Sibuka FM

Recent posts

7 March 2022, 7:38 pm

Maswa:Mauwasa kutumia milioni 500 kusambaza maji safi na salama mjini Maswa.

Na mwandishi,Daniel Manyanga,Simiyu Mamlaka  ya Maji na Usafi wa Mazingira mjini Maswa(Mauwasa) mkoani Simiyu imekusudia kutumia kiasi cha Sh 509,884,320 katika kukamilisha mradi wa usambazaji wa maji  mjini  humo.  Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mauwasa, Mhandisi Nandi Mathias mbele…

25 February 2022, 5:50 pm

Serikali   Mkoani  Simiyu  kujenga  Mabweni  ya  wanafunzi wa  kike  il…

Serikali  Mkoani Simiyu  inatarajia kutumia  zaidi ya shilingi  Bilion  6  kujenga  mabweni kwa ajili ya kuwanusuru na  Mimba za Utotoni  watoto wanaotoka  kwenye  kaya masikini  wanaosoma  Shule  za  Sekondari  Mkoani  hapa. Akizungumza  na wakazi wa Wilayani  Maswa Mkoani  Simiyu kwenye…

25 February 2022, 12:30 pm

Katibu  Tawala  Wilaya  ya   Maswa  awaasa    viongozi  kuwatumikia …

Katibu   Tawala  wilaya  ya  Maswa  Agnes  Alex  amewataka  viongozi  waliopewa   Dhamana  ya  Kuwatumikia  wananchi     wanawatumikia  kikamilifu  ili  kukidhi  matarajio  yao. Katibu  Tawala    ameyasema  hayo  wakati  wa  Uzindunduzi  wa   Kikao  cha  Uraghbidhi  kilichofanyika  Februari  22, katika  Ukumbi  wa  Halmashauri  ya  Maswa …

22 February 2022, 6:02 pm

Taasisi  ya  TWAWEZA  yatoa  Mafunzo   Kwa  Waraghabishi  Wilayani  Mas…

Jumla  ya  Waraghabishi  Thelathini  na  sita (36)  kutoka  kata  18  za  wilaya  ya  Maswa  Mkoani  Simiyu  wamepewa  Mafunzo  ya  kuwawezesha  kuibua   changamoto  na  Vipaumbele  vya  Maendeleo  kwenye   maeneo  ya  vijiji  vyao. Akizungumza  na  Sibuka  Fm   Meneja  Programu  kutoka  Shrika  la …

21 February 2022, 3:47 pm

Simiyu:serikali ya mkoa wa Simiyu kufufua viwanda viwili vya pamba

Na mwandishi,Daniel Manyanga,Simiyu Serikali mkoani Simiyu inatarajia kufufua viwanda viwili ambavyo vilijengwa wakati wa ukoloni lengo likiwa ni kuwawezesha wananchi hususani wakulima wa zao la pamba kupata huduma na soko la karibu. Hayo yameelezwa na mkuu wa mkoa wa Simiyu…

8 February 2022, 9:44 am

KILELE  CHA  WIKI  YA  SHERIA , MAHAKAMA   YA  WILAYA  MASWA  YAPOKEA …

Mahakama  ya  Wilaya  ya  Maswa  Mkoani  Simiyu  imepokea  jumla  ya  malalamiko  345 katika  wiki  ya  sheria  huku  malalamiko  ya  utelekezwaji  wa  watoto  yakiongoza yakifuatiwa  na  Migogoro ya  Ardhi. Akitoa  taarifa  kwa  mgeni  rasimi, Hakimu  Mkazi  Mfawidhi  wa  Mahakama  ya  wilaya …

30 January 2022, 2:59 pm

kata saba wilayani bariadi kuunganishwa na miundombinu ya barabara

Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Bariadi wameshauri  kuunganishwa kwa kata saba kwa njia ya barabara ili kuwapunguzia adha wananchi kutumia muda mrefu kufika makao makuu halmashauri hiyo yaliyopo Dutwa.Wameyasema hayo wakati wakipokea taarifa kwenye…

26 January 2022, 7:56 pm

IDADI YA  WAJAWAZITO  WANAOJIFUNGULIA   KWENYE VITUO  VYA  AFYA  YAFIKIA�…

Idadi  ya  akina  mama   wanaojifungulia  kwenye vituo vya  kutolea  huduma  za  Afya   wilayani  Maswa  Mkoani Simiyu  imeongezeka  kutoka  Asilimia 55  kwa  Mwezi  Januar -June, 2021  hadi  kufikia  Asilimia 96.4%   kwa  Mwezi  Julai –Decemba,  2021  huku hamna  kifo  kitokanacho  na  Uzazi …

29 December 2021, 11:50 am

WILAYA YA MASWA YATAJWA KUONGOZA KWA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI …

Imeelezwa  kuwa  wilaya  ya  maswa  inaongoza  kwa  maambukizi  ya Virusi  ya  Ukimwi (VVU)   Ikifuatiwa  na  Wilaya  Busega  katika  mkoa   wa  Simiyu. Hayo  yameelezwa  na  Mratibbu  wa  Ukimwi  mkoa  wa  Simiyu   Dr  Hamis   Kulemba  wakati   akizungumza  na  Radio   Sibuka.            Dr …

27 November 2021, 6:28 pm

Mkoa wa Simiyu wapunguza vifo vitokanavyo na Uzazi kwa Asilimia 50% …

Mkoa  wa  Simiyu  umefanikiwa  Kupunguza vifo  vitokanavyo  na  Uzazi  kwa  Asilimia   50%   kwa  Robo  ya  mwezi   Julai,  August  na  mwezi  Septemba 2021  huku   Upatikanaji  wa  Dawa   Ukiongezeka  kutoka  Asilimia  70%  hadi  kufikia  Asilimia  90%. Hayo  yamesemwa  na   Mkuu wa  mkoa …

6 November 2021, 4:58 pm

TANROAD simamieni kwa ukaribu ujenzi wa miundombinu ya barabara

Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Mkuu wa mkoa wa Simiyu, David Kafulila amemtaka wakala wa barabara TANROAD mkoani hapo kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa miradi  mbalimbali ya ujenzi wa barabara ili kubaini mapungufu mapema na kuepusha gharama zaidi za ukarabati.…

27 October 2021, 2:51 pm

walimu wilaya ya itilima waomba kutatuliwa changamoto zao.

Na mwandishi wetu Daniel Manyanga ,Simiyu Walimu wilayani Itilima mkoani Simiyu wameiomba serikali kuona umuhimu wa kutatua changamoto zao  ili kuongeza hali ya utedaji kazi. Wameyasema hayo kwenye semina ya kuwajengea uwezo kwenye  majukumu yao viongozi na wawakilishi wa shule…

Sibuka Media Profile

Establishment  

Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.

The Objective  

To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments. 

Region Coverage(Sibuka Fm)

 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex

National Coverage (Sibuka Fm) 

Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than  5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex