Kitulo FM

Recent posts

June 26, 2023, 7:16 am

Wananchi vijiji 44 kupewa hati za kimila bure Makete

Halmashauri ya wilaya ya Makete kwa kushirikiana na tume ya taifa ya mipango ya matumizi bora ya ardhi imeanza kutoa elimu ya mpango wa matumizi ya ardhi katika vijiji 44 katika kata za Ikuwo, Kigala, Kinyika, Iniho, Kipagalo, Luwumbu, Bulongwa,…

June 23, 2023, 8:10 am

Ushauri: Zingatieni lishe bora kwa watoto

Wazazi na walezi kijiji cha Ihela Kata ya Tandala wilayani Makete wamekumbushwa namna ya kuzingatia lishe bora kwa watoto ili kuhakikisha wanakuwa na Afya imara. Akizungumza na Wazazi na walezi wa kijiji hicho tarehe 21 Juni, 2023 Bi. Jackline Nanauka…

June 23, 2023, 7:57 am

Vijana kufanya kongamano Makete

Mkurugenzi wa Elimu na vijana KKKT-DKK Makete Mwl. Kudra Jekela akizungumza na WanaMakete hususani Wakristo na Vijana wote kupitia Redio Jamii (KITULO FM) kuhamasisha wajitokeze kwa wingi kwenye Kongamano la Vijana linalotarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 30 Juni-02 Julai 2023. Kudra…

Mission and Vision

Kitulo Fm radio ni kituo cha kijamii kinachozalisha maudhui yenye hadhi ya kujenga jamii ya kitulo