Sibuka FM
Sibuka FM
29 December 2021, 11:50 am
Imeelezwa kuwa wilaya ya maswa inaongoza kwa maambukizi ya Virusi ya Ukimwi (VVU) Ikifuatiwa na Wilaya Busega katika mkoa wa Simiyu. Hayo yameelezwa na Mratibbu wa Ukimwi mkoa wa Simiyu Dr Hamis Kulemba wakati akizungumza na Radio Sibuka. Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Dr …
24 December 2021, 6:52 pm
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Mtu mmoja afariki na wengine wanne kujeruhiwa kufuaatia gari lenye namba za usajili T435 AAZ Scania mali ya kampuni ya Turu best na gari lenye namba za usajili T 153 DVX tata mali ya kampuni…
27 November 2021, 6:28 pm
Mkoa wa Simiyu umefanikiwa Kupunguza vifo vitokanavyo na Uzazi kwa Asilimia 50% kwa Robo ya mwezi Julai, August na mwezi Septemba 2021 huku Upatikanaji wa Dawa Ukiongezeka kutoka Asilimia 70% hadi kufikia Asilimia 90%. Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa …
6 November 2021, 4:58 pm
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Mkuu wa mkoa wa Simiyu, David Kafulila amemtaka wakala wa barabara TANROAD mkoani hapo kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara ili kubaini mapungufu mapema na kuepusha gharama zaidi za ukarabati.…
2 November 2021, 1:58 pm
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Bariadi Mwalimu mkuu shule ya msingi Shimbale katika halmashauri ya Bariadi mkoani Simiyu Gaudensia Anyango mwenye umri wa miaka 45 Mjaruo na mkazi wa mtaa Shimbale anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kufanya udanganyifu…
30 October 2021, 7:59 am
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Zaidi ya bilioni 10.8 zilizotolewa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe,Samia Suluhu Hassan  zikiwemo zaidi ya bilioni 8 za bajeti ya kawaida na zaidi ya bilioni 2 ambazo ni fedha za uviko…
27 October 2021, 2:51 pm
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga ,Simiyu Walimu wilayani Itilima mkoani Simiyu wameiomba serikali kuona umuhimu wa kutatua changamoto zao ili kuongeza hali ya utedaji kazi. Wameyasema hayo kwenye semina ya kuwajengea uwezo kwenye majukumu yao viongozi na wawakilishi wa shule…
25 October 2021, 1:18 pm
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Zaidi ya 50 zilizopo kata ya Ngulyati iliyopo wilayani Bariadi mkoani Simiyu  zimeezuliwa na upepo mkali ulioambatana Mvua. Kutokana na hali hiyo mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ambaye pia ni mkuu wa…
22 October 2021, 8:14 pm
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu. Mama mmoja  aitwaye Ng’washi Makigo mwenye umri miaka 35 Msukuma na mkazi wa kijiji Gula wilayani Maswa mkoani Simiyu amewaua watoto wake wawili kwa kuwachinja  kwa kutumia kisu kisha naye kijichinja. Kamanda wa polisi mkoa…
19 October 2021, 3:38 pm
Watu watatu wakazi wa Kijiji Mwabulimbu kata ya Mwan’gonoli tarafa ya Sengerema wilayani Maswa mkoani Simiyu wamejeruhiwa na mnyama aina ya chui sehemu mbalimbali za miili yao. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa Simiyu ACP Blasius…
19 October 2021, 3:25 pm
Mwanamke mmoja aitwae Pili Masonga mwenye umri wa miaka 28,msukuma mkazi wa Kijiji cha Kulimi wilayani Maswa mkoani Simiyu ameuwawa na mme wake kwa kukatwa mapanga sehemu mbali mbali za mwili wake. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi…
18 October 2021, 1:30 pm
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh,David Kafulila ameshangazwa na kitendo cha wahitimu wa wafunzo ya (JWTZ)kushindwa kujitegemea baada ya kuhitimu mafunzo yao licha ya Serikali kutumia gharama kubwa kwa ajili ya mafuzo hayo David Kafulila ameyasema hayo wakati wa kongamano…
13 October 2021, 2:30 pm
Katika kukabiliana na changamoto za watoto wa kike kutohudhuria kikamilifu masomo yao hakielimu kupitia mradi wa The Girls Retention and Transition Initiative (G.R.T.I ) imetoa vyerehani na mafunzo kwa wanafunzi kutegeneza taulo za kike ili waweze kujihifadhi kipindi cha hedhi…
12 October 2021, 9:44 am
Mkuu wa mkoa wa Simiyu David Kafulila amewaomba wadau mbalimbali wa zao la pamba mkoa hapo  kuhakikisha  mkakati wa zao hilo wa  kuzalisha tani laki tano za pamba unatekelezwa kwa vitendo na siyo kwa makaratasi lengo nikuongeza thamani ya zao…
8 October 2021, 7:15 pm
Benki ya NMB imekabidhi vifaa vya Ujenzi kwa Shule za Msingi na Sekondari Wilayani Maswa Mkoani Simiyu vyenye thamani ya Shilingi Milioni Ishirini na Nne.. Akikabidhi vifaa hivyo mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh Aswege Kaminyoge , Meneja …
1 October 2021, 1:31 pm
Mtoto wa miaka 03 Agnes Charles Masanja mkazi wa Kijiji cha Mwanzangamba kata ya Mwanyahima wilaya ya Meatu mkoani Simiyu amefariki dunia baada ya kudondokewa na matofali ya udongo katika nyumba yao. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi…
26 September 2021, 11:15 am
Imeelezwa kuwa asilimia Arobaini ya vifo vya Watoto nchini vinatokana na watoto kuzaliwa kabla ya siku zao (Njiti). Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na maendeleo ya Jamii na Mbunge wa Jimbo la Maswa …
17 September 2021, 4:56 pm
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh, Davidi Zacharia Kafulila amesema kuwa bei ya Pamba kwa mwaka huu wa 2021 imevunja rekodi ya zaidi ya miaka Ishirini iliyopita kutokana na Usimamizi Bora wa mifumo ya ununuzi wa zao la Pamba.. Mh …
16 September 2021, 4:02 pm
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amewataka Wakuu wote wa shule za sekondari katika jimbo la Maswa Magharibi Mkoani Simiyu kuanzisha madarasa ya kompyuta ili wanafunzi kupata maarifa zaidi. Waziri Ndaki ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo amesema…
9 September 2021, 1:20 pm
Mtoto mwenye umri wa miaka 5 anayejulikana kwa jina la Masule. S. Cosmas mkazi wa kijiji cha zawa kata ya mwanghonori wilayani Maswa Mkoani Simiyu amefariki baada ya kujeruhiwa na fisi sehemu mbalimbali za mwili wake. Tukio hilo limetokea Siku…
Establishment Â
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.Â
Region Coverage(Sibuka Fm)
 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex