Kitulo FM
Kitulo FM
December 7, 2023, 1:13 pm
Kutokana na fedha kutolewa na serikali ili kufanikisha miradi inatekelezwa katika maeneo mbali mbali dc sweda ameendelea kuhakikisha anafatilia kwa karibu miradi hiyo ili weze kukamilika kwa wakati Na mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya Makete Mhe. Juma Sweda amewataka viongozi…
December 7, 2023, 12:49 pm
Katika kukabiliana na ajali za barabarani vijana bodaboda wametahadharishwa kuwa makini wanapokuwa barabarani wakati wa usiku wakijitafutia kipato kutokana na matukio mbalimbali yanayotokea ya kiuharifu na shafii Madereva pikipiki (bodaboda) Wilayani Makete Mkoani Njombe wameshauriwa kufuata sheria za barabarani kwa…
November 28, 2023, 11:58 am
baadhi ya viongozi wa serikali ya kijiji na jeshi la polisi kwenye mkutano na waendesha bodaboda.picha na mwandishi wetu licha ya jitihada za serikali kuendelea kutoa elimu kwa vijana kuanzisha vikundi pamoja na kupata mikopo vijana wa bodaboda ndulamo kupitia…
November 27, 2023, 7:24 pm
kutokana na jitihada za serikali kuendelea kujenga vyuo vya veta nchini imekuwa ni chachu kwa vijana kunufaika na mafunzo hayo katika kujiinua kiuchumi na shafii Kamishna msaidizi na mkuu wa hifadhi ya kitulo ambaye pia alikuwa mgeni rasmi katika maafali…
November 23, 2023, 12:47 pm
Na mwandishi wetu Wito umetolewa kwa waendesha vyombo vya moto wilayani makete mkoni njombe kuendelea kuheshimu alama za usalama barabarani ili kuepukana na ajali ambazo zinaweza kuzuilika kutokana na uzembe ambao umekuwa ukifanywa na baadhi ya waendesha vyombo vya moto…
November 23, 2023, 12:24 pm
Kutokana na kudumu kwa muda mrefu kuhusu mpaka kati ya Makete na Wanging’ombe imetafutiwa ufumbuzi wa tatizo hilo ambao ulikuwa kizungumkuti. na Gift kyando Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi mh Jerry Silaha hii leo ametatua mgogoro wa…
November 23, 2023, 9:29 am
Ili kukuza uchumi kwa wananchi serikali kupitia BOT imetoa mafunzo kwa watumishi wa Umma juu ya Kuwekeza kwenye dhamana ya serikali ili kufaidi fulsa za uwekezaji serikalini. Na Ombeni Mgongolwa Luther Luvanda Mhasibu na mwezeshaji wa semina ya wadau juu…
November 17, 2023, 7:46 pm
Kutokana na Mamlaka ya Hali ya Hewa kutangaza mvua nyingi, wananchi wameaswa kupanda miti katika maeneo yao ili kuepukana na adha ya kuezuliwa nyumba zao. Na mwandishi wetu. Mkuu wa wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda ametoa pole kwa wananchi…
November 17, 2023, 6:53 pm
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Makete Mh. Christopher Fungo pamoja na viongozi wengine katika kikao cha baraza la madiwani. Picha na Ombeni Mgongolwa Ili kuhakikisha maendeleo kwa wananchi yanawafikia hususani viongozi nao kuwajibika katika nafasi zao imeonesha utoro kwa baadhi…
November 12, 2023, 2:04 am
Mtumishi wa Mungu na mwimbaji wa Nyimbo za Injili Juma Kyando alimaarufu kwa Jina la Kibonge wa Yesu,ameachia Nyimbo mbili usiku wa kuamukia tarehe 11Nov 2023 ikiwa ni siku ya kumbukizi ya Siku yake ya kuzaliwa na Aldo Sanga Mwanamuziki…
Kitulo Fm radio ni kituo cha kijamii kinachozalisha maudhui yenye hadhi ya kujenga jamii ya kitulo