Kitulo FM

Recent posts

March 1, 2024, 7:22 am

Wananchi waishukuru serikali kuwafikishia umeme Igolwa Makete

katika kutekeleza miradi ya umeme vijijini,wananchi wa kijiji cha Igolwa kilichopo katika kata ya Ipepo waipongeza Serkali kwa kuwafikishia Umeme,huku wakiomba Serkali kutatua changamoto ya Barabara. Wananchi wa kijiji cha Igolwa Kata ya Ipepo Wilayani Makete wameipongeza Serikali na Viongozi…

February 15, 2024, 7:34 pm

Ubovu wa barabara wachangia kushuka kwa mapato Makete

Ubovu wa barabara Makete umepelekea kupotea kwa mapato hali iliyomfanya mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Makete Mh. Christopher Fungo kuagiza mamlaka husika kuchukua hatua za maksudi ili kunusuru kupotea kwa mapato . Na Ombeni Mgongolwa Baraza la Madiwani la…

February 13, 2024, 8:06 am

DED Makete akutana na wadau wa elimu

Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Makete William Makufwe Amewataka wadau wa Elimu ikiwemo walimu maafisa elimu kusimamia kikamilifu taaluma katika wilaya ya Makete ili kuinua kiwango cha taaluma Makete. Na Lulu Mbwaga Mkurugenzi Mtendaji halmashaur ya Wilaya Makete Ndg…

February 8, 2024, 5:28 pm

Serikali yatoa fedha kujenga kituo cha afya Mfumbi Makete

Kata ya Mfumbi ni miongoni mwa kata ambazo zimepewa mradi wa ujenzi wa kituo cha afya ikiwa ni mpango wa halmashauri ya wilaya ya Makete kujenga vituo vya afya ktika kata zote ambazo hazina vituo vya afya pamoja na kuboresha…

February 1, 2024, 6:31 pm

Wananchi wahimizwa kufuata sheria pindi matukio ya uharifu yanapojitokeza

Imeelezwa kuwa elimu ni nguzo pekee ya wananchi kuweza kutambua sheria ili kufahamu haki na wajibu wao pindi ambapo wanapokuwa na changamoto mbali mbali pamoja na kutoa ushirikiano na vyombo husika katika kufanikisha haki inatendeka pindi ambapo uharifu unapojitokeza Na…

January 31, 2024, 7:56 am

katika mwendelezo wa ziara za jukwaa la ustawi wa jamii Makete kutoa elimu ya malezi mkurugenzi mtendaji akiambatana na baadhi ya wataalam kutoka Halmashauri wametembelea kata ya Ipepo na kutoa msaada wa vifaa vya shule kwa watoto wanaotoka ktk mazingira…

January 30, 2024, 9:55 pm

Ded William Makufwe awataka watendaji kusimamia mapato

Kutokana na upotevu wa mapato Ded Makufwe amewataka Watendaji hususani katika maeneo yote yenye mageti kuahkikisha wanasimamia kikamilifu kudhibiti mianya yote ya utoroshaji wa mapato ambayo ndio uti wamgongo wa Halmashauri ya Makete na Mwandishi wetu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya…

Mission and Vision

Kitulo Fm radio ni kituo cha kijamii kinachozalisha maudhui yenye hadhi ya kujenga jamii ya kitulo