Sibuka FM
Sibuka FM
6 December 2023, 8:27 pm
Jamii wilayani Maswa imeaswa kuwafichua watoto wenye ulemavu waliofungiwa majumbani ili waweze kuzifikia ndoto zao kielimu, kiuchumi na kijamii. Na Alex Sayi Shiriki lisilo la kiserikali la Juniors and Child Care Foundation (JACCAFO) limefanya maadhimisho ya siku ya walemavu Duniani…
2 December 2023, 7:44 am
Kamati ya Siasa ya chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Maswa ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Ndugu Onesmo Makota Imetembelea na Kukagua Miradi mbalimbali ya Maendeleo inayotekelezwa katika Jimbo la Maswa Magharibi. Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa na Kamati hiyo …
28 November 2023, 2:55 pm
Wazazi waaswa kuwasomesha Watoto wao Elimu ya Ufundi ili kukabiliana na obwe la ukosefu wa ajira uliopo Serikalini kwa hivi sasa. Na,Alex Sayi. Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi Mashimba Ndaki amewaasa wazazi/walezi kuwasomesha watoto wao Elimu ya Ufundi ili…
19 November 2023, 5:37 pm
Chama Cha Wafugaji Taifa (CCWT) ziarani nchi nzima kuhamasisha wafugaji kujisajili kwa njia ya kielektronik ili wafugaji hao wawe na chombo cha kuwaunganisha na kutatua matatizo yao. Na Alex Sayi. Chama Cha Wafugaji Taifa kimeendelea na ziara nchi nzima kwa…
19 November 2023, 4:58 pm
(RUWASA) ndani ya miaka miwili ya utawala wa awamu ya sita wa Rais Samia Suluhu imefanikiwa kutoa huduma ya maji vijijini kwa asilimia 74. Na Alex Sayi Wakala wa Maji Safi na Mazingira Vijijini wilayani Maswa mkoani Simiyu RUWASA umebainisha…
19 November 2023, 4:37 pm
 TARURA wilayani Maswa mkoani Simiyu inayohudumia mtandao wa barabara wenye jumla ya Km 184.2 na iliyofikia 77% ya Barabara zinazopitika kwa nyakati zote za msimu sawa na km 837.39 imelalamikiwa kwakushindwa kupeleka  kwa wakati wakandarasi kwenye baadhi ya Barabara Wilayani…
16 November 2023, 8:38 pm
Na Nicholaus Machunda Mkuu wa  wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Mh. Aswege Kaminyoge  ametekeleza  agizo lililotolewa  na  Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa katika ziara yake wilayani Busega la kumkabidhi  Felister Jayunga  mama aliyeibiwa ng’ombe  wake. Mwenyekiti …
16 November 2023, 8:22 pm
Na Nicholaus Machunda Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu  Mh, Aswege Kaminyoge ameonya wananchi wanaohujumu miundombinu ya maji yanayotoka Ziwa Viktoria kuja kata ya Sengwa iliyopo wilayani  hapa kupitia wilaya ya Kishapu. Mh Kaminyoge amesema hayo wakati Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ilipotembelea mradi huo ambao umekuwa ukihujumiwa mara kwa mara …
13 November 2023, 4:58 pm
Mradi wa uboreshaji usalama wa milki za ardhi vijijini unaotekelezwa na halmashauri ya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu unatarajia kutoa hatimiliki 100,000 kwa wananchi. Na Alex Sayi Kamati ya kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii imeridhika na utekelezaji wa…
13 November 2023, 9:24 am
Mamia ya watanzania wajitokeza kushiriki mbio za Serengeti Safari Marathon kuunga mkono juhudi za Rais Samia za Royal Tour. Na Alex Sayi Mkuu wa wilaya ya Bunda mkoani Mara Vicent Naano amesema kuwa mbio za Serengeti Marathon zinaendelea kuunga mkono…
1 November 2023, 11:52 am
Na Nicholaus Machunda Watu 18 wamegundulika na ugonjwa wa kipindupindu wilayani Maswa mkoani Simiyu huku mmoja akifariki dunia kutokana na ugonjwa huo. Hayo yamesemwa na Mratibu wa Elimu ya Afya kwa Umma  Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Bi, Salma Mahizi wakati …
30 October 2023, 5:19 pm
Na Nicholaus Machunda Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt Yahaya Nawanda amewaonya Wanaume wote wanaotongoza Wanafunzi na kuwapatia Ujauzito unaopelekea kukatisha ndoto zao za Masomo. RC Nawanda amesema hayo katika Ziara yake Wilayani Maswa ya kukagua Miradi mbalimbali ya Maendeleo …
26 October 2023, 5:48 pm
Kinamama toka jamii za wafugaji wameaswa kujiunga na chama cha wafugaji ili waweze kujikwamua kiuchumi. Na Alex Sayi. Chama cha wafugaji Wilayani Maswa Mkoani Simiyu kimetoa wito kwa wanawake wanaoishi kwenye jamii za wafugaji kuchangamkia fursa za ufugaji wa Samaki…
8 October 2023, 9:24 am
Vijana wasomi nchini wametakiwa kubadili fikra za kuendelea kusubiri kuajiriwa serikalini na badala yake wachangamkie fursa za ajira  zaidi ya 500,000 zilizopo kwenye sekta ya kilimo na ufugaji. Na Alex Sayi Chama Cha Wafugaji Tanzania CCWT kimebainisha kuwa kinaendelea na…
6 October 2023, 7:30 am
Maafisa watendaji wa kata wilayani Maswa wametakiwa kuitisha vikao vya vitongoji, vijiji na kata vilivyopo kisheria ili kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Na Alex Sayi Maswa Simiyu Wananchi na wakazi wa kijiji cha Mwashegeshi kata ya Nguliguli wamemuomba mkuu…
27 September 2023, 8:11 am
Wasichana wapatao (222) Mkoani Simiyu wamefanikiwa kuendelea na masomo yao ya Elimu ya Sekondary Mbadala baada ya kujifungua. Na Alex Sayi Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt,Yahaya Nawanda amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote Mkoani hapa kuhakikisha wanatenga bajeti kwa ajili…
9 September 2023, 6:50 pm
Na Nicholaus Machunda Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, Mkoani Simiyu imejipanga kuja na Mbinu na Mikakati itakayoongeza Uzalishaji wa zao la Pamba kwa Msimu ujao. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndugu Maisha Mtipa wakati …
18 August 2023, 10:05 am
TAKUKURU mkoa wa Simiyu imeokoa mamilioni ya fedha za mfanyabiashara ambaye mali zake zingepigwa mnada kwa bei ya kutupwa. Na Nicholaus Machunda Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU mkoa wa Simiyu imefanikiwa kudhibiti upotevu wa zaidi ya Shilingi …
15 August 2023, 3:30 pm
Wafugaji Wilayani Maswa Mkoani Simiyu watakiwa wawe sehemu ya uhifadhi wa mazingira na utunzaji wa vyanzo vya Maji. Na,Alex Sayi. Wafugaji Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wameaswa kushiriki utunzaji wa Mazingira na vyanzo vya Maji kwa kutokupeleka mifugo kwenye chanzo kikuu…
11 August 2023, 7:38 pm
Jeshi la polisi mkoa wa Simiyu linamtafuta mke wa marehemu kufuatia vifo vya watu watatu akiwemo mme wa marehemu na watoto wawili vifo hivyo vimetokana na kunyongwa. Na,Daniel Manyanga Watu watatu wamekutwa wamekufa kwa kujinyonga katika kata ya Kinamweli kijiji…
Establishment Â
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.Â
Region Coverage(Sibuka Fm)
 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex