Sibuka FM
Sibuka FM
12 January 2023, 4:31 pm
Na mwandishi wetu,Daniel Manyanga. Mkuu wa wilaya ya Maswa, Aswege Kaminyoge ameziagiza taasisi zote za serikali wilayani hapo  kuhakikisha zinatenga bajeti ya utunzaji wa mazingira wakati wa uandaaji wa bajeti kuu ya serikali kwa mwaka fedha 2023/2024 ili kuweza kukabiliana…
11 January 2023, 12:27 pm
Na mwandishi wetu, Daniel Manayanga Zaidi ya Millioni thelatheni ambayo ni michango ya wananchi,mfuko wa jimbo la Maswa Magharibi zimeshatumika katika ujenzi wa Shule ya Sekondari Sayusayu iliyopo Kata ya Buchambi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu ili kupunguza adha wa wanafunzi…
16 December 2022, 8:00 pm
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Dkt.Yahaya Nawanda ametoa siku saba (wiki moja) kwa uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Maswa kuweka milango mingine imara katika kituo cha afya cha Shishiyu kufuatia iliyokuwa imewekwa kutokidhi ubora. Dkt.Nawanda akiwa katika ziara yake…
15 December 2022, 4:47 pm
Imeelezwa kuwa Wilaya ya Maswa  Mkoa wa Simiyu hadi kufikia  mwezi Novemba , 2022 Imefanikiwa Kuandikisha Watoto wa Darasa la Awali  Elfu Saba (7000) Sawa na Asilimia Hamsini na Mbili (52%) ya Makisio yote ya Watoto  Elfu kumi na tatu…
29 November 2022, 6:24 pm
Imeelezwa kuwa  matumizi ya Uzazi wa Mpango yanasaidia kupunguza kwa  asilimia kubwa vifo vitokanavyo na  Uzazi kwa akina mama.. Hayo yameelezwa na Dr Boniface Mabonesho Mtaalamu wa Masuala  ya  Afya ya Uzazi kutoka Zahati ya Mwagala iliyopo Wilayani Maswa Mkoani …
8 November 2022, 8:52 am
SIMIYU:  Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu Msoleni Dakawa, ameamuru kubomolewa kwa msingi wa madarasa manne, uliokuwa unaendelea kujengwa katika Shule ya Sekondari Sakasaka iliyopo wilayani hapo baada ya kubaini umejengwa chini ya kiwango. Aidha Mkurugenzi…
29 October 2022, 6:23 pm
Imeelezwa kuwa Mila kandamizi kwa  baadhi ya Jamii ikiwemo kabila la Wasukuma zinachangia vifo vitokanavyo na Uzazi kwa Wanaume Kushindwa kushiriki  na Wenza wao kikamilifu katika Huduma ya Afya ya Uzazi. Hayo yameelezwa na  Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali …
11 October 2022, 5:03 pm
Wananchi wa kijiji  cha Zebeya kilichopo Kata ya Senani Wilayani Maswa Mkoani Simiyu Wamemshukuru   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania  Mh Samia Suruhu Hasani kwa kutoa Fedha Zaidi ya Shilingi Bilioni 1.6   kwa Ajili ya Ujenzi na Ukarabati wa  …
26 September 2022, 11:47 am
Mkakati  wa  kutambua wajawazito Wilayani Maswa  umeleta mabadiliko makubwa ikiligaishwa na hapo awali ambapo wajawazito walikuwa hawatambuliki hali iliyokuwa inapelekea baadhi yao kujifungua majumbani na kuhatarisha Maisha yao.… Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh Aswege  Kaminyoge  wakati …
16 September 2022, 11:10 am
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amesema kuwa  Wananchi wanatakiwa kuwa Wazalendo kwa Kulipa Kodi ya Serikali kwa Maendeleo ya Taifa. Mh Kaminyoge ametoa wito huo kwenye kikao kati ya Wafanyabiashara wilayani hapo  na Maafisa wa Mamlaka …
2 September 2022, 5:44 pm
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya  Maswa  Mh  Simoni  Maige  Amewataka  Wafugaji kufuga  Mifugo  kwa Tija ili ilete  Manufaa na kuwakwamua  Kiuchumi.. Mh Maige  ameyasema hayo  wakati wa Uzinduzi wa Josho la kuogeshea  Mifugo lililojengwa katika Kijiji cha Dodoma kilichopo …
23 August 2022, 3:15 pm
Mkuu wa  Wilaya ya  Maswa  Mh  Aswege  Kaminyoge  ameshiriki  Kuhesabiwa  katika  zoezi  la  Sensa  ya  Watu na Makazi  Mapema  hii  leo.. Mh Kaminyoge  amehesabiwa  nyumbani  kwake  Kitongoji  cha  Mwantoja kata ya  Nyalikungu Wilayani  Maswa… Aidha  Mh  Kaminyoge  ametoa wito kwa …
23 August 2022, 3:00 pm
Mbunge  wa Jimbo la Maswa  Mashariki Mh Stanslaus  Nyongo  ameshiriki  kuhesabiwa katika  Zoezi la  Sensa ya  Watu na Makazi lililoanza leo Aug 23, 2022
22 August 2022, 2:47 pm
Wananchi wa Kijiji cha Ikungu kilichopo kata ya Badi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamejitolea kujenga  Zahanati  ili kupunguza vifo vitokanavyo na Uzazi na kusaidia upatikanaji wa Huduma za Afya kijijini hapo.. Wananchi  hao wameamua kuchangishana michango kwa kila  Kaya ili …
10 August 2022, 8:24 pm
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani  Simiyu Aswege Enock Kaminyoge  amesema  atawasweka ndani wote wanaohujumu Miundo mbinu ya Maji huku akianza  na  Viongozi wa Serikali ya kijiji… Hayo ameyasema leo wakati  akiongea katika mkutano  na  Watendaji wa Wakala wa Maji …
6 August 2022, 7:44 pm
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge ameliagiza Jeshi la Polisi kuwasaka na kuwakamata watu wote waliofanya hujuma za kutaka kuiba Mafuta aina ya Dieseli katika kituo cha Malampaka ambapo Ujenzi wa Reli ya Kisasa  SGR Unaendelea. Mh  …
27 July 2022, 11:41 am
Balozi wa Maji nchini Mrisho Mpoto maarufu kwa Jina la Mjomba Amewaasa Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu kutunza vyanzo  vya Maji likiwemo Bwawa la New Sola  lililopo katika  kijiji cha Zanzui kata ya Zanzui.. Balozi Mpoto ametoa  nasaha hizo alipotembelea …
25 July 2022, 6:51 pm
Waziri wa Mifugo na Uvuvi  na Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi Mh Mashimba Mashauri Ndaki amewaonya watendaji wa vijiji na Kata wanaotafuna Fedha za Michango ya  Maendeleo ya Wananchi wanazowachangisha kisha kutowasomea Mapato na Matumizi na  kuwapa Mrejesho. Waziri  …
25 July 2022, 6:21 pm
Waziri  wa Mifugo na Uvuvi  na Mbunge  wa Jimbo la Maswa Magharibi Mh Mashimba Ndaki ameagiza kukamatwa kwa  Wanunuzi  wa Pamba wanaonunua chini ya Bei Elekezi ya ya Serikali… Mh  Ndaki ametoa maagizo  hayo katika mkutano wa  Hadhara wa kusikiliza …
1 July 2022, 4:28 pm
Wilaya ya Maswa imekuja na mkakati wa kuwa Dafutari maalumu la kuwatambua akina mama wajawazito wote  kwenye maeneo wanayoishi ili kuepusha vifo vya mama wajawazito… Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh Aswege Enock Kaminyoge  wakati akitoa Elimu …
Establishment Â
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.Â
Region Coverage(Sibuka Fm)
 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex