

7 March 2022, 7:38 pm
Na mwandishi,Daniel Manyanga,Simiyu Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mjini Maswa(Mauwasa) mkoani Simiyu imekusudia kutumia kiasi cha Sh 509,884,320 katika kukamilisha mradi wa usambazaji wa maji mjini humo. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mauwasa, Mhandisi Nandi Mathias mbele…
28 February 2022, 3:45 pm
Taasisi na wadau mbalimbali wa afya wameombwa kujitokeza kusaidia upatikanaji wa vifaa vya kulelea watoto njiti katika hospitali ya wilaya ya Maswa ili kupunguza vifo vya Watoto na kuiongezea hospitali hiyo uwezo wa kuwahudumia watoto wengi wanaohitaji huduma hiyo kwa…
25 February 2022, 5:50 pm
Serikali Mkoani Simiyu inatarajia kutumia zaidi ya shilingi Bilion 6 kujenga mabweni kwa ajili ya kuwanusuru na Mimba za Utotoni watoto wanaotoka kwenye kaya masikini wanaosoma Shule za Sekondari Mkoani hapa. Akizungumza na wakazi wa Wilayani Maswa Mkoani Simiyu kwenye…
25 February 2022, 12:30 pm
Katibu Tawala wilaya ya Maswa Agnes Alex amewataka viongozi waliopewa Dhamana ya Kuwatumikia wananchi wanawatumikia kikamilifu ili kukidhi matarajio yao. Katibu Tawala ameyasema hayo wakati wa Uzindunduzi wa Kikao cha Uraghbidhi kilichofanyika Februari 22, katika Ukumbi wa Halmashauri ya Maswa …
25 February 2022, 12:08 pm
Shirika la Twaweza wakishirikiana na shirika la Kasodefo la Wilayani Maswa Mkoani Simiyu February 21 mwaka huu wamefanya kikao cha pamoja na waraghbishi toka kata 18. Huku kikao hicho kikilenga kufanyia tathmini ya awali ya shughuli za kiraghbishi zinazotekelezwa katika…
22 February 2022, 6:02 pm
Jumla ya Waraghabishi Thelathini na sita (36) kutoka kata 18 za wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu wamepewa Mafunzo ya kuwawezesha kuibua changamoto na Vipaumbele vya Maendeleo kwenye maeneo ya vijiji vyao. Akizungumza na Sibuka Fm Meneja Programu kutoka Shrika la …
21 February 2022, 3:47 pm
Na mwandishi,Daniel Manyanga,Simiyu Serikali mkoani Simiyu inatarajia kufufua viwanda viwili ambavyo vilijengwa wakati wa ukoloni lengo likiwa ni kuwawezesha wananchi hususani wakulima wa zao la pamba kupata huduma na soko la karibu. Hayo yameelezwa na mkuu wa mkoa wa Simiyu…
8 February 2022, 9:44 am
Mahakama ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu imepokea jumla ya malalamiko 345 katika wiki ya sheria huku malalamiko ya utelekezwaji wa watoto yakiongoza yakifuatiwa na Migogoro ya Ardhi. Akitoa taarifa kwa mgeni rasimi, Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya wilaya …
30 January 2022, 2:59 pm
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Bariadi wameshauri kuunganishwa kwa kata saba kwa njia ya barabara ili kuwapunguzia adha wananchi kutumia muda mrefu kufika makao makuu halmashauri hiyo yaliyopo Dutwa.Wameyasema hayo wakati wakipokea taarifa kwenye…
26 January 2022, 7:56 pm
Idadi ya akina mama wanaojifungulia kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeongezeka kutoka Asilimia 55 kwa Mwezi Januar -June, 2021 hadi kufikia Asilimia 96.4% kwa Mwezi Julai –Decemba, 2021 huku hamna kifo kitokanacho na Uzazi …
6 January 2022, 11:19 am
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Watu wawili wamepoteza maisha huku wengine wanne wakijeruhiwa baada ya kufunikwa na kifusi kwenye mgodi wa dhahabu wa Halawa no 2 uliopo halmashauri ya wilaya ya Bariadi . Akithibitisha kupokea miili na majeruhi wa tukio…
29 December 2021, 11:50 am
Imeelezwa kuwa wilaya ya maswa inaongoza kwa maambukizi ya Virusi ya Ukimwi (VVU) Ikifuatiwa na Wilaya Busega katika mkoa wa Simiyu. Hayo yameelezwa na Mratibbu wa Ukimwi mkoa wa Simiyu Dr Hamis Kulemba wakati akizungumza na Radio Sibuka. Dr …
24 December 2021, 6:52 pm
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Mtu mmoja afariki na wengine wanne kujeruhiwa kufuaatia gari lenye namba za usajili T435 AAZ Scania mali ya kampuni ya Turu best na gari lenye namba za usajili T 153 DVX tata mali ya kampuni…
27 November 2021, 6:28 pm
Mkoa wa Simiyu umefanikiwa Kupunguza vifo vitokanavyo na Uzazi kwa Asilimia 50% kwa Robo ya mwezi Julai, August na mwezi Septemba 2021 huku Upatikanaji wa Dawa Ukiongezeka kutoka Asilimia 70% hadi kufikia Asilimia 90%. Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa …
6 November 2021, 4:58 pm
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Mkuu wa mkoa wa Simiyu, David Kafulila amemtaka wakala wa barabara TANROAD mkoani hapo kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara ili kubaini mapungufu mapema na kuepusha gharama zaidi za ukarabati.…
2 November 2021, 1:58 pm
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Bariadi Mwalimu mkuu shule ya msingi Shimbale katika halmashauri ya Bariadi mkoani Simiyu Gaudensia Anyango mwenye umri wa miaka 45 Mjaruo na mkazi wa mtaa Shimbale anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kufanya udanganyifu…
30 October 2021, 7:59 am
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Zaidi ya bilioni 10.8 zilizotolewa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe,Samia Suluhu Hassan zikiwemo zaidi ya bilioni 8 za bajeti ya kawaida na zaidi ya bilioni 2 ambazo ni fedha za uviko…
27 October 2021, 2:51 pm
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga ,Simiyu Walimu wilayani Itilima mkoani Simiyu wameiomba serikali kuona umuhimu wa kutatua changamoto zao ili kuongeza hali ya utedaji kazi. Wameyasema hayo kwenye semina ya kuwajengea uwezo kwenye majukumu yao viongozi na wawakilishi wa shule…
25 October 2021, 1:18 pm
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Zaidi ya 50 zilizopo kata ya Ngulyati iliyopo wilayani Bariadi mkoani Simiyu zimeezuliwa na upepo mkali ulioambatana Mvua. Kutokana na hali hiyo mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ambaye pia ni mkuu wa…
22 October 2021, 8:14 pm
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu. Mama mmoja aitwaye Ng’washi Makigo mwenye umri miaka 35 Msukuma na mkazi wa kijiji Gula wilayani Maswa mkoani Simiyu amewaua watoto wake wawili kwa kuwachinja kwa kutumia kisu kisha naye kijichinja. Kamanda wa polisi mkoa…
Establishment
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.
Region Coverage(Sibuka Fm)
Radio Sibuka FM hears about 95 percent of the Simiyu region through the frequency of 97.0 MHz from the Maswa district as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex