Sibuka FM

Recent posts

16 April 2021, 11:09 am

WANAFUNZI SIMIYU WAOMBA KAMBI ZA KITAALUMA ZIWE ENDELEVU

Wanafunzi wa shule ya sekondari Bariadi mkoani Simiyu wameomba viongozi wa mkoa na wadau wote wa elimu kuwa kambi za kitaaluma ziwe endelevu kwa kuwa zina matokeo chanya kwa katika ufaulu wa wanafunzi na ili mkoa uendelee kufanya vizuri katika…

14 April 2021, 5:08 pm

WANNE WAFA MGODINI,MMOJA AKIJERUHIWA

Wachimbaji wadogo  wanne wa dhahabu wafariki dunia na mwingine kujeruhiwa baada ya kuporomoka kwa kuta wakati wakiendelea na uchimbaji wa dhahabu kwenye duara zao katika mgodi wa dhahabu na 2 uliopo Imalamate wilayani Busega mkoani Simiyu. Akizungumza na waandishi wa…

31 March 2021, 4:48 pm

Jeshi la polisi mkoani Simiyu linamshikilia mtu mmoja kwa kosa la kupatikana na nyara za serikali. Haya yamesemwa   na kamanda wa jeshi hilo mkoani hapo ACP Richard Abwao wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari na kuongeza kuwa mtuhumiwa…

31 March 2021, 3:42 pm

RADI YAUA MTU MMOJA NA KUJERUHI MMOJA

Akizungumza na waandishi wa habari mkoani hapo kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Simiyu ,kamishina msaidizi wa polisi,Richard Abwa amesema kuwa tukio hilo limetokea  mnamo majira ya saa 01:00 usiku wa kuamkia tarehe 29.03.2021 huko katika kitongoji cha cha…

31 March 2021, 12:55 pm

Milioni 160 kununua Dira za maji Maswa

Zaidi  ya  shilingi  Milioni  160 zimetolewa  na  serikali  ya jamhuri  ya  muunga no  wa  tanzania  kwa   ajili  ya  ununuzi  wa  dira  za  maji  ili  kila  mtu  anayetumia   alipe  kwa  kadri  ya  matumizi  yake. Hayo  yamesema  na  mkuu  wa  wilaya   ya  …

25 March 2021, 3:58 pm

Maelfu ya wananchi Mkoa Simiyu wamlilia JPM

Maelfu ya wananchi mkoani Simiyu wamejitokeza kwa wingi katika misa takatifu ya kumuombea aliyekuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania hayati Dkt.John Pombe Magufuli ikiwa na lengo la kumuombea kwa MUNGU apumzike kwa amani milele. Akiongoza maelfu ya wananchi…

24 March 2021, 12:24 pm

Wananchi wilayani maswa wamlilia Dr Magufuli

Wananchi wilayani Maswa mkoani Simiyu wameeleza kuhuzunishwa na kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati mh Dokta John Joseph Pombe Magufuli.. Wakiongea na Sibuka fm kwa nyakati tofauti wamesema kuwa Hayati Magufuli amefanya mambo mengi kwa…

Sibuka Media Profile

Establishment  

Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.

The Objective  

To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments. 

Region Coverage(Sibuka Fm)

 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex

National Coverage (Sibuka Fm) 

Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than  5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex