Kitulo FM
Kitulo FM
January 30, 2024, 9:26 pm
Tayari takribani nyumba saba zimeshajengwa ikiwa ni hatua za kunusuru kaya zilizokosa makazi baad ya mvua na upepo mkali kuezua nyumba siku za hivi karibuni katika maeneo kadha katika wilaya ya Makete ambapo serkali wadau na wananchi wamechangia nguvu zao…
January 25, 2024, 8:28 am
Ikiwa tayari ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami katika eneo la ujuni umeshaanza kwa zaidi ya kilometa 3 serikali imeendelea kutoa fedha ili kukamilisha ujenzi wa barabara hiyo kutoka Makete ,kupitia Nkenja kwenda Mbeya Na Aldo Sanga Waziri wa…
January 24, 2024, 9:53 pm
Kutokana na maafa yaliyotokea katika baadhi ya taasisi ikiwemo shule za Sekondari Mang’oto na Ipelele Mkuu wa Wilaya ya Makete Mh.Samweli Sweda amewataka wananchi Kupanda Miti katika maeneo yote yenye Taasisi Na Aldo Sanga Mkuu wa Wilaya ya Makete, Mhe.…
January 22, 2024, 8:36 pm
katika kuendeleza juhudi za utunzaji wa mazingira Halmashauri ya Wilaya ya Makete kupitia Idara ya Mazingira imeendelea kutoa elimu kwa jamii ikiwa nipamoja na kupanda miti zaidi ya Elufu mbili (2000) katika kata ya Tandala na Aldo Sanga Zoezi la…
January 22, 2024, 8:04 pm
Waziri Bashungwa amefanya ziara katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Mbeya- Makete kwa kiwango cha lami huku akitoa maelekezo kwa mkandarasi kuongeza kasi ya ujenzi ikiwa nipamoja na kuongeza mitambo ili kuendana na mkataba wamradi huo Na Aldo Sanga…
January 21, 2024, 9:53 pm
Ikiwa nisiku chache tangu Askofu Eusebius aingizwe kazini katika jimbo la Njombe mapema hii leo amefanya ziara yake ya kwanza katika parokia ya Makete ibada iliyohudhuriwa na mamia ya wanamakete wakiwemo viongozi mbalimbali wa vyama na serikali. Na Mwandishi wetu…
January 20, 2024, 9:01 pm
Ikiwa mamlaka za utabiri wa hali ya hewa nchini zinazidi kutoa tahadhari juu ya mvua zinazoendelea kunyesha nchini, baadhi ya maeneo katika mikoa na wilaya kumetokea athari mbalimbali ikiwa ni pamoja na vifo vya binadamu pamoja na uharibifu wa miundombinu.…
January 19, 2024, 10:34 pm
Katika mwendelezo wa ziara za Mkuu wa Wilaya ya Makete Mh. Samweli Sweda, mapema hii leo amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya wilaya ya Makete na kubaini baadhi ya changamoto ikiwemo baadhi ya vifaa tiba kutotumika tangu 2021. Mkuu…
January 19, 2024, 6:30 pm
na mwandishi wetu. Imeelezwa kuwa barabara ni moja ya njia inayowasaidia wanananchi kuweza kujikwamua kiuchumi. mkuu wa wilaya makete mh juma sweda ametembela barabara ya kinyika- mlondwe na kuona changamoto inayowakumba wanachi wa maeneo hayo na kuahidi kutoa kiasi cha…
January 19, 2024, 5:56 pm
na mwandishi wetu kutokana na fedha nyngi kutolewa na serikali viongozi mbali mbali na wananchi wahimizwa kutunza miradi hiyo Mkuu wa wilaya ya makete mh Juma Sweda amemshukuru Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mh Samia Suluh Hassani kwa…
Kitulo Fm radio ni kituo cha kijamii kinachozalisha maudhui yenye hadhi ya kujenga jamii ya kitulo