimu wa mwaka 2022/2023 kwa kuzalisha kwa zaidi ya 106.35% ya uzalishaji uliotarajiwa. Na,Alex Sayi. Balozi wa zao la Pamba Nchini Agrey Mwanri…
10 July 2023, 3:22 pm
Waandishi wa habari wa kituo cha Radio Sibuka Fm wamepatiwa mafunzo ya kuandaa na kutangaza habari za mtandao ili kuendana na kasi ya ushindani wa teknolojia, mafunzo yaliyofanyika katika ofisi za Sibuka Fm zilizopo mjini Maswa mkoani Simiyu. Na Nicholaus…
Establishment
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.
Region Coverage(Sibuka Fm)
Radio Sibuka FM hears about 95 percent of the Simiyu region through the frequency of 97.0 MHz from the Maswa district as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex