Kitulo FM
Kitulo FM
September 27, 2023, 7:51 am
Katika kuhakikisha Wananchi wanapata Hatimiliki za Ardhi,Serikali imechukua hatua za kupima na kugawa Hatimiliki bure kwa Wananchi Na Furahisha Nundu Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi umeendelea kufanyika ambapo Wananchi wa Kijiji cha Malanduku Wilayani Makete wameonesha njia bora ya kutatua…
September 25, 2023, 8:41 am
katika kuwaandaa vijana wazalendo na viongozi wa baadaye chama cha Mapinduzi CCM Makete kimefanya uchaguzi wa viongozi wa vijana hao huku nafasi ya mweneyekiti ikichukuliwa na Michael Kened Chaula . na :Rose Njilile Jumuiya ya Vijana Makete mkoani Njombe kupitia…
September 23, 2023, 3:41 pm
Mtandao wa Redio jamii nchini (TADIO) umefanya mafunzo ya ndani kwa waandishi wa Habari wa Kituo cha Jamii Kitulo FM
September 23, 2023, 3:35 pm
Mwonekano wa vyumba vya Madarasa ya Awali shule ya Msingi Kinyika
September 22, 2023, 8:57 am
Kutokana na ubovu wa miundombinu ya barabara katika kijiji cha Igolwa kilichopo wilaya ya Makete – Njombe wananchi wamelazimika kuchangisha fedha katika matukio mbalimbali ikiwemo misiba ili kujikwamua na changamoto hiyo. Na Aldo Sanga. Wananchi wa kijiji cha Igolwa wameomba…
September 21, 2023, 10:29 am
kupitia rufaa ya wanufaika wa mpango wa Tasaf wilaya ya Makete,timu ya wataalamu kutoka Halmashauri ya wilaya ya Makete wameanza zoezi la kuhakiki taarifa katika baadhi ya kata za wilaya ya Makete. na Aldo Sanga TASAF Wilaya ya Makete imeanza…
September 19, 2023, 9:21 pm
Kuelekea msimu wa kupanda mazao wananchi wameendelea kujitokeza katika vituo vya pembejeo kwa ajili ya kuchukua mbolea, ikiwa ni siku chache baada ya serikali kutangaza wakulima kuhakiki taarifa zao. Na Aldo Sanga. Wananchi wamejitokeza kwa wingi kwenye vituo vya pembejeo…
September 16, 2023, 6:17 pm
ikiwa ni muda mfupi baaya kumaliza mitihani ya Taifa Darasa la saba juma la wahitim tisa wametunukiwa vyeti vya kuhitim katika shule ya st,Johakim pri & Primaly school shule inayomilikiwa na kanisa katoliki parokia ya Makete Jimbo la Njombe, na…
September 15, 2023, 10:50 am
Wakazi wa kata ya Iwawa wilaya ya Makete mkoani Njombe wametakiwa kutunza miundombinu na vifaa vya ujenzi katika Hosptitali ya Wilaya pamoja na kuacha kufunga mifugo yao kuzunguka eneo la Hosptitali hiyo.Wito huo umetolewa na Dkt. Kitundu kwa niaba ya…
September 12, 2023, 12:22 pm
kutokana na uchakavu wa madarasa katika shule ya msingi unenamwa ilioko kata ya luwumbu mbunge wa jimbo la makete Mh Festo Sanga amekabidhi shilingi laki 5 na elfu sabii. na Lulu Samson MBUNGE wa jimbo la makete mh festo sanga…
Kitulo Fm radio ni kituo cha kijamii kinachozalisha maudhui yenye hadhi ya kujenga jamii ya kitulo