Kitulo FM
Kitulo FM
September 12, 2023, 10:29 am
kulingana na serikali kutoa ruzuku ya pembejeo wakulima wametakiwa kuendelea kuhuisha taarifa zao kwenye daftari kwa wakati ili kuepuka usumbufu wa kupata pembejeo na mwandishi wetu Wakulima Wilayani Makete Mkoani Njombe wametakiwa kwenda kwenye Ofisi za Vijiji ili kuhuisha taarifa…
September 11, 2023, 12:50 pm
Juhudi za kuendelea kutoa elimu kwa wananchi zinaendelea kutunza mazingira kwa kutopeleka mifugo katika eneo la hospitali. Furahisha Nundu – Makete Wakazi wa kata ya Iwawa wilaya ya Makete mkoani Njombe wametakiwa kutunza miundombinu na vifaa vya ujenzi katika Hosptitali…
September 1, 2023, 7:25 am
Wananchi pimeni Ardhi mpate Hatimiliki-Maofisa Ardhi Makete
August 31, 2023, 2:11 pm
Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Makete wafanya Kikao maalumu kujadili taarifa ya fedha mwaka 2022/2023
August 31, 2023, 9:19 am
Shirikisho la Vyama vya watu wenye ulemavu Wilayani Makete limefanya uchaguzi wa kuwapata viongozi wa Chama hicho na kumchagua BI. MARIA MSIGWA kuwa Mwenyekiti wa shirikisho hilo Katika uchaguzi uliofanyika Agosti 30, 2023 katika ukumbi mdogo wa mikutano wa halmashauri…
August 27, 2023, 8:28 pm
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amesema utamaduni unaodumishwa katika Taifa umesaidia kudumisha Amani tofauti na Mataifa mengine.
August 27, 2023, 7:58 pm
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Maalum Mhe. Kapt Mstaafu George Mkuchika ameiasa jamii kuenzi mila na desturi za Tanzania ambazo ndio utambulisho wa Taifa hilo ndani na nje ya nchi, na kuacha kuiga utamaduni usiofaa wa Mataifa mengine.
August 26, 2023, 12:56 pm
Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Makete wafanya uchaguzi na kumpata Mwenyekiti wa Halmashauri
August 26, 2023, 12:52 pm
Makabidhiano ya Pikipiki kwa Watendaji
August 26, 2023, 12:50 pm
Wanufaika wa Tasaf Makete waeleza jinsi wanavyokabiliana na Umasikini
Kitulo Fm radio ni kituo cha kijamii kinachozalisha maudhui yenye hadhi ya kujenga jamii ya kitulo